Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

    Report Post
    1. #1
      Ntemi Kazwile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2010
      Location : Bongo salidalam
      Posts : 1,874
      Rep Power : 836
      Likes Received
      135
      Likes Given
      454

      Default CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      Kuna uwezekano mkubwa kuwa CCM hawatasimamisha mgombea Arusha Mjini.
      Wanajua kutakuwa na kura za hasira kwa jinsi kesi ilivyoendeshwa na namna hukumu ilivyotolewa.
      Pili wanajua kuwa chama hakina tena mvuto kwa wananchi hasa hasa mijini na kama uchaguzi utarudiwa yatatokea yale yale ya Arumeru Mashariki.

      Tatu, katika CCM ya sasa hakuna tena kada anayeamika kwa wananchi, Nkapa kachemsha na sidhani yuko tayari kudhalilishwa mara ya pili ndani ya miezi mitatu, Six amejaribu Kirumba kachemsha, Mama Kilango kachemsha Kiwira(vijijini), sijui sasa watamtuma nani akamsaidie mgombea wao. Kwa upande mwingine CHADEMA hata wakinituma mimi, ambaya hata sina cheo, nitawaongoza kushinda.

      Kama wakifanya kosa wakasimamisha mgombea, na kulingana na upepo wa kisiasa wa sasa watapoteza tena uchaguzi, watakuwa wameamua rasimi kurudisha serikali mikononi mwa Wananchi kwani 2015 itakuwa ni kujumlisha kura tu!

      Naona kuna uwezekano mkubwa kimada wa sisiyemu anaweza kuombwa asimamishe mgombea ambaye magamba watamuunga mkono nyuma ya pazia na kujiepusha na aibu ya kushindwa mara mbili ndani ya miezi mitatu.

      Naomba kuwasilisha


    2. #2
      Seif al Islam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 1,151
      Rep Power : 557
      Likes Received
      270
      Likes Given
      423

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      Acha mawazo hayo wewe ccm wanaweza kushinda kama uchaguzi utafanyika kataka ofisi ndogo za lumumba na kama jk atagombea

    3. #3
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,495
      Rep Power : 24413
      Likes Received
      4874
      Likes Given
      2337

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      Kusimamisha mgombea watamsimamisha, we sema hakuna mtu atakayeukubali umeneja wa kampeni.
      Hakuma mtu anataka kupata aibu

    4. #4
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,381
      Rep Power : 2663
      Likes Received
      3049
      Likes Given
      13978

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      "CCM wanaruka sarakasi na taulo." By dmayola(Jf member)
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    5. #5
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,857
      Rep Power : 3279
      Likes Received
      1340
      Likes Given
      930

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      Quote By Seif al islam
      Acha mawazo hayo wewe ccm wanaweza kushinda kama uchaguzi utafanyika kataka ofisi ndogo za lumumba na kama jk atagombea
      Nimeipenda hiyo;

      Nilipofuatilia kesi ya Lema yote, sikuona ushahidi wowote wa kufanya ubunge huo utenguliwa. Kwa vile gharama za uchaguzi huwa ni kubwa sana kwa taifa na vile vile kuvuliwa kwa mbunge kunakosesha wananchi wake uwakilishi bungeni, nilitegemea mahakama za uchaguzi ziwe zinafanya maamuzi ya busara sana kuangalia iwapo madai yaliyoko mbele yake yangeweza kubadilisha matokeo ya uchaguzi kweli kweli kweli badala ya visababu uchwara ambavyo haviwezi kubadilisha matokeo. Hata tume ya uchaguzi wakati wakitangaza kumtawaza Kikwete, walisema kuwa kasoro zilizokuwa zimonekana katika uchaguzi hule zisingeweza kubadili matokeao, na hilo ndilo linalotakiwa kuwa linaangaliwa. Sasa hivi visababu uchwara vya ".... niliambiwa kuwa alisema hivi.." siyo sababu za msingi ambazo zingeweza kubadili matokeo yale. Nina imani kuwa kesi hii ikisikilizwa na mahakimu wasio kuwa na upendelea wataitupilia mbali.
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo


