Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 21
    1. #1
      kweleakwelea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2010
      Posts : 1,291
      Rep Power : 703
      Likes Received
      233
      Likes Given
      488

      Default Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

      hi all,

      wakati mapokezi ya mbunge wa ccm igunga dr kafumu yakidorora yakifanyikia ndani ya kumbi za makao makuu ccm taifa pale dodoma (yasingeweza kufanyika katika open ground), aliyekuwa mgombea wa chadema kashidye ameendelea kuchinjiwa ngombe katika kata za igunga kama kumpongeza kwa kushinda uchaguzi ule.

      wakazi wa igunga wanaendelea kumpongeza kashindye kwa kushinda uchaguzi na kwamba wao wanamtambua kama mbunge wao.

      teyari hadi tunaenda mitamboni, ameishachinjiwa ng'ombe katika kata 12 za igunga...

      naomba kuwakilisha!
      jigoku likes this.

    2. Study Abroad

    3. #2
      mgosiwakaya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 59
      Rep Power : 404
      Likes Received
      13
      Likes Given
      1

      Default Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

      dr kafumu kashinda kwa magumashi ila ngonja tusubr maana tunaskia kesi iko mahakamani na pia kashindye hana haja ya kukata tamaa 2015 haiko mbali atachukua jimbo tu!

    4. #3
      ikizu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2011
      Location : 35B
      Posts : 282
      Rep Power : 438
      Likes Received
      34
      Likes Given
      106

      Default Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

      nami namuunga mkono

    5. #4
      Borakufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Tohell
      Posts : 1,148
      Rep Power : 638
      Likes Received
      258
      Likes Given
      206

      Default Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

      Okey ni Mbunge !

    6. #5
      Mlengo wa Kati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2011
      Posts : 1,293
      Rep Power : 0
      Likes Received
      188
      Likes Given
      11

      Default Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

      Kashindye Atachua miaka 10 kwenda haja kubwa maana ng'ombe 12 kala wote si mchezo!

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Babkey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2010
      Posts : 1,986
      Rep Power : 913
      Likes Received
      396
      Likes Given
      162

      Default

      Quote By Mlengo wa Kati
      Kashindye Atachua miaka 10 kwenda haja kubwa maana ng'ombe 12 kala wote si mchezo!
      ...mwee!!

    9. #7
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25469
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      908

      Default Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

      wapi Dr Kafumu?

    10. #8
      only83's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

      Kafumu anakula kiyoyozi bungeni na ameanza kusinzia maana hajui la kufanya....well done Mwl Kashindye.....

    11. #9
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,045
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1806
      Likes Given
      3439

      Default

      Quote By only83
      Kafumu anakula kiyoyozi bungeni na ameanza kusinzia maana hajui la kufanya...
      hii kali, duh!

    12. #10
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

      Quote By Mlengo wa Kati
      Kashindye Atachua miaka 10 kwenda haja kubwa maana ng'ombe 12 kala wote si mchezo!
      Ujinga ni mzigo!
      WA-UKENYENGE likes this.

    13. #11
      jigoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,399
      Rep Power : 992
      Likes Received
      350
      Likes Given
      536

      Default Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

      Hongera kamanda Kashindye,hata mimi huku nakutambua wewe ndio Mbunge wa Igunga.
      Tusubiri 2015 itafika tu lakini endelea na harakati na mapambano bila kuchoka
      USTAADHI likes this.

    14. #12
      Mrdash1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,379
      Rep Power : 1459
      Likes Received
      305
      Likes Given
      201

      Default Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi







      • Mlengo wa Kati

        Today 15:40
        #5

        JF Senior Expert Member


        Join Date : 16th February 2011
        Posts : 552

        Rep Power : 22


        Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

        Kashindye Atachua miaka 10 kwenda haja kubwa maana ng'ombe 12 kala wote si mchezo!

        • Hivi huu u Senior Expert hapa JF unaapitakanaje?



    15. #13
      Rose Mutwe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Posts : 13
      Rep Power : 382
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

      Quote By Mlengo wa Kati
      Kashindye Atachua miaka 10 kwenda haja kubwa maana ng'ombe 12 kala wote si mchezo!
      Kashidye kwakuwa ni mtu wa watu hakula peke yake, angekuwa Dr Kafumu angebeba kwenda kulia DSM kama walivyofanya sherehe ya kumpongeza. Kura wapige wana Igunga, sherehe wafanye watu wa DSM wapi na wapi?

