GreatThinkers,
Katika hali ambayo inaweza kuwa somo kwa walioko juu, wajiaani kwandae kuondoka.
CUF imeshinda Tanga, CDM ya Pili na CCM ya Tatu.
Je hii ni indicator gani kwa mafisadi?
GreatThinkers,
Katika hali ambayo inaweza kuwa somo kwa walioko juu, wajiaani kwandae kuondoka.
CUF imeshinda Tanga, CDM ya Pili na CCM ya Tatu.
Je hii ni indicator gani kwa mafisadi?
Don'T ConfusE Me If You Can'T ConvicE Me!! CCM ni kichaka cha WezI Tu
acha uongo wewe. CCM imeshika namba 2, CHADEMA hawana mtaji Tanga...Kwa taarifa yako, hiyo kata ilikuwa ni ya CUF...
MATOKEO NI KAMA IFUATAVYO:
Waliojiandikisha: 8,504
Waliopiga kura: 2,040
Kura zilizoharibika: 13
Kura Halali 2,027
MATOKEO:
CUF: 1,142
CCM: 714
CHADEMA: 170
UDP: 0
ADP: 1
Last edited by kihere; 3rd April 2012 at 12:38.
“Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"
haaaah, haaaah......join date 3/4/2012.....umehamia airtel,usiishie hapo hamia kabisa airtel kubwa-baba lako CHADEMA,ni kipupwe mwanzo-mwisho,ni baridi hakuna Lusinde,Nape,Mwigulu,Lowasa wala Ucircumcised baboon, tunagonga stor za maendeleo mda wote, stor za kuuwa watu kwa sumu hakuna, stori za kuzini na mademu wa makada hakuna
kweli kabisa!
Mwanzo mzuri kwa chama cha wananchi C.U.F baada ya kutoka kwenye misukosuko yakupoteza wanachama
CCM are busy digging their own cemetary, too hell.
RIP CCM
Don'T ConfusE Me If You Can'T ConvicE Me!! CCM ni kichaka cha WezI Tu
Unataka kujua majina ya nin?akili yako inawaza udini tu.mijitu mingine yaajabu kwel
Mvua njoo katarina usije..
Katika historia mwanadamu ameshuhudia dola zikikua, kushamiri na kufikia kilele hatimae huanguka. Mwanahistoria mmoja alisema ukoloni ulikuwa na mbegu ambayo ndiyo liyokuja kuumaliza yaani "Colonialism contained the seed of its own destruction" na CCM ni hivohivo
Beginning of the end???!!!
Follow Us Here