Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ze Comedy Watinga Mahakamani

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 35
    1. #1
      Bubu Msemaovyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th May 2007
      Location : All around the World
      Posts : 2,275
      Rep Power : 1799
      Likes Received
      883
      Likes Given
      899

      Default Ze Comedy Watinga Mahakamani

      Baada ya mvutano wa muda mrefu na kituo cha TV cha EATV baada ya mkataba wao kwisha na "Ze Comedy" wakasaini mkataba na TBC1 kisha wakapata pingamizi kuhusu matumizi ya jina "Ze Comedy" ndani ya Runinga ya TBC1 toka kwa msajili wa nembo za biashara kwamba hata majina kama "Masanja Mkandamizaji, Joti, Mpoki, nk." Kwamba yasitumike katika kituo cha TBC1, sasa nao Ze Comedy wameamua kwenda mahakamani kupinga amri ya EATV kuhusu matumizi ya jina Ze Comedy na majina yao. Pia watadai fidia ya milioni 200 kwa kufanyiwa mizengwe hiyo.

      Mimi nawaunga mkono hawa jamaa maana tanguzamani nilikuwa nafahamu kuna Joti na Mpoki. Achilia mbali jina Ze Cmedy na Masanja na wengine. Hii ina maanisha kuwa hawa EATV watataka hata sura zao zisionekane katika TBC1 kitu ambacho hakiwezekani.

      Tuchangie
      "If you talk to a man in a language he understands, that goes to his head. If you talk to him in his language, that goes to his heart." Nelson Mandela


    2. #2
      HeartBreak's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st April 2008
      Posts : 245
      Rep Power : 619
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      wabongo atupendani hata kidogo ndio maana kuna mafisadi wengi mpaka kwenye makanisa!!!

    3. #3
      LadyMzuri's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th June 2008
      Location : DSM
      Posts : 50
      Rep Power : 570
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Thumbs up Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      Tuchangie[/QUOTE]

      Tunachangiaje sasa??
      Tuonyeshe mshikamano katika kutete haki za wasanii, especially wakiwa wanaonewa na huku talent ni God give.
      Be the Change you want to see in the World - Mahatma Ghandi

    4. #4
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,136
      Rep Power : 9519
      Likes Received
      3234
      Likes Given
      1264

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      Kweli kabisa kama wanawakataza wasitumie jina Joti,Mpoki n.k eti ni yao EATV si kweli.
      Kwani haya majina toka zamani hawa walikuwepo na walikuwa wanatumia majina haya haya sasa hapo wanakuwa hawawatendei haki kabisa.
      BAadae watasema hata sura zao ni haki yao,sijui hawa COSOTA vp? mm naomba sheria ichukue mkondo wake kama ndo hivyo na hao EATV wawalipe hao akina Joti,mpoki n.k kwa maana ni majina yao na ni haki yao wawalipe fidia kwani wametengeneza faida sana kwa kuwatumia hawa jamaa na sasa EATV imepoteza mwelekeo kabisa matangazo yaliyo kuwa yanawalipa kwa kupitia Ze comedy hayapo tena.Ukata unanukia EATV.

    5. #5
      BadoNipo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th July 2008
      Location : Gongo la mboto
      Posts : 172
      Rep Power : 593
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      Tatizo ya EATV ni wivu tu huo unawasumbua kwani wanajua zile hela za matangazo walizokuwa wanazipata katika kipindi cha 'the commedy' ndo basi tena.

      Kama walishindwa kuwahudumia vizuri walijua hakuna mtu mwingine atakayetaka kufanya nao kazi?

      Last week niliona mwanasheria wa EATV amewapa TBC1 siku kumi na tano kuacha kutangaza matangazo ya ZEE COMEDI


    6. #6
      BadoNipo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th July 2008
      Location : Gongo la mboto
      Posts : 172
      Rep Power : 593
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      hata Hao cosota njaa tupu hawana lolote. ukute wamepewa vijsenti na hao EATV

    7. #7
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,710
      Rep Power : 47349
      Likes Received
      8341
      Likes Given
      7748

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      Mimi namshauri Bwana Reginald Abraham Mengi afikirie mara mbili katika suala hili.Inawezekana kweli kisheria ana haki ya kuwazuia kina Mkandamizaji kufanya vionjo vyao pale TBC,lakini does that denial serve public interest? Umma wa watanzania interest yao ni kuwaona wale vijana wakiwapa raha ,kwao it does't matter ni katika channel ipi,kwa mtazamaji TV ni Tv tu.Hizi infights zake na kina Manji aangalie zisije zikampotezea mwelekeo kibiashara,Manji has got little to lose,he stands to lose a lot.

