Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: matatizo ya kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi

    Report Post
    Results 1 to 2 of 2
    1. #1
      paul vicent's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th July 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 352
      Likes Received
      3
      Likes Given
      5

      Default matatizo ya kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi

      kuna wakati nilisema watu wengi walio kwenye nyanja za siasa wamekua kikwazo kikubwa cha maendeleo.Nasema haya kwa sababu katika pitapita zangu huku mkoa Morogoro katika kijiji cha Ruaha nilikutana na baadhi ya wananchi wakilalamika kuhusu uchaguzi wa kijiji chao baada ya kuwaondoa viongozi wao madarakani kutokana na ubadhilifu walioufanya.Kwa sababu hiyo vyama vyote vya siasa havina budi kushiriki'hapo ndio tatizo lilipoanzia kwani baada ya chama kilichokuwa kikitawala awali kugundua wenzao wana nafasi kubwa ya kushindi wakaanza kuleta vikwazo hata kufikia kutumia dola..Kitu hiki kimewafanya wana Ruaha kushindwa kufanya shughuli za maendeleo kwa kijiji chao.Kwani sasa suala hilo limechukua sura kisiasa hivyo kupelekea hata ukusanyaji wa ushuru kutofanyika hivyo pato la kijiji kushuka kwa asilimia kubwa .Pia miradi ya kijiji kukosa msimamizi .pia sekta za usalama wa raia kuingilia mambo ya siasa zimeleta chachu ya kutopatikana suruhu ya haraka maana kila litakalofanyika kwa sasa linaonekana ni siasa.haya ndiyo matatizo ya kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi.
      Attached Thumbnails  

    2. Miaka 50

    3. #2
      iishmmael's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 205
      Rep Power : 398
      Likes Received
      31
      Likes Given
      19

      Default Re: matatizo ya kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi

      Siasa uchwara za ccm!!! Hivi kwa nini hawawezi kuiga marekani>>>mtindo wa kuachiana?

    4. RukaaJuu Final

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...