Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwenye CV ya Charles Kitwanga (Kipengele cha Education) anipe

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 88
    1. #1
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,969
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      409

      Default Mwenye CV ya Charles Kitwanga (Kipengele cha Education) anipe

      Huyu jamaa ni full majungu na ni fisadi kiaina.

      Kada wa CCM. Mtumishi wa Benki Kuu. Amevuruga kampuni waliyoanzisha watu wanne kiasi kwamba sasa ina hali mbaya. Wahindi wameipiga bao. Kupewa Wizara ni njia ya kumsaidia kurudisha pesa yake aliyofilisi kampuni aliyobuni na wenzake. Wala siyo muadilifu kama tulivyopotoshwa na JK. Ana lake jambo.

      Pia ni swahiba wa Pombe (J. Magufuli).

      Haiwezekani kuingia tu bungeni na kuwa Naibu Waziri. Kwani yeye nani?

      Naomba CV yake.

      (Udini nimepumzika kwanza.Nina deal na Mkristu mwenzangu Kitwanga. Maana mods wanaondoa kila uzi ninao-post hata kama una maslahi kwa Taifa. Wanaacha Malaria Sugu na nyuzi zake za kizushi anatamba. Poa tu. Sijui hii ikoje?)
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Vitendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2009
      Posts : 555
      Rep Power : 607
      Likes Received
      44
      Likes Given
      49

      Default Re: Mwenye CV ya Charles Kitwanga( Kipengele cha Education) Anipe

      Dk. Terezya Luoga-Hovisa
      Kassim Majaliwa
      Gregory Teu
      Pereira Ame Silima
      Omary Nundu
      Gerson Lwinge
      Dk. Haji Hussein Mpanda.
      Hao wote ni wapya katika Bunge na kwenye wizara pia.Labda kama ina mengine ila hoja ya kuwa Mawe Matatu kaingia tu na kupewa unaibu haina mshiko.
      anaweza kuwa alipimwa kwa utendaji mzuri akiwa Bodi ya wakandarasi kama mwenyekiti na huko BOT.
      Kuhusu hiyo company ni ipi?kama Ni Infosys naona bado iko poa na inapiga kazi NBC hadi sasa.

    4. #3
      eliesikia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Location : Nairobi
      Posts : 398
      Rep Power : 517
      Likes Received
      63
      Likes Given
      71

      Default Re: Mwenye CV ya Charles Kitwanga (Kipengele cha Education) anipe

      Hoja nyingine hazina msingi.... Watu kibao ni wapya...
      Kitwanga ni msomi wa chuo kikuu dar 1987 Bsc Computing Science n Maths.... Amefanya sana kazi benki kuu kama mdogo hadi kuwa bosi kwa awamu pale IT department...
      Kuhusu infosys ni nzima watu wameenda kufanya biashara na ni ma-agent wa kuaminika wa dell....
      Kuhusu uzoefu... Mpaka sasa ni mwenyekiti wa CRB (Contractors Reg Board)
      SIKU ZOTE KAA KIMYA ILI WALAU TUDHANIE UNA BUSARA.!!

    5. #4
      StaffordKibona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2008
      Location : Tabora
      Posts : 673
      Rep Power : 700
      Likes Received
      28
      Likes Given
      2

      Default Re: Mwenye CV ya Charles Kitwanga (Kipengele cha Education) anipe

      Quote By eliesikia
      Hoja nyingine hazina msingi.... Watu kibao ni wapya...
      Kitwanga ni msomi wa chuo kikuu dar 1987 Bsc Computing Science n Maths.... Amefanya sana kazi benki kuu kama mdogo hadi kuwa bosi kwa awamu pale IT department...
      Kuhusu infosys ni nzima watu wameenda kufanya biashara na ni ma-agent wa kuaminika wa dell....
      Kuhusu uzoefu... Mpaka sasa ni mwenyekiti wa CRB (Contractors Reg Board)
      Ahsante Mkuu Eliesikia. Hiyo short profile ya Charles ni sahihi kabisa.

    6. #5
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,601
      Rep Power : 22055
      Likes Received
      994
      Likes Given
      777

      Default Re: Mwenye CV ya Charles Kitwanga (Kipengele cha Education) anipe

      Watu mna hasira na hawa wapya!
      Hamjui walienda safisha nyota kwa yahya
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,969
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      409

      Default Kila Mtu na Wake. Mimi na Charles Kitwanga

      Nakumbuka sana. JK wakati anaanza kuitwa Rais (kwa sifa na majivuno, si kwa utendaji) alijigamba serikali yake 'haina ubia na mtu'. akaendelea zaid kusema ufike wakati wa 'kutenganisha biashara na siasa'

      Sass huyu JK? Vipi?

