Go Back   JamiiForums.com > Public Forums > Celebrities Forum

Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
  #71 (permalink)  
Old 21st November 2008, 08:24 PM
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Sun Jul 2007
Posts: 493
Rep Power: 22
Hofstede has much to be proud ofHofstede has much to be proud ofHofstede has much to be proud ofHofstede has much to be proud ofHofstede has much to be proud ofHofstede has much to be proud ofHofstede has much to be proud ofHofstede has much to be proud of
Thanks: 215
Thanked 289 Times in 176 Posts
Credits: 3,400,805
Default Re: Siri ya SHENI

Hivi huyu jamaa alikuwa ni chaguo la JK 2005 katika hiyo post au kamati kuu ilimchagulia JK, kwa wale waliofuatilia mchakato ule dodoma 2005, Baada ya kura kuhesabiwa na JK kuibuka CCM Nominee, Mkapa aliposema Sasa kamati kuu inaenda kukutana kutoa jina la makamu wa rais, sura ya JK ilibadilika kama mtu aliyepigwa butwaa vile.

My take:
Mi nafikiri wanamtandao walikuwa na mtu wao kwa post hii, na ndiyo maana huyu VP wetu amepewa role ya ajabu ajabu, wanasema akufukuzae hakwambii toka, ukiona kwenye mechi wenzako hawakupi pasi basi ujue wanakuona huwezi kumiliki mpira. Huyu Sheni hiki nafikiri kitakuwa kipindi chake cha mwisho 2010 atajiuzulu na muungwana atachagua mtu mwingine.
Reply With Quote


  #72 (permalink)  
Old 21st November 2008, 08:40 PM
mbarikiwa's Avatar
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Sat Mar 2008
Location: White house
Posts: 346
Rep Power: 21
mbarikiwa has much to be proud ofmbarikiwa has much to be proud ofmbarikiwa has much to be proud ofmbarikiwa has much to be proud ofmbarikiwa has much to be proud ofmbarikiwa has much to be proud ofmbarikiwa has much to be proud ofmbarikiwa has much to be proud of
Thanks: 267
Thanked 141 Times in 97 Posts
Credits: 3,147
Default Re: Siri ya SHENI

Quote:
Originally Posted by Hofstede View Post
Hivi huyu jamaa alikuwa ni chaguo la JK 2005 katika hiyo post au kamati kuu ilimchagulia JK, kwa wale waliofuatilia mchakato ule dodoma 2005, Baada ya kura kuhesabiwa na JK kuibuka CCM Nominee, Mkapa aliposema Sasa kamati kuu inaenda kukutana kutoa jina la makamu wa rais, sura ya JK ilibadilika kama mtu aliyepigwa butwaa vile.

My take:
Mi nafikiri wanamtandao walikuwa na mtu wao kwa post hii, na ndiyo maana huyu VP wetu amepewa role ya ajabu ajabu, wanasema akufukuzae hakwambii toka, ukiona kwenye mechi wenzako hawakupi pasi basi ujue wanakuona huwezi kumiliki mpira. Huyu Sheni hiki nafikiri kitakuwa kipindi chake cha mwisho 2010 atajiuzulu na muungwana atachagua mtu mwingine.
2010 atateuliwa Shamsi Vuai Nahodha kuwa makamu wa Raisi wa Tanzania.
__________________
Mbarikiwa Anayebarikiwa
Sahih Bukhari Volume 8 Book 82 #803:
from 'Ali when the latter stoned a lady to death on a Friday. 'Ali said, "I have stoned her according to the tradition of Allah's Apostle."
Reply With Quote
  #73 (permalink)  
Old 21st November 2008, 09:15 PM
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Sun Jul 2007
Posts: 493
Rep Power: 22
Hofstede has much to be proud ofHofstede has much to be proud ofHofstede has much to be proud ofHofstede has much to be proud ofHofstede has much to be proud ofHofstede has much to be proud ofHofstede has much to be proud ofHofstede has much to be proud of
Thanks: 215
Thanked 289 Times in 176 Posts
Credits: 3,400,805
Default Re: Siri ya SHENI

Quote:
Originally Posted by mbarikiwa View Post
2010 atateuliwa Shamsi Vuai Nahodha kuwa makamu wa Raisi wa Tanzania.
Kwa nini asiwe Shamhuna?, nafikiri atachukua shamhuna maana ndiyo anaonekana ni chokochoko cha muungano na njia pekee ni kumpa post kama hiyo kumtuliza.
Reply With Quote
  #74 (permalink)  
Old 22nd November 2008, 01:47 AM
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Tue Aug 2006
Location: Tampere
Posts: 2,495
Rep Power: 4027
Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!
Thanks: 544
Thanked 801 Times in 545 Posts
Credits: 83,172
Send a message via MSN to Kibunango Send a message via Yahoo to Kibunango
Default Re: Siri ya SHENI

Quote:
Originally Posted by Hofstede View Post
Kwa nini asiwe Shamhuna?, nafikiri atachukua shamhuna maana ndiyo anaonekana ni chokochoko cha muungano na njia pekee ni kumpa post kama hiyo kumtuliza.
Shamhuna anataka kiti cha Zenj...Hata hivyo upepo bado kuwa upande wake
__________________
Save Water Drink Beer "Beer helping ugly people to have sex..."
Vituko Vya Zenj
Reply With Quote
  #75 (permalink)  
Old 22nd November 2008, 10:31 PM
Senior Member
 
