Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani
Niko Old Bagamoyo road nasikia ving'ora vinapigwa kutoka kwenye gari inabidi kuweka gari pembeni nikihisi ni Mheshimiwa au mgonjwa anapita nashangaa kuona Hummer nyekundu na msururu wa magari ukipita kwa kasi na hayo magari yamebandikwa Picha ya mheshimiwa askofu anakaribishwa nyumbani.
Sijui huyu bwana karuhusiwa na nani kwa kutupigia ving'ora na kupita kwa kasi kama kiongozi wa nchi. Sasa hata matapeli wanajidai hii nchi sijui tunaenda wapi?
Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani
By BabaDesi
....Wanafurahia? How do you know kwamba wanafurahia? na wale wawili watatu wanaonuna kwa kukwazwa hawana haki?? Sidhani kama ni kweli hii kitu lakini nakupa benefit of doubt. Tukubaliane tu kwamba sio lazima kila kitu kinachofanyika huko nje na wenyewe wakakifurahia basi ni lazima na sisi huku tutakifurahia! Kwa miundombinu gani? Niulize tu kidogo, Je huko nje wanakofurahia mambo kama haya barabara zao ni nyembamba kama zetu??
yaani mtaongea, mtaongea, usiku utaingia, mtalala mtaongea mchana utakuja mnazidi kuongea tu...lakini kama hamtaacha chuki dhidi ya walokole, mtaumia mioyo boreee. wivu tu umewajaa na ile hummer yake...angekuwa 50cent amekuja hapo, au limwanamziki fulani lenye mlegezo mnaruhuru ving'ora, lakini akija mtu wa Mungu anaewasaidia hata dhidi ya shehe yahya, mnafoka..ni matatizo tu ya uelewa..Mungu awasaidie muone kuwa wanamuziki, wanamichezo na vitu vingine kama hivyo si vya muhimu sana kuliko mambo ya Mungu.
Hakuna lisilowezekana kwa Mungu, anaponya, anaokoa. kwa ushauri na maombi, tuwasiliane ([email protected]). karibu kwa Yesu.
Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani
By Tiba
wa kujipachika wenyewe wana vituko visivyo vya kawaida na kimojawapo ni hiki
sina uhakika na uwezo wako wa kufiria, kulingana na hapo nilipo nukuu, hivi kwa akili zako unadhani uaskofu huteuliwa na nani?
kwanza huyu anayezungumziwa na hii topiki si askofu ni mchungaji, wala si padre, wala si mtume na nabii, hata hivyo swali langu bado litakuwa pale pale, tatizo ni king'ora ama mchungaji?
........................HAKUNA TIBA YA KIFO............ HESHIMU WATU NA PIA JIHESHIMU, KISHA, MPENDE MUNGU
Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani
By anyisile obheli
umekichukia king'ora? au umemchukia alibebwa na ham'ma?
sijaona tatizo, ukiona hivyo si lazima uruhusiwe na mtu kiongozi wa kiroho ni mkubwa kuliko, kiongozi wa kundi la wezi
hata ana kofia ya kuwa raisi, any way hii ni nchi yetu na wananchi ndiyo sisi,
hata mimi hakuna kitu kinachoniudhi kama makelele ya adhana
Ukubwa wa kiongozi wa kiroho ni ndani ya kanisa lake na si kujitanua kwenye barabara za walipa kodi kana kwamba yeye kiongozi wa kiroho wa Taifa zima, asubiri ving'ora hivyo siku atakapokutana na malaika wa mauti. Kama ving'ora hivyo vilikuwa na escort ya vyomba vya dola basi ni haki yake kwani atakuwa amefuata taratibu za nchi kama ni waumini wake basi alikuwa anatumia vibaya kodi zetu. Huwezi zuia wenzako wasipite kwani Ngajima na matonya wote wana haki sawa linapokuja suala la Public goods.
Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani
angekuwa 50 cent, maliakeli na wengine wanaoimba nyimbo uzinzi hapo kingepigwa king'ora mngefuhai mioyo yenu...bora umewakumbusha mwana wa mungu...hahaha. tatizo hapa wala si king'ora, ni mchungaji...mtu akiwa hamtaki mchungaji fulani kwa binafsi yake, hataki hata king'ora for him..kumbukeni kuwa kama hii ndo ingekuwa inatakiwa iwe hivyo,,,hata king'ora cha rais kikwete watu tusingependa kwasababu si wote tunataka awe rais wetu...na hatukumpigia kura...nyamazeni. mi ningekuwepo Dar, ningeenda kumsindikiza na king'ora juuu.
