Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

    Report Post
    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345
    Results 81 to 84 of 84
    1. #1
      mpingauonevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 320
      Rep Power : 429
      Likes Received
      149
      Likes Given
      113

      Default USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      Alianza kama utani. Arumeru CDM ikishindwa viongozi wote wajiuzulu. Nikambishia kwamba CDM haitashinda, Kwa akili yangu nilijiuliza kura 19,000 zitanyan'ganywaje kutoka ccm? akasisitiza, mimi sikumuelewa.

      Hatimaye CDM imeshinda na hakuna kiongozi atakayejiuzulu.
      M.M.M aliona nini? alijuaje kwamba ni lazima CDM ishinde? alikuwa na uhakika gani mpaka akatoa msisitizo mkubwa hivyo?

      M.M. Mwanakijiji nakukubali.

      Kwa nini tusikuweke Ikulu utusaidie kuona mbali?
      UDINI TUNAOUENDEKEZA UTASABABISHA NDUGU KUUANA MAANA HAKUNA FAMILIA YA KITANZANIA AMBAYO HAINA MUINGILIANO WA KIISLAM NA KIKRISTO!

    2. Miaka 50

    3. #81
      IsayaMwita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2008
      Location : Tarime
      Posts : 1,046
      Rep Power : 871
      Likes Received
      82
      Likes Given
      6

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      mmh.. yamekuwa haya sasa! just ignore me please.
      Ilikuwa mwaka 2008, wakati huo JF ikijulikana kama Jambo forums, hapa ndipo nilipoanza kumfahamu huyu Mzee Mwanakijiji, nilibandika PM yangu hapa jamvini, kwa kweli haikuwa na mtiririko mzuri, nilikuwa nasimuliwa kisa cha Mzee Maganya wa kule kwetu Mara.

      Unajua aliniambia nini Mzee Mwanakijiji?
      Akasema hivi......

      Mwita una hoja nzuri ila elimu yako inatia shaka.

      Nilijisikia vibaya sana, nikawaza moyoni mwangu hebu huyu mtu kajuaje kuwa elimu yangu ni ya kubahatisha? tena 4m 6 ya kutafuta tafuta?kadiploma ka graphics?

      Lakini wachangiaji wengine siku zile wakaniponda, wakanikejeli sana, kwake yeye Mzee Mwanakijiji akanishauri nitie bidii ili niweze kuwakilisha hoja kwa usahihi. Mwaka ule ule nikaamua kutafuta chuo(university) na kuendelea kusaka maarifa.

      Mzee Mwanakijiji ana busara, hekima.
      Mungu amuongezee siku za kuishi, ili watanzania walio wengi wafaidi kisima hiki cha busara na hekima na pia tunamuomba sasa arudi nyumbani tuikomboe nchi yetu.

      Kaa la Moto likes this.

    4. #82
      Kintiku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Posts : 434
      Rep Power : 506
      Likes Received
      169
      Likes Given
      108

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      Isaya Mwita,

      Nimefurahishwa sana na ''ushuhuda'' wako kuhusu Mwanakijiji. Nadhani watu wote tungajaliwa kuwa kama wewe kuchukua criticism katika hali chanya basi tungefika mbali sana.Mwanakijiji is very unique sometimes huwa nahisi labda ni programed machine maana ana mambo amabyo ni adimu sana hapa Jamvini- No pumba, hatukani, yuko precise, anajua issues, mshauri na halazimishi. Asante Mungu kutupa huyu Mwanakijiji

    5. #83
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,933
      Rep Power : 2600
      Likes Received
      690
      Likes Given
      1615

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      Quote By Kintiku
      Isaya Mwita,

      Nimefurahishwa sana na ''ushuhuda'' wako kuhusu Mwanakijiji. Nadhani watu wote tungajaliwa kuwa kama wewe kuchukua criticism katika hali chanya basi tungefika mbali sana.Mwanakijiji is very unique sometimes huwa nahisi labda ni programed machine maana ana mambo amabyo ni adimu sana hapa Jamvini- No pumba, hatukani, yuko precise, anajua issues, mshauri na halazimishi. Asante Mungu kutupa huyu Mwanakijiji
      Hilo ni jembe.

    6. #84
      Kaa la Moto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Bristol
      Posts : 6,828
      Rep Power : 1944
      Likes Received
      431
      Likes Given
      4198

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      Quote By ritz
      Mwanakijiji, alikuwa anaangalia upepo unavyovuma kwenye uchaguzi wa Arumeru! watu wengi mbona walijua mapema tu kuwa Chadema wameshinda baada ya kufanya majumuisho ya kila kituo hakuna cha ajabu alichokifanya Mwanakijiji, alitumiwa matokeo na Chadema akaanzisha thread humu JF.

      Wewe hukutumiwa ya ccm ukayaweka? badala yake ulikimbia jf hukuonekana wiki nzima.
      wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.

      ....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"

    7. FemaTV & Radio
    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...