Kama kuna vitu vimeniudhi jana ni hili la Watanzania kuuiona CCM kila mahali kama jinamizi fulani hivi. NImewaambia matokeo hayabadiliki watu "what if what if!". Imefika mahali CCM ikikohoa watu wanapiga magoti na kuamkia "shikamoo". Matokeo yalikuwa yanajulikana kwa mtu yeyote ambaye angetaka kuyajua masaa zaidi ya kumi na mbili kabla. Lakini watu wakabakia kufikiria "labda watachakachua". Well, kuchakachua kunawezekana unapowapa credit mno; ni kana kwamba huweiz kuwazuia.
Makamanda wa CDM na wengine waliofanya kazi ya ajabu ya counter intelligence na vijana ambao hawakuchoka waliamini CCM inaweza kuzuiwa na vyombo vyake kupigishwa marktime. Wananchi wasiogope ving'ora na saluti, wasiogope kelele na TBC; kinachozungumza ni kura tu!! Ndio lugha pekee ambayo watawala wanaielewa!
Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha.
[email protected] Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji
Kama kuna vitu vimeniudhi jana ni hili la Watanzania kuuiona CCM kila mahali kama jinamizi fulani hivi. NImewaambia matokeo hayabadiliki watu "what if what if!". Imefika mahali CCM ikikohoa watu wanapiga magoti na kuamkia "shikamoo". Matokeo yalikuwa yanajulikana kwa mtu yeyote ambaye angetaka kuyajua masaa zaidi ya kumi na mbili kabla. Lakini watu wakabakia kufikiria "labda watachakachua". Well, kuchakachua kunawezekana unapowapa credit mno; ni kana kwamba huweiz kuwazuia.
Makamanda wa CDM na wengine waliofanya kazi ya ajabu ya counter intelligence na vijana ambao hawakuchoka waliamini CCM inaweza kuzuiwa na vyombo vyake kupigishwa marktime. Wananchi wasiogope ving'ora na saluti, wasiogope kelele na TBC; kinachozungumza ni kura tu!! Ndio lugha pekee ambayo watawala wanaielewa!
Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha.
Wacha na miye nipumzike.
Mkuu MMM
Asiyekuelewa tena ni aheri afungwe jiwe kubwa la kusagia shingoni atupwe baharini!
Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!
By Mzee Mwanakijiji
Kama kuna vitu vimeniudhi jana ni hili la Watanzania kuuiona CCM kila mahali kama jinamizi fulani hivi. NImewaambia matokeo hayabadiliki watu "what if what if!". Imefika mahali CCM ikikohoa watu wanapiga magoti na kuamkia "shikamoo". Matokeo yalikuwa yanajulikana kwa mtu yeyote ambaye angetaka kuyajua masaa zaidi ya kumi na mbili kabla. Lakini watu wakabakia kufikiria "labda watachakachua". Well, kuchakachua kunawezekana unapowapa credit mno; ni kana kwamba huweiz kuwazuia.
Makamanda wa CDM na wengine waliofanya kazi ya ajabu ya counter intelligence na vijana ambao hawakuchoka waliamini CCM inaweza kuzuiwa na vyombo vyake kupigishwa marktime. Wananchi wasiogope ving'ora na saluti, wasiogope kelele na TBC; kinachozungumza ni kura tu!! Ndio lugha pekee ambayo watawala wanaielewa!
Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha.
Wacha na miye nipumzike.
Tumekuelewa mkuu,
Tusamehe bure, sasa umetupa nguvu mpya. Si unajua tena mtu anavyohangaika kuuangusha mbuyu?
Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!
Wako wapi wale wana-CCM waliotukana na wale waliotumiwa hapa jukwaani kutukana? sijaona hata mmoja, ziko wapi mimba za Chadema alizzisema Lusinde? Wako wapi Mashoga aliowasema Lusinde? Uko wapi uchungu aliousema Lusinde dhidi ya Mbowe? Uko wapi Ubabe wa Lusinde kwa Mzee Slaa kuwa anaweza kumpiga ngumi moja tu? Uko wapi ule ukosefu wa akili ulionyeshwa na viongozi hawa wa CCM??????? Hakika malipo mengine hulipwa hapa hapa
...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???
Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!
tahadhari muhimu lakini ,zile tahadhari za kishujaa na si za kufyata mkia kwenye haki yako. Let chadema share the tricks to counter theft to all of us so that we practice it earlier b4 next elections in all constituencies. Tunamshukuru Mungu kwa kweli
Every time Chadema Plant seeds But ccm kill them before they Grow
Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!
By Mzee Mwanakijiji
Kama kuna vitu vimeniudhi jana ni hili la Watanzania kuuiona CCM kila mahali kama jinamizi fulani hivi. NImewaambia matokeo hayabadiliki watu "what if what if!". Imefika mahali CCM ikikohoa watu wanapiga magoti na kuamkia "shikamoo". Matokeo yalikuwa yanajulikana kwa mtu yeyote ambaye angetaka kuyajua masaa zaidi ya kumi na mbili kabla. Lakini watu wakabakia kufikiria "labda watachakachua". Well, kuchakachua kunawezekana unapowapa credit mno; ni kana kwamba huweiz kuwazuia.
