Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 38
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,518
      Rep Power : 46714
      Likes Received
      16433
      Likes Given
      8467

      Default Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      Kama kuna vitu vimeniudhi jana ni hili la Watanzania kuuiona CCM kila mahali kama jinamizi fulani hivi. NImewaambia matokeo hayabadiliki watu "what if what if!". Imefika mahali CCM ikikohoa watu wanapiga magoti na kuamkia "shikamoo". Matokeo yalikuwa yanajulikana kwa mtu yeyote ambaye angetaka kuyajua masaa zaidi ya kumi na mbili kabla. Lakini watu wakabakia kufikiria "labda watachakachua". Well, kuchakachua kunawezekana unapowapa credit mno; ni kana kwamba huweiz kuwazuia.

      Makamanda wa CDM na wengine waliofanya kazi ya ajabu ya counter intelligence na vijana ambao hawakuchoka waliamini CCM inaweza kuzuiwa na vyombo vyake kupigishwa marktime. Wananchi wasiogope ving'ora na saluti, wasiogope kelele na TBC; kinachozungumza ni kura tu!! Ndio lugha pekee ambayo watawala wanaielewa!

      Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha.

      Wacha na miye nipumzike.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,440
      Rep Power : 10878
      Likes Received
      3814
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Kama kuna vitu vimeniudhi jana ni hili la Watanzania kuuiona CCM kila mahali kama jinamizi fulani hivi. NImewaambia matokeo hayabadiliki watu "what if what if!". Imefika mahali CCM ikikohoa watu wanapiga magoti na kuamkia "shikamoo". Matokeo yalikuwa yanajulikana kwa mtu yeyote ambaye angetaka kuyajua masaa zaidi ya kumi na mbili kabla. Lakini watu wakabakia kufikiria "labda watachakachua". Well, kuchakachua kunawezekana unapowapa credit mno; ni kana kwamba huweiz kuwazuia.

      Makamanda wa CDM na wengine waliofanya kazi ya ajabu ya counter intelligence na vijana ambao hawakuchoka waliamini CCM inaweza kuzuiwa na vyombo vyake kupigishwa marktime. Wananchi wasiogope ving'ora na saluti, wasiogope kelele na TBC; kinachozungumza ni kura tu!! Ndio lugha pekee ambayo watawala wanaielewa!

      Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha.

      Wacha na miye nipumzike.
      Mkuu MMM
      Asiyekuelewa tena ni aheri afungwe jiwe kubwa la kusagia shingoni atupwe baharini!
      3D. and Daudi Mchambuzi like this.

    4. #3
      MBUTAIYO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2010
      Posts : 293
      Rep Power : 490
      Likes Received
      49
      Likes Given
      327

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Kama kuna vitu vimeniudhi jana ni hili la Watanzania kuuiona CCM kila mahali kama jinamizi fulani hivi. NImewaambia matokeo hayabadiliki watu "what if what if!". Imefika mahali CCM ikikohoa watu wanapiga magoti na kuamkia "shikamoo". Matokeo yalikuwa yanajulikana kwa mtu yeyote ambaye angetaka kuyajua masaa zaidi ya kumi na mbili kabla. Lakini watu wakabakia kufikiria "labda watachakachua". Well, kuchakachua kunawezekana unapowapa credit mno; ni kana kwamba huweiz kuwazuia.

      Makamanda wa CDM na wengine waliofanya kazi ya ajabu ya counter intelligence na vijana ambao hawakuchoka waliamini CCM inaweza kuzuiwa na vyombo vyake kupigishwa marktime. Wananchi wasiogope ving'ora na saluti, wasiogope kelele na TBC; kinachozungumza ni kura tu!! Ndio lugha pekee ambayo watawala wanaielewa!

      Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha.

      Wacha na miye nipumzike.
      Tumekuelewa mkuu,
      Tusamehe bure, sasa umetupa nguvu mpya. Si unajua tena mtu anavyohangaika kuuangusha mbuyu?

