Ccm Arumeru wameamua kujivua gamba na kusema siyoi hakuwa chaguo lao.
Mi najiuliza lilikuwa la nani? Jk, EL,Deadstone, chimpanzee........ Au
Source Mwananchi
Wakati hayo yakijiri gazeti la uhuru kinadai wananchi wamechagua upinzani kwa kufata mkumbo wa mabadiliko.
Sasa kama Wanaarumeru wa ccm walidai si chaguo lao, mara si raia wa tz, hakujui kwao, kurithishana madaraka, nk hawakuviona leo ccm inawakejeli wana Arumeru wanafata mkumbo kweli?

Reply With Quote

Follow Us Here