Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa (Zaidi ya kura 6,000)

    Report Post
    Page 1 of 70 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 1398
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,512
      Rep Power : 46713
      Likes Received
      16402
      Likes Given
      8461

      Default CHADEMA yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa (Zaidi ya kura 6,000)

      Hatimaye Msimamizi wa Uchaguzi katika Jimbo la Arumeru amemtangaza Bw. Joshua Nassari kuwa Mbunge Mteule wa jimbo hilo kufuatia ushindi wake mnono dhidi ya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Summari. Joshua Nassari amepata kura 32,972 sawa na asilimia 54.91 ya kura zilizopiwa. Hii inaendana na makisio yangu ambayo yalitabiri ushindi wake wa karibu asilimia 50!



      Mtandao wa JamiiForums waweza kutangaza kwa uhakika kabisa kutokana na vyanzo makao makuu ya Jimbo huko Arumeru Mashariki kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi mdogo ambapo mgombea wake Bw. Joshua Nassari ameibuka kidedea baada ya kumbwaga vibaya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Sumari. Matokeo yanaonesha hadi hivi sasa baada ya zaidi ya asilimia 80 ya vituo vyote kuripoti CDM imeshinda kata 14 dhidi ya 3 za CCM.

      Chama cha Mapinduzi tayari kimekuballi kushindwa na kutoa pongezi kwa mgombea wa CDM.

      CDM imeshinda kwa zaidi ya kura 6000


      MATOKEO OFFICIAL:

      Kura halali - 60038

      CHADEMA 32,972 - Joshua Nassari (Mbunge Mteule)
      CCM 26,757 - Siyoi Sumari


      Vyama vingine:

      AFP 139
      UDP 18
      TLP 18
      DP 77
      UPDP 22
      NRA 35




      My Take:
      Bila ya shaka Uongozi wa taifa wa CDM hauna sababu ya kujiuzulu kwa wakati huu! Upepo umevuma upande wao na mtumbwi unaelekea kwenye ushindi 2015!

      Kutoka kwa Zitto (FB)




      Attached Thumbnails  
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. Miaka 50

    3. #2
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,585
      Rep Power : 5620
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2288

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      weeeeeeeeeeeeeeeeee achana na thithiemu yanaweza kubadilika anytime.....
      solon likes this.

    4. #3
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,973
      Rep Power : 3703
      Likes Received
      3580
      Likes Given
      5769

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Nashindwa kusema neno hapa ,Chama chako cha mapinduzi unakijua
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    5. #4
      kongomboli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 128
      Rep Power : 436
      Likes Received
      24
      Likes Given
      24

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      mbona siamini, nec itangaze bac c walipromic watatangaza leoleo!!!!!
      SUCRE MARIACH and kasogela like this.
      kama utani vile kumbe ndo nimemaliza

    6. #5
      bucho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2010
      Location : kandahar
      Posts : 2,905
      Rep Power : 4298
      Likes Received
      562
      Likes Given
      716

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      sio rahisi hivyo labda kama kura zinapigiwa JF
      KAMA MAPENZI NI PESA , FUNGA NDOA NA BENKI.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Entrepreneur's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 911
      Rep Power : 586
      Likes Received
      479
      Likes Given
      153

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      "Eyes on the prize". Macho kwenye zawadi. Hakuna wa kujiuzulu MM. Somo liliwaingia viongozi wetu
      Sikonge, Avanti and Kyaiyembe like this.

    9. LAT
      #7
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      hii ndiyo safari ya mwisho wa kisiasa kwa bwana Ngoyai EL

    10. #8
      toghocho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Location : here here
      Posts : 1,000
      Rep Power : 615
      Likes Received
      138
      Likes Given
      29

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Mtandao wa JamiiForums waweza kutangaza kwa uhakika kabisa kutokana na vyanzo makao makuu ya Jimbo huko Arumeru Mashariki kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi mdogo ambapo mgombea wake Bw. Joshua Nassari ameibuka kidedea baada ya kumbwaga vibaya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Sumari. Matokeo yanaonesha hadi hivi sasa baada ya zaidi ya asilimia 80 ya vituo vyote kuripoti CDM imeshinda kata 14 dhidi ya 3 za CCM.

      Chama cha Mapinduzi tayari kimekuballi kushindwa na kutoa pongezi kwa mgombea wa CDM.
      source plz, maana nsije nkawa broken herted baadae haya magamba si unayajua mzee, hawakawii kusema hizo kata zilikuwa na wapiga kura wachache
      Jasusi likes this.
      Only those who risks going too far knows how far they can go.

    11. #9
      UMBWE1's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 12
      Rep Power : 362
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Nakuamin sana mwanakijiji please naomba nithibitishie unackokisema
      Jasusi and marejesho like this.

