Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

    Report Post
    Page 5 of 10 FirstFirst ... 34567 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 186
    1. #1
      mfianchi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Location : Likulufusi
      Posts : 3,646
      Rep Power : 1240
      Likes Received
      612
      Likes Given
      1266

      Default Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      Niko Old Bagamoyo road nasikia ving'ora vinapigwa kutoka kwenye gari inabidi kuweka gari pembeni nikihisi ni Mheshimiwa au mgonjwa anapita nashangaa kuona Hummer nyekundu na msururu wa magari ukipita kwa kasi na hayo magari yamebandikwa Picha ya mheshimiwa askofu anakaribishwa nyumbani.

      Sijui huyu bwana karuhusiwa na nani kwa kutupigia ving'ora na kupita kwa kasi kama kiongozi wa nchi. Sasa hata matapeli wanajidai hii nchi sijui tunaenda wapi?

      3D. likes this.


    2. #81
      MNDEE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2009
      Location : Land of Lakes
      Posts : 491
      Rep Power : 604
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Quote By Mwana wa Mungu View Post
      ndugu yangu, wakubwa waliingilia kati pamoja na familia wakawa hawataki iyo itokee, lakini kama wasingefanya ivyo, amina chifupa angerudi laivu, ..waliogopa mvurugano utatokea huko kwa wakubwa kwasababu kuna siri nyingi sana kwenye hiyo selikali yenu. hivyo ilibidi waombe jamaa asimrudishe..
      Duu hii kali, hivyo ule ufufuo tulioahidiwa ndio basi tena, kama huyu bwana keshaanza hiyo kazi by the time Yesu anarudi kaburini hakuna mtu

    3. #82
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,713
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      Quote By Ubungoubungo View Post
      mbona una nikoti mimi, kwani nani kakwambia mimi nilikuwa nakuongelea wewe ngoshwe? unajishuku nini mkuu? by the way, nashukuru kunikumbusha huko bush party nilikokuwa nimetupwa na wazee nikajifunze kuishi....


















      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    4. #83
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,511
      Rep Power : 41651
      Likes Received
      6281
      Likes Given
      1089

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Quote By anyisile obheli View Post
      umekichukia king'ora? au umemchukia alibebwa na ham'ma?
      sijaona tatizo, ukiona hivyo si lazima uruhusiwe na mtu
      kiongozi wa kiroho ni mkubwa kuliko, kiongozi wa kundi la wezi
      hata ana kofia ya kuwa raisi, any way hii ni nchi yetu na wananchi ndiyo sisi,
      hata mimi hakuna kitu kinachoniudhi kama makelele ya adhana
      Kiongozi wa kiroho naye ni mwizi tu.

      Kwanza hiyo roho iko wapi? Inakaa wapi katika mwili wa binadamu? Huyo mungu mwenyewe yuko wapi?

      Uongo mtupu. Bora hata hao viongozi wa kisiasa wanadanganya kuhusu dunia hii, hao "viongozi wa kiroho" ndio majambazi wakubwa kwani wanadanganya watu kuhusu mbingu ambayo hamna mtu aliyefika.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    5. #84
      asagulaga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th February 2010
      Posts : 66
      Rep Power : 489
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Rafiki, Mbingu ipo na Mungu yupo angalia maneno yako. Usikufuru

      Quote By Kiranga View Post
      Kiongozi wa kiroho naye ni mwizi tu.

      Kwanza hiyo roho iko wapi? Inakaa wapi katika mwili wa binadamu? Huyo mungu mwenyewe yuko wapi?

      Uongo mtupu. Bora hata hao viongozi wa kisiasa wanadanganya kuhusu dunia hii, hao "viongozi wa kiroho" ndio majambazi wakubwa kwani wanadanganya watu kuhusu mbingu ambayo hamna mtu aliyefika.

    6. #85
      Askofu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2009
      Location : Synagogue
      Posts : 1,672
      Rep Power : 861
      Likes Received
      77
      Likes Given
      64

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani

      Quote By Babuyao View Post
      Wewe unamdharau Askofu, eee! Unadhani ni mtu mdogo? Uliza wazee wako nao watakuambia. Acha apigiwe ving'ora bwana. Kwani nani mwenye hakimiliki ya hivyo vitu?
      :thumb:
      Politicians and Diapers needs to be changed for the same reason...