    5. #4
      isoko's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 159
      Rep Power : 404
      Likes Received
      23
      Likes Given
      145

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      kweli kabisa mzee mwanakijiji ulichosema ni sahihi tutegemee mabadiliko makubwa kuelekea 2015

    6. #5
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,397
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      Watu walikuwa hawaamini kutokana na majamaa mabingwa wa kuchakachua safari hii wamebanwa kwenye mtego wa panya
      Kyaiyembe likes this.
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    7. Miaka 50

    8. #6
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,569
      Rep Power : 2550
      Likes Received
      2141
      Likes Given
      1862

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      Wako wapi wale wana-CCM waliotukana na wale waliotumiwa hapa jukwaani kutukana? sijaona hata mmoja, ziko wapi mimba za Chadema alizzisema Lusinde? Wako wapi Mashoga aliowasema Lusinde? Uko wapi uchungu aliousema Lusinde dhidi ya Mbowe? Uko wapi Ubabe wa Lusinde kwa Mzee Slaa kuwa anaweza kumpiga ngumi moja tu? Uko wapi ule ukosefu wa akili ulionyeshwa na viongozi hawa wa CCM??????? Hakika malipo mengine hulipwa hapa hapa
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    9. #7
      Suzie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Posts : 1,085
      Rep Power : 0
      Likes Received
      339
      Likes Given
      309

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      Mbona unakosea unaposema watu sema baadhi ya watu ban

    10. #8
      Kivumah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2008
      Posts : 2,035
      Rep Power : 5285
      Likes Received
      660
      Likes Given
      677

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      ..'CCM Si Mama Yangu'.. - Julius Kambarage Nyerere

    11. #9
      Kachanchabuseta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2010
      Posts : 2,977
      Rep Power : 1054
      Likes Received
      440
      Likes Given
      1133

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      MMM ile thread yako imenifanya nisilale

      Asante sana MMM God bless kazi yako nimekugongea LIKEs 2000

    12. #10
      Antonov 225's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Location : namiungo
      Posts : 247
      Rep Power : 483
      Likes Received
      27
      Likes Given
      30

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      tahadhari muhimu lakini ,zile tahadhari za kishujaa na si za kufyata mkia kwenye haki yako. Let chadema share the tricks to counter theft to all of us so that we practice it earlier b4 next elections in all constituencies. Tunamshukuru Mungu kwa kweli
      Every time Chadema Plant seeds But ccm kill them before they Grow

    13. #11
      qq.com's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2012
      Posts : 327
      Rep Power : 859
      Likes Received
      96
      Likes Given
      80

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Kama kuna vitu vimeniudhi jana ni hili la Watanzania kuuiona CCM kila mahali kama jinamizi fulani hivi. NImewaambia matokeo hayabadiliki watu "what if what if!". Imefika mahali CCM ikikohoa watu wanapiga magoti na kuamkia "shikamoo". Matokeo yalikuwa yanajulikana kwa mtu yeyote ambaye angetaka kuyajua masaa zaidi ya kumi na mbili kabla. Lakini watu wakabakia kufikiria "labda watachakachua". Well, kuchakachua kunawezekana unapowapa credit mno; ni kana kwamba huweiz kuwazuia.

      Makamanda wa CDM na wengine waliofanya kazi ya ajabu ya counter intelligence na vijana ambao hawakuchoka waliamini CCM inaweza kuzuiwa na vyombo vyake kupigishwa marktime. Wananchi wasiogope ving'ora na saluti, wasiogope kelele na TBC; kinachozungumza ni kura tu!! Ndio lugha pekee ambayo watawala wanaielewa!

      Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha.

      Wacha na miye nipumzike.
      Heshima kwako
      mmojawapo wa ambao hawakuaini taarifa yako jana ni mimi,
      MMM nakuomba utambue hoja hii kuwa mara nyingi CCM hushindwa katika chaguzi nyingi lakini hutumia ubabe kutangza matokeo kama wanavyotaka.hili halina ubishi.

      hivyo watu wengi tupo katika mlengo huo
      Mzee Mwanakijiji and Kaseisi like this.
      @FFID9M N=DEND9

    14. #12
      Pipiro's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Posts : 181
      Rep Power : 644
      Likes Received
      50
      Likes Given
      67

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Kama kuna vitu vimeniudhi jana ni hili la Watanzania kuuiona CCM kila mahali kama jinamizi fulani hivi. NImewaambia matokeo hayabadiliki watu "what if what if!". Imefika mahali CCM ikikohoa watu wanapiga magoti na kuamkia "shikamoo". Matokeo yalikuwa yanajulikana kwa mtu yeyote ambaye angetaka kuyajua masaa zaidi ya kumi na mbili kabla. Lakini watu wakabakia kufikiria "labda watachakachua". Well, kuchakachua kunawezekana unapowapa credit mno; ni kana kwamba huweiz kuwazuia.

      Makamanda wa CDM na wengine waliofanya kazi ya ajabu ya counter intelligence na vijana ambao hawakuchoka waliamini CCM inaweza kuzuiwa na vyombo vyake kupigishwa marktime. Wananchi wasiogope ving'ora na saluti, wasiogope kelele na TBC; kinachozungumza ni kura tu!! Ndio lugha pekee ambayo watawala wanaielewa!

      Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha.

      Wacha na miye nipumzike.
      Big up and I salute you MMJ... Watu walikuwa wamepoteza imani wakiamini kuwa CCM ina kila mbinu za kuiba lakini imedhihirisha kuwa kama CCM wakibanwa wanakuwa hawana la ziada.. Mara nyingi watu wanakuwa defeated kabla hata ya mpambano haujaanza. Arumeru Mashariki wametoa Mwanza na Songea wametoa mwanga halisi kuwa sasa CCM imeishiwa na wananchi hawadanganyiki tena.

      Sasa ni wakati mwafaka wa CDM kujipanga kwa mikakati kabambe ya chaguzi zijazo kama Segerea na mingineyo kuelekea uchaguzi wa 2015. Wasikubali kuingiza mamluki na kuchanganywa na hoja za Zitto na wengineo wanaotaka kuvuruga utulivu na mikakati kabambe ya kuchukua nchi.

      Yes, CDM can change this country. Viva CDM
      I say what I mean, and I do what I say

    15. #13
      Ndachuwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2006
      Location : ARUSHA
      Posts : 2,666
      Rep Power : 1214
      Likes Received
      545
      Likes Given
      419

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Kama kuna vitu vimeniudhi jana ni hili la Watanzania kuuiona CCM kila mahali kama jinamizi fulani hivi. NImewaambia matokeo hayabadiliki watu "what if what if!". Imefika mahali CCM ikikohoa watu wanapiga magoti na kuamkia "shikamoo". Matokeo yalikuwa yanajulikana kwa mtu yeyote ambaye angetaka kuyajua masaa zaidi ya kumi na mbili kabla. Lakini watu wakabakia kufikiria "labda watachakachua". Well, kuchakachua kunawezekana unapowapa credit mno; ni kana kwamba huweiz kuwazuia.

      Makamanda wa CDM na wengine waliofanya kazi ya ajabu ya counter intelligence na vijana ambao hawakuchoka waliamini CCM inaweza kuzuiwa na vyombo vyake kupigishwa marktime. Wananchi wasiogope ving'ora na saluti, wasiogope kelele na TBC; kinachozungumza ni kura tu!! Ndio lugha pekee ambayo watawala wanaielewa!

      Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha.

      Wacha na miye nipumzike.
      Mzee Mwanakijiji....CCM wamepoteza Jimbo moja na CDM wameongeza Jimbo moja, "financial" Ruzuku ya CCM itapungua kwa shillingi ngapi?
      "Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker

    16. #14
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,357
      Rep Power : 1209
      Likes Received
      1209
      Likes Given
      1586

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      Sina la kusema kwa kweli.

    17. #15
      Avocado's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd August 2010
      Posts : 98
      Rep Power : 463
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      sisiem imewabrain wash watanzania kwa muda mrefu,sasa wameanza kufunguka,its a good start.
      "Winners Never Do Different Things, They Do Things Differently".

    18. #16
      Entrepreneur's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 911
      Rep Power : 586
      Likes Received
      479
      Likes Given
      153

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      Watanzania wengi walikuwa wamekata tamaa, kwani wameshazoea kuona sauti yao (KURA) haisikilizwi, na hata wanapotaka kuchukua hatua bado inakuwa haina tija kwan wanakutana na GHADHABU ya DOLA inayoongozwa na CCM.Na ndio maana wanamuona huyu CCM kama MZIMU hivi, hivyo kuendelea kuipa credit zote (hata isizostahili). Lakin....Lakini matokeo kama haya ya ARUMERU ndio yanayoamsha ARI na HAMASA mpya kwa wale walio kata tamaa, na kuona kuwa INAWEZEKANA. Hakika uongozi wa CDM wanastahili pongezi kwa hili, kwani wao hawajawahi kukata tamaa na sijui kama watakuja kukata.

      We all know the pain we can feel after a difficult loss, or even the joy we feel after a great win. This game (uchaguzi) is one of joy and pain. If you want to feel the joy, you must be willing to suffer
      . Sasa watu wameshaumia vya kutosha mpaka wengine wakakata tamaa kabisa kwani kwa ushindi wa 7-0, katika chaguzi ndogo, haileti matumaini kabisa, lakini wengine hawakukata tamaa na ndio maana leo hii score board inasoma 8-1

      Ushindi huu wa Arumeru una maana kubwa zaidi ya JN kuingia bungeni,

      Ushindi huu wa Arumeru una maana kubwa zaidi ya kumbe inawezekana hata kijana kutoka familia ya kimasikini akapewa nafasi.