Join Date: Thu Apr 2008
Posts: 68
Rep Power: 21
Sabri-bachani has much to be proud ofSabri-bachani has much to be proud ofSabri-bachani has much to be proud ofSabri-bachani has much to be proud ofSabri-bachani has much to be proud ofSabri-bachani has much to be proud ofSabri-bachani has much to be proud ofSabri-bachani has much to be proud of
Thanks: 27
Thanked 17 Times in 12 Posts
Credits: 2,392
Default Re: Siri ya SHENI

Quote:
Originally Posted by Kibunango View Post
Shamhuna anataka kiti cha Zenj...Hata hivyo upepo bado kuwa upande wake
Khee!!! Shamhuna hana bao ni ziro. Na tafadhali usiwe mpambe wake utaula na chuwa.
Reply With Quote
  #76 (permalink)  
Old 22nd November 2008, 11:47 PM
bokassa's Avatar
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Sat May 2007
Location: iloganzala
Posts: 414
Rep Power: 22
bokassa has much to be proud ofbokassa has much to be proud ofbokassa has much to be proud ofbokassa has much to be proud ofbokassa has much to be proud ofbokassa has much to be proud ofbokassa has much to be proud ofbokassa has much to be proud of
Thanks: 11
Thanked 111 Times in 86 Posts
Credits: 9,199
Default Re: Siri ya SHENI

VP atakuwa jamaa anaitwa KOMBO MAKAME MWINYIUSI, jamaa vere potenshoo!!!
__________________
A man who views the world the same at fifty as he did at twenty has wasted thirty years of his life. Muhammad Ali
Reply With Quote
  #77 (permalink)  
Old 23rd November 2008, 03:21 PM
Senior Member
 
Join Date: Sat Jun 2008
Posts: 57
Rep Power: 21
Spear has much to be proud ofSpear has much to be proud ofSpear has much to be proud ofSpear has much to be proud ofSpear has much to be proud ofSpear has much to be proud ofSpear has much to be proud ofSpear has much to be proud of
Thanks: 0
Thanked 16 Times in 13 Posts
Credits: 2,692
Wink Re: Siri ya SHENI

Quote:
Originally Posted by mbarikiwa View Post
2010 atateuliwa Shamsi Vuai Nahodha kuwa makamu wa Raisi wa Tanzania.
Hakuna shaka lakuvunda halina ubani Jee wachangia mada mmnajuwa maana ya ngombe kutiwa shemere nawaachieni fumbo hilo

Last edited by Spear; 23rd November 2008 at 03:23 PM. Reason: kuchanganya harufi
Reply With Quote
  #78 (permalink)  
Old 23rd November 2008, 05:12 PM
Calnde's Avatar
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Tue Oct 2008
Location: Still looking where to settle
Posts: 346
Rep Power: 21
Calnde has much to be proud ofCalnde has much to be proud ofCalnde has much to be proud ofCalnde has much to be proud ofCalnde has much to be proud ofCalnde has much to be proud ofCalnde has much to be proud ofCalnde has much to be proud of
Thanks: 98
Thanked 98 Times in 66 Posts
Credits: 8,153
Default Re: Siri ya SHENI

Quote:
Originally Posted by bokassa View Post
VP atakuwa jamaa anaitwa KOMBO MAKAME MWINYIUSI, jamaa vere potenshoo!!!
Tupe details zake mzee na sisi tusiomfahamu tumfahamu!
__________________
In the end will remember,not the words of our enemies but the silence of our friends.
Reply With Quote
  #79 (permalink)  
Old 27th November 2008, 03:52 AM
Ushirombo's Avatar
JF Senior & Premium Member
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Lahore
Posts: 872
Rep Power: 63
Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!
Thanks: 203
Thanked 518 Times in 285 Posts
Credits: 55,951
Default Re: Siri ya SHENI

Quote:
Originally Posted by Mwafrika wa Kike View Post
Dr Shein karibu marekani ukipata nafasi na wewe ufanye shopping kama wenzako.
Yuko busy anakagua nyanya...Shein bwana is a Character
Attached Images
File Type: jpg Nyanya271108.JPG (58.5 KB, 35 views)
__________________
""Without knowledge, there is no freedom." — Anon."
Reply With Quote
  #80 (permalink)  
Old 1st December 2008, 02:48 PM
Senior Member
 
Join Date: Fri Aug 2008
Posts: 98
Rep Power: 21
Lorah has much to be proud ofLorah has much to be proud ofLorah has much to be proud ofLorah has much to be proud ofLorah has much to be proud ofLorah has much to be proud ofLorah has much to be proud ofLorah has much to be proud of
Thanks: 2
Thanked 29 Times in 22 Posts
Credits: 3,795
Default Re: Siri ya SHENI

Quote:
Originally Posted by mbarikiwa View Post
2010 atateuliwa Shamsi Vuai Nahodha kuwa makamu wa Raisi wa Tanzania.
mhhh na Dr Slaa au maana kikwete out CCM out?
Reply With Quote
Reply

Bookmarks


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are On
Pingbacks are On
Refbacks are On

Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Siri Ya Spika Kuhairisha Safari Yafichuka shukurani Jukwaa la Siasa 2 5th February 2008 09:22 AM
Ballali ana siri nzito Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 2 14th January 2008 06:20 PM
Dk. Slaa: Nina siri nyingine nzito Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 2 13th January 2008 05:57 PM
mapolisi wafichua siri nzito Jembajemba Jukwaa la Siasa 9 24th July 2007 08:32 PM


All times are GMT +3. The time now is 04:55 PM.



Copyright JamiiForums.com