Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

    Report Post
    Page 23 of 23 FirstFirst ... 13212223
    Results 441 to 445 of 445
    1. #1
      yplus's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th March 2012
      Posts : 153
      Rep Power : 391
      Likes Received
      65
      Likes Given
      0

      Default Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

      Anaanza kwa kutambulishwa kuwa anaitwa Mh Lusinde.Mbumbe wa Mtera alimaarufu kwa jina la Kibajaj...

      1.Wabunge wa CDM Majimarefu unawalea sana,Wewe ndo umewachanja chale hadi matakoni leo wanakutukana.
      2.Dr Slaa Baba ake ni shoga,anamalizia na kudadadeki.
      3.Mh Lema alipokuwa Gerezani kisongo ali*****rwa,alipata bwana.anamalizia na kudadadeki.
      4.Dr Slaa upadre ulimshinda akatimuliwa kwa kutia mimba wana kwaya.
      5.***** Kampeni Meneja Vicent Nyerere analiwa.
      6.CDM msiwe kama Jogoo anatongoza akisema atamnunulia gauni tetea wakati akiinama hata chupi hajavaa.
      7.CDM washamba nyie,niwarambe nisiwarambe.
      8.Washamba CDM wanavaa Kombati wakati hata mgambo hawajapita.
      9.Dr Slaa ni mshamba,akivaa kombati anatembea kama amejinyea.
      10.Dr Slaa kasema kama ni fujo itaanzia Arumeru,kwanini isianzie kwa mke wake?
      11.Dr Slaa anatishia kujamba wakati anaharisha.
      12.Dr Slaa anavimba macho ya watu,kama anaubavu aje tupigane,ngumi moja naua,mnamuokota hapa...
      13.Mbowe anauchungu,ana mimba na asubiri kuzaa tarehe 1 April 2012.
      14.CDM wote wametiwa mimba na CCM,ukiona wanaonyesha vidole V maana yake wana mimba ya mapacha.
      15.CDM tembeeni taratibu msije mkaharibu mimba zetu.

      Naomba mniwie radhi sana maana najua haya matusi yatawakwaza wengi lakini tupo kwenye mpango wa kuhakikisha Audio na Video zake zinaenea Nchi nzima tuijue CCM ya leo

      Nawasilisha.

      Siasa za CCM ndo zinaishia kwenye mnatusi kama haya! no more!



      Updates: Video Hii Hapa:



    2. FemaTV & Radio

    3. #441
      pema's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 36
      Rep Power : 366
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

      Lusinde na wana ccm wote wanapaswa kutuomba radhi watanzania kwani hawajawatukana watu wa arumeru bali watanzania na wasisahau kuwa sisi ndio tuliowapa dhamana ya kluongoza nchi wale kodi zetu watumie rasilimali za watanzania kisha watutukane huu ni ulimbukeni wa hali ya juu

    4. #442
      Mangu shadrack's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th March 2012
      Posts : 10
      Rep Power : 364
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

      Huyu jamaa nadhani hukulelewa na wazi wake. Hana hata aibu ya kustili.

    5. #443
      makeyzan's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Posts : 54
      Rep Power : 412
      Likes Received
      11
      Likes Given
      4

      Default Re: Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

      kweli maamuzi ya wa2 wa mtera kumpigia mbunge mjinga kimefanya mtera ionejane sehemu yakijinga pia. mtoto wa nyoka ni nyoka. kama CCM ni chatu kwanini kina lusinde wasiwe chatu jamani kitanda hakizai haramu na haya ndio uzao wa dhambi za CCM.

    6. #444
      mchemsho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Posts : 2,015
      Rep Power : 809
      Likes Received
      269
      Likes Given
      20

      Default Re: Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

      Mwehu akikwapua nguo zako wakati unaoga ukamfukuzia wakati wewe uko uchi utaonekana ndo mwehu zaidi.! Lusinde inaelekea element za ukichaa zinazidi zile za utimamu, amebakiza kutembea uchi na kuokota makopo majalalani.! Kwa ushahidi hapo juu nashauri wanasheria wamfungulie mashtaka kabla hajawa mwehu kabisa

    7. #445
      LOVI MEMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2012
      Posts : 514
      Rep Power : 464
      Likes Received
      79
      Likes Given
      5

      Default Re: Tusameheane,naorodhesha matusi aliyoyatoa lusinde muijue CCM ya leo huko Arumeru.

      Kama hizi ndio dalili za ccm kufa basi inabidi imaliziwe mapema kabla haijaacha sumu kali sana kwa vizazi vijavyo maana hii ni hatari, siasa kugeuka uwanja wa matusi ya nguoni hata kama ni kutofautiana na wenzio lusinde ? Hebu jiulize wewe una wakwe, wazazi, shangazi mjomba, baba wote hawa huwaogopi? Na zaidi sana wapiga kura wako hata rais wako hivi unamuonaje. Je pamoja na kutofautiana nao umewahi kumsikia wapi jk akiporomosha matusi design ya kwako . Pumbavu sana wewe njoo nikuchape viboko. Onyo usije ukaenda butiama yatakayokukuta usimlaumu mtu. Maana mwalimu karibia afufuke kwa matusi uliyotoa. Na hakika ukienda yatakupata ya kukupata.
      Quote By fjm
      najua kwenye siasa watu wanaweza kurushiana maneno. Lakini kwa vyovyote vile lugha inayotumiwa na lucinde haiwezi kukubalika kwenye jamii yoyote iliyostaarabika. Na mbaya zaidi mikutano mingi ya ccm inahudhuriwa na watoto. Lakini cha ajabu viongozi wa juu wa ccm (taifa) wanaonekana kukubaliana na matusi haya vinginevyo wangekuwa tayari wamemkalisha chini lucinde.

      Mtu kama lucinde anaonekana kuongelea ngono all the time! Mbele ya watoto! Ustaarabu gani huu?

      Maadam wakubwa zake kwa maana ya uongozi wa juu wa ccm umeshindwa kuona matumizi ya lugha yanayopingana kabisa na mila, tamaduni na heshma wa watu wa wameru basi ni jukumu la wazee na vijana wa meru kuchukuwa hatua.

      Napendekeza wazee wa kimeru au vijana wa kimeru waitishe mkutano na waandishi wa habari ili kutoa onyo kwa lucinde kwa kutumia lugha inayoharibu kabisa taswira ya watu wa arumeru. Lucinde anataka ulimwengu uamini kuwa watu wa arumeru wanataka kusikiliza matusi na sio sera?

    8. Miaka 50

    Page 23 of 23 FirstFirst ... 13212223

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...