Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa (Zaidi ya kura 6,000)

    Report Post
    Page 2 of 70 FirstFirst 123412 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 1398
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,614
      Rep Power : 46736
      Likes Received
      16716
      Likes Given
      8547

      Default CHADEMA yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa (Zaidi ya kura 6,000)

      Hatimaye Msimamizi wa Uchaguzi katika Jimbo la Arumeru amemtangaza Bw. Joshua Nassari kuwa Mbunge Mteule wa jimbo hilo kufuatia ushindi wake mnono dhidi ya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Summari. Joshua Nassari amepata kura 32,972 sawa na asilimia 54.91 ya kura zilizopiwa. Hii inaendana na makisio yangu ambayo yalitabiri ushindi wake wa karibu asilimia 50!



      Mtandao wa JamiiForums waweza kutangaza kwa uhakika kabisa kutokana na vyanzo makao makuu ya Jimbo huko Arumeru Mashariki kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi mdogo ambapo mgombea wake Bw. Joshua Nassari ameibuka kidedea baada ya kumbwaga vibaya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Sumari. Matokeo yanaonesha hadi hivi sasa baada ya zaidi ya asilimia 80 ya vituo vyote kuripoti CDM imeshinda kata 14 dhidi ya 3 za CCM.

      Chama cha Mapinduzi tayari kimekuballi kushindwa na kutoa pongezi kwa mgombea wa CDM.

      CDM imeshinda kwa zaidi ya kura 6000


      MATOKEO OFFICIAL:

      Kura halali - 60038

      CHADEMA 32,972 - Joshua Nassari (Mbunge Mteule)
      CCM 26,757 - Siyoi Sumari


      Vyama vingine:

      AFP 139
      UDP 18
      TLP 18
      DP 77
      UPDP 22
      NRA 35




      My Take:
      Bila ya shaka Uongozi wa taifa wa CDM hauna sababu ya kujiuzulu kwa wakati huu! Upepo umevuma upande wao na mtumbwi unaelekea kwenye ushindi 2015!

      Kutoka kwa Zitto (FB)




      [email protected]
      The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com


    2. #21
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,876
      Rep Power : 3641
      Likes Received
      1150
      Likes Given
      288

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Ritz alijiapiza kwamba CDM ikishinda Arumeru atatembea uchi kuanzia Ubungo mataa hadi Kimara Bungokwa. Sasa tunataka aje hapa JF atuambie ni lini atafanya hiyo safari ili tukamshuhudie. Ritz come back my friend. Hii ndio siasa, ulituahidi tunaomba utimize ahadi yako.
      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    3. SMU is offline
      SMU
      #22
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,604
      Rep Power : 3828
      Likes Received
      1349
      Likes Given
      1987

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Mbona Kagenzi kupitia ITV anasema wamepata matokeo ya kata saba pekee!

    4. #23
      Baba tano's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 8
      Rep Power : 370
      Likes Received
      0
      Likes Given
      9

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      utadhani utani, lakini hili ni piga kubwa sana, kwa wana sisiem

    5. #24
      MpigaFilimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2008
      Location : Uvunguni
      Posts : 1,089
      Rep Power : 785
      Likes Received
      127
      Likes Given
      76

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      ..inaelekea kuwa habari nzuri, kwa kuwa unaiamini source yako ya habari, lakini hawa jamaa wanaweza kuwa na mipango ya kutuliza munkari baadae wanafanya mambo yao. Tunatumain mambo yatakuwa vyema!!
      "If you are going through HELL, keep going..."-W.Churchill

    6. #25
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,660
      Rep Power : 4023
      Likes Received
      2944
      Likes Given
      5072

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Mtandao wa JamiiForums waweza kutangaza kwa uhakika kabisa kutokana na vyanzo makao makuu ya Jimbo huko Arumeru Mashariki kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi mdogo ambapo mgombea wake Bw. Joshua Nassari ameibuka kidedea baada ya kumbwaga vibaya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Sumari. Matokeo yanaonesha hadi hivi sasa baada ya zaidi ya asilimia 80 ya vituo vyote kuripoti CDM imeshinda kata 14 dhidi ya 3 za CCM.