    7. #86
      Ubungoubungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th July 2008
      Posts : 2,043
      Rep Power : 964
      Likes Received
      340
      Likes Given
      33

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      hahaha, mbona kama namwona bwana komba hapa, sijui mapunda, au ni ndimbo huyo au mbonde...duh...pale kama si mfalanyaki, ni matembo hapo...hahaha. duh!
      Vita na chuki za kidini, hazinaga mshindi, washindwa huwa pande zote mbili! na viongozi wa chuki hizo huwa hawaishi sana, Mungu anawalaani mapemaaaa!

    8. #87
      Mpeni sifa Yesu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd May 2010
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 472
      Rep Power : 555
      Likes Received
      18
      Likes Given
      1

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      sioshwi dhambi zangu, bila Damu yake Yesuuuu, Hapendezewi Mungu, bila Damu yake Yeeesuuu, haaaakuna kabisaaaa, Dawaaa ya makosaaa, ya kututakasaaa, ila Damu yake Yeeesuu,

      sipati patanishoooo, bila Damu yake Yeeesuuu, hukumu yaningojaaa, bila Damu yake Yesuuuu, haaakuna kabisaaa, dawaaaa ya makosaaa, yaaa kututakasaaa, ila Damu yake Yeeeesu...


      Njoni kwangu ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha,jitieni nira mkajifunze kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu.

      mwenyewe Yesu aliyakuchuka magonjwa yetu yote, amejitwika huzuni zetu zote, na kwa kupigwa kwake sisi tumepona....sisi sote kama kondoo tumepotea, na Bwana ameweka juu yake maovu yetu yote....

      Eee Nafsi yangu mhimidi Bwana, Naam vyote vilivyoko ndani yangu vilisifu Jina lake Takatifu, akusamehe maovu yako yote, akuponya magonjwa yako yote, akuponya magonjwa yako yote, akuokoa uhai wako na kaburi....

      Hakuna lisilowezekana kwa Mungu, anaponya, anaokoa. kwa ushauri na maombi, tuwasiliane ([email protected]). karibu kwa Yesu.

    9. #88
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,713
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      Nyumbi hii, bombi hii...pa Mfaranyaki!!.


      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    10. #89
      Mpeni sifa Yesu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd May 2010
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 472
      Rep Power : 555
      Likes Received
      18
      Likes Given
      1

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      pa mfaranyaki" lugha gani hiyo ngohswe?
      Hakuna lisilowezekana kwa Mungu, anaponya, anaokoa. kwa ushauri na maombi, tuwasiliane ([email protected]). karibu kwa Yesu.

    11. #90
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,713
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      Quote By Ubungoubungo View Post
      hahaha, mbona kama namwona bwana komba hapa, sijui mapunda, au ni ndimbo huyo au mbonde...duh...pale kama si mfalanyaki, ni matembo hapo...hahaha. duh!
      Nyumbi hii, bombi hii...!!.










      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    12. #91
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,713
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      Quote By Mpeni sifa Yesu View Post
      pa mfaranyaki" lugha gani hiyo ngohswe?
      Sikiliza hawa jamaaa utaelewa ...

      Last edited by ngoshwe; 11th June 2010 at 03:11.
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    13. #92
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,713
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      Umenikumbusha hizi vesi nadhani ni tenzi za roho ehe..."sioshwi dhambi zangu, bila Damu yake Yesuuuu, Hapendezewi Mungu, bila Damu yake Yeeesuuu, haaaakuna kabisaaaa, Dawaaa ya makosaaa, ya kututakasaaa, ila Damu yake Yeeesuu,

      sipati patanishoooo, bila Damu yake Yeeesuuu, hukumu yaningojaaa, bila Damu yake Yesuuuu, haaakuna kabisaaa, dawaaaa ya makosaaa, yaaa kututakasaaa, ila Damu yake Yeeeesu"...






