Alianza kama utani. Arumeru CDM ikishindwa viongozi wote wajiuzulu. Nikambishia kwamba CDM haitashinda, Kwa akili yangu nilijiuliza kura 19,000 zitanyan'ganywaje kutoka ccm? akasisitiza, mimi sikumuelewa.
Hatimaye CDM imeshinda na hakuna kiongozi atakayejiuzulu.
M.M.M aliona nini? alijuaje kwamba ni lazima CDM ishinde? alikuwa na uhakika gani mpaka akatoa msisitizo mkubwa hivyo?
Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?
By Mzee Mwanakijiji
mmh.. yamekuwa haya sasa! just ignore me please.
Ilikuwa mwaka 2008, wakati huo JF ikijulikana kama Jambo forums, hapa ndipo nilipoanza kumfahamu huyu Mzee Mwanakijiji, nilibandika PM yangu hapa jamvini, kwa kweli haikuwa na mtiririko mzuri, nilikuwa nasimuliwa kisa cha Mzee Maganya wa kule kwetu Mara.
Nilijisikia vibaya sana, nikawaza moyoni mwangu hebu huyu mtu kajuaje kuwa elimu yangu ni ya kubahatisha? tena 4m 6 ya kutafuta tafuta?kadiploma ka graphics?
Lakini wachangiaji wengine siku zile wakaniponda, wakanikejeli sana, kwake yeye Mzee Mwanakijiji akanishauri nitie bidii ili niweze kuwakilisha hoja kwa usahihi. Mwaka ule ule nikaamua kutafuta chuo(university) na kuendelea kusaka maarifa.
Mzee Mwanakijiji ana busara, hekima. Mungu amuongezee siku za kuishi, ili watanzania walio wengi wafaidi kisima hiki cha busara na hekima na pia tunamuomba sasa arudi nyumbani tuikomboe nchi yetu.
Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?
Isaya Mwita,
Nimefurahishwa sana na ''ushuhuda'' wako kuhusu Mwanakijiji. Nadhani watu wote tungajaliwa kuwa kama wewe kuchukua criticism katika hali chanya basi tungefika mbali sana.Mwanakijiji is very unique sometimes huwa nahisi labda ni programed machine maana ana mambo amabyo ni adimu sana hapa Jamvini- No pumba, hatukani, yuko precise, anajua issues, mshauri na halazimishi. Asante Mungu kutupa huyu Mwanakijiji
Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?
By Kintiku
Isaya Mwita,
Nimefurahishwa sana na ''ushuhuda'' wako kuhusu Mwanakijiji. Nadhani watu wote tungajaliwa kuwa kama wewe kuchukua criticism katika hali chanya basi tungefika mbali sana.Mwanakijiji is very unique sometimes huwa nahisi labda ni programed machine maana ana mambo amabyo ni adimu sana hapa Jamvini- No pumba, hatukani, yuko precise, anajua issues, mshauri na halazimishi. Asante Mungu kutupa huyu Mwanakijiji
Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?
By ritz
Mwanakijiji, alikuwa anaangalia upepo unavyovuma kwenye uchaguzi wa Arumeru! watu wengi mbona walijua mapema tu kuwa Chadema wameshinda baada ya kufanya majumuisho ya kila kituo hakuna cha ajabu alichokifanya Mwanakijiji, alitumiwa matokeo na Chadema akaanzisha thread humu JF.
Wewe hukutumiwa ya ccm ukayaweka? badala yake ulikimbia jf hukuonekana wiki nzima.
wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.
....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"
Follow Us Here