      Chama cha Mapinduzi tayari kimekuballi kushindwa na kutoa pongezi kwa mgombea wa CDM.
      Itakuwaje kama matokeo yatatangazwa vinginevyo? Maana hii Tanzania hii, mhhh! Ila namkubali sana Judge Lubuva..he might be different
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson


    7. #26
      MTAZAMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 4,445
      Rep Power : 2250
      Likes Received
      1899
      Likes Given
      2822

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Funzo la uwezo wa nguvu za umma na mwisho wa EL!

    8. #27
      Mdau's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2008
      Posts : 1,120
      Rep Power : 801
      Likes Received
      86
      Likes Given
      72

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Authenticity????

    9. #28
      mopaozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 2,558
      Rep Power : 783
      Likes Received
      273
      Likes Given
      51

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Matokeo vituo 80 wkt vituo vk 300 unawapa watu majibu hewa bado ndo kwaaanzaaa mimba imetungwa subiri upepeo utakaovuma nyambaaaaafffff

    10. #29
      Feedback's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2011
      Posts : 4,280
      Rep Power : 1288
      Likes Received
      2127
      Likes Given
      1160

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Hongera Chadema, Hongera Mwenyekiti Mbowe, Hongera Katibu mkuu Slaa, Hongera Naibu Katibu mkuu Zitto, Hongera Kamanda Mrema, Nyerere, Natse na makamanda wote mliofanikisha ushindi huu. Hakika mmepeleka signal kubwa kwa watawala kuwa wananchi wamechoka kuonewa wanataka wajitawale, wajipangie maendeleo yao. Hongera sana wanachama, mashabiki na wapenzi wa Chadema hakika tuna kila sababu ya kujivunia ushindi huu.
      Only in Tanzania

    11. #30
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,614
      Rep Power : 46736
      Likes Received
      16716
      Likes Given
      8547

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Quote By toghocho View Post
      source plz, maana nsije nkawa broken herted baadae haya magamba si unayajua mzee, hawakawii kusema hizo kata zilikuwa na wapiga kura wachache
      Quote me.
      Ngurumo, Uswe and Godlisten Masawe like this.
      [email protected]
      The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com

    12. #31
      MD25's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Location : Mugumu, Serengeti
      Posts : 2,037
      Rep Power : 928
      Likes Received
      562
      Likes Given
      136

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Safi sana wananchi wa Arumeru kwa kuichagua CDM na kumwamini J. Nasari.
      Sasa tunaenda jimbo la segerea kwa mzee wa kukimbia na masanduku ya kura...
      fidolas likes this.

    13. #32
      Mr. Bigman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 583
      Rep Power : 630
      Likes Received
      107
      Likes Given
      57

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Mtandao wa JamiiForums waweza kutangaza kwa uhakika kabisa kutokana na vyanzo makao makuu ya Jimbo huko Arumeru Mashariki kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi mdogo ambapo mgombea wake Bw. Joshua Nassari ameibuka kidedea baada ya kumbwaga vibaya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Sumari. Matokeo yanaonesha hadi hivi sasa baada ya zaidi ya asilimia 80 ya vituo vyote kuripoti CDM imeshinda kata 14 dhidi ya 3 za CCM.

      Chama cha Mapinduzi tayari kimekuballi kushindwa na kutoa pongezi kwa mgombea wa CDM.
      Mkuu,unaheshimika hapa Jf. Lakini hii sio April Fool? Tafadhali!

