Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

    Report Post
    Page 2 of 7 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 123
    1. #1
      Kachanchabuseta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2010
      Posts : 2,977
      Rep Power : 1054
      Likes Received
      440
      Likes Given
      1133

      Default Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Nimeshangazwa sana kusikia Mh. S. SItta
      akisema Sioi hakuwa chagua la wanaccm maana kapandikizwa
      kwa mizengwe.

      Akiongea kwa masikitiko kwa ccm kuzidi kudhoofika na kutokukubalika
      kwa wananchi amamuomba mwenyekiti wa chama kusafisha chama ili nyota
      ya chama ianze kung'ara. Hii ni kwa mjibu wa sitta baada ya kuongea na waandishi wa HAbari




      Mytake:

      Naona chama kinazidi kuparaganyika na sitta anazeeka vibaya
      maana unafiki wake ndo unamponza

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Entrepreneur's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 911
      Rep Power : 586
      Likes Received
      479
      Likes Given
      153

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Huu sasa ndio unafiki wa kisiasa.
      Kwan huyo SIO hakupitishwa na NEC ambayo yeye ni MJUMBE? Je alichukua hatua gani?
      Mbona Jack Masamaki (mgombea udiwani kata kirumba-CCM) ambaye alikuwa chaguo la CCM, na ambaye yeye SITTA alimpigia kampeni ameshindwa pia?
      Huyu mzee akubali kushindwa tu, HUU NI WAKATI WA CDM
      FJM likes this.
      “The first method for estimating the intelligence of a ruler is to look at the men he has around him.” ― Niccolò Machiavelli, The Prince

    4. #22
      The only's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2011
      Location : kigoma,dar es salaam
      Posts : 351
      Rep Power : 476
      Likes Received
      63
      Likes Given
      145

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      ki-pschologia hapo sitta anajaribu kujustify failure,kwa taarifa yake hata yeye sio chaguo la wananchi,mimi nawashangaa watu wa urambo wametuleteeje bungeni sitta tumewakosea nini

    5. FJM
      #23
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,179
      Rep Power : 2569
      Likes Received
      5331
      Likes Given
      4587

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Sitta anatakiwa aamue moja, ama abaki CCM au awe nje ya CCM. Serikali ya ccm ndiyo inamlisha, inampa makazi na vikwerombwezo vyote, hawezi kufaidi mafao ya CCM na serikali yake wakati huo huo anaituhumu! Huku ni kujikosha.
      Hadithi za kusema 'mimi ni mpinga ufisadi' ni hadaa. He is either with CCM or against them. period.

      Kuhusu Sioi, CC ya CCM ilimpitisha huyu kijana, sasa Sitta analeta porojo gani? Au hiyo CC iliyoongozwa na Kikwete ilikuwa ni cc ya Dovutwa? Kama yeye Sitta alishindwa kumpigia debe 'mteule' wake wakati wa kura za maoni ni jambo jingine lakini hawezi kujitokeza leo na kuharamisha maamuzi ya CC ya CCM. Huo ni usaliti kwa chama chake maana yeye (Sitta) ni miongoni mwa viongozi wa juu wa CCM.
      Mzawa Halisi likes this.

    6. #24
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,188
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      946
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By NALO LITAPITA
      Hakuwa chaguo la wana ccm!!!alafu anamuomba mwenyekiti gani asafishe chama wakati ni jk aliongoza vikao mara mbili na kumpitisha sioi? Tulieni mnyolewe
      Mkuu si unajua kifo cha mfa maji ndo kama hivyo kutapatapa sana tu

    7. #25
      Albedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Posts : 4,978
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      1077
      Likes Given
      555

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Sitta anatoaga Kauli za Kumdunisha Kikwete dhidi ya Lowasa
      "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


    8. Miaka 50

    9. #26
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,188
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      946
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By fikirikwanza
      Unafiki wao utawaua kisiasa, subirini muone.
      Tunachotaka kuona sasa ni ccm kusambaratika na kufa na si vingine

    10. #27
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,196
      Rep Power : 2095
      Likes Received
      1233
      Likes Given
      313

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      mi napata shida sana kumuelewa Sitta...sijui huwa anakuwa anawaza nini ...
      ______________________________ _
      Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....

    11. #28
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,271
      Rep Power : 1458
      Likes Received
      694
      Likes Given
      696

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Sio chaguo la wanaccm tu bali HAKUWA CHAGUO LA WANAARUMERU MASHARIKI PIA!