    16. #14
      Mufiyakicheko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Posts : 855
      Rep Power : 654
      Likes Received
      82
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By only83
      Kafumu anakula kiyoyozi bungeni na ameanza kusinzia maana hajui la kufanya....well done Mwl Kashindye.....

      siku anaapiswa bungeni mikono inatetemeka sijuwi ni kwanini naona hakuamini

    17. #15
      mopaomokonzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2011
      Posts : 257
      Rep Power : 445
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

      Mjinga ndie aliwaye anapozwa kwa ng'ombe? Anatia huruma huyu mchizi.Kafumu ameshaapa unategemea kesi kweli? Ila kupewa ng'ombe sio kigezo maana hata Mwigulu alipewa kwa kuendesha kampeni hivyo hata Kafumu anaweza kuchinjiwa tu

    18. #16
      kweleakwelea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2010
      Posts : 1,291
      Rep Power : 703
      Likes Received
      233
      Likes Given
      488

      Default Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

      mopao mokonzi nilizani uko mbeya kutuliza vurugu!

    19. #17
      chitambikwa's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Location : KAISHO
      Posts : 3,163
      Rep Power : 1958
      Likes Received
      573
      Likes Given
      424

      Default Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

      aliyetangaza mbunge alikimbilia kufanya shereha ughaibuni(dar)
      IT IS TO THOSE WITHOUT TEETH GOD GIVES MEAT

    20. #18
      MBUFYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th August 2011
      Posts : 384
      Rep Power : 468
      Likes Received
      56
      Likes Given
      24

      Default

      Quote By jigoku
      Hongera kamanda Kashindye,hata mimi huku nakutambua wewe ndio Mbunge wa Igunga.
      Tusubiri 2015 itafika tu lakini endelea na harakati na mapambano bila kuchoka
      Hebu fasnya hatujui kwa nini achinjiwe ngombe! kafanya nini?

    21. #19
      Mbopo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2008
      Posts : 2,531
      Rep Power : 1083
      Likes Received
      375
      Likes Given
      13

      Default Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

      Quote By kweleakwelea
      hi all,

      wakati mapokezi ya mbunge wa ccm igunga dr kafumu yakidorora yakifanyikia ndani ya kumbi za makao makuu ccm taifa pale dodoma (yasingeweza kufanyika katika open ground), aliyekuwa mgombea wa chadema kashidye ameendelea kuchinjiwa ngombe katika kata za igunga kama kumpongeza kwa kushinda uchaguzi ule.

      wakazi wa igunga wanaendelea kumpongeza kashindye kwa kushinda uchaguzi na kwamba wao wanamtambua kama mbunge wao.

      teyari hadi tunaenda mitamboni, ameishachinjiwa ng'ombe katika kata 12 za igunga...

      naomba kuwakilisha!
      Wacha wajidanganye. Dunia inamjua mbunge wa Igunga.

    22. #20
      USTAADHI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th July 2011
      Posts : 512
      Rep Power : 498
      Likes Received
      92
      Likes Given
      78

      Default Re: Igunga - mpaka sasa Kashindye kachinjiwa ng'ombe 12 za pongezi

      Quote By mopaomokonzi
      Mjinga ndie aliwaye anapozwa kwa ng'ombe? Anatia huruma huyu mchizi.Kafumu ameshaapa unategemea kesi kweli? Ila kupewa ng'ombe sio kigezo maana hata Mwigulu alipewa kwa kuendesha kampeni hivyo hata Kafumu anaweza kuchinjiwa tu
      nyie wajinga wa magamba mko kama fungus target yenu is to rotten the nation! kashindye ni mbunge sababu ndiye mwenye ushawishi elewa kama hujala gamba la mamba

    23. Miaka 50
    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 64
      Last Post: 15th October 2011, 05:27
    2. Replies: 0
      Last Post: 3rd October 2011, 08:44
    3. Kumbe Kashindye (MB-Igunga)........
      By pascaldaudi in forum Chaguzi Ndogo
      Replies: 17
      Last Post: 29th September 2011, 22:28
    4. Igunga: Kashindye wa CHADEMA afunika kijiji cha Matinje
      By politiki in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 48
      Last Post: 23rd September 2011, 17:34
    5. Replies: 117
      Last Post: 20th August 2011, 10:27

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...