    8. #8
      LazyDog's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2008
      Posts : 2,186
      Rep Power : 21025
      Likes Received
      17
      Likes Given
      62

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      Ze Comedy walikurupuka. Cha kufanya, TBC1 wanunue hiyo nembo ya biashara na haki miliki kutoka EATV




      .
      A person who won't read has no advantage over one who can't read. -Mark Twain

    9. #9
      Single D's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2007
      Location : Duniani
      Posts : 467
      Rep Power : 723
      Likes Received
      2
      Likes Given
      4

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      Wapambanapo fahari wawili,ziumiazo ni Nyasi.
      Huu ugomvi wa Manji na Mengi unawafanya hawa watoto wakose msosi na vitambi hata mng'ao utaondoka kabisa.Mahakamani huko nako kuna siasa tu,itawachukua mda mrefu kesi kuhukumiwa,na hukumu itakuwa ile ile ya siku zote ambayo ni ya kulinda hawa wafanyabiashara,kwa kuwa kodi za hawa watu ndo zinawalipa mahakimu,bongo dari salama kweli.
      'Without unity, there is no future for Africa' J.K.Nyerere,1997,Accra Ghana.

    10. #10
      Gembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2007
      Location : kamnyonge
      Posts : 2,586
      Rep Power : 1520
      Likes Received
      64
      Likes Given
      54

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      Naomba niwarejeshe zamni kidogo utagundua ni kwanini Mengi na timu nzima ya EATV wanataka kuwaangamiza Ze Comedy

      Tatitizo siyo waao ila ni TBC
      Kama utakumbuka wakati ule wa Kugombea kuonyesha World Cup,TBC walishindanishwa kibiashara na ITV na TV zingine huku wao wanpewa Ruzuku na serikali,Hivyo Mengi alipinga sana kwa chombop cha serikali kufanya biashara kwa kushinda na vyombo ambavyo vinajiendesha vyenyewe.

      Utakumbuka Mengi alitoa hadi tamko,na hii ilikuwa baada ya Tido kuingia Pale,Hii ilimuuzi sana Mzee Mengi na Mpaka Leo anaendeleza Libeneke na siyo Rahisi kwa yeye kuwaruhusu Ze Comedy waendelee na Biashara na EATV,yaani ni bora wangeenda TV nyingine na Siyo TBC

      Ushauri kwa Mengi na Wakurugenzi wake
      Baada ya wao kuaha kabisa kushirikiana na TBC ,ningeomba kwanza wakae chini na kuondoa Tofauti zao hata kama ITV ilikuwapo toka zamani na washirikiane,

      Pili awaruhusu vijana hawa waendelee na kipindi chao pale TBC,Najua kimapato imewaathiri sana hasa fungu lilikuwa likitolewa na Tigo kila mweiz ambalo sasa wamelikosa.
      As long as I am leader, Our position is not going to change from that of our forefathers. I do not want the responsibility for selling the rights of our children yet unborn

    11. #11
      Masanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2007
      Location : Benaco
      Posts : 1,647
      Rep Power : 941
      Likes Received
      159
      Likes Given
      0

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      Wakuu nadhani ndiyo maana watanzania na waafrika hatuendelei kwa sababu tunapenda shortcut ya mambo! We always like looking at the things the way they ought to be and not the way they are.

      Kama walivyosema wengine, hao Ze commedy wangekuwa na washauri wangeamua kuongea na kuinunua hiyo nembo au haki miliki kutoka EATV. Jamani tusiangalie mambo kwa kutumia hisia. Hapa ni sheria mtindo mmoja. Nani alikwambia kwamba unaweza kuishi kwa jasho la mwenzako?

      Nani alimjua Masanja, Joti et al, walipokuwa hawajapewa jukwaa na mzee Mengi pale EATV? People be real! Hapa hakuna uonevu hata kidogo! watu inabidi wawe serious na wanachokifanya. Mzee Mengi siyo Red Cross kwamba anatoa msaada au anafanya kazi ya huruma!

      Tatizo la hawa vijana walilewa na sifa na umaarufu wakajua kwamba they are on top of the world. Kifupi waongee na EATV waangalie ni namna gani wanaweza kusaidiwa.. Lakini siyo kutumia hisia...

      Hizi arguments ohh..wasaidiwe, vijana wanajitafutia riziki, Mengi hana huruma..etc..its just ----..Mengi is a businessman..hayuko pale kuonea watu huruma! Labda wataalam wa intellectual property waje hapa watupe mwanga zaidi. But to me, in all fairness..EATV have all the rights on ZE COMMEDY and everything asscoaited with that name!
      Silaha ya maskini ni elimu.

    12. #12
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21345
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      Mi nafikiri hapa ni kupigania hayo majina yao ya Joti, Mpoki, n.k, kuhusu ze comedy watafute jina lingine walisajili, hapo kinachopiganiwa na EATV ni kutaka walipwe na TBC1, au kuwalaza njaa hawa vijana.

    13. #13
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,136
      Rep Power : 9519
      Likes Received
      3234
      Likes Given
      1264

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      Quote By lazydog View Post
      Ze Comedy walikurupuka. Cha kufanya, TBC1 wanunue hiyo nembo ya biashara na haki miliki kutoka EATV




      .
      NO NO NO.
      wanunue wakati ni majina yao halisi toka zamani tunamjua Joti,Mpoki sasa wanunue vp?Na jina si hilo wamebadili wanaitwa ZEE COMED.