    6. #6
      luhala's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th February 2012
      Posts : 195
      Rep Power : 408
      Likes Received
      74
      Likes Given
      128

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      Quote By Ntemi Kazwile
      Kuna uwezekano mkubwa kuwa CCM hawatasimamisha mgombea Arusha Mjini.
      Wanajua kutakuwa na kura za hasira kwa jinsi kesi ilivyoendeshwa na namna hukumu ilivyotolewa.
      Pili wanajua kuwa chama hakina tena mvuto kwa wananchi hasa hasa mijini na kama uchaguzi utarudiwa yatatokea yale yale ya Arumeru Mashariki.

      Tatu, katika CCM ya sasa hakuna tena kada anayeamika kwa wananchi, Nkapa kachemsha na sidhani yuko tayari kudhalilishwa mara ya pili ndani ya miezi mitatu, Six amejaribu Kirumba kachemsha, Mama Kilango kachemsha Kiwira(vijijini), sijui sasa watamtuma nani akamsaidie mgombea wao. Kwa upande mwingine CHADEMA hata wakinituma mimi, ambaya hata sina cheo, nitawaongoza kushinda.

      Kama wakifanya kosa wakasimamisha mgombea, na kulingana na upepo wa kisiasa wa sasa watapoteza tena uchaguzi, watakuwa wameamua rasimi kurudisha serikali mikononi mwa Wananchi kwani 2015 itakuwa ni kujumlisha kura tu!

      Naona kuna uwezekano mkubwa kimada wa sisiyemu anaweza kuombwa asimamishe mgombea ambaye magamba watamuunga mkono nyuma ya pazia na kujiepusha na aibu ya kushindwa mara mbili ndani ya miezi mitatu.

      Naomba kuwasilisha
      kinyume kabisa ya baadhi ya wana CCM wanavyotazamia, hukumu hii inaweza kuiharibia zaidi CCM na kuuongeza umaarufu wa CHADEMA Arusha na nchi nzima. Tetesi za mafisadi kupenyeza rupia ili Lema ashindwe zilishaenea ndani na nje ya nchi wiki kadhaa kabla na wengi hawakushangazwa sana na uamuzi wa Jaji pamoja na kwamba ulifanywa kisiasa zaidi.
      Uchaguzi mpya Arusha utaipa fursa CHADEMA ya kuuhamasisha umma wa Tanzania nzima kuikataa CCM katika uchaguzi huo na chaguzi nyingine zitakazojitokeza, na kwa jinsi ilivyo kushindwa tena Arusha kutaashiria mwisho wa utawala mkongwe wa CCM. Sasa CCM wanabakiwa na machaguo mawili tu; wajitose, wasambaratishwe na wapoteze kabisa umaarufu wao nchini au watafute sababu za kujitoa ili wasiaibike zaidi na wawaache wananchi na mashaka kama wanafaa au la.
      Nasema tena, hakuna uwezekano wa CCM kulitwaa jimbo la Arusha mjini hata
      wakimweka nani kwani CHADEMA tayari wana turufu katika kampeni zozote za jimbo hilo kutokana na mauaji ya kijinga yaliyofanywa na Polisi mjini humo kwa maelekezo toka juu na ambayo hadi leo hakuna Tume huru iliyochunguza na kuchukua hatua thabiti juu ya hilo.
      Afadhali ukoloni wa Mwingereza kuliko huu utumwa na ugandamizaji wa CCM!

    7. #7
      rimoy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th July 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 58
      Rep Power : 411
      Likes Received
      9
      Likes Given
      40

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      ccm imefikia muda wa kusambaratika, na Mungu amesikia sala za watu wake, Sasa nio wakati muafaka tukaizike ccm, Parapanda italia x2

    8. #8
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1235
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      Ikishinda mtafanyaje? nauliza tu

      Mbona chadema mnaonekana madikteta; heshimuni mahakama

      Wananchi wanatakiwa kuelimishwa madhara ya chadema kwa taifa..
      rsalumu likes this.
      "Mbowe for Presidency 2015""

    9. #9
      Original's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2012
      Posts : 325
      Rep Power : 431
      Likes Received
      66
      Likes Given
      265

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      Nina wasiwasi mkubwa sana kama mwenyekiti wa CCM ana watu makini wa kumshauri.

