Alianza kama utani. Arumeru CDM ikishindwa viongozi wote wajiuzulu. Nikambishia kwamba CDM haitashinda, Kwa akili yangu nilijiuliza kura 19,000 zitanyan'ganywaje kutoka ccm? akasisitiza, mimi sikumuelewa.
Hatimaye CDM imeshinda na hakuna kiongozi atakayejiuzulu.
M.M.M aliona nini? alijuaje kwamba ni lazima CDM ishinde? alikuwa na uhakika gani mpaka akatoa msisitizo mkubwa hivyo?
M.M. Mwanakijiji nakukubali.
Kwa nini tusikuweke Ikulu utusaidie kuona mbali?

Reply With Quote

Follow Us Here