KILA uchaguzi unapofanyika, malalamiko hayaishi hata kama anayelalamika kushindwa ameachwa kwa kura nyingi sana.je, ni uchanga wa demokrasia? najaribu kuuangalia uchaguzi wa bububu zanzibar, tayari CUF wanasema watakata rufani.
KILA uchaguzi unapofanyika, malalamiko hayaishi hata kama anayelalamika kushindwa ameachwa kwa kura nyingi sana.je, ni uchanga wa demokrasia? najaribu kuuangalia uchaguzi wa bububu zanzibar, tayari CUF wanasema watakata rufani.
Follow Us Here