Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 84
    1. #1
      mpingauonevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 322
      Rep Power : 433
      Likes Received
      151
      Likes Given
      114

      Default USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      Alianza kama utani. Arumeru CDM ikishindwa viongozi wote wajiuzulu. Nikambishia kwamba CDM haitashinda, Kwa akili yangu nilijiuliza kura 19,000 zitanyan'ganywaje kutoka ccm? akasisitiza, mimi sikumuelewa.

      Hatimaye CDM imeshinda na hakuna kiongozi atakayejiuzulu.
      M.M.M aliona nini? alijuaje kwamba ni lazima CDM ishinde? alikuwa na uhakika gani mpaka akatoa msisitizo mkubwa hivyo?

      M.M. Mwanakijiji nakukubali.

      Kwa nini tusikuweke Ikulu utusaidie kuona mbali?
      UDINI TUNAOUENDEKEZA UTASABABISHA NDUGU KUUANA MAANA HAKUNA FAMILIA YA KITANZANIA AMBAYO HAINA MUINGILIANO WA KIISLAM NA KIKRISTO!


    2. #41
      ICHONDI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2008
      Posts : 286
      Rep Power : 595
      Likes Received
      29
      Likes Given
      2

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji ni zaidi ya binadamu?

      Quote By UmkhontoweSizwe View Post
      Ukiondoa Mtwara, Lindi na Tabora, mahali kwingine kokote ukifanywa uchaguzi wa marudio na chadema wakadhibiti mianya ya wizi wa kura, basi kushindwa ccm haihitaji mtabiri. MMKJ aliliona hilo mapema.
      Umesahau na mkoa wa Tanga

    3. #42
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,181
      Rep Power : 949
      Likes Received
      889
      Likes Given
      1

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      M.M. Mwanakijiji amenkumbusha the LATE OCTOPUS PAUL wakati wa kombe la dunia S. Africa. M.M.Mwanakijiji anaweza kuwa OUR OCTOPUS PAUL na hii itausadia kupunguza unnecessary cost tunazo incur ku run by election. MMM ninafikiri matokeo ya Bububu hatakupatia shida! Hata mimi hayo ninaweza kubashiri CCM itaibuka kidedea

    4. #43
      gomorakwetu's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      Tuendelee kumtumia mwanakijiji kwenye uchaguzi wa segerea.

    5. #44
      ZALEOLEO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th October 2011
      Posts : 114
      Rep Power : 411
      Likes Received
      17
      Likes Given
      81

      Default

      Quote By UmkhontoweSizwe View Post
      Ukiondoa Mtwara, Lindi na Tabora, mahali kwingine kokote ukifanywa uchaguzi wa marudio na chadema wakadhibiti mianya ya wizi wa kura, basi kushindwa ccm haihitaji mtabiri. MMKJ aliliona hilo mapema.
      tanga je?

    6. #45
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,310
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1806
      Likes Given
      433

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      Quote By ritz View Post
      Mwanakijiji, alikuwa anaangalia upepo unavyovuma kwenye uchaguzi wa Arumeru! watu wengi mbona walijua mapema tu kuwa Chadema wameshinda baada ya kufanya majumuisho ya kila kituo hakuna cha ajabu alichokifanya Mwanakijiji, alitumiwa matokeo na Chadema akaanzisha thread humu JF.


      upo wewe...........vipi safari yako ya kutoka posta hadi kimara bonyokwa ukiwa uchi ulifnikiwa?
      I'm Naturaly Evasive..


    7. #46
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,193
      Rep Power : 25454
      Likes Received
      14895
      Likes Given
      15864

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      Mwambie na Rejao basi arudi.

      Quote By ritz View Post
      Mie nipo Jamvini muda wote hakuna cha kunikimbiza Jamvini labda Ban.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    8. #47
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 6,026
      Rep Power : 1658
      Likes Received
      1153
      Likes Given
      419

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji ni zaidi ya binadamu?