      Mbona Kitwanga aka Mawe Matatu ni mfanya biashara? Mbona amempa uwaziri? Au ndiyo kupozana? Kwa sababu 2005 alimwagwa kwenye kura za maoni?

      Eeeh? Nauliza.

      JK huyuhuyu hivi majuzi alikuja na staili ya kuwa atatuchagulia mawaziri 'waadilif na wachapakazi'. Vipi? Mbona Kitwanga siyo muadilifu? Mtu aliyevuruga kampuni aliyoanzisha na wenzake anafaa vipi kuwaongoza WaTz? Amesababisha kampuni kupoteza ma-Engineer na kupoteza wateja wakubwa kama NMB? Amesababisha mmoja wa wakrugenzi walioanzisha kampuni kujitoa licha ya mkurugenzi huyo kusaidia kupiga debe k=kampuni kupewa hadhi ya kuwa wakala wa DELL Tanzania? Kama ameshindwa kuongoza kampuni ya watu wasiozidi 100 ataweza Wizara inayotazamwa na WaTz 4 000 000?

      Kama kuna uteuzi wenye utata uliofanywa na JK ni huu wa kumpa Kitwanga wizara. Ni urafiki na kujuana tu. Amempa ili iwe rahisi kupata tenda za kuuza computer za DELL kwenye taasisi za serikali....siasa na biashara damdam.

      Hapo tu huwa simuamini JK.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    9. Iza
      #7
      Iza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2009
      Location : palipo na Internet
      Posts : 1,634
      Rep Power : 854
      Likes Received
      232
      Likes Given
      368

      Default Re: Kila Mtu na Wake. Mimi na Charles Kitwanga

      Kujuana na kulindana ndio msingi wa kupata viongozi hapa kwetu...kazi tunayo wacha tupiganie katiba mpya..
      Fikiria kwa u-makini...!

    10. #8
      The Good's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th May 2010
      Posts : 111
      Rep Power : 478
      Likes Received
      13
      Likes Given
      1

      Default Re: Kila Mtu na Wake. Mimi na Charles Kitwanga

      Quote By Jerusalem
      Nakumbuka sana. JK wakati anaanza kuitwa Rais (kwa sifa na majivuno, si kwa utendaji) alijigamba serikali yake 'haina ubia na mtu'. akaendelea zaid kusema ufike wakati wa 'kutenganisha biashara na siasa'

      Sass huyu JK? Vipi?

      Mbona Kitwanga aka Mawe Matatu ni mfanya biashara? Mbona amempa uwaziri? Au ndiyo kupozana? Kwa sababu 2005 alimwagwa kwenye kura za maoni?

      Eeeh? Nauliza.

      JK huyuhuyu hivi majuzi alikuja na staili ya kuwa atatuchagulia mawaziri 'waadilif na wachapakazi'. Vipi? Mbona Kitwanga siyo muadilifu? Mtu aliyevuruga kampuni aliyoanzisha na wenzake anafaa vipi kuwaongoza WaTz? Amesababisha kampuni kupoteza ma-Engineer na kupoteza wateja wakubwa kama NMB? Amesababisha mmoja wa wakrugenzi walioanzisha kampuni kujitoa licha ya mkurugenzi huyo kusaidia kupiga debe k=kampuni kupewa hadhi ya kuwa wakala wa DELL Tanzania? Kama ameshindwa kuongoza kampuni ya watu wasiozidi 100 ataweza Wizara inayotazamwa na WaTz 4 000 000?

      Kama kuna uteuzi wenye utata uliofanywa na JK ni huu wa kumpa Kitwanga wizara. Ni urafiki na kujuana tu. Amempa ili iwe rahisi kupata tenda za kuuza computer za DELL kwenye taasisi za serikali....siasa na biashara damdam.

      Hapo tu huwa simuamini JK.
      Ukisoma btn lines inaonekana kuna maswala binafsi hapa.

    11. #9
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,969
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      409

      Default Re: Kila Mtu na Wake. Mimi na Charles Kitwanga

      Quote By The Good
      Ukisoma btn lines inaonekana kuna maswala binafsi hapa.
      Lakini unakiri kimsingi kuwa jamaa siyo muadilifu, kinyume na tulivoahidiwa na JK
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    12. #10
      Anaruditena's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th April 2010
      Posts : 54
      Rep Power : 470
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Kila Mtu na Wake. Mimi na Charles Kitwanga

      Charles, sio mwadilifu kabisa katika nyanja zote - ni mmoja wa wamiliki wa Infosys. Wizi mtupu. Naibu waziri mawasiliano na sayansi na Teknlojia!