    10. #10
      Linyakalumbi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th July 2011
      Posts : 225
      Rep Power : 444
      Likes Received
      71
      Likes Given
      136

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      Quote By Original
      Nina wasiwasi mkubwa sana kama mwenyekiti wa CCM ana watu makini wa kumshauri.
      Topical ni mmoja wapo!!!!!
      rsalumu likes this.
      "Mapambano yalianzia Igunga,MAKOMBORA tumepaki Arumeru-2015 Magogoni"

    11. #11
      mbwigule's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st January 2012
      Posts : 117
      Rep Power : 397
      Likes Received
      49
      Likes Given
      143

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      Quote By Kichuguu
      Nimeipenda hiyo;

      Nilipofuatilia kesi ya Lema yote, sikuona ushahidi wowote wa kufanya ubunge huo utenguliwa. Kwa vile gharama za uchaguzi huwa ni kubwa sana kwa taifa na vile vile kuvuliwa kwa mbunge kunakosesha wananchi wake uwakilishi bungeni, nilitegemea mahakama za uchaguzi ziwe zinafanya maamuzi ya busara sana kuangalia iwapo madai yaliyoko mbele yake yangeweza kubadilisha matokeo ya uchaguzi kweli kweli kweli badala ya visababu uchwara ambavyo haviwezi kubadilisha matokeo. Hata tume ya uchaguzi wakati wakitangaza kumtawaza Kikwete, walisema kuwa kasoro zilizokuwa zimonekana katika uchaguzi hule zisingeweza kubadili matokeao, na hilo ndilo linalotakiwa kuwa linaangaliwa. Sasa hivi visababu uchwara vya ".... niliambiwa kuwa alisema hivi.." siyo sababu za msingi ambazo zingeweza kubadili matokeo yale. Nina imani kuwa kesi hii ikisikilizwa na mahakimu wasio kuwa na upendelea wataitupilia mbali.
      Endapo CHADEMA watakata rufaa kwa kesi hii ushindi uko wazi kwani hata mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Sheria anaweza kubaini kasoro zilizoko katika hukumu hii. Ndiyo maana wengi wameiita hukumu "Ya kisiasa" Tatizo lililopo ni moja, nalo ni urasimu unaotawala sekta ya sheria unaweza kuchelewesha kesi hii hadi 2014 hivyo kupoteza maana kabisa. Binafsi nashauri CHADEMA wasikate rufaa bali wakubali ili jimbo litangazwe wazi, uitishwe uchaguzi mwingine ambapo CCM itajeruhiwa zaidi katika kampeni na kupoteza umaarufu nchi nzima. Ni katika ushiriki wa kampeni kama hizi CHADEMA imefikia umaarufu inaojivunia na CCM imepoteza umaarufu inaoujutia.

      Kikarara78 and MIRIJA IKATWE like this.
      The peoples power shall always prevail

    12. #12
      kagame's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th December 2008
      Posts : 152
      Rep Power : 567
      Likes Received
      48
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Topical
      Ikishinda mtafanyaje? nauliza tu

      Mbona chadema mnaonekana madikteta; heshimuni mahakama

      Wananchi wanatakiwa kuelimishwa madhara ya chadema kwa taifa..
      bongolala utaamshwa kaburini!! Vichwa vingine maji kweli kweli......... Napita tu.

