Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

    Report Post
    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast
    Results 81 to 100 of 123
    1. #1
      Kachanchabuseta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2010
      Posts : 2,977
      Rep Power : 1053
      Likes Received
      440
      Likes Given
      1133

      Default Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Nimeshangazwa sana kusikia Mh. S. SItta
      akisema Sioi hakuwa chagua la wanaccm maana kapandikizwa
      kwa mizengwe.

      Akiongea kwa masikitiko kwa ccm kuzidi kudhoofika na kutokukubalika
      kwa wananchi amamuomba mwenyekiti wa chama kusafisha chama ili nyota
      ya chama ianze kung'ara. Hii ni kwa mjibu wa sitta baada ya kuongea na waandishi wa HAbari




      Mytake:

      Naona chama kinazidi kuparaganyika na sitta anazeeka vibaya
      maana unafiki wake ndo unamponza

    2. Miaka 50

    3. #81
      sanjo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 861
      Rep Power : 606
      Likes Received
      219
      Likes Given
      33

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Daima mfa maji haachi kutapatapa.
      Whatever exists is already becoming obsolete.

    4. #82
      Halisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th January 2007
      Posts : 3,037
      Rep Power : 2177
      Likes Received
      455
      Likes Given
      243

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Hii thread inafanana sana na story ya Nipashe ya leo inayosema,"Sitta, Kilango wakwama Kirumba, Kiwira"... Hahahaaa!! Tuone na kesho itakua Mwigulu, Nape Mkapa wakamwa Arumeru".... Wakati Nipashe, Mwananchi Jumamosi waliandika "Lowassa atumia karata ua ardhi, maji Arumeru; Sikuja kumtukana mtu wala kutoa kashfa".... "Lowassa:Mimi mtu wa vitendo, porojo sitaki".. Yote yakiwa na picha kubwa za kuvutia. Sasa waseme, alivyokwama.

      Kwa kifupi, hizi siasa za makundi hazitaisha, na zitawamaliza kabisa hadi hapo Mwenyekiti wa CCM atakapoamua kuchukua upande na si kukaa katikati kama sasa. Haiwezekani CCM ikaendelea kufanya vizuri kwa mchezo huu unaoendelea sasa, ni mchezo ambao hauna maslahi kwa chama chenyewe na ni hatari kwa Usalama wa Taifa letu. Kilichotokea Arumeru ni dalili ya kutokea mabaya zaidi 2015 ikiwa CCM haitapambana na rushwa. Wananchi kwa sasa wameshaonyesha wazi kuchukia rushwa maana inawatesa. Siku hizi hata mwanafunzi akifeli mtihani kwa uzembe wake, anaamini kuna "ufisadi" uliomsababisha kufeli. Japo inaweza kuwa kweli ufisadi umemfanya akose hata chakula na kushindwa kusoma ama hata kukosa pa kulala, ama kukosa hata ada kwa wakati, lakini inatosha kutambua kwamba sasa CCM haiwezi kukwepa ajenda ya ufisadi na Sitta na wenzake, wasitumie ajenda hiyo kwa maslahi yao, wapambane kikweli na wasikubali kutumika kama Sendeka na Nape waliokwenda Arumeru. Hata Mwigulu, alionekana kuwa kama kasukumwa tu, lkn moyoni hakuwa anatamani Siyoi ashinde. Mengi tutayasikia.
      Kachanchabuseta likes this.

    5. #83
      mbongopopo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2008
      Posts : 969
      Rep Power : 846
      Likes Received
      123
      Likes Given
      121

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Huyu nae arudi bungeni kulala kwenye viti

    6. #84
      RealMan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Location : Daslam
      Posts : 1,678
      Rep Power : 2965
      Likes Received
      594
      Likes Given
      321

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Quote By Angel Msoffe
      Sina hata la kusema
      How would you!....

      Ukiambiwa S. Wasira alisimama kidete kumpinga Sioi kwenye kikao cha CC yet akawa front kumpigia kampeni....