    14. #14
      Belo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2007
      Location : Nakahuga
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1526
      Likes Received
      475
      Likes Given
      455

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      Wapiganapo fahali wawili ziumiazo ni nyasi
      EATV baada ya kusikia jamaa wanataka kuchomoka tena kwenda kwa mahasimu wao TBC
      jamaa wakacheki mkataba na kuweka vizuri ili wasichomoke kirahisi
      Tatizo la MANJI anakurupuka ndio maana hata Mengi alishinda ile kesi
      Jamaa wangetafuta jinsi ya kuchomoka au kufanya masahihisho ya mkataba kwanza
      Kitu ambacho mwanasiasa anasema ukweli ni jina lake tu

    15. #15
      Kevo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2008
      Location : Around the World
      Posts : 1,348
      Rep Power : 831
      Likes Received
      16
      Likes Given
      14

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      I think EATV this time wameenda too far.Mpaka majina yao?kweli ze comedy na haki ichukue mkondo wake maana mimi nimemjua Mpoki na Joti kwa haya majina siku mingi tuu iweje leo waambie stop using those names?

    16. #16
      Ngonalugali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2008
      Location : Western Block, Tz
      Posts : 760
      Rep Power : 736
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      EATv wana haki yao ya msingi juu ya hilo. Na hapa sisemi kwa ajili ya eatv bali ni kwa ajili ya hao akina Masanja. Suala la maisha kwao si shida kwani kama ni magari walishapewa na kama nyumba wamepangishiwa (Waangalie wasije wakatimuliwa baadae wakipoteza umaarfu ama biashara ya ufisadi ikitokomea). Cha msingi ni kwamba wao walikurupuka kwa kuingia katikati ya ugomvi wa Manji na Mengi (na hapo sioni kosa la Mengi). Vyombo vyake vya habari vimetufumbua macho watanzania tulio wengi kwani hatukujua kama huyo jamaa nii nyoka tunayeishi naye. Kwa hiyoo kama watanzania wa leo na hasa humu JF bado wanashabikia watu kama hao basi ni haki kabisa ya wapiga kura wa Chenge kumchinjia ng'ombe Chenge wao.

      Leo hii Manji amekuwa rafiki wa walipa kodi (ama kweli kila sheitwan na mbuyu wake).

    17. #17
      Mgoyangi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th February 2008
      Posts : 182
      Rep Power : 621
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      EATV aliingiza mtaji na kununua ubunifu, na kwamba kujenga jina ze commedy na majina ya uigizaji kulimgharmu, sasa kwa sababu TBC1 Kapenda Boga basi awe tayari kununua boga hilo na maua yake.

      Kwa wastaarabu ukinunua duka la mtu na bidhaa ndani yake, katika mapatano ya bei - ingawa kwa TBC na EATV kinachofanyika ni tamaduni tofauti ya kuhujumiana - bidhaa na na hata jengo zinathamanishwa, lakini cha juu baada ya bei ni gharama ya kujenga jina la biashara ambayo kimsingi inaweza kuwa kubwa hata kuliko thamani ya jengo na bidhaa zenyewe.

      Hapa TBC1, wasifikiri kizamani na kwamba vitu vinaweza kuja kuja tu kimkato, ni ufisadi pekee ndiyo unaweza kukata mbuga, mengine haiwezekani mchana, hata wachawi husubiri usiku.

    18. #18
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,618
      Rep Power : 46737
      Likes Received
      16717
      Likes Given
      8552

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      kama kweli TBC wanafikiri wana haki na Ze Comedy si waanze kuwatumia kama Ze Comedy halafu waone kama hawatafilisiwa hadi senti ya mwisho?
      [email protected]
      The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com

    19. #19
      Kasheshe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2007
      Location : Bububu
      Posts : 3,630
      Rep Power : 1351
      Likes Received
      196
      Likes Given
      344

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      EATV wanajiabisha... hii itawafanya wasanii wengi kuwa makini sana kufanya kazi nao... it is simply non-***** kugombana na watu wadogo kama wale ambao hata kampuni nadhani walikuwa hawana...

      It is a shame... kwa maoni yangu... ingawa kisheria EATV wako sawa.

    20. #20
      Kasheshe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2007
      Location : Bububu
      Posts : 3,630
      Rep Power : 1351
      Likes Received
      196
      Likes Given
      344

      Default Re: Ze Comedy Watinga Mahakamani

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      kama kweli TBC wanafikiri wana haki na Ze Comedy si waanze kuwatumia kama Ze Comedy halafu waone kama hawatafilisiwa hadi senti ya mwisho?
      Mzee Mwanakijiji,

      Hilo wanalifahamu ndio maana hawajaanza!!!

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 18
      Last Post: 24th October 2011, 19:28
    2. Madiwani waliotimuliwa na CHADEMA watinga mahakamani
      By Crashwise in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 136
      Last Post: 25th September 2011, 10:25
    3. Waliotorosha Twiga kwenda Uarabuni watinga mahakamani
      By LINCOLINMTZA in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 23
      Last Post: 12th June 2011, 13:27
    4. Ze Comedy Watinga Bungeni
      By Paparazi Muwazi in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 24
      Last Post: 12th July 2008, 15:02
    5. Replies: 65
      Last Post: 9th September 2007, 00:31

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...