Dalili zilionekana pale ambapo nilikoma kukuona humu JF. Hata hivyo ndiyo ukubwa huo ndugu yangu. Nafikiri kushindwa huku kunakufanya ukae chini na kubuni mbinu nzuri zaidi. Naamini kutokea hivi kwa wakati huu ni vizuri zaidi kuliko ingekuja tokea 2015. Bado kuna muda wa kufanya marekebisho! Try it harder and harder!
Dalili zilionekana pale ambapo nilikoma kukuona humu JF. Hata hivyo ndiyo ukubwa huo ndugu yangu. Nafikiri kushindwa huku kunakufanya ukae chini na kubuni mbinu nzuri zaidi. Naamini kutokea hivi kwa wakati huu ni vizuri zaidi kuliko ingekuja tokea 2015. Bado kuna muda wa kufanya marekebisho! Try it harder and harder!
Atueleze tu alipo kada wetu Omary Matelephone maana hawa akina Mwigulu na wenzake hawaaminiki kabisa.
"Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."
Follow Us Here