Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

    Report Post
    Page 1 of 10 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 186
    1. #1
      mfianchi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Location : Likulufusi
      Posts : 3,646
      Rep Power : 1240
      Likes Received
      612
      Likes Given
      1266

      Default Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      Niko Old Bagamoyo road nasikia ving'ora vinapigwa kutoka kwenye gari inabidi kuweka gari pembeni nikihisi ni Mheshimiwa au mgonjwa anapita nashangaa kuona Hummer nyekundu na msururu wa magari ukipita kwa kasi na hayo magari yamebandikwa Picha ya mheshimiwa askofu anakaribishwa nyumbani.

      Sijui huyu bwana karuhusiwa na nani kwa kutupigia ving'ora na kupita kwa kasi kama kiongozi wa nchi. Sasa hata matapeli wanajidai hii nchi sijui tunaenda wapi?

      3D. likes this.


    2. #2
      Bill's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Posts : 1,669
      Rep Power : 931
      Likes Received
      303
      Likes Given
      210

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Ala, sasa huu uwenda wazimu, haiwezekani mtu tu anajiamulia kupiga ving'ora kutokea kusikojulikana.
      "Wanafunzi wanaopata Mimba ni kwa sababu ya kiherehere chao" JK 2010.

    3. #3
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,348
      Rep Power : 3064
      Likes Received
      3109
      Likes Given
      4230

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      TZ kuliko unavyoijua bana!!
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    4. #4
      Ngambo Ngali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2009
      Posts : 2,591
      Rep Power : 1036
      Likes Received
      537
      Likes Given
      410

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Quote By mfianchi View Post
      Niko Old Bagamoyo road nasikia ving'ora vinapigwa kutoka kwenye gari inabidi kuweka gari pembeni nikihisi ni Mheshimiwa au mgonjwa anapita nashangaa kuona Hummer nyekundu na msururu wa magari ukipita kwa kasi na hayo magari yamebandikwa Picha ya mheshimiwa askofu anakaribishwa nyumbani.

      Sijui huyu bwana karuhusiwa na nani kwa kutupigia ving'ora na kupita kwa kasi kama kiongozi wa nchi. Sasa hata matapeli wanajidai hii nchi sijui tunaenda wapi?
      Sioni cha ajabu kwani Mamiss wanasindikizwa na msafara kuzunguka DSM, juzi bia ya ndovu ilikuwa na itifaki yake toka airport, basi ujue hakuna formula yoyote anaweza kufanya chochote hapa bongo usishangae ndugu yangu.
      Injustice anywhere is a threat to justice everywhere.

    5. #5
      damn's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Posts : 407
      Rep Power : 555
      Likes Received
      15
      Likes Given
      43

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      TZ hata kama umebeba bangi unaweza kupiga king'ora na polisi waka clear njia for you. as long as you are driving an expensive car.
      Masaki, MwanaFalsafa1, 3D. and 1 others like this.
      Without a possibility of change in meanings human communication could not perform its present functions.


    6. #6
      Anyisile Obheli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2009
      Location : Rohoni
      Posts : 3,261
      Rep Power : 1129
      Likes Received
      69
      Likes Given
      82

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      umekichukia king'ora? au umemchukia alibebwa na ham'ma?
      sijaona tatizo, ukiona hivyo si lazima uruhusiwe na mtu
      kiongozi wa kiroho ni mkubwa kuliko, kiongozi wa kundi la wezi
      hata ana kofia ya kuwa raisi, any way hii ni nchi yetu na wananchi ndiyo sisi,
      hata mimi hakuna kitu kinachoniudhi kama makelele ya adhana
      Billie likes this.
      ........................HAKUNA TIBA YA KIFO............
      HESHIMU WATU NA PIA JIHESHIMU, KISHA, MPENDE MUNGU

    7. #7
      Malila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2007
      Posts : 2,616
      Rep Power : 10977
      Likes Received
      891
      Likes Given
      455

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Ndani ya Tz yote yanawezekana, juzi si umesikia dogo alikula lifti ya polisi toka mikumi hadi dar akiwa na fulushi la bangi kiulaini kabisa. Na wale jamaa wanaofunga mtaa kwa sababu ya ngoma(sijui na nini vile) usiku kucha vipi nao. Bongo tambalale.
      Mtu mwema huacha urithi kwa wana wa wanawe.