    12. #29
      nyengo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th October 2010
      Posts : 243
      Rep Power : 487
      Likes Received
      31
      Likes Given
      11

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Lakini kwa nini aseme sasa hivi baada ya matokeo? Kwa nini asingesema wakati wa kumpitisha Sioi ktk kura za maoni au wakati wa Kampeni??

    13. #30
      mwakaboko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 634
      Rep Power : 567
      Likes Received
      140
      Likes Given
      858

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Hivi FF na Ndg yangu Barubaru wako wapi? naomba kujua
      natamani kujua msimamo wao, hasa wa FF, maana anatubeza sana sisi tunaofanya kazi kijijini
      Adrian Stepp likes this.

    14. #31
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,188
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      946
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By idawa
      Siasa za makundi zinaitafuna ccm kama mchwa.
      Kwani mkuu hujafurahia hilo?

    15. Iza
      #32
      Iza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2009
      Location : palipo na Internet
      Posts : 1,639
      Rep Power : 856
      Likes Received
      233
      Likes Given
      368

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Huyu Mzee anababaika,haeleweki wala haaminiki na hajui asimame wapi manake tamu anaipenda na chungu anaipenda, mbona hakuyaeleza haya mwanzoni tena baada ya kurudia uchaguzi wao wa ndani?..
      Kachanchabuseta likes this.
      Fikiria kwa u-makini...!

    16. #33
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Hello ya Lusinde livinJIWE
      Quote By NAT
      Hello...............!

    17. #34
      chitambikwa's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Location : KAISHO
      Posts : 3,169
      Rep Power : 1960
      Likes Received
      573
      Likes Given
      426

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Quote By Kachanchabuseta
      Nimeshangazwa sana kusikia Mh. S. SItta
      akisema Sioi hakuwa chagua la wanaccm maana kapandikizwa
      kwa mizengwe.

      Akiongea kwa masikitiko kwa ccm kuzidi kudhoofika na kutokukubalika
      kwa wananchi amamuomba mwenyekiti wa chama kusafisha chama ili nyota
      ya chama ianze kung'ara. Hii ni kwa mjibu wa sitta baada ya kuongea na waandishi wa HAbari




      Mytake:

      Naona chama kinazidi kuparaganyika na sitta anazeeka vibaya
      maana unafiki wake ndo unamponza
      Nimwombee asife akiwa bado mnafiki
      IT IS TO THOSE WITHOUT TEETH GOD GIVES MEAT

    18. #35
      elmagnifico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2011
      Location : Brussels
      Posts : 1,933
      Rep Power : 2544
      Likes Received
      539
      Likes Given
      36

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      huyu mzee ni mnafiki yani unafiki wake umepitiliza. Yeye na mwenzake mwakyembe mwanzoni nilikuwa nawaona watu wa maana sana lakini siku zinavyozidi kwenda wanazidi nichefua.
      Huyu sitta anatafta umaarufu lengo likiwa uraisi 2015 apitishwe na chama cha magamba kuwa mgombea jambo ambalo kwa upande wangu naona ni ndoto sidhan kama ana nguvu sana katika chama cha magamba.
      Kama hakuwa chaguo lao mbona hakusema mapema amesubiri uchaguzi uishe kama si mnafiki ni nini?

    19. #36
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,201
      Rep Power : 1956
      Likes Received
      3000
      Likes Given
      13648

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Too late to apologize.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    20. #37
      ZionTZ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2009
      Posts : 897
      Rep Power : 669
      Likes Received
      128
      Likes Given
      133

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Huyu mzee keshadata.....

    21. #38
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,255
      Rep Power : 8417
      Likes Received
      1134
      Likes Given
      390

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Sema hakuwa chaguo la wanaArumeru!

      CCM si ndio waliokuwa wanamnadi kwa mbwembwe !
      Unstoppable likes this.

    22. #39
      Mr Emmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 631
      Rep Power : 594
      Likes Received
      74
      Likes Given
      16

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Chadema sasa waandae mikakati mizuri ya kukubalika katika ukanda wa Pwani kama Majimbo yote ya Mkoa wa pwani, baadhi ya Majimbo ya Dar es salaam( Temeke& Kigamboni) Majimbo ya Mtwara na Lindi na kukijenga chama katika visiwa vya Unguja na Pemba kufanya hivyo itakuwa ni kukipa mkono wa kwaheri CCM na CUF

    23. #40
      usininukuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th August 2011
      Posts : 378
      Rep Power : 469
      Likes Received
      45
      Likes Given
      120

      Default re: Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

      Tutasikia mengi Ndugu wakigombana................... ..M4C

    Page 2 of 7 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...