Kifuatacho arumeru mashariki?nashukuru mungu tulimaliza msiba salama salmin na sasa napenda kufaham what next? Wana jf naomba kuwasilisha hoja binafsi...
Kifuatacho arumeru mashariki?nashukuru mungu tulimaliza msiba salama salmin na sasa napenda kufaham what next? Wana jf naomba kuwasilisha hoja binafsi...
tusubiri taarifa rasmi za jimbo kuwa wazi
Kupamba kisha kushrehekea
“Mtu anaweza kuzini kwa siri lakini hawezi kuugua ukimwi kwa siri”
kusubiri kofia na kagha za ccm, kisha kura Chadema
Kazi ipo pale,Arumeru itakuwa shughuli pevu kwa vyama vyote
isidingo. mia
Mende kudondosha kabati?
Ninaham sn na pale meru, yani silaha za cdm tutashusha zote nasie wameru hatukubali kuibiwa kura zetu tena. Ni mawe tu kwa kila sura ya gamba
RIP ccm
Itakuwa kama Igunga.
Tatizo wachangiaji hapa si wapiga kura wa Arumeru Mashariki. Tunatamani na tunataka kuona 'sisiemu' ikipoteza jimbo hilo. Maoni yangu kwa wanamageuzi hapa JF ni tutafute nafasi tutembele jimbo la Arumeru mashariki wakati wa kampeni
hakuna shaka chadema arumeru wanakubalika mpaka mw/wa kijiji wala sina khofu sisi hapa arusha tumeshafanya tathmini hapo meru na kugundua magamba hawana lolote pale
kile kipindi cha vioja kimewadia.
tunyimbo nyimbo,
1.alambe eeeeeeeeh alambe baba alambeeeeeeeeeee
2.mageuzi yalipoanza ccm eheeee,mageuzi yalipoanza ccm matumbo joto
ila sasa hivi kuweni makini sana na wale wanaoteka watu na kuwaua kama kule igunga magamba ni zaidi ya maharamia wa kisomali. I hate 'em
CCM u must STOOOOPuuuu!! Don show up uaself in Arusha and Arumeru in particular!
Follow Us Here