Makamanda wa CDM na wengine waliofanya kazi ya ajabu ya counter intelligence na vijana ambao hawakuchoka waliamini CCM inaweza kuzuiwa na vyombo vyake kupigishwa marktime. Wananchi wasiogope ving'ora na saluti, wasiogope kelele na TBC; kinachozungumza ni kura tu!! Ndio lugha pekee ambayo watawala wanaielewa!
Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha.
Wacha na miye nipumzike.
Heshima kwako
mmojawapo wa ambao hawakuaini taarifa yako jana ni mimi,
MMM nakuomba utambue hoja hii kuwa mara nyingi CCM hushindwa katika chaguzi nyingi lakini hutumia ubabe kutangza matokeo kama wanavyotaka.hili halina ubishi.
Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!
By Mzee Mwanakijiji
Kama kuna vitu vimeniudhi jana ni hili la Watanzania kuuiona CCM kila mahali kama jinamizi fulani hivi. NImewaambia matokeo hayabadiliki watu "what if what if!". Imefika mahali CCM ikikohoa watu wanapiga magoti na kuamkia "shikamoo". Matokeo yalikuwa yanajulikana kwa mtu yeyote ambaye angetaka kuyajua masaa zaidi ya kumi na mbili kabla. Lakini watu wakabakia kufikiria "labda watachakachua". Well, kuchakachua kunawezekana unapowapa credit mno; ni kana kwamba huweiz kuwazuia.
Makamanda wa CDM na wengine waliofanya kazi ya ajabu ya counter intelligence na vijana ambao hawakuchoka waliamini CCM inaweza kuzuiwa na vyombo vyake kupigishwa marktime. Wananchi wasiogope ving'ora na saluti, wasiogope kelele na TBC; kinachozungumza ni kura tu!! Ndio lugha pekee ambayo watawala wanaielewa!
Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha.
Wacha na miye nipumzike.
Big up and I salute you MMJ... Watu walikuwa wamepoteza imani wakiamini kuwa CCM ina kila mbinu za kuiba lakini imedhihirisha kuwa kama CCM wakibanwa wanakuwa hawana la ziada.. Mara nyingi watu wanakuwa defeated kabla hata ya mpambano haujaanza. Arumeru Mashariki wametoa Mwanza na Songea wametoa mwanga halisi kuwa sasa CCM imeishiwa na wananchi hawadanganyiki tena.
Sasa ni wakati mwafaka wa CDM kujipanga kwa mikakati kabambe ya chaguzi zijazo kama Segerea na mingineyo kuelekea uchaguzi wa 2015. Wasikubali kuingiza mamluki na kuchanganywa na hoja za Zitto na wengineo wanaotaka kuvuruga utulivu na mikakati kabambe ya kuchukua nchi.
Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!
By Mzee Mwanakijiji
Kama kuna vitu vimeniudhi jana ni hili la Watanzania kuuiona CCM kila mahali kama jinamizi fulani hivi. NImewaambia matokeo hayabadiliki watu "what if what if!". Imefika mahali CCM ikikohoa watu wanapiga magoti na kuamkia "shikamoo". Matokeo yalikuwa yanajulikana kwa mtu yeyote ambaye angetaka kuyajua masaa zaidi ya kumi na mbili kabla. Lakini watu wakabakia kufikiria "labda watachakachua". Well, kuchakachua kunawezekana unapowapa credit mno; ni kana kwamba huweiz kuwazuia.
Makamanda wa CDM na wengine waliofanya kazi ya ajabu ya counter intelligence na vijana ambao hawakuchoka waliamini CCM inaweza kuzuiwa na vyombo vyake kupigishwa marktime. Wananchi wasiogope ving'ora na saluti, wasiogope kelele na TBC; kinachozungumza ni kura tu!! Ndio lugha pekee ambayo watawala wanaielewa!
Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha.
Wacha na miye nipumzike.
Mzee Mwanakijiji....CCM wamepoteza Jimbo moja na CDM wameongeza Jimbo moja, "financial" Ruzuku ya CCM itapungua kwa shillingi ngapi?
"Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker
Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!
Watanzania wengi walikuwa wamekata tamaa, kwani wameshazoea kuona sauti yao (KURA) haisikilizwi, na hata wanapotaka kuchukua hatua bado inakuwa haina tija kwan wanakutana na GHADHABU ya DOLA inayoongozwa na CCM.Na ndio maana wanamuona huyu CCM kama MZIMU hivi, hivyo kuendelea kuipa credit zote (hata isizostahili). Lakin....Lakini matokeo kama haya ya ARUMERU ndio yanayoamsha ARI na HAMASA mpya kwa wale walio kata tamaa, na kuona kuwa INAWEZEKANA. Hakika uongozi wa CDM wanastahili pongezi kwa hili, kwani wao hawajawahi kukata tamaa na sijui kama watakuja kukata.
We all know the pain we can feel after a difficult loss, or even the joy we feel after a great win. This game (uchaguzi) is one of joy and pain. If you want to feel the joy, you must be willing to suffer. Sasa watu wameshaumia vya kutosha mpaka wengine wakakata tamaa kabisa kwani kwa ushindi wa 7-0, katika chaguzi ndogo, haileti matumaini kabisa, lakini wengine hawakukata tamaa na ndio maana leo hii score board inasoma 8-1
Ushindi huu wa Arumeru una maana kubwa zaidi ya JN kuingia bungeni,
Ushindi huu wa Arumeru una maana kubwa zaidi ya kumbe inawezekana hata kijana kutoka familia ya kimasikini akapewa nafasi.
Na maana iyo itaonekana kwenye UCHAGUZI MDOGO wowote utakaojitokeza TANZANIA BARA. (Read my Lips MM, hizo credit CCM walizozoea kupewa zitapotea kabisa)
Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!
Mzee MM,
Natamani sana haya ungetutumia kabla ya kupiga kura maana hata mimi yamenipa nguvu fulani.... Nadhani hata wewe umekubali kuwa CDM ni peoples power.....
“Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"
Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!
Mh. MMJ
Pole sana kwa juhudi zako lakini usife moyo, hata Yesu Kristo alikuwa na kumi na wawili tu lakini hawakumwamini wote sembuse wewe unayewasilisha kwa mamilioni!.
Kama kuna vitu vimeniudhi jana ni hili la Watanzania kuuiona CCM kila mahali kama jinamizi fulani hivi. NImewaambia matokeo hayabadiliki watu "what if what if!". Imefika mahali CCM ikikohoa watu wanapiga magoti na kuamkia "shikamoo". Matokeo yalikuwa yanajulikana kwa mtu yeyote ambaye angetaka kuyajua masaa zaidi ya kumi na mbili kabla. Lakini watu wakabakia kufikiria "labda watachakachua". Well, kuchakachua kunawezekana unapowapa credit mno; ni kana kwamba huweiz kuwazuia.
Makamanda wa CDM na wengine waliofanya kazi ya ajabu ya counter intelligence na vijana ambao hawakuchoka waliamini CCM inaweza kuzuiwa na vyombo vyake kupigishwa marktime. Wananchi wasiogope ving'ora na saluti, wasiogope kelele na TBC; kinachozungumza ni kura tu!! Ndio lugha pekee ambayo watawala wanaielewa!
Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha. Wacha na miye nipumzike.
Mkuu MMM ni lazima watu tuwe SKEPTICAL kutokana na historia ya UJAMBAZI wa kupoka haki za Watanzania unaofanya na CCM. waswahili tuna msemo ukiumwa na NYOKA basi hata ukion ujani ...........
Nitakupatia incidence ya UJAMBAZI iliyowahi kufanywa na CCM ambao utabaki katika historia ya nchi hii.
Uchaguzi wa 2000(?) kule Zanzibar baada ya kuona CCM imeelemewa, kwa kutumia POLISI walienda kunyakua masanduku ya kura kwa wasimamizi wa uchaguzi kwa mtutu wa bunduki na kuyapeleka kusikojulikana. Baada ya week mbili SOLID, Chama cha upinzani CUF wakaitwa waende kwa RC kuhesabu hizo kura zilizo pokwa kwa mtutu wa bunduki two weeks ago! Unajua nini kilitokea CUF walikataa kushiriki UJAMBAZI huo, ZEC ikawatanmgaza WAGOMBEA iliyowataka and the rest is history.
Je chama chenye historia ya aina hii kwanini watanzania wasiwe SKEPTICAL nacho? Ndicho ndio kiini cha wasiwasi wetu hata baada ya kuwa matokeo yamejulikana. Remember what happened SHY 2010? Kwanza Mkurugenzi wa uchaguzi alimtangaza mgombea wa CDM mshindi, lakini baadaye akabadilisha matokeo na kumtangaza mgombea wa CCM mshindi tena MSHINDI KWA KURA MOJA ZAIDI. Ndiyo maana watanzania wanakuwa SKEPTICAL, CCM is a mafia anda state party
Re: Watanzania wanaipa sana Credit CCM..hadi inaudhi!
By Mzee Mwanakijiji
Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha.
By Pasco
Re: Lowassa akienda Arumeru mgombea wa CCM anaibuka mshindi
By Pasco
Uchaguzi Arumeru ulishamalizika!? Kinachoendelea sasa ni kutimiza tuu sheria, taratibu na kanuni za uchaguzi kwa mijibu wa katiba!.
Follow Us Here