    12. #10
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      safi sana.........
      I'm Naturaly Evasive..

    13. #11
      Maganga Mkweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2009
      Posts : 1,216
      Rep Power : 745
      Likes Received
      394
      Likes Given
      1002

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeee poweeeeeeeeeeeeeeer
      ellykiss and aik like this.
      LIKE NOTHING HAPPENED.... AND LIFE GOES ON...
      MHANDISI WA MFUMO WA UMEME /POWER SYSTEM ENGINEER -ANY ELECTRICAL ENGINEERING ISSUE YOU CAN CONSULT ME..

    14. #12
      Buchanan's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 19th May 2009
      Location : Somewhere!
      Posts : 9,251
      Rep Power : 8972
      Likes Received
      802
      Likes Given
      340

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Mtandao wa JamiiForums waweza kutangaza kwa uhakika kabisa kutokana na vyanzo makao makuu ya Jimbo huko Arumeru Mashariki kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi mdogo ambapo mgombea wake Bw. Joshua Nassari ameibuka kidedea baada ya kumbwaga vibaya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Sumari. Matokeo yanaonesha hadi hivi sasa baada ya zaidi ya asilimia 80 ya vituo vyote kuripoti CDM imeshinda kata 14 dhidi ya 3 za CCM.

      Chama cha Mapinduzi tayari kimekuballi kushindwa na kutoa pongezi kwa mgombea wa CDM.
      Mkuu MM,
      heshima mbele! Unapodai "CCM Kimekubali kushindwa," nani katika CCM aliyekubali kushindwa? Nape, Mwigulu au nani?
      Avanti and Ngalikivembu like this.

    15. #13
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,512
      Rep Power : 46713
      Likes Received
      16402
      Likes Given
      8461

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      well.. tangu jana mmeona nikiripoti lolote toka ARumeru? don't doubt it. Kama ulikuwa na mpango wa kwenda kusherehekea you have my permission.
      Jasusi, Richard, Halisi and 32 others like this.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    16. #14
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,483
      Rep Power : 50829
      Likes Received
      9387
      Likes Given
      14588

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Quote By BADILI TABIA
      weeeeeeeeeeeeeeeeee achana na thithiemu yanaweza kubadilika anytime.....
      Kama ungekuweo usingesema lolote....
      Nilikuwa Arumeru tangu saa 9 mchana..aiseeee ni raha sanaaaaaaaaaa
      Yan unajihisi kama umekombolewa na matatizo yako yooooote....
      Chadema wanatisha sana....
      Mabasi na magari yote toka moshi na dar na njia hiyo wanatembea na vidole viwili nje ya madirisha....watu wana raha sana....Hakuna CCM hata mmoja...
      Kuna jamaa kakamatwa na mfuko wenye karatasi za kura na tindikari....kamwagiwa hiyo tindikari machoni na hali yake ni mbaya sana...
      Chadema mpoooooooooooooooooooooooooooo ooooo?????!!!!??
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    17. #15
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,918
      Rep Power : 3207
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      mkuu mwanakijiji kuna vyombovya habari vinajaribu kuchakachua.mfano ni itv.

    18. #16
      bemg's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2010
      Posts : 1,614
      Rep Power : 783
      Likes Received
      218
      Likes Given
      350

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Tuombee iwe hivyo maana magamba ni hatari kupnyeza kura chafu na kwa kuwa tayari yameshatumia ccmpolisi kutawanya watu vituoni ili wawezeshe kuchakachua
      Ni jambo zuri na la kupendeza sana ndugu kuishi pamoja kwa umoja

    19. #17
      true's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th November 2011
      Posts : 78
      Rep Power : 393
      Likes Received
      25
      Likes Given
      0

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      huo ni ushindi wa kishindo! Magaba jiandaeni 2015..., makamanda tunakuja kwa kasi ya ajabu! Ni km 3229/hr.

    20. #18
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,732
      Rep Power : 5462
      Likes Received
      1961
      Likes Given
      2652

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      I'm ecstatic...beyond happy PEOPLEZZZZ....
      SUCRE MARIACH and Avanti like this.

    21. #19
      Mkondakaiye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Location : Kolahill
      Posts : 646
      Rep Power : 506
      Likes Received
      112
      Likes Given
      92

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      h
      Hii ni habari njema sana, Huu ni mwanzo tu kuelekea 2015. Peoples power inafanyakazi.
      SUCRE MARIACH and Avanti like this.

    22. #20
      Jabulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2009
      Location : Kituo cha Polisi Jamii
      Posts : 2,973
      Rep Power : 1370
      Likes Received
      821
      Likes Given
      254

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Leo nitaMalima hadi asubuhi!
      Halisi, masawila, Bobby and 14 others like this.
      Kamanda wa Polisi Jamii - Kanda Maalumu

    Page 1 of 70 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...