    8. #8
      bitimkongwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2009
      Posts : 1,659
      Rep Power : 822
      Likes Received
      203
      Likes Given
      83

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Quote By anyisile obheli View Post
      umekichukia king'ora? au umemchukia alibebwa na ham'ma?
      sijaona tatizo, ukiona hivyo si lazima uruhusiwe na mtu
      kiongozi wa kiroho ni mkubwa kuliko, kiongozi wa kundi la wezi
      hata ana kofia ya kuwa raisi, any way hii ni nchi yetu na wananchi ndiyo sisi,
      hata mimi hakuna kitu kinachoniudhi kama makelele ya adhana
      Usije ukadondoka kwa kijiba cha roho mwe!

    9. #9
      Ubungoubungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th July 2008
      Posts : 2,043
      Rep Power : 964
      Likes Received
      340
      Likes Given
      33

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      nenda west africa ukaone..ni kitu cha kawaida...ungejua hao ndo wanaowaombea hata nyie msingewasumbua...umeona wivu au una matatizo gani..
      Vita na chuki za kidini, hazinaga mshindi, washindwa huwa pande zote mbili! na viongozi wa chuki hizo huwa hawaishi sana, Mungu anawalaani mapemaaaa!

    10. #10
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,713
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Kuna kuja utawala mwingine , kuna watu wamekosa platform..na ndio hao ambao wanaweza hata kuwalaza chini, kuwashindisha njaa, kuwatia umasikini na kuwadumaza fikra wale wasiojua kweli huku wakitakiwa kuimba na kusujudu...
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    11. #11
      Mwana wa Mungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2008
      Posts : 989
      Rep Power : 750
      Likes Received
      16
      Likes Given
      6

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Quote By ngoshwe View Post
      Kuna kuja utawala mwingine , kuna watu wamekosa platform..na ndio hao ambao wanaweza hata kuwalaza chini, kuwashindisha njaa, kuwatia umasikini na kuwadumaza fikra wale wasiojua kweli huku wakitakiwa kuimba na kusujudu...
      Gwajima alikuwa anatoka Japan na korea kuhubiri amekuwako huko kwa miezi kadhaa, washirika wake ambao ni walipa kodi walikuwa wanampokea..wala hahitaji publicity kama unavyofikiri..kanisa lake lina watu si chini ya elfu ishirini na tano, kama publicity alishapata hadi amechoka...nakushauri nenda hapa...

      Ufufuo na Uzima

      gctc

      iyo gari mnayompiga nayo mawe, amepewa huko huko japan kama zawadi kwasababu anahubiri sana huko japan, korea na china,,,,waumini wake wamemnunulia na ni haki yake kuliendesha...wala msihangaike hivyo...mwacheni ahubiri injili, na mwacheni waumini wake wamfurahie kwa kurudi kwake...
      wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika kuwa watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio Jina lake!

    12. #12
      Mwana wa Mungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2008
      Posts : 989
      Rep Power : 750
      Likes Received
      16
      Likes Given
      6

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika kuwa watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio Jina lake!

    13. #13
      Mwana wa Mungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2008
      Posts : 989
      Rep Power : 750
      Likes Received
      16
      Likes Given
      6

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika kuwa watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio Jina lake!

    14. #14
      Ubungoubungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th July 2008
      Posts : 2,043
      Rep Power : 964
      Likes Received
      340
      Likes Given
      33

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Quote By ngoshwe View Post
      Mzee Ubungo (LOL) sikudhani kama nawe upo miongoni mwao hao ...kama ndivyo basi umefilisika..ipo siku uatalalal nje na familia yako. BWANA ASIFIWE!
      wala haiko hivyo...mimi sikuwepo hapo, lakini nimefagilia sana walivyofanya, kusema kweli nimepigiwa simu na kuambiwa yaliyotokea kwasababu mimi siko hapo bongo,,na nimefurahi sana. kama niko bongo, saa hizi ni saa nane na nusu usiku kwa saa za Dsm, nani yuko macho kwenye computer sasahivi Dar?...

