Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lusinde na kampeni za matusi umeambulia aibu kubwa

    Report Post
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast
    Results 61 to 80 of 116
    1. #1
      Makupa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 2,175
      Rep Power : 809
      Likes Received
      249
      Likes Given
      0

      Default Lusinde afukuzwe CCM mara moja

      Kushindwa kwa.ccm huko Arumeru kumetokana na wananchi kupiga kura za chuki dhidi ya ccm kutokana lugha ya ovyo aliyokuwa anatumia bwana Ludinde,hivyo basi ni wakati muafaka wa kumwajibisha huyu jamaa

    2. Study Abroad

    3. #61
      mapinno's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th October 2007
      Posts : 24
      Rep Power : 596
      Likes Received
      4
      Likes Given
      7

      Default Re: Hongera Sana LUSINDE........

      Ni aibu kwa watu wa chamwino kwa matusi uliyoyatoa hadharani

    4. #62
      TUNAKWENDAWAPI's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Wapi Livingstone Lusinde!!!!!

      Taratibu watajifunza! haya ni masomo machahce tu kwa kuanzia, Hali itakua mbaya zaidi 2015, wasubiri waone!

    5. #63
      Mtanzania wa Uru's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 10
      Rep Power : 361
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Lusinde ashitakiwe kwa matusi

      Naomba sheria ishike mkondo wake. Je matusi aliyosema wazi kweli huyu mtu ana watoto kweli? Anaongea huku anaona watoto wanamsikiliza aibu wana CCM. Mpeni tuzo bora ya kumwaga matusi na chama aondoke amewaibisha huyo Lusinde hana hata chembe ya busara.

    6. #64
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default Re: Hebu pata picha siku mzee wa matusi (Lusinde) anaingia bungeni...

      huyu ashitakiwe,na asife awe hai mpaka siku tunamyanganya jimbo lake ndio atajua nani kidume cha mbegu

    7. #65
      BJEVI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Posts : 692
      Rep Power : 560
      Likes Received
      152
      Likes Given
      136

      Default Re: Lusinde ashitakiwe kwa matusi

      ifanyike mara moja ...huyu jamaa ni kichaaa ,,,,lakini ukichaa wake utajikamilisha vema pindi atakapo kuwa anajitetea mbele ya mahakama...ni aibuuuuuuuuuuuuu kwa mtu uliyepigiwa kura kuongea ugoro kama huo .WAGOGO wa mtera mpooooooooooooooooo mlikusudia kumchagua huyu jamaa?????????????????????? ni aibu mno....

    8. Miaka 50

    9. #66
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 3,973
      Rep Power : 1210
      Likes Received
      965
      Likes Given
      247

      Default Re: Hebu pata picha siku mzee wa matusi (Lusinde) anaingia bungeni...

      Atatembea mguu na mkono wake(atatupa mkono wa kulia kwa mguu wa kulia na wa kushoto kwa mguu wa kushoto)

    10. #67
      Jiwe Linaloishi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2008
      Location : Mlimani
      Posts : 3,106
      Rep Power : 17238
      Likes Received
      1622
      Likes Given
      1122

      Default Re: Katika timu ya kampeni, Lusinde na Wasira walikuwa ni chaguo la Mungu!!!!!!

      ilikuwa ni uchaguzi wa HAKI NA RUSHWA haki imeshinda tunaomba wanachi waendelee na moyo huo huo KULA CCM KURA CHADEMA
      SEMA UKWELI UMWAIBISHE SHETANI

    11. #68
      kimandolo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th April 2011
      Posts : 30
      Rep Power : 415
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Katika timu ya kampeni, Lusinde na Wasira walikuwa ni chaguo la Mungu!!!!!!

      nimemwona lusinde karikoo mtaa wa agrey, aliikimbia kambi arumeru sasa wanajipanga kupeleka ripot kwa boc wao mukama, mh. sita na mama kilango nao wapo hoi kwa kupoteza kata walizoenda kuiba kura

    12. #69
      tz_mpya's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Katika timu ya kampeni, Lusinde na Wasira walikuwa ni chaguo la Mungu!!!!!!

      Aaaamen mtumishi

    13. #70
      MAJANI YA KUNDE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th August 2008
      Posts : 193
      Rep Power : 585
      Likes Received
      33
      Likes Given
      5

      Default Re: Lusinde ashitakiwe kwa matusi

      Quote By Mtanzania wa Uru
      Naomba sheria ishike mkondo wake. Je matusi aliyosema wazi kweli huyu mtu ana watoto kweli? Anaongea huku anaona watoto wanamsikiliza aibu wana CCM. Mpeni tuzo bora ya kumwaga matusi na chama aondoke amewaibisha huyo Lusinde hana hata chembe ya busara.
      Lusinde ni product ya CCM ya leo hii ndio dira ya Chama kuwaengua Wastaafu ili kuweka vichaa na Taahira kama Lusinde kwani mwenyewe alikiri kuwa ni kichaa wa kuzaliwa.