    14. #33
      kasogela's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      watatumbua safar hii bado vijijini ndo wanatuzingua

    15. #34
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,614
      Rep Power : 46736
      Likes Received
      16716
      Likes Given
      8547

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Tatizo dogo nikuwa tuna matatizo yakuwapa taarifa watu za uhakika. matokeo yake wanatengeneza uncertainty isiyo yalazima. Natumaini within the hour or so itabidi watangaze tu mshindi kwa sababu Polisi nao wanataka kujitutumua tu.. suala la polisi wanaretaliate baada ya gari la polisi kupigwa mawe karibu na USA River..
      Last edited by Mzee Mwanakijiji; 1st April 2012 at 22:00.
      Dullo likes this.
      [email protected]
      The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com

    16. #35
      mchemsho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Posts : 2,051
      Rep Power : 820
      Likes Received
      274
      Likes Given
      27

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Mtandao wa JamiiForums waweza kutangaza kwa uhakika kabisa kutokana na vyanzo makao makuu ya Jimbo huko Arumeru Mashariki kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi mdogo ambapo mgombea wake Bw. Joshua Nassari ameibuka kidedea baada ya kumbwaga vibaya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Sumari. Matokeo yanaonesha hadi hivi sasa baada ya zaidi ya asilimia 80 ya vituo vyote kuripoti CDM imeshinda kata 14 dhidi ya 3 za CCM.

      Chama cha Mapinduzi tayari kimekuballi kushindwa na kutoa pongezi kwa mgombea wa CDM.
      i cant blve it.! Ccm has thousands of dirty tricks capable to overturn the genuine results, hwever should nec announce comrade Nassari the winner, it will mean so much to Cdm in Tz, all da best cdm..
      mtamanyali likes this.

    17. #36
      Mundu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2008
      Posts : 1,689
      Rep Power : 884
      Likes Received
      230
      Likes Given
      23

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Sasa CCM wamesema matokeo yatatangazwa kesho asubuhi baada ya kuona eti kutatokea rabsha wakitangaza mida hii. USIKU MREFU MWANANGU!!

      CCM=tume ya uchaguzi
      Mswahili jambo la kipumbavu likisemwa kizungu, anaona sawasawa kabisa!! J.K.Nyerere

    18. #37
      MTAZAMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 4,445
      Rep Power : 2250
      Likes Received
      1899
      Likes Given
      2822

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Quote me.
      The most reliable source in JF! Anafikiri pasco? Hahahahaha!

    19. #38
      PayGod's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Posts : 1,164
      Rep Power : 809
      Likes Received
      43
      Likes Given
      22

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Asante Mungu kwa kujibu maombi yetu wana chadema
      Adrian Stepp likes this.

    20. #39
      Maganga Mkweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2009
      Posts : 1,242
      Rep Power : 754
      Likes Received
      398
      Likes Given
      1024

      Default Re: JF Exclusive: CHADEMA Yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      well.. tangu jana mmeona nikiripoti lolote toka ARumeru? don't doubt it. Kama ulikuwa na mpango wa kwenda kusherehekea you have my permission.
      peopleeeeeeeeeeeeee poweeeeeer
      LIKE NOTHING HAPPENED.... AND LIFE GOES ON...
      MHANDISI WA MFUMO WA UMEME /POWER SYSTEM ENGINEER -ANY ELECTRICAL ENGINEERING ISSUE YOU CAN CONSULT ME..

    21. #40
      MD25's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Location : Mugumu, Serengeti
      Posts : 2,037
      Rep Power : 928
      Likes Received
      562
      Likes Given
      136

      Default

      Quote By TUMBIRI View Post
      Ritz alijiapiza kwamba CDM ikishinda Arumeru atatembea uchi kuanzia Ubungo mataa hadi Kimara Bungokwa. Sasa tunataka aje hapa JF atuambie ni lini atafanya hiyo safari ili tukamshuhudie. Ritz come back my friend. Hii ndio siasa, ulituahidi tunaomba utimize ahadi yako.
      Mkuu hachana na huyo Ritz, ila atambue kuwa hata al Islam ilikula kwake, lazima vijiti vitembee...
      Avanti likes this.

    Page 2 of 70 FirstFirst 123412 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...