      Last edited by ngoshwe; 11th June 2010 at 03:20.
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    14. #93
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,839
      Rep Power : 19440
      Likes Received
      8641
      Likes Given
      28208

      Unhappy Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      Quote By mfianchi View Post
      Niko Old Bagamoyo road nasikia ving'ora vinapigwa kutoka kwenye gari inabidi kuweka gari pembeni nikihisi ni Mheshimiwa au mgonjwa anapita nashangaa kuona Hummer nyekundu na msururu wa magari ukipita kwa kasi na hayo magari yamebandikwa Picha ya mheshimiwa askofu anakaribishwa nyumbani.

      Sijui huyu bwana karuhusiwa na nani kwa kutupigia ving'ora na kupita kwa kasi kama kiongozi wa nchi. Sasa hata matapeli wanajidai hii nchi sijui tunaenda wapi?

      mimi ndugu zangu nashangaa kumuona Kiongozi wa Kanisa kuwa na Hummer nyekundu? Wakati Bwana Yesu Kristo alikuwa napanda Punda!!! Kweli tutakwenda Peponi jamani? Pesa za hiyo Hummer nyekundu Askofu huyu amezipata wapi?kama sio Michango ya Waumini? kazi kweli ipo. Bwana Yesu Kisto alisema (Tajiri hawezi kuingia katika Ufalme wa Mungu mpako hapo Ngamia aweze kuingia katika Tundu ya sindano) Viongozi kama hawa Wenye Ma Hummer nyekundu mimi kwa binafsi yangu siwaamini hata kidogo bora Uswali uwe nyumbani kwako kuliko uende kuibiwa pesa na Maaskofu Matapeli wanaotumia Jina La Mungu na Bwana Yesu Kristo kuwaibia watu Pesa zao.
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    15. #94
      sabra's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd June 2010
      Posts : 25
      Rep Power : 465
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      Siku hizi wahubiri wengi wanafanya biashara na waumini, Wanauza injili kwa sadaka. Wanawakamua kondoo (washirika) bila aibu. Hata Benny Hinn ana kashfa kubwa ya kuwa nabii wa uongo. Kwa maoni yangu, watu wasome maandiko yanavyosema na kuyafuata na sio kuwafuata wahubiri matapeli. Ni maoni tu.

    16. #95
      Lengeri's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd July 2009
      Posts : 165
      Rep Power : 544
      Likes Received
      9
      Likes Given
      4

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      Quote By Maria Roza View Post
      Nkumbuka mwaka fulani 2003 au 4 niliwahi kuona msafara wa kiongozi fulani wa kihindi jina limehifadhiwa nae alipigiwa ving'ora kama huyu!
      hahhahahahah kama magazeti ya Shingono...lol

    17. #96
      Anyisile Obheli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2009
      Location : Rohoni
      Posts : 3,261
      Rep Power : 1129
      Likes Received
      69
      Likes Given
      82

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      Quote By Lengeri View Post
      magazeti ya Shingono
      najaribu kuilazimisha akili ielewe hiki kitu bado ngumu
      ........................HAKUNA TIBA YA KIFO............
      HESHIMU WATU NA PIA JIHESHIMU, KISHA, MPENDE MUNGU

    18. #97
      Mahesabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2008
      Location : manzese
      Posts : 3,053
      Rep Power : 1326
      Likes Received
      222
      Likes Given
      761

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      kitendawiliiiiii......!
      Mtumishi yupi hapa dar amezaa na mke wa kaka yake na kumlazimisha kaka yake amuoe?????????
      BILA RUSHWA..HAKI HAIPATIKANI....TOA RUSHWA UPATE HAKI.....(?)
      RUSHWA NA TANZANIA DAM-DAM.....!
      TAASISI IPI RUSHWA KWAO MWIKO?
      NASEMA KWA KUWA YAMENIKUTA......!