      Quote By Halisi View Post
      Na akatangaza matokeo kabla ya Tume na kabla ya vyama! Wakaja watu na hojaji za "source" na "mwongo"...akakaa kimyaaaaa!!!
      akatangaza idadi ile ile ya kura 32000+ kwa 26000+

      kuna 'vichwa' vingine unapashwa kuviheshimu tu, hata kama hujawahi kuviona.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    9. #48
      Ta Muganyizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Kashasha
      Posts : 2,792
      Rep Power : 998
      Likes Received
      971
      Likes Given
      1471

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      Mwanakijiji Big up.........hukuonekana kwenye matokeo tu hata kwenye ile psychological set up ya wanachadema uliipanguvu.

    10. #49
      seniorgeek's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2008
      Location : Arusha
      Posts : 355
      Rep Power : 620
      Likes Received
      74
      Likes Given
      348

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      Hiyo ID itakua inatumiwa na zaidi ya mtu mmoja!
      No mercy

    11. #50
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,420
      Rep Power : 5166
      Likes Received
      3347
      Likes Given
      2738

      Default

      Quote By ritz View Post
      Mwanakijiji, alikuwa anaangalia upepo unavyovuma kwenye uchaguzi wa Arumeru! watu wengi mbona walijua mapema tu kuwa Chadema wameshinda baada ya kufanya majumuisho ya kila kituo hakuna cha ajabu alichokifanya Mwanakijiji, alitumiwa matokeo na Chadema akaanzisha thread humu JF.
      ritz angalia comment yako unaikubali cdm utakosa buku mbili yako lumumba!!

    12. #51
      don-oba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 762
      Rep Power : 533
      Likes Received
      281
      Likes Given
      32

      Default

      Quote By ritz View Post
      Mwanakijiji, alikuwa anaangalia upepo unavyovuma kwenye uchaguzi wa Arumeru! watu wengi mbona walijua mapema tu kuwa Chadema wameshinda baada ya kufanya majumuisho ya kila kituo hakuna cha ajabu alichokifanya Mwanakijiji, alitumiwa matokeo na Chadema akaanzisha thread humu JF.
      japokuwa nakuchukia, ila nakuunga mkono katika hii pointi.

    13. #52
      cjilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Location : Behind you
      Posts : 405
      Rep Power : 474
      Likes Received
      122
      Likes Given
      157

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      hii inanifanya niamini kuwa mwanakijiji yupo jikoni kabisa kule chadema, mimi sioni upepo hapa. mwanakijiji nafikiri ananafasi fulani kule chadema ambapo haaki kuiweka wazi. na ametumika tu kuweka matokeo hapa jf lakini source kubwa ni chadema kwenyewe ndiko alikopata matokeo hayo, ni kawaida kwa chadema ku-summ up matokeo baada ya uchaguzi
      liwalo na liwe

    14. #53
      Daudi Paul's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 21
      Rep Power : 429
      Likes Received
      1
      Likes Given
      12

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      Hakuna cha ajabu lichokifanya MMM, isu ilikuwa wazi kbs kuhusu ushindi wa CDM

    15. #54
      JERO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 362
      Rep Power : 439
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Oh boy! nyie naona hamnipendi... I just guessed. Anyone could do it even a caveman
      Mwanakijiji Mzee nakukubali mtu wangu exellent keep it up.

    16. #55
      taffu69's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2007
      Posts : 1,326
      Rep Power : 895
      Likes Received
      262
      Likes Given
      196

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      Quote By mpingauonevu View Post
      Alianza kama utani. Arumeru CDM ikishindwa viongozi wote wajiuzulu.
      Hiyo ni njia mojawapo ya kuhamasisha na kuongeza umakini katika kufanya jambo. Jaribu kufikiria refa makini anavyahangaika uwanjani wakati timu yake iko kwenye mtanange!!!!!.

      Mwanakijiji namkubali, anajua mambo mengi kuliko hata viongozi wa Serikali ya TZ.

    17. #56
      JERO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 362
      Rep Power : 439
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      Dah! Kumbe rafik yetu Ritz yupo?,na Rejao je na yule Anajiita Dr.Kuneng'e bado wako I.C.U nini?

    18. #57
      calculator's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 183
      Rep Power : 400
      Likes Received
      33
      Likes Given
      71

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Oh boy! nyie naona hamnipendi... I just guessed. Anyone could do it even a caveman
      Huna lolote, CALCULATOR ndo nimeshaingia jamvini, ntakuwa nawapa data za CCM mpk mchanganyikiwe wenyewe. Tatizo nyie CDM mmegeuza JF kama yenu. Subirieni uchaguzi mdogo wa madiwani ARUSHA mjionee wenyewe moto wa CCM. Tumejipanga, mtajibeba safari hii. Mwanakijiji ntakuuliza swali baada ya hukumu ya kesi ya LEMA kesho, nipime brain power yako..

      Love your enemy

    19. #58
      omujubi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Location : Bumbire Island
      Posts : 1,742
      Rep Power : 729
      Likes Received
      695
      Likes Given
      1802

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      simple, unachukua existing data/information na ukitumia method sahihi kufanya analysis ni lazima ukaribie majibu.

      Ila ninachojifunza ni kuwa tunaweza kuamini claims za MM Mwanakijiji kuwa information alizonazo kuwa tukisikiliza mawazo ya wataalamu nchi yaweza kujinusuru kutoka janga hili la umasikini

    20. #59
      Chilli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th July 2011
      Location : Nowhere
      Posts : 1,358
      Rep Power : 7604
      Likes Received
      587
      Likes Given
      175

      Default

      Quote By Pasco View Post
      Nakiri mimi ni miongoni mwa walioamini CCM ingeshinda!. Hata ulipotoa tishio la viongozi wa Chadema kujiizulu wakishindwa, japo ulitoa na kila sababu za Chadema kushinda bado sikukuamini!. Ila ulipoutoa ule "waraka", nilikiri wazi kuwa matokeo yakiwa kinyume cha matarajio yangu, then it has something to do with "waraka"!.

      Uchaguzi ni vita, ili kushinda vita, you don't need the brave fighters only, but the right strategies!. "waraka" was a stich in time!.

      Sasa tusisubiri tena mpaka 2015, right strategies zianze sasa!.
      Aamen,
      Nilisubiri kwa hamu maneno kama haya toka kwako. Now that u have said, i look forward to hear the same words in 2015.
      Mungu ibariki Tanzania!

    21. #60
      Ndallo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : LaRusa
      Posts : 4,352
      Rep Power : 6412
      Likes Received
      1550
      Likes Given
      457

      Default Re: USHINDI WA ARUMERU - M.M.Mwanakijiji alijuaje?

      [QUOTE=calculator;3623000]Huna lolote, CALCULATOR ndo nimeshaingia jamvini, ntakuwa nawapa data za CCM mpk mchanganyikiwe wenyewe. Tatizo nyie CDM mmegeuza JF kama yenu. Subirieni uchaguzi mdogo wa madiwani ARUSHA mjionee wenyewe moto wa CCM. Tumejipanga, mtajibeba safari hii. Mwanakijiji ntakuuliza swali baada ya hukumu ya kesi ya LEMA kesho, nipime brain power yako..[/QUOTE]

      Kama unamuda wa kuperuzi Thready moja iliyoletwa na jamaa mmoja akiwa na washkaji zake wakiwa baa! Basi utapata jibu la Mwanakijiji kuhusiana na hiyo kesi! Amesema mjiandae kwenda pale viwanja vya mahakama kusherehekea ushindi wa Chadema hapo kesho.
      Ndechumia likes this.
      '' Mtu ni Utu sio Kitu''

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...