    13. #13
      Mkondakaiye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Location : Kolahill
      Posts : 647
      Rep Power : 510
      Likes Received
      113
      Likes Given
      92

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      Hivi unazungumzia CCM ya magamba? au kuna CCM nyingine? kama ni ccm ya magamba lazima wasimamishe mgombea, hawana aibu hao usoni kubaka haki za raia

    14. #14
      Mlingwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Posts : 273
      Rep Power : 472
      Likes Received
      20
      Likes Given
      173

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      TUMENENA VYEMA SANA, LAKINI akiri ya magamba ni sawa na sikio la kufa...
      Naoma nimnukuu mhadhiri mmoja leo katika jicho letu ndani ya habari star tv (live) alisema
      "CCM Kimezeeka, kinataka kufanya kama chama kipya, hakiweze maana akiri yake imeshazeeka, nakisipositaafu, basi wananchi watakistaafisha"
      MIRIJA IKATWE likes this.
      ''The difference between people is not that one has more time than the other. The difference is whether they use their time wisely".

    15. #15
      broken ages's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 97
      Rep Power : 384
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      kwa hiyo mnatoa ushauri gani kwa ccm katika hili? mimi naishauri serikali na ccm kulitazama kwa makini
      na kuangalia upepo wapi unaelekea kwa kasi kubwa ili kunusuru kutumia mamilioni ya wananchi katika uchaguzi huu basi hao majaji wasikiliza rufaa itakayokatwa na chadema nao waamue katika namna ambayo itaepusha matumizi yasiyokuwa na lazima ili basi hata kama ccm tunaye mgombea tunayemwamini tumweke kama karata yetu ya ushindi tutakayoitumia ktk uchaguzi ujao wa 201.na hapo hapatakuwa na lawama ktk gharama za uchaguzi maana hili ni muhimu na wala hata wapiga kura hatapiga kura za kukomoa kwamba wanaiadhibu ccm lakini kwa sasa katika hili inaonyesha zitapigwa kura za kwamba ccm inapewa adhabu...

    16. #16
      Ntemi Kazwile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2010
      Location : Bongo salidalam
      Posts : 1,874
      Rep Power : 836
      Likes Received
      135
      Likes Given
      454

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      Quote By luhala
      kinyume kabisa ya baadhi ya wana CCM wanavyotazamia, hukumu hii inaweza kuiharibia zaidi CCM na kuuongeza umaarufu wa CHADEMA Arusha na nchi nzima. Tetesi za mafisadi kupenyeza rupia ili Lema ashindwe zilishaenea ndani na nje ya nchi wiki kadhaa kabla na wengi hawakushangazwa sana na uamuzi wa Jaji pamoja na kwamba ulifanywa kisiasa zaidi.
      Uchaguzi mpya Arusha utaipa fursa CHADEMA ya kuuhamasisha umma wa Tanzania nzima kuikataa CCM katika uchaguzi huo na chaguzi nyingine zitakazojitokeza, na kwa jinsi ilivyo kushindwa tena Arusha kutaashiria mwisho wa utawala mkongwe wa CCM. Sasa CCM wanabakiwa na machaguo mawili tu; wajitose, wasambaratishwe na wapoteze kabisa umaarufu wao nchini au watafute sababu za kujitoa ili wasiaibike zaidi na wawaache wananchi na mashaka kama wanafaa au la.
      Nasema tena, hakuna uwezekano wa CCM kulitwaa jimbo la Arusha mjini hata
      wakimweka nani kwani CHADEMA tayari wana turufu katika kampeni zozote za jimbo hilo kutokana na mauaji ya kijinga yaliyofanywa na Polisi mjini humo kwa maelekezo toka juu na ambayo hadi leo hakuna Tume huru iliyochunguza na kuchukua hatua thabiti juu ya hilo.
      Mkuu,
      Hongera kwa tathmini nzuri, namna nyingine wanayoweza kufanya ni kufanya kila hila kumuengua mgombea wa CHADEMA kwa namna watakayoona inafaa, haya hivyo hii pia haitawaacha salama endapo CDM wataamua kumuunga mkono mgombea mwingine wa chama cha siasa, chochote hata CHAUSTA, SAU, APP Maendeleo na akishinda watakuwa wameaibishwa kuliko kumwacha Lema ashinde rufaa aliyofungua mahakama ya rufaa.