    13. #11
      kalikenye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2009
      Posts : 560
      Rep Power : 591
      Likes Received
      68
      Likes Given
      8

      Default Re: Kila Mtu na Wake. Mimi na Charles Kitwanga

      Quote By Anaruditena
      Charles, sio mwadilifu kabisa katika nyanja zote - ni mmoja wa wamiliki wa Infosys. Wizi mtupu. Naibu waziri mawasiliano na sayansi na Teknlojia!
      He!! Yamekuwa hayo tena. Atawezaje kutenganisha masilahi yake binafsi na mamlaka aliyopewa.

    14. #12
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,969
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      409

      Default Re: Kila Mtu na Wake. Mimi na Charles Kitwanga

      Ni mtu wa hongo.

      mtu wa mlungula

      mtu wa kitu kidogo

      alikuwa mwenyekiti wa ERB pamoja na kwamba kampuni yake ametimua wahandisi wote wenye akili na uwezo.

      alikuwa mwenyekiti wa ERB lakini muda wote kulikuwa na hadithi za kweli za maghorofa kuvunjika. yeye ilimradi umpe kitu kidogo poa tu. hata ujenge ghorofa kwa nondo za fito au kwa matope poa tu.

      Tz tumekwisha.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    15. #13
      Nakwetu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th April 2009
      Posts : 73
      Rep Power : 527
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Kila Mtu na Wake. Mimi na Charles Kitwanga

      Kichwa habari kizuri sana, nilifikiri unaandika jinsi wabunge wa Chadema kila mmoja alivyoenda bungeni na wake. Kama siyo mke basi ni mtoto au mkwe au hawara na limahamsha hasira sana kwa sisi wanawake wa Chadema. Tume ya uchaguzi imekaa kimya wala haikemei jambo hilo la vigogo Chadema kuchakachua hilo.

    16. #14
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,969
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      409

      Default Re: Kila Mtu na Wake. Mimi na Charles Kitwanga

      Quote By Nakwetu
      Kichwa habari kizuri sana, nilifikiri unaandika jinsi wabunge wa Chadema kila mmoja alivyoenda bungeni na wake. Kama siyo mke basi ni mtoto au mkwe au hawara na limahamsha hasira sana kwa sisi wanawake wa Chadema. Tume ya uchaguzi imekaa kimya wala haikemei jambo hilo la vigogo Chadema kuchakachua hilo.
      Mods muangalieni huyu mdau.

      Anataka kupotosha mada.

      anataka kufunika kombe. mwanaharamu (kitwanga) apite (uache kumjadili).

      majibu yako hayana maslahi kwa taifa. hoja yangu ina maslahi kwa taifa

      tuendelee na mada tafadhali.
      Last edited by Ng'wanangwa; 26th November 2010 at 09:17.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    17. #15
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6152
      Likes Given
      22273

      Default Re: Kila Mtu na Wake. Mimi na Charles Kitwanga

      Quote By Anaruditena
      Charles, sio mwadilifu kabisa katika nyanja zote - ni mmoja wa wamiliki wa Infosys. Wizi mtupu. Naibu waziri mawasiliano na sayansi na Teknlojia!
      Anarudi tena, hivi uadilifu wa mtu unapimwa kwa umasikini?.
      Infosys ni moja ya makampuni yenye mafanikio makubwa kutokana na kuwa ndio sole agent wa Dell, na miradi yote inayofadhiliwa na Benki ya Dunia, computers lazima ziwe Dell.

      Nijuavyo mimi, Kitangwa ni mmoja wa wakurugenzi, yeye ni mwajiriwa wa BOT. Kaka yake ni Singili mwenye Azania Bank, jamaa wana mafanikio sana kwenye kila wanapokanyaga, hebu angalieni lile jengo lao pale Msasani Beach lilivyo kivutia!.

      Hakuna ubishi, Tanzania ni nchi masikini, na Watanzania wengi tunaishi kwa lindi la umasikini uliotopea, hii isitufanye kijenga chuki na kila mwenye nacho, simply because wengine hatuna.
      Naamini mafanikio ya Infosys sasa yanahamishiwa pale wizarani.

