Hawa wahusika wa hii club wamekuwa kwenye entertainment business for decades. Lakini cha ajabu mpaka leo bado hawajui (au hawataki) kwenda na wakati kwenye fani ya entertainment industry.
Yaani wanathubutu kuita lile godauni ndio ukumbi wa disco. Zaidi ya maandishi makuuuubwa nje yanayotambulisha disco lao, hamna kingine chochote cha maana kinachotoa sifa ya kuitwa club ya disco. Ukiingia ndani hamna manjonjo yoyote ya maana yanayokufanya ujisikie uko club. Kule ndani kuko kama godauni lenye bar na maspika kila kona.
Hebu tuweni serious kidogo kwenye mambo ya quality and stuff.
Kwani disco lazima iwe mawingu club jamani. Hapakuridhishi timua. Wateja siku zote ndio wanaoentertain huduma mbovu. Hebu watu wasiende disco hapo kama hawatapatengeneza fasta fasta.
Kwani disco lazima iwe mawingu club jamani. Hapakuridhishi timua. Wateja siku zote ndio wanaoentertain huduma mbovu. Hebu watu wasiende disco hapo kama hawatapatengeneza fasta fasta.
Hawa wahusika wa hii club wamekuwa kwenye entertainment business for decades. Lakini cha ajabu mpaka leo bado hawajui (au hawataki) kwenda na wakati kwenye fani ya entertainment industry.
Yaani wanathubutu kuita lile godauni ndio ukumbi wa disco. Zaidi ya maandishi makuuuubwa nje yanayotambulisha disco lao, hamna kingine chochote cha maana kinachotoa sifa ya kuitwa club ya disco. Ukiingia ndani hamna manjonjo yoyote ya maana yanayokufanya ujisikie uko club. Kule ndani kuko kama godauni lenye bar na maspika kila kona.
Hebu tuweni serious kidogo kwenye mambo ya quality and stuff.
QM, chunga tu usije itwa a hater pia...
btw, je Mawingu unaowataja ndio walewale wa Seventh floor enzi zile, au ni transformation after transformation za management, hivyo waweza kukuta kuwa wala HQ yao hawana na habari na hiyo "godauni" au wamiliki wa disko ulilolitaja... not the foggiest just a view.
Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.
Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.
Kwani disco lazima iwe mawingu club jamani. Hapakuridhishi timua. Wateja siku zote ndio wanaoentertain huduma mbovu. Hebu watu wasiende disco hapo kama hawatapatengeneza fasta fasta.
Sawa mama! Lakini sidhani kama kuna wateja wa maana wanakwenda pale tena. Ukiingia mle ndani unaweza kuogopa kwa kudhani kila mtu mle ndani ana panga kiunoni (if you know what I mean)...lol! Ukifika Arusha ukauliza club mzuri, nakuhakikishia Mawingu haitatajwa. Cha kushangaza ni kwamba hii club pengine ni club kongwe pale mjini. Kwa hiyo nilikuwa nategemea watajidhatiti na kwenda na wakati.
Oh well, I guess bado tunaendeleza ule ule mfumo wa mwaka 47...ili mradi wateja wanakuja basi kwa nini tuiingie gharama za uboreshaji...!!! It's absolutely a shame.
Sawa mama! Lakini sidhani kama kuna wateja wa maana wanakwenda pale tena. Ukiingia mle ndani unaweza kuogopa kwa kudhani kila mtu mle ndani ana panga kiunoni (if you know what I mean)...lol! Ukifika Arusha ukauliza club mzuri, nakuhakikishia Mawingu haitatajwa. Cha kushangaza ni kwamba hii club pengine ni club kongwe pale mjini. Kwa hiyo nilikuwa nategemea watajidhatiti na kwenda na wakati.
Oh well, I guess bado tunaendeleza ule ule mfumo wa mwaka 47...ili mradi wateja wanakuja basi kwa nini tuiingie gharama za uboreshaji...!!! It's absolutely a shame.
Labda ndio kutaka ujiko kwamba wanamiliki ukumbi wa disco? Watafute m-bia hapo. Vinginevyo kuna biashara zaidi ya disco, wanawezaje kusustain kulipa kodi na wafanyakazi ilhali hakuna wateja wa maana?
Hapana, we nawa tu na uendelee kunawa hadi baadae. Halafu ukome kuniandikia hizi habari kwenye thread za watu, nilishakuambia na inaonekana wewe ni mgumu kuelewa na mwepesi kusahau kuwa waweza niachia visitor message. BS.
Hapana, we nawa tu na uendelee kunawa hadi baadae. Halafu ukome kuniandikia hizi habari kwenye thread za watu, nilishakuambia na inaonekana wewe ni mgumu kuelewa na mwepesi kusahau kuwa waweza niachia visitor message. BS.
Visitor message wapambe na wachawi wengi....vipi PM?
Follow Us Here