      Na maana iyo itaonekana kwenye UCHAGUZI MDOGO wowote utakaojitokeza TANZANIA BARA. (
      Read my Lips MM, hizo credit CCM walizozoea kupewa zitapotea kabisa
      )
      samstevie likes this.
      “The first method for estimating the intelligence of a ruler is to look at the men he has around him.” ― Niccolò Machiavelli, The Prince

    19. #17
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,343
      Rep Power : 715
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      Mzee MM,

      Natamani sana haya ungetutumia kabla ya kupiga kura maana hata mimi yamenipa nguvu fulani.... Nadhani hata wewe umekubali kuwa CDM ni peoples power.....
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    20. #18
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,140
      Rep Power : 606
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      Mh. MMJ
      Pole sana kwa juhudi zako lakini usife moyo, hata Yesu Kristo alikuwa na kumi na wawili tu lakini hawakumwamini wote sembuse wewe unayewasilisha kwa mamilioni!.

    21. #19
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,069
      Rep Power : 923
      Likes Received
      837
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Kama kuna vitu vimeniudhi jana ni hili la Watanzania kuuiona CCM kila mahali kama jinamizi fulani hivi. NImewaambia matokeo hayabadiliki watu "what if what if!". Imefika mahali CCM ikikohoa watu wanapiga magoti na kuamkia "shikamoo". Matokeo yalikuwa yanajulikana kwa mtu yeyote ambaye angetaka kuyajua masaa zaidi ya kumi na mbili kabla. Lakini watu wakabakia kufikiria "labda watachakachua". Well, kuchakachua kunawezekana unapowapa credit mno; ni kana kwamba huweiz kuwazuia.

      Makamanda wa CDM na wengine waliofanya kazi ya ajabu ya counter intelligence na vijana ambao hawakuchoka waliamini CCM inaweza kuzuiwa na vyombo vyake kupigishwa marktime. Wananchi wasiogope ving'ora na saluti, wasiogope kelele na TBC; kinachozungumza ni kura tu!! Ndio lugha pekee ambayo watawala wanaielewa!

      Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha. Wacha na miye nipumzike.
      Mkuu MMM ni lazima watu tuwe SKEPTICAL kutokana na historia ya UJAMBAZI wa kupoka haki za Watanzania unaofanya na CCM. waswahili tuna msemo ukiumwa na NYOKA basi hata ukion ujani ...........

      Nitakupatia incidence ya UJAMBAZI iliyowahi kufanywa na CCM ambao utabaki katika historia ya nchi hii.
      Uchaguzi wa 2000(?) kule Zanzibar baada ya kuona CCM imeelemewa, kwa kutumia POLISI walienda kunyakua masanduku ya kura kwa wasimamizi wa uchaguzi kwa mtutu wa bunduki na kuyapeleka kusikojulikana. Baada ya week mbili SOLID, Chama cha upinzani CUF wakaitwa waende kwa RC kuhesabu hizo kura zilizo pokwa kwa mtutu wa bunduki two weeks ago! Unajua nini kilitokea CUF walikataa kushiriki UJAMBAZI huo, ZEC ikawatanmgaza WAGOMBEA iliyowataka and the rest is history.

      Je chama chenye historia ya aina hii kwanini watanzania wasiwe SKEPTICAL nacho? Ndicho ndio kiini cha wasiwasi wetu hata baada ya kuwa matokeo yamejulikana. Remember what happened SHY 2010? Kwanza Mkurugenzi wa uchaguzi alimtangaza mgombea wa CDM mshindi, lakini baadaye akabadilisha matokeo na kumtangaza mgombea wa CCM mshindi tena MSHINDI KWA KURA MOJA ZAIDI. Ndiyo maana watanzania wanakuwa SKEPTICAL, CCM is a mafia anda state party
      Mzee Mwanakijiji likes this.

    22. #20
      Mzawa Halisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2009
      Posts : 470
      Rep Power : 616
      Likes Received
      139
      Likes Given
      333

      Default Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!

      Quote By Mzee Mwanakijiji

      Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha.


      Quote By Pasco
      Re: Lowassa akienda Arumeru mgombea wa CCM anaibuka mshindi
      Quote By Pasco
      Uchaguzi Arumeru ulishamalizika!? Kinachoendelea sasa ni kutimiza tuu sheria, taratibu na kanuni za uchaguzi kwa mijibu wa katiba!.
      Umesomeka.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...