      Kama unatumia kichwa kufikiri utasema "Inawezekanaje?" lakini kwa CCM yote yanawezekana coz TUMBO na Masaburi hutumika zaidi....
      -- Many leaders are Alive Only because its Illegal to shoot them!--

    7. #85
      Chizi Fureshi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Location : Very Mobile.
      Posts : 364
      Rep Power : 506
      Likes Received
      31
      Likes Given
      11

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      6 alishapoteza
      "Kimya msidhani ni ishara ya amani". JK Nyerere - Uongozi wetu na hatima ya Tanzania.

    8. FemaTV & Radio

    9. #86
      Matango's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 283
      Rep Power : 479
      Likes Received
      35
      Likes Given
      76

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Je ana maana kwamba wanaoiangusha ccm ni ccm wenyewe ???
      Quote By kachanchabuseta
      nimeshangazwa sana kusikia mh. S. Sitta
      akisema sioi hakuwa chagua la wanaccm maana kapandikizwa
      kwa mizengwe.

      Akiongea kwa masikitiko kwa ccm kuzidi kudhoofika na kutokukubalika
      kwa wananchi amamuomba mwenyekiti wa chama kusafisha chama ili nyota
      ya chama ianze kung'ara. Hii ni kwa mjibu wa sitta baada ya kuongea na waandishi wa habari




      mytake:

      Naona chama kinazidi kuparaganyika na sitta anazeeka vibaya
      maana unafiki wake ndo unamponza

    10. #87
      MISILEE MGOGO's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 58
      Rep Power : 371
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Sitta angeshakuwa CDM siku nyingi sema maslahi anapenda sana maslahi ndio maana anakataa kuhamia upinzani ili azeeke kwa heshima kuliko kuwa ccccmmmm kaazi kweli kweli. Kwanini kwenye vikao vya kumpitisha SIWOWI MSUMARI hawakusema? Mkuu wa kayaaa aliona ni vema sasa asafishe chama gani?

    11. #88
      ABRAHAM LINCOLN's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd December 2011
      Posts : 28
      Rep Power : 379
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By aritoine
      Kiingilio elf 15, napokea mimi.
      Mzee sita aache unafiki kabisaaaaaaaaaaaa

    12. #89
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,781
      Rep Power : 794
      Likes Received
      439
      Likes Given
      437

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Quote By Kachanchabuseta
      Nimeshangazwa sana kusikia Mh. S. SItta
      akisema Sioi hakuwa chagua la wanaccm maana kapandikizwa
      kwa mizengwe.

      Akiongea kwa masikitiko kwa ccm kuzidi kudhoofika na kutokukubalika
      kwa wananchi amamuomba mwenyekiti wa chama kusafisha chama ili nyota
      ya chama ianze kung'ara. Hii ni kwa mjibu wa sitta baada ya kuongea na waandishi wa HAbari




      Mytake:

      Naona chama kinazidi kuparaganyika na sitta anazeeka vibaya
      maana unafiki wake ndo unamponza
      sita amekua na misimamo sana na yuko consistent sasa sijui huo unafiki nyie mnauona wapi
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    13. #90
      magwindi's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 8
      Rep Power : 361
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Mh.Sitta anatakiwa akubali bila kushinikizwa kuwa chama chake hakina sera, wala asijaribu kumtaja mgombea kuwa ndiye sababu ya kushindwa kwa chama chake katika uchaguzi wa Arumeru

    14. #91
      zee la weza's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 71
      Rep Power : 381
      Likes Received
      11
      Likes Given
      2

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      mheshimiwa 6 anataka uraisi huyu, ndo maana ni paka na panya na lowasa, ni afadhali ya paka na panya tena. pia 6 ni mnafiki hatufai, slaa ndo jembe letu la uraisi 2015

    15. #92
      Kaliua urambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2009
      Posts : 437
      Rep Power : 601
      Likes Received
      76
      Likes Given
      24

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      tehe tehe tehe na hao madiwani je?
      Friend's of Zitto " Zitto ze presidential material" uwajibikaji na haki ZZK T2015

    16. #93
      Mwiyuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2011
      Posts : 297
      Rep Power : 462
      Likes Received
      79
      Likes Given
      119

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Quote By kachanchabuseta
      nimeshangazwa sana kusikia mh. S. Sitta
      akisema sioi hakuwa chagua la wanaccm maana kapandikizwa
      kwa mizengwe.