      unaposema nitalala nje na familia yangu, kwasababu gani? unajua kuna swali moja nilikuuliza ile majuzi kuwa "how old are you", kwasababu inaonyesha bado umri wako ni mdogo na ninaogopa kufupisha fikra zangu kujibizana na mtoto mdogo.....I wish you knew me, lakini bahati mbaya you will never know me kwasababu hapa tunatumia majina bandia...ila, nafikiri wa kulala nje ni wewe. hata kama siko miongoni mwao, I appreciate what they do, and siwezi kubisha kuwa, kile wanachofanya na mimi kimenifanya hadi nikawepo hapa kwenye nafasi niliyonayo, ambayo ni ya hali ya juu sana...nashukuru Mungu. ila nawaonea huruma watu walio mbali na upeo kama ngoshwe, kwasababu siku zote huwa wanapinga mambo ya Mungu, kwasababu tu wao ni wakatoliki.....wewe ndo utafilisika na si mimi...tupinge ndani ya miaka hii mitano nani kati yangu mimi na wewe atafisilika...you will remember these words...!!!!!!!!!!!!!
      Vita na chuki za kidini, hazinaga mshindi, washindwa huwa pande zote mbili! na viongozi wa chuki hizo huwa hawaishi sana, Mungu anawalaani mapemaaaa!

    15. #15
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,853
      Rep Power : 3796
      Likes Received
      1226
      Likes Given
      592

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Quote By mfianchi View Post
      Niko Old Bagamoyo road nasikia ving'ora vinapigwa kutoka kwenye gari inabidi kuweka gari pembeni nikihisi ni Mheshimiwa au mgonjwa anapita nashangaa kuona Hummer nyekundu na msururu wa magari ukipita kwa kasi na hayo magari yamebandikwa. Picha ya mheshimiwa askofu anakaribishwa nyumbani. Sijui huyu bwana karuhusiwa na nani kwa kutupigia ving'ora na kupita kwa kasi kama kiongozi wa nchi .sasa hata matapeli wanajidai hii ncxhi sijui tunaenda wapi
      Kaaz kwelikweli. Sasa huyu mkulu kama anapenda sifwa na utukufu kwanini asinunue helikopta yake ili at least asiwakwaze wengine wasiohusika?
      Moola's the motive

    16. #16
      Babuyao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2009
      Posts : 1,720
      Rep Power : 855
      Likes Received
      177
      Likes Given
      148

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Wewe unamdharau Askofu, eee! Unadhani ni mtu mdogo? Uliza wazee wako nao watakuambia. Acha apigiwe ving'ora bwana. Kwani nani mwenye hakimiliki ya hivyo vitu?
      God writes straight with crooked lines.

    17. #17
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,713
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Quote By Ubungoubungo View Post
      wala haiko hivyo...mimi sikuwepo hapo, lakini nimefagilia sana walivyofanya, kusema kweli nimepigiwa simu na kuambiwa yaliyotokea kwasababu mimi siko hapo bongo,,na nimefurahi sana. kama niko bongo, saa hizi ni saa nane na nusu usiku kwa saa za Dsm, nani yuko macho kwenye computer sasahivi Dar?...

