Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      Quemu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th June 2007
      Posts : 1,079
      Rep Power : 828
      Likes Received
      27
      Likes Given
      16

      Default Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Hawa wahusika wa hii club wamekuwa kwenye entertainment business for decades. Lakini cha ajabu mpaka leo bado hawajui (au hawataki) kwenda na wakati kwenye fani ya entertainment industry.

      Yaani wanathubutu kuita lile godauni ndio ukumbi wa disco. Zaidi ya maandishi makuuuubwa nje yanayotambulisha disco lao, hamna kingine chochote cha maana kinachotoa sifa ya kuitwa club ya disco. Ukiingia ndani hamna manjonjo yoyote ya maana yanayokufanya ujisikie uko club. Kule ndani kuko kama godauni lenye bar na maspika kila kona.

      Hebu tuweni serious kidogo kwenye mambo ya quality and stuff.
      We miss 100% of the shots we never take

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Mama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2008
      Posts : 2,916
      Rep Power : 41157
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Kwani disco lazima iwe mawingu club jamani. Hapakuridhishi timua. Wateja siku zote ndio wanaoentertain huduma mbovu. Hebu watu wasiende disco hapo kama hawatapatengeneza fasta fasta.


    4. #3
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,263
      Rep Power : 36770
      Likes Received
      9630
      Likes Given
      686

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Quote By Mama
      Kwani disco lazima iwe mawingu club jamani. Hapakuridhishi timua. Wateja siku zote ndio wanaoentertain huduma mbovu. Hebu watu wasiende disco hapo kama hawatapatengeneza fasta fasta.
      kweli mwanamke.......
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    5. #4
      Steve Dii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2007
      Location : Kihesa - Iringa
      Posts : 6,795
      Rep Power : 3279
      Likes Received
      924
      Likes Given
      2800

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Quote By QM
      Hawa wahusika wa hii club wamekuwa kwenye entertainment business for decades. Lakini cha ajabu mpaka leo bado hawajui (au hawataki) kwenda na wakati kwenye fani ya entertainment industry.

      Yaani wanathubutu kuita lile godauni ndio ukumbi wa disco. Zaidi ya maandishi makuuuubwa nje yanayotambulisha disco lao, hamna kingine chochote cha maana kinachotoa sifa ya kuitwa club ya disco. Ukiingia ndani hamna manjonjo yoyote ya maana yanayokufanya ujisikie uko club. Kule ndani kuko kama godauni lenye bar na maspika kila kona.

      Hebu tuweni serious kidogo kwenye mambo ya quality and stuff.
      QM, chunga tu usije itwa a hater pia...

      btw, je Mawingu unaowataja ndio walewale wa Seventh floor enzi zile, au ni transformation after transformation za management, hivyo waweza kukuta kuwa wala HQ yao hawana na habari na hiyo "godauni" au wamiliki wa disko ulilolitaja... not the foggiest just a view.



      Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

      Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.



    6. #5
      Mama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2008
      Posts : 2,916
      Rep Power : 41157
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Quote By Nyani Ngabu
      kweli mwanamke.......
      huchoki nifatafata, sijui nimekukosea nini wee nyani.


    7. Miaka 50

    8. #6
      Quemu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th June 2007
      Posts : 1,079
      Rep Power : 828
      Likes Received
      27
      Likes Given
      16

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Quote By Mama
      Kwani disco lazima iwe mawingu club jamani. Hapakuridhishi timua. Wateja siku zote ndio wanaoentertain huduma mbovu. Hebu watu wasiende disco hapo kama hawatapatengeneza fasta fasta.
      Sawa mama! Lakini sidhani kama kuna wateja wa maana wanakwenda pale tena. Ukiingia mle ndani unaweza kuogopa kwa kudhani kila mtu mle ndani ana panga kiunoni (if you know what I mean)...lol! Ukifika Arusha ukauliza club mzuri, nakuhakikishia Mawingu haitatajwa. Cha kushangaza ni kwamba hii club pengine ni club kongwe pale mjini. Kwa hiyo nilikuwa nategemea watajidhatiti na kwenda na wakati.

      Oh well, I guess bado tunaendeleza ule ule mfumo wa mwaka 47...ili mradi wateja wanakuja basi kwa nini tuiingie gharama za uboreshaji...!!! It's absolutely a shame.
      We miss 100% of the shots we never take

    9. #7
      Mama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2008
      Posts : 2,916
      Rep Power : 41157
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Quote By QM
      Sawa mama! Lakini sidhani kama kuna wateja wa maana wanakwenda pale tena. Ukiingia mle ndani unaweza kuogopa kwa kudhani kila mtu mle ndani ana panga kiunoni (if you know what I mean)...lol! Ukifika Arusha ukauliza club mzuri, nakuhakikishia Mawingu haitatajwa. Cha kushangaza ni kwamba hii club pengine ni club kongwe pale mjini. Kwa hiyo nilikuwa nategemea watajidhatiti na kwenda na wakati.