    19. #98
      Mpeni sifa Yesu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd May 2010
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 472
      Rep Power : 555
      Likes Received
      18
      Likes Given
      1

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      Quote By MziziMkavu View Post
      mimi ndugu zangu nashangaa kumuona Kiongozi wa Kanisa kuwa na Hummer nyekundu? Wakati Bwana Yesu Kristo alikuwa napanda Punda!!! Kweli tutakwenda Peponi jamani? Pesa za hiyo Hummer nyekundu Askofu huyu amezipata wapi?kama sio Michango ya Waumini? kazi kweli ipo. Bwana Yesu Kisto alisema (Tajiri hawezi kuingia katika Ufalme wa Mungu mpako hapo Ngamia aweze kuingia katika Tundu ya sindano) Viongozi kama hawa Wenye Ma Hummer nyekundu mimi kwa binafsi yangu siwaamini hata kidogo bora Uswali uwe nyumbani kwako kuliko uende kuibiwa pesa na Maaskofu Matapeli wanaotumia Jina La Mungu na Bwana Yesu Kristo kuwaibia watu Pesa zao.
      nikiangalia post karibia zote zakwako wewe mzizi mkavu, ni upinzani wa ukristo, nimeona sehemu zingine ulishamtishia mtu kuwa utamkata kichwa...sasa si kitu cha ajabu kwamba hautamwamini kwasababu upo wazi muda wote kuangalia wapi kuna kitu cha kikristo ili upinge...mimi binafsi nilishasali kwenye kanisa lake pindi yupo pale ubungo, ile hummer alipata zawadi toka kwa wajapan, hata ukienda pale leo utakuta kuna wajapani kibao wapo wanasali, ameweka makanis amengi huko japan china na korea...na ninakuhakikishia hakununua...


      uyu jamaa hata nyumba yake ya kuishi amepanga...hajajenga yake...sasa akipewa hummer, mnataka akatae? halafu kusema ngamia sijui kupita kwenye tundu la sindano, hauelewi maana yake...sasa kwasababu post yako imekaa kichukichuki na intention ya wewe kuandika hapa ni chuki tu kwa kifupi, sina haja ya kukueleza sana because haupo hapa kwa mazuri.....kama haujui kitu kiundani, ogopa sana kuongea kama wewe ndo unajua kila kitu, inakuwa si fair kabisa kuongea kitu juu ya mtu kumbe si kweli....lets be fair kwa huyu mchungaji, na tuache wivu na fitina vya kidini.havitatusaidia kamwe.
      FuturePresident likes this.
      Hakuna lisilowezekana kwa Mungu, anaponya, anaokoa. kwa ushauri na maombi, tuwasiliane ([email protected]). karibu kwa Yesu.

    20. #99
      AK-47's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2009
      Location : Abbottabad
      Posts : 1,365
      Rep Power : 761
      Likes Received
      149
      Likes Given
      80

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      Kuna huyo Chris Oyakhilome rai wa Nigeria mwenye Kanisa la Christembassy tunang'anganizwa kununu vitabu vyake vya Rhapsody of Realities hapa ofisini kila mwezi na waumini wake. Huwa najiuliza kwanini asingekuwa anatengeneza nakala moja ya mwaka mzima badala ya kuwafanya waumini wake wawe wachuuzi kila mwezi. bei 2000/=, usiponunua unanuniwa weee na kuonekana unamkana Yesu.
      An Eye for an Eye Makes the whole World Blind

    21. #100
      Mpeni sifa Yesu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd May 2010
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 472
      Rep Power : 555
      Likes Received
      18
      Likes Given
      1

      Default Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

      Quote By AK-47 View Post
      Kuna huyo Chris Oyakhilome rai wa Nigeria mwenye Kanisa la Christembassy tunang'anganizwa kununu vitabu vyake vya Rhapsody of Realities hapa ofisini kila mwezi na waumini wake. Huwa najiuliza kwanini asingekuwa anatengeneza nakala moja ya mwaka mzima badala ya kuwafanya waumini wake wawe wachuuzi kila mwezi. bei 2000/=, usiponunua unanuniwa weee na kuonekana unamkana Yesu.
      wamekulazimisha ununue?, au ni hiari?
      Hakuna lisilowezekana kwa Mungu, anaponya, anaokoa. kwa ushauri na maombi, tuwasiliane ([email protected]). karibu kwa Yesu.

    Page 5 of 10 FirstFirst ... 34567 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Mbunge Godbless Lema awa mwana maombi ya ufufuo
      By NIMEKIMBIA CCM in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 34
      Last Post: 9th December 2011, 10:52
    2. Usalama barabarani isiwe ajali barabarani
      By Njowepo in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 31st August 2011, 13:31
    3. Replies: 22
      Last Post: 16th April 2010, 17:07

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...