      Akiongea kwa masikitiko kwa ccm kuzidi kudhoofika na kutokukubalika
      kwa wananchi amamuomba mwenyekiti wa chama kusafisha chama ili nyota
      ya chama ianze kung'ara. Hii ni kwa mjibu wa sitta baada ya kuongea na waandishi wa habari




      mytake:

      Naona chama kinazidi kuparaganyika na sitta anazeeka vibaya
      maana unafiki wake ndo unamponza
      mfa maji haachi kutapatapa

    17. #94
      nonga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th November 2010
      Posts : 17
      Rep Power : 433
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Uswe
      sita amekua na misimamo sana na yuko consistent sasa sijui huo unafiki nyie mnauona wapi
      kaka hiyo consistency ni ipi? Ya kuishi kwenye choo kichafu na kulalama harufu mbaya ya kinyesi bila kutoka nje na huku akiendelea kunenepa?! Naona kaubongo kako kanajaa kiberiti! teh te te!

    18. #95
      nketi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th February 2012
      Posts : 291
      Rep Power : 424
      Likes Received
      52
      Likes Given
      7

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Wataweweseka sana na bado lazima watembee uchi.

    19. #96
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,450
      Rep Power : 19778
      Likes Received
      4289
      Likes Given
      1187

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      hawana chao tena

    20. #97
      Hodarism's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 89
      Rep Power : 377
      Likes Received
      13
      Likes Given
      3

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      CCM mnara wa Babeli

    21. #98
      Edwin Mtei's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 13th December 2008
      Location : Arusha at my farm.
      Posts : 133
      Rep Power : 6081
      Likes Received
      202
      Likes Given
      103

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Mheshimiwa Sitta,

      Mbona unatamka kama vile umeshakuwa Mwenyekiti? Rais mstaafu Mkapa mwenyewe, Katibu Mkuu na Mhe. Lowassa walikuja hapa kwa kampeni, wakamwacha yule Livingstone Lusinde akimwaga MATUSI yaliyowaudhi WAMERU waungwana na wastaarabu; na kuthibitisha CCM ni wahuni waliofilisika kimantik na kisera.

      Katika kampeni za Ubunge wa Arumeru Mashariki chama chako kimejitwalia umaarufu wa CHAMA CHA MATUSI (CCM).

      Shame to a Political Party to which I once belonged!!!!!!!!!!!!!!!!!
      Mzee Mwanakijiji and mtalae72 like this.

    22. #99
      KIM KARDASH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 4,252
      Rep Power : 0
      Likes Received
      564
      Likes Given
      55

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Quote By Kachanchabuseta
      Nimeshangazwa sana kusikia Mh. S. SItta
      akisema Sioi hakuwa chagua la wanaccm maana kapandikizwa
      kwa mizengwe.

      Akiongea kwa masikitiko kwa ccm kuzidi kudhoofika na kutokukubalika
      kwa wananchi amamuomba mwenyekiti wa chama kusafisha chama ili nyota
      ya chama ianze kung'ara. Hii ni kwa mjibu wa sitta baada ya kuongea na waandishi wa HAbari




      Mytake:

      Naona chama kinazidi kuparaganyika na sitta anazeeka vibaya
      maana unafiki wake ndo unamponza
      Umeandika vizuri mwanzo lakini mwisho umetoa kauli inayoonekana kama ya kilevi,anazeeka vibaya kivipi?kwa kumshauri kitu cha ukweli mwenyekiti wake au?Ulitegemea afanye nini katika umri wake huo kama mzee katika jamii???

      ukweli ni kwamba ccm walishindwa toka siku ile walipompitisha huyu mkwe wa lowassa,chama arumeru kiligawanyika,na waarumeru waliona kama ni matusi kwao kuwaonyesha kama wao wote hawana akili zaidi ya familia moja tu sumari ambayo ndio ilistahili ubunge kwa kurithishana,ndio mana mzee sitta kasema hivyo na hata wengine tuliweka thread mapema hapa kuwaalert ccm kwamba wanaelekea kushindwa uchaguzi huo

    23. #100
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,697
      Rep Power : 3254
      Likes Received
      979
      Likes Given
      753

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      tatizo wala si Sioi kutokuwa chaguo la chama, tatizo ni kuwa chama chenyewe si chaguo la wananchi
      Yombayomba likes this.
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...