    18. #16
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Re: Kila Mtu na Wake. Mimi na Charles Kitwanga

      Quote By Nakwetu
      Kichwa habari kizuri sana, nilifikiri unaandika jinsi wabunge wa Chadema kila mmoja alivyoenda bungeni na wake. Kama siyo mke basi ni mtoto au mkwe au hawara na limahamsha hasira sana kwa sisi wanawake wa Chadema. Tume ya uchaguzi imekaa kimya wala haikemei jambo hilo la vigogo Chadema kuchakachua hilo.
      Anzisha thread yako , tumia akili kidogo tu!
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    19. #17
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,969
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      409

      Default Re: Kila Mtu na Wake. Mimi na Charles Kitwanga

      Quote By Pasco
      Anarudi tena, hivi uadilifu wa mtu unapimwa kwa umasikini?.
      Infosys ni moja ya makampuni yenye mafanikio makubwa kutokana na kuwa ndio sole agent wa Dell, na miradi yote inayofadhiliwa na Benki ya Dunia, computers lazima ziwe Dell.

      Nijuavyo mimi, Kitangwa ni mmoja wa wakurugenzi, yeye ni mwajiriwa wa BOT. Kaka yake ni Singili mwenye Azania Bank, jamaa wana mafanikio sana kwenye kila wanapokanyaga, hebu angalieni lile jengo lao pale Msasani Beach lilivyo kivutia!.

      Hakuna ubishi, Tanzania ni nchi masikini, na Watanzania wengi tunaishi kwa lindi la umasikini uliotopea, hii isitufanye kijenga chuki na kila mwenye nacho, simply because wengine hatuna.
      Naamini mafanikio ya Infosys sasa yanahamishiwa pale wizarani.
      wewe una maslahi binafsi na kitwanga.

      kama angekuwa na hizo sifa unazompatia asingepoteza mktaba na nmb

      kama angekuwa na hizo sifa unazompatia asingepigwa chini kura za maoni mwaka 2005. kwa vyovyote vile safari hii katoa mlungula kupenya kura za maoni, siyo kama anakubalika.

      awe na pesa asiwe nazo is none of our business.

      where are the morals?
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    20. #18
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,812
      Rep Power : 1144
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Re: Kila Mtu na Wake. Mimi na Charles Kitwanga

      Quote By nakwetu
      kichwa habari kizuri sana, nilifikiri unaandika jinsi wabunge wa chadema kila mmoja alivyoenda bungeni na wake. Kama siyo mke basi ni mtoto au mkwe au hawara na limahamsha hasira sana kwa sisi wanawake wa chadema. Tume ya uchaguzi imekaa kimya wala haikemei jambo hilo la vigogo chadema kuchakachua hilo.
      chadema kila mtu bungeni ameenda na ukoo wake , hasa hasa wakina ndesamburo, mbowe nk. kila mtu ametoa viti maalum kwa watoto wake, wakwe, wajomba n. Hiki ni chama cha siasa kweli au kikabila? kweli 'kila mtu na wake kwa chadema'

    21. #19
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,969
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      409

      Default Re: Kila Mtu na Wake. Mimi na Charles Kitwanga

      Quote By ThinkTwice
      chadema kila mtu bungeni ameenda na ukoo wake , hasa hasa wakina ndesamburo, mbowe nk. kila mtu ametoa viti maalum kwa watoto wake, wakwe, wajomba n. Hiki ni chama cha siasa kweli au kikabila? kweli 'kila mtu na wake kwa chadema'
      changia mada. usianzishe mada ndani ya mada.

      peleka madai yako kwenye jukwaa la udaku.

      hapa tunajadili ishu sirias
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    22. #20
      Songambele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2007
      Posts : 745
      Rep Power : 741
      Likes Received
      74
      Likes Given
      188

      Default Re: Kila Mtu na Wake. Mimi na Charles Kitwanga

      Ndio tatizo lenu wabongo, msimjue mtu hata kidogo inakuwa nongwa. Kama aliweza kuanzisha kampuni na ikasimama na kutoa ajira basi anafaa manake kuna babu zenu wako bungeni toka uhuru lakini hawana hata duka la kuajiri watu wawili na katika payroll wanaondoka na 7digits kitambo.

      Mapungufu kila mtu anayo hata wewe unayo, lakini isiwe ndio sababu ya kusimamia vidole gumba kuleta utata.
      You can't fight ignorance with knowledge!

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 9
      Last Post: 30th September 2011, 10:49
    2. Charles kitwanga "mawe matatu"
      By MwanaCCM in forum Celebrities Forum
      Replies: 8
      Last Post: 26th August 2011, 13:45
    3. Tetesi: WanaJF!! Naombeni niulize hili kwa anayejua anipe jb KUHUSU MAMBO YA SIMU! Nina hofu!
      By LiverpoolFC in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 11
      Last Post: 5th August 2011, 00:03
    4. Waziri KITWANGA alipoikubali CHADEMA mbele ya hadhara....
      By Manyanza in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 7
      Last Post: 3rd February 2011, 17:55

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...