Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Siasa za Kenya na Jumuiya ya Africa Mashariki

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      Hassan J. Mosoka's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 538
      Rep Power : 0
      Likes Received
      160
      Likes Given
      183

      Default Siasa za Kenya na Jumuiya ya Africa Mashariki

      Wadau heshima mbele,
      Nimekuwa nikifuatilia siku za hivi karibuni siasa za kenya, nimegundua kwamba wenzetu hawa bado wana ugonjwa mkubwa wa Ukabila. Inakusudiwa kuwa ifikapo 2015 EA takuwa imeanzisha shirikisho la kisiasa, wenzetu Kenya bado wana ugonjwa mkubwa wa Ukabila Je hatuoni kuwa watatusambazia matatizo yao ya ukabila ikiwa tutakubali political federation?GEMA, Kalenjini! unaweza kuona hapa
      GEMA and Kalenjin Strategy Meeting - YouTube

    2. Miaka 50

    3. #2
      Bukanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2010
      Location : Mmahare!
      Posts : 1,272
      Rep Power : 681
      Likes Received
      356
      Likes Given
      718

      Default Re: Siasa za Kenya na Jumuiya ya Africa Mashariki

      Why are we so scared with the so called Federation? Hoja ya ukabila wa wakenya yaweza kuwa moja ya sababu za kutuzuia kuingia huko lakini what I believe is that EAC Federation shall prevail be it now or later..

      Muhimu kwa upande wangu ni kujipanga na kuwekeza katika elimu na kuwa na sheria bora za kulinda ardhi na rasilimali asili tulizonazo, lakini iwapo viongozi wataendelea kuwa 'dogs in a manger' tukiingia huko itakula kwetu..

      Wao wan ukabila sisi hatuna, unaonaje basi kama sisi hatuna ukabila katika kiwango chao basi huenda tukameza mapungufu yao hayo??
      Verbal Diarrhea Dehydrates Human Dignity

    4. #3
      Hassan J. Mosoka's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 538
      Rep Power : 0
      Likes Received
      160
      Likes Given
      183

      Default Re: Siasa za Kenya na Jumuiya ya Africa Mashariki

      Quote By Bukanga
      Why are we so scared with the so called Federation? Hoja ya ukabila wa wakenya yaweza kuwa moja ya sababu za kutuzuia kuingia huko lakini what I believe is that EAC Federation shall prevail be it now or later..

      Muhimu kwa upande wangu ni kujipanga na kuwekeza katika elimu na kuwa na sheria bora za kulinda ardhi na rasilimali asili tulizonazo, lakini iwapo viongozi wataendelea kuwa 'dogs in a manger' tukiingia huko itakula kwetu..

      Wao wan ukabila sisi hatuna, unaonaje basi kama sisi hatuna ukabila katika kiwango chao basi huenda tukameza mapungufu yao hayo??
      Mkuu uwezo wetu wa kuwameza ni mdogo sana kwa mtazamo wangu, jaribu kufuatilia siasa za Kenya uone jinsi jamaa wanavyojipanga na wako strategical sana, pia kiuchumi wako juu mno na kuna transparency kubwa kwenye kamati zao za Bunge na hata vyombo vya habari vinaripoti bila uoga. Pamoja na udhaifu wao mkubwa kwenye mambo ya ukabila but nadhani watatumeza vibaya mno

    5. #4
      tubadilike-sasa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 480
      Rep Power : 464
      Likes Received
      98
      Likes Given
      278

      Default Re: Siasa za Kenya na Jumuiya ya Africa Mashariki

      Tatizo la East Africa Federation ni moja. Wanaofanya integration ni viongozi kwa kujifungia Hilton,Kempisk, etc na kula vitumbua na chai na kujadili hiyo Federation. Lakini je mkulima wa Tandahimba anakutana na mkulima wa Meru kujadili na kufanya mipango ya pamoja ya namna ya kuinua kilimo? Tukifika hapo ndopo tutakuwa na Federationya ukweli. Hii nyingine ya viongozi ni ya kihunihuni tu. Kwa nini wanafanya federation kama vile ni project? Project ina mwanzo na mwisho, lakini kazi ya kuunganisha watu ambao wanatofauti za kisiasa na za kiuchumi na hata kifalsafa inahitaji kuwa programmatic zaidi! Mfano Kenya wametengeneza katiba mpya na wanaitekeleza sasa, na wanafanya jitihada kwelikweli. Lakini Tanzania zoezi katiba mpya limeanza kwa mizengwe, hapa wakautita ni "Constitutional Review Act" na sio "New Costitutional Act". Yaani ni uhuni tu hasa kwenye mambo ya msingi.Sasa kama jirani yako unayetaka kushiriakiana naye amefanya jambo zuri na wewe unataka kufanya jambo hiliohilo huwezi kumuuliza akakupatia uzoefu? Sasa mbona hatujawauliza wenzetu wamefanyaje kupata katiba mpya? Je kama hatuwezi kuulizana,kusaidiana na kushiriakiana kwenye mambo ya msingi kama haya tutasaidiana wapi? Sio ndio intergration yenyewe hiyo? Si ndio intergration process hiyo Tatizo la viongozi wetu ni kufikiri na kutenda kiimla na kijumla zaidi kwa sababu ya mawazo mgando. Wanataka Federation ifanyike leo au baada ya muda mfupi badala ya kuweka utaratibu ambao utazaa federation, hata kama itachukuwa miaka mia,but it has go to be done right!

    6. Study Abroad

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...