Why are we so scared with the so called Federation? Hoja ya ukabila wa wakenya yaweza kuwa moja ya sababu za kutuzuia kuingia huko lakini what I believe is that EAC Federation shall prevail be it now or later..
Muhimu kwa upande wangu ni kujipanga na kuwekeza katika elimu na kuwa na sheria bora za kulinda ardhi na rasilimali asili tulizonazo, lakini iwapo viongozi wataendelea kuwa 'dogs in a manger' tukiingia huko itakula kwetu..
Wao wan ukabila sisi hatuna, unaonaje basi kama sisi hatuna ukabila katika kiwango chao basi huenda tukameza mapungufu yao hayo??
Follow Us Here