      Kama kuna mtu ndani anayeweza kuiona aibu hii mapema na awashauri wasiingilie kesi mahakamani itakayolazimisha uchaguzi kurudiwa. Wakicheza mchezo wa kupoteza muda hadi miaka mitano iishe bila Arusha kuwa na mwakilishi, itawaghalimu zaidi kwani wananchi watawaadhibu kwa kura za hasira mwaka 2015!
      “If people are not laughing at your dreams at least once a week, you are aiming too low.” Robin Sharma.

    17. #17
      Userne's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 458
      Rep Power : 497
      Likes Received
      49
      Likes Given
      22

      Default

      Quote By Topical
      Ikishinda mtafanyaje? nauliza tu

      Mbona chadema mnaonekana madikteta; heshimuni mahakama

      Wananchi wanatakiwa kuelimishwa madhara ya chadema kwa taifa..
      Umeshadhurika!
      baba anakuchukulia mkeo wee endelea kumheshimu tu!

    18. #18
      Borakufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Tohell
      Posts : 1,166
      Rep Power : 646
      Likes Received
      260
      Likes Given
      207

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      I see ngoja tuone! lakini nijuavyo walichotaka kimekuwa! walitaka a town wasiwe na mbunge mpaka 2015! hiyo rufaa itapigwa kalenda mpaka katiba nzee itakapo anza

    19. #19
      Murrah's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Location : Tarime
      Posts : 191
      Rep Power : 446
      Likes Received
      40
      Likes Given
      9

      Default Re: CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

      [QUOTE=Ntemi Kazwile;3636243]Kuna uwezekano mkubwa kuwa CCM hawatasimamisha mgombea Arusha Mjini.
      Wanajua kutakuwa na kura za hasira kwa jinsi kesi ilivyoendeshwa na namna hukumu ilivyotolewa.
      Pili wanajua kuwa chama hakina tena mvuto kwa wananchi hasa hasa mijini na kama uchaguzi utarudiwa yatatokea yale yale ya Arumeru Mashariki.

      Tatu, katika CCM ya sasa hakuna tena kada anayeamika kwa wananchi, Nkapa kachemsha na sidhani yuko tayari kudhalilishwa mara ya pili ndani ya miezi mitatu, Six amejaribu Kirumba kachemsha, Mama Kilango kachemsha Kiwira(vijijini), sijui sasa watamtuma nani akamsaidie mgombea wao. Kwa upande mwingine CHADEMA hata wakinituma mimi, ambaya hata sina cheo, nitawaongoza kushinda.

      Kama wakifanya kosa wakasimamisha mgombea, na kulingana na upepo wa kisiasa wa sasa watapoteza tena uchaguzi, watakuwa wameamua rasimi kurudisha serikali mikononi mwa Wananchi kwani 2015 itakuwa ni kujumlisha kura tu!

      Naona kuna uwezekano mkubwa kimada wa sisiyemu anaweza kuombwa asimamishe mgombea ambaye magamba watamuunga mkono nyuma ya pazia na kujiepusha na aibu ya kushindwa mara mbili ndani ya miezi mitatu.

      Naomba kuwasilisha[/QUOTE] Mytake is, situation in Arusha it has been creteated by the system to give ELkiss of political death. As he will be defeated in two consecutive by electionin his back yard, myth about him being smooth operator and respectable elderfrom A town will evaporate and presidential ambition with it, consequently JK will be free to influence 2015 CCM presidentialcandidate as he wish.

    20. #20
      Chakaza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2007
      Location : everywhere
      Posts : 3,700
      Rep Power : 1510
      Likes Received
      962
      Likes Given
      560

      Default

      Quote By Mungi
      Kusimamisha mgombea watamsimamisha, we sema hakuna mtu atakayeukubali umeneja wa kampeni.
      Hakuma mtu anataka kupata aibu
      Mungi,hivi katika CCM kuna mtu ana aibu? Umeneja kila mtu katika CCM atautaka kwani unaposho hilo swala la aibu kwao ni msamiati mpya

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...