    14. #71
      interprevist's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 34
      Rep Power : 365
      Likes Received
      13
      Likes Given
      1

      Default Re: Katika timu ya kampeni, Lusinde na Wasira walikuwa ni chaguo la Mungu!!!!!!

      Eee Mungu na uwajalie WANACHADEMA mshikamano, mbinu bora, na maono mema yatakayoweza kuikomboa nchi yetu kutoka kwenye mikono ya magabachori. Amen

    15. #72
      Mtanzania wa Uru's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 10
      Rep Power : 361
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Katika timu ya kampeni, Lusinde na Wasira walikuwa ni chaguo la Mungu!!!!!!

      Hiyo siyo sauti ya Mungu bali ya Lusiferi Lusinde. Tumwache tu kwani ukishindana na kichaa nawe utaitwa kichaa au siyo. Alikiri mwenyewe ni kichaa wa kuzaliwa hivi huko Bungeni anafanya nini wakati yeye ni kichaa? Watanzania mnahitaji ushahidi gani tena kwa hili? Kama hayo ndiyo maneno ya ccm basi imekwisha. Kikwetee oheeee na hongera kwa vijana wako wanaokuabisha kila kukicha, inasikitisha wana CCM

    16. #73
      Crucial Man's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 1,248
      Rep Power : 0
      Likes Received
      238
      Likes Given
      16

      Default

      Quote By gmosha48
      Mkuu, lusinde ndo jembe la magambaz, hawawezi kulitosa. Atabaki nani sasa?
      kama ndie jembe lao,then wameishiwa wa kuwaita majembe.

    17. #74
      Njaare's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 568
      Rep Power : 659
      Likes Received
      92
      Likes Given
      165

      Default Re: Katika timu ya kampeni, Lusinde na Wasira walikuwa ni chaguo la Mungu!!!!!!

      Quote By interprevist
      Eee na uwajalie CHADEMA mshikamano, mbinu bora, na maono mema yatakayoweza kuikomboa nchi yetu kutoka kwenye mikono ya magabachori. Amen
      Amen Mtumishi!

    18. #75
      msengo2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 23
      Rep Power : 363
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Katika timu ya kampeni, Lusinde na Wasira walikuwa ni chaguo la Mungu!!!!!!

      Ukweli wamejifunza somo,ni wanafiki hawa.

    19. #76
      Kuchayaa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th December 2011
      Posts : 80
      Rep Power : 389
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Katika timu ya kampeni, Lusinde na Wasira walikuwa ni chaguo la Mungu!!!!!!

      no human power will ever defeat God power!

    20. #77
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1050
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default Re: Lusinde afukuzwe ccm mara moja

      Quote By Mchaka Mchakani
      bado wanasubiri kura za vijijini!

      Watasubiri sana, siku hizi vijijini hakuna wajinga, TV ziko kila mahali na habari zinafika kote mitandao ndio usiseme.
      Kaaaaaazi kwerkwer
      NO SECOND CHANCE TO MAKE THE FIRST IMPRESSION

    21. #78
      Non stop's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th November 2011
      Posts : 68
      Rep Power : 390
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Katika timu ya kampeni, Lusinde na Wasira walikuwa ni chaguo la Mungu!!!!!!

      Rest in Peace Magamba Arumeru East,.viva forever CDM kwapamoja tutaijenga na kuikomboa nchi yetu kutoka mikono dhalimu ya wanyang'anyi magamba.
      All the best Kamanda Joshua Nassari kama kawa next wk mjengoni.

    22. #79
      Safety last's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Posts : 2,675
      Rep Power : 948
      Likes Received
      516
      Likes Given
      6

      Default Re: Katika timu ya kampeni, Lusinde na Wasira walikuwa ni chaguo la Mungu!!!!!!

      Welldone chadema

    23. #80
      Mchana's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th September 2007
      Posts : 125
      Rep Power : 620
      Likes Received
      5
      Likes Given
      51

      Default Re: Lusinde ashitakiwe kwa matusi

      naomba wanasheria wana JF mtupe mwongozo sisi ambao si wataalamu wa sheria namna ya kumshtaki huyu jamaa. Tupeni vifungu husika, na namna ya mashtaka ya kumfungulia ikiwezekana kama Chadema hawataki kumshtaki, wapiga kura tujitolee kufungua mashtaka.
      CHUAKACHARA likes this.

    24. FemaTV & Radio
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...