      unaposema nitalala nje na familia yangu, kwasababu gani? unajua kuna swali moja nilikuuliza ile majuzi kuwa "how old are you", kwasababu inaonyesha bado umri wako ni mdogo na ninaogopa kufupisha fikra zangu kujibizana na mtoto mdogo.....I wish you knew me, lakini bahati mbaya you will never know me kwasababu hapa tunatumia majina bandia...ila, nafikiri wa kulala nje ni wewe. hata kama siko miongoni mwao, I appreciate what they do, and siwezi kubisha kuwa, kile wanachofanya na mimi kimenifanya hadi nikawepo hapa kwenye nafasi niliyonayo, ambayo ni ya hali ya juu sana...nashukuru Mungu. ila nawaonea huruma watu walio mbali na upeo kama ngoshwe, kwasababu siku zote huwa wanapinga mambo ya Mungu, kwasababu tu wao ni wakatoliki.....wewe ndo utafilisika na si mimi...tupinge ndani ya miaka hii mitano nani kati yangu mimi na wewe atafisilika...you will remember these words...!!!!!!!!!!!!!
      Quote By Ubungoubungo View Post
      nimekwambia siko Dar, pia sitembei kwa mguu mimi, ukipenda naweza kukusaidia hata wewe uondokane na kutembea kwa miguu. tuache bifu tuchangie mada, yatosha...
      Sina Bifu mzee..nakuambia ukweli halisi. Hata kama upo Mbingu ya saba ni vyema ukaelewa pia umri mkubwa, mahali ulipo, uwezo wako wa kifedha au mali, hadhi yako, elimu uiyonayo nk ni misingi tu ya kukusaidia wewe na jamii inayokutegemea ili hali kwa upande mwingine uweze kuishi vizuri na wenzako.

      Kufanikiwa kwako kielimu au kimali na kujua kwako mambo, isiwe chachu ya majigambo, dharau, kujikweza, kujitutumua na kujiona sasa wewe ni bora kuliko wengine katika kila kitu kwenye huu ulimwenguni. Vinginevyo, utaonekana limbukeni mabele ya waungwana!!. Fikra za mtu anayejua huwa aziendi na kujigamba, kujitetea kusiko kikomo, kuona yeye ni kila kitu nk. Uungwana ni pamoja na kukubali kukosolewa Kumbuka umri si tija katika kuyaona, kuyaelewa na kuyatafsri mambo bali ni kipimo tu cha kujua umekumaihs ya hapa duniani. Kwani hata busara ya mtu haipimwi kwa ukubwa wa umri wake.

      Na iwapo una umri mkubwa na umesoma, una mali nk na hutaki uelewa na kuona wenzio hawastaili kutoa hoja kwa uhuru, hiyo itakuwa ni kipimo cha mtu asiejua atokako wala aendako!.

      Tukitaka kujua ndani ya hili jukwaa nani yupo wapi, ana umri, ana elimu gani, anafanya nini, na anamiliki nini, nadhani hili jukwaa, unaweza kujiona wewe si kitu kabisa katika ulimwengu huu.

      Kila mtu ana haki ya kutoa maoni na mtazamo wake hapa na sio kushambuliana mzee. Kama umeelewa somo, chukua hatua za kiuungwana.

      Tuendelee kuchangia mada kwa amani na upendo mzee.
      Last edited by ngoshwe; 5th June 2010 at 10:21.
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    18. #18
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,136
      Rep Power : 9519
      Likes Received
      3234
      Likes Given
      1264

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Bora huyo alijiamulia kujiongoza wale wa TBL walikuwa na Traffic kabisa sijui yale mafuta ilijaza serikali kwenye pikipiki?
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    19. #19
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,136
      Rep Power : 9519
      Likes Received
      3234
      Likes Given
      1264

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Quote By Mwana wa Mungu View Post
      iyo gari mnayompiga nayo mawe, amepewa huko huko japan kama zawadi kwasababu anahubiri sana huko japan, korea na china,,,,waumini wake wamemnunulia na ni haki yake kuliendesha...wala msihangaike hivyo...mwacheni ahubiri injili, na mwacheni waumini wake wamfurahie kwa kurudi kwake...
      Dah mm hii sikuijua kabisa kha!
      Kakobe nae huwa anapiga piga route za huko sijui atapewa helcopter au kondoo wamekimbia?
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    20. #20
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 15,046
      Rep Power : 3721
      Likes Received
      3618
      Likes Given
      5870

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      siku hizi watu wameamua kujichukulia madaraka ,,sijui hawaelewi maana ya ving'ora?
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..
      Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma

    Page 1 of 10 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Mbunge Godbless Lema awa mwana maombi ya ufufuo
      By NIMEKIMBIA CCM in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 34
      Last Post: 9th December 2011, 10:52
    2. Usalama barabarani isiwe ajali barabarani
      By Njowepo in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 31st August 2011, 13:31
    3. Replies: 22
      Last Post: 16th April 2010, 17:07

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...