Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Studio walioahidiwa wasanii wa bongo flavor yaotea mbawa THT

    Report Post
    Results 1 to 12 of 12
    1. #1
      kapotolo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th September 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 2,436
      Rep Power : 1205
      Likes Received
      1289
      Likes Given
      396

      Default Studio walioahidiwa wasanii wa bongo flavor yaotea mbawa THT

      "Wadau wa muziki wa bongo flava wamepumua kwa shukrani baada ya JK kuahidi kuwatengezea studio kubwa na ya kimataifa ya muziki ili kuwasaidia kujikwamua kiuchumi na kisanii.
      JK ametoa ahadi hiyo kwenye hafla ya kutimiza miaka 3 kwa THT ambapo alikuwa mgeni rasmi kwenye hafla hiyo iliyoandaliwa na vodacom". Michuzi Blog.

      vijana wa bongo flavor walisweti kumsaidia kurudi madarakani wakitegemea kuwa watapatiwa studio ya kurekodi nyimbo zao, imefahamika kuwa vyombo hivyo vya kurekodiwa muziki (STUDIO HIYO) wamepewa THT kwa maombi maalum kwa JK. Hii ni kwa mujibu wa tamko la waziri wa Habari ambaye alisema studio hiyo ni ya THT kwa maombi maalum kwa rais. Yaani studio si ya wasanii wote wa bongo flavor bali ya Ruge M. na THT yake na msanii mwingine hana chake, atarekodi kwa bei kama ya studio nyingine na sio kwa bei ya neema aliyoahidi JK.

      JK nimemvulia kofia, heshima kwake, jamaa ni muongo hana mfano. Wasanii wetu nao wamezidi kujirahisi mno, wanatumika kila uchaguzi baada ya hapo wanamwaga, jifunzeni.

      No wonder hawa Jamaa wa Clouds wanajikomba sana kwa Jk mpaka kumwandalia birthday kumbe wananufaika na tujimisaada
      Kiongozi shupavu hawezi kutumia mabavu kuongoza, ni kiongozi dhaifu tu ndio atatumia mabavu kuficha udhaifu wake - Jenerali Ulimwengu


    2. Nzi is offline
      Nzi
      #2
      Nzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Location : 740 Park Avenue
      Posts : 3,378
      Rep Power : 21639
      Likes Received
      963
      Likes Given
      830

      Default Re: Studio walioahidiwa wasanii wa bongo flavor yaotea mbawa tht

      Hao wasanii wa ubongo wa flavour wakome kwa kujikombakomba na kukubali kutumika ka TP.

    3. #3
      Mwalimu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 1,176
      Rep Power : 787
      Likes Received
      255
      Likes Given
      689

      Default Re: Studio walioahidiwa wasanii wa bongo flavor yaotea mbawa tht

      Saizi yao acha washike adabu...hapo msanii akikorofishana na clouds tu amekwisha hiyo studio ataisikia kwenye bomba!
      I'm teaching fools some basic rules...

    4. #4
      Kiranja Mkuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2010
      Posts : 2,084
      Rep Power : 890
      Likes Received
      284
      Likes Given
      34

      Default Re: Studio walioahidiwa wasanii wa bongo flavor yaotea mbawa tht

      Serikali yetu imejaa ujinga.
      Mshahara wa mwezi ujao huenda usitoke kabisa kwa kuwa serikali haina hela.
      Hii ni aibu kubwa kabisa kwa mtanashati na handsome boy kama kikwete

    5. #5
      Mabel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2010
      Location : Ikunguigazi
      Posts : 854
      Rep Power : 621
      Likes Received
      26
      Likes Given
      11

      Default Re: Studio walioahidiwa wasanii wa bongo flavor yaotea mbawa tht

      Hao ni bongo SLAVE
      Aakulu taa siluka, aape taa tumbu(Time and the world moves on).[Ovambo proverb]


    6. #6
      TATIANA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2010
      Posts : 669
      Rep Power : 569
      Likes Received
      21
      Likes Given
      2

      Default Re: Studio walioahidiwa wasanii wa bongo flavor yaotea mbawa tht

      Quote By nyandaigobeko View Post
      hao wasanii wa ubongo wa flavour wakome kwa kujikombakomba na kukubali kutumika ka tp.
      dah,umeniacha hooiiiii..

    7. #7
      The Infamous's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2009
      Posts : 666
      Rep Power : 648
      Likes Received
      85
      Likes Given
      116

      Default Re: Studio walioahidiwa wasanii wa bongo flavor yaotea mbawa tht

      nyosha mkono kama ni mdau wa music unaefeel bila kikomo tuurudishe huu utawala maaana viongozi waliopo naona wote wamelala, tajiri kawanunua hata mahari pa kukemea naona wao wanachekela...kurupuka amka mtoto wa mkulima zinduka acha kupiga show za live kwa nguo za kukopa...

    8. #8
      sulphadoxine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 2,191
      Rep Power : 942
      Likes Received
      565
      Likes Given
      2058

      Default Re: Studio walioahidiwa wasanii wa bongo flavor yaotea mbawa tht

      Ila hawa clouds pamoja na huyo ruge,itafika kipindi wataua bongo fleva,maana wanakua watu wa ajabu sana,wao ni THT tu ndio wanao ipigia debe,na wanamuziki watanzania nao wanajirahisisha sana,kama marlaw kutwa kuimba nyimbo za ccm,haya ndio kama hivyo tena wametoswa na THT wanashika hatamu,wasitumiwe kama( Hao wasanii wa ubongo wa flavour wakome kwa kujikombakomba na kukubali kutumika ka TP.)

    9. #9
      Tekelinalokujia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Location : Planet Earth
      Posts : 344
      Rep Power : 513
      Likes Received
      31
      Likes Given
      166

      Default Re: Studio walioahidiwa wasanii wa bongo flavor yaotea mbawa tht

      Hahahahaaa, kucheka mjinga si kosa maana naona wamekutana katika fani yao ya usanii, hao wa ubongo wa fuleva na prezidaa wao, hakuna mbaya. nacheka tena Hahahahaaa.

    10. #10
      chetuntu's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 10th January 2011
      Location : Paediatrique ward
      Posts : 956
      Rep Power : 619
      Likes Received
      100
      Likes Given
      90

      Default

      Quote By Nyandaigobeko View Post
      Hao wasanii wa ubongo wa flavour wakome kwa kujikombakomba na kukubali kutumika ka TP.
      tp?? Umeua kabisa ila jina lako nalizimia sana.

    11. #11
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6127
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4948

      Default Re: Studio walioahidiwa wasanii wa bongo flavor yaotea mbawa tht

      Wajanja wachache wanatumia vizuri mianya ambayo wasanii wa Bongo Flavour wanapigwa changa la macho
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    12. #12
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6127
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4948

      Default Re: Studio walioahidiwa wasanii wa bongo flavor yaotea mbawa tht

      Quote By Mabel View Post
      Hao ni bongo SLAVE
      Ha ha ha ha bongo slave
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    Similar Topics

    1. JF Bongo Flavor duh!
      By Tripo9 in forum Entertainment
      Replies: 1
      Last Post: 22nd April 2010, 16:27
    2. button za bongo flavor na zilipendwa ziko wapi???.
      By Freetown in forum Entertainment
      Replies: 0
      Last Post: 17th May 2008, 09:05

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...