      Oh well, I guess bado tunaendeleza ule ule mfumo wa mwaka 47...ili mradi wateja wanakuja basi kwa nini tuiingie gharama za uboreshaji...!!! It's absolutely a shame.

      Labda ndio kutaka ujiko kwamba wanamiliki ukumbi wa disco? Watafute m-bia hapo. Vinginevyo kuna biashara zaidi ya disco, wanawezaje kusustain kulipa kodi na wafanyakazi ilhali hakuna wateja wa maana?


    10. #8
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,263
      Rep Power : 36770
      Likes Received
      9630
      Likes Given
      686

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Quote By Mama
      huchoki nifatafata, sijui nimekukosea nini wee nyani.
      Hujanikosea kitu.....wewe nipe tu na kila kitu kitakuwa mswano
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    11. #9
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,117
      Rep Power : 5479
      Likes Received
      3525
      Likes Given
      1949

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Quote By Mama
      huchoki nifatafata, sijui nimekukosea nini wee nyani.
      Mama mpe radhi huyo Nyani aokote makopo na atembee bila nguo!!! I cant imagine Nyani kuwa kwenye utupu wake mitaani....

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    12. #10
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,263
      Rep Power : 36770
      Likes Received
      9630
      Likes Given
      686

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Quote By Ushirombo
      Mama mpe penzi huyo Nyani atulie!!! I cant imagine Nyani bila demu....
      You damn right!!!!!!!!!
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    13. #11
      Mama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2008
      Posts : 2,916
      Rep Power : 41157
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Quote By Nyani Ngabu
      Hujanikosea kitu.....wewe nipe tu na kila kitu kitakuwa mswano
      Si ungesema sasa, domo zito kama nyani. Haya anza kunawa na uendelee kunawa hadi baadae


    14. #12
      Mama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2008
      Posts : 2,916
      Rep Power : 41157
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Quote By Ushirombo
      Mama mpe radhi huyo Nyani akote makopo na atembee bila nguo!!! I cant imagine Nyani kuwa kwenye utupu wake mitaani....

      Ona alivyokubadilishia quote, watu wengine wana mawazo ya nyani halisi.


    15. #13
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,263
      Rep Power : 36770
      Likes Received
      9630
      Likes Given
      686

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Quote By Mama
      Si ungesema sasa, domo zito kama nyani. Haya anza kunawa na uendelee kunawa hadi baadae
      Cool....sasa utanipa baadae...?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    16. #14
      Mama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2008
      Posts : 2,916
      Rep Power : 41157
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Quote By Nyani Ngabu
      Cool....sasa utanipa baadae...?
      Hapana, we nawa tu na uendelee kunawa hadi baadae. Halafu ukome kuniandikia hizi habari kwenye thread za watu, nilishakuambia na inaonekana wewe ni mgumu kuelewa na mwepesi kusahau kuwa waweza niachia visitor message. BS.


    17. #15
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,263
      Rep Power : 36770
      Likes Received
      9630
      Likes Given
      686

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Quote By Mama
      Hapana, we nawa tu na uendelee kunawa hadi baadae. Halafu ukome kuniandikia hizi habari kwenye thread za watu, nilishakuambia na inaonekana wewe ni mgumu kuelewa na mwepesi kusahau kuwa waweza niachia visitor message. BS.
      Visitor message wapambe na wachawi wengi....vipi PM?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    18. #16
      Mama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2008
      Posts : 2,916
      Rep Power : 41157
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Quote By Nyani Ngabu
      Visitor message wapambe na wachawi wengi....vipi PM?

      utajiju nyani wewe, NO PM, only visitor message.


    19. #17
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,263
      Rep Power : 36770
      Likes Received
      9630
      Likes Given
      686

      Default Re: Ukumbi wa Mawingu Club Arusha ni kituko

      Quote By Mama
      utajiju nyani wewe, NO PM, only visitor message.
      Mama...I lo u....
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    Similar Topics

    1. Yaliyo nikuta mwaka mpya ndani ya CLUB AQ Jijini Arusha
      By B.O.G in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 26
      Last Post: 28th March 2011, 20:52
    2. Wajanja watia ndani 40m za Arusha Football Club
      By Mantisa in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 25th January 2011, 12:08
    3. Replies: 0
      Last Post: 12th January 2011, 23:14
    4. Replies: 6
      Last Post: 3rd December 2010, 22:21

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...