Kushindwa kwa.ccm huko Arumeru kumetokana na wananchi kupiga kura za chuki dhidi ya ccm kutokana lugha ya ovyo aliyokuwa anatumia bwana Ludinde,hivyo basi ni wakati muafaka wa kumwajibisha huyu jamaa
Kushindwa kwa.ccm huko Arumeru kumetokana na wananchi kupiga kura za chuki dhidi ya ccm kutokana lugha ya ovyo aliyokuwa anatumia bwana Ludinde,hivyo basi ni wakati muafaka wa kumwajibisha huyu jamaa
Ni aibu kwa watu wa chamwino kwa matusi uliyoyatoa hadharani
Taratibu watajifunza! haya ni masomo machahce tu kwa kuanzia, Hali itakua mbaya zaidi 2015, wasubiri waone!
Naomba sheria ishike mkondo wake. Je matusi aliyosema wazi kweli huyu mtu ana watoto kweli? Anaongea huku anaona watoto wanamsikiliza aibu wana CCM. Mpeni tuzo bora ya kumwaga matusi na chama aondoke amewaibisha huyo Lusinde hana hata chembe ya busara.
huyu ashitakiwe,na asife awe hai mpaka siku tunamyanganya jimbo lake ndio atajua nani kidume cha mbegu
ifanyike mara moja ...huyu jamaa ni kichaaa ,,,,lakini ukichaa wake utajikamilisha vema pindi atakapo kuwa anajitetea mbele ya mahakama...ni aibuuuuuuuuuuuuu kwa mtu uliyepigiwa kura kuongea ugoro kama huo .WAGOGO wa mtera mpooooooooooooooooo mlikusudia kumchagua huyu jamaa?????????????????????? ni aibu mno....
Atatembea mguu na mkono wake(atatupa mkono wa kulia kwa mguu wa kulia na wa kushoto kwa mguu wa kushoto)
ilikuwa ni uchaguzi wa HAKI NA RUSHWA haki imeshinda tunaomba wanachi waendelee na moyo huo huo KULA CCM KURA CHADEMA
SEMA UKWELI UMWAIBISHE SHETANI
nimemwona lusinde karikoo mtaa wa agrey, aliikimbia kambi arumeru sasa wanajipanga kupeleka ripot kwa boc wao mukama, mh. sita na mama kilango nao wapo hoi kwa kupoteza kata walizoenda kuiba kura
Aaaamen mtumishi
Eee Mungu na uwajalie WANACHADEMA mshikamano, mbinu bora, na maono mema yatakayoweza kuikomboa nchi yetu kutoka kwenye mikono ya magabachori. Amen
Hiyo siyo sauti ya Mungu bali ya Lusiferi Lusinde. Tumwache tu kwani ukishindana na kichaa nawe utaitwa kichaa au siyo. Alikiri mwenyewe ni kichaa wa kuzaliwa hivi huko Bungeni anafanya nini wakati yeye ni kichaa? Watanzania mnahitaji ushahidi gani tena kwa hili? Kama hayo ndiyo maneno ya ccm basi imekwisha. Kikwetee oheeee na hongera kwa vijana wako wanaokuabisha kila kukicha, inasikitisha wana CCM
Ukweli wamejifunza somo,ni wanafiki hawa.
no human power will ever defeat God power!
Rest in Peace Magamba Arumeru East,.viva forever CDM kwapamoja tutaijenga na kuikomboa nchi yetu kutoka mikono dhalimu ya wanyang'anyi magamba.
All the best Kamanda Joshua Nassari kama kawa next wk mjengoni.
Welldone chadema
naomba wanasheria wana JF mtupe mwongozo sisi ambao si wataalamu wa sheria namna ya kumshtaki huyu jamaa. Tupeni vifungu husika, na namna ya mashtaka ya kumfungulia ikiwezekana kama Chadema hawataki kumshtaki, wapiga kura tujitolee kufungua mashtaka.
Follow Us Here