Haya yote ni ubatili mtupu, hakuna jipya hapa duniani!
Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani
By Hofstede
Ukubwa wa kiongozi wa kiroho ni ndani ya kanisa lake na si kujitanua kwenye barabara za walipa kodi kana kwamba yeye kiongozi wa kiroho wa Taifa zima, asubiri ving'ora hivyo siku atakapokutana na malaika wa mauti. Kama ving'ora hivyo vilikuwa na escort ya vyomba vya dola basi ni haki yake kwani atakuwa amefuata taratibu za nchi kama ni waumini wake basi alikuwa anatumia vibaya kodi zetu. Huwezi zuia wenzako wasipite kwani Ngajima na matonya wote wana haki sawa linapokuja suala la Public goods.
kwani wa kanisani kwake siyo walipa kodi? au una maana gani? amepita barabara sehemu ambayo imejengwa kwa fedha za waumini walipa kodi haaahaaa yaani wewe ndiyo umefunikwa kweli lol!
........................HAKUNA TIBA YA KIFO............ HESHIMU WATU NA PIA JIHESHIMU, KISHA, MPENDE MUNGU
Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani
By Mpeni sifa Yesu
yaani mtaongea, mtaongea, usiku utaingia, mtalala mtaongea mchana utakuja mnazidi kuongea tu...lakini kama hamtaacha chuki dhidi ya walokole, mtaumia mioyo boreee. wivu tu umewajaa na ile hummer yake...angekuwa 50cent amekuja hapo, au limwanamziki fulani lenye mlegezo mnaruhuru ving'ora, lakini akija mtu wa Mungu anaewasaidia hata dhidi ya shehe yahya, mnafoka..ni matatizo tu ya uelewa..Mungu awasaidie muone kuwa wanamuziki, wanamichezo na vitu vingine kama hivyo si vya muhimu sana kuliko mambo ya Mungu.
Naanza kuhisi una matatizo makubwa kwenye mfumo wa kufiri na uwelewa!! prove that you are not posessed and your reasoning capability has not been destorted by your master i darkness!!
* LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF
Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani
By anyisile obheli
kwani wa kanisani kwake siyo walipa kodi? au una maana gani? amepita barabara sehemu ambayo imejengwa kwa fedha za waumini walipa kodi haaahaaa yaani wewe ndiyo umefunikwa kweli lol!
Kama huli mbwa, kwa nini unafikiri wanaokula mbwa wanafanya makosa!! kama unaoa mke mmoja, kwa nini unafikikiri wanaooa wake wengi wanamakosa!!??.
Kama unaamini unachamini, kwa nini unafikiri watu wote wanatajiwa waaamini unachoamini?
* LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF
Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani
By Ubungoubungo
angekuwa 50 cent, maliakeli na wengine wanaoimba nyimbo uzinzi hapo kingepigwa king'ora mngefuhai mioyo yenu...bora umewakumbusha mwana wa mungu...hahaha. tatizo hapa wala si king'ora, ni mchungaji...mtu akiwa hamtaki mchungaji fulani kwa binafsi yake, hataki hata king'ora for him..kumbukeni kuwa kama hii ndo ingekuwa inatakiwa iwe hivyo,,,hata king'ora cha rais kikwete watu tusingependa kwasababu si wote tunataka awe rais wetu...na hatukumpigia kura...nyamazeni. mi ningekuwepo Dar, ningeenda kumsindikiza na king'ora juuu.
what a waste!!
* LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF
Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani
By Bigirita
Kama huli mbwa, kwa nini unafikiri wanaokula mbwa wanafanya makosa!! kama unaoa mke mmoja, kwa nini unafikikiri wanaooa wake wengi wanamakosa!!??.
Kama unaamini unachamini, kwa nini unafikiri watu wote wanatajiwa waaamini unachoamini?
una spidi ya kuandika harafu unaandika vitu ambavyo vinanipa wakati mgumu kujua kama uko sawa sawa ama lah! hebu nisaidie unacho maanisha, uadhani umeandika nini hapo?
........................HAKUNA TIBA YA KIFO............ HESHIMU WATU NA PIA JIHESHIMU, KISHA, MPENDE MUNGU
Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani
By anyisile obheli
una spidi ya kuandika harafu unaandika vitu ambavyo vinanipa wakati mgumu kujua kama uko sawa sawa ama lah! hebu nisaidie unacho maanisha, uadhani umeandika nini hapo?
Unataka kusemaje?!!
* LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF
Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani
sasa mtumishi wa Mungu alitaka kushindana na kina 50c au kanda bongo man au kwa sababu juzi walevi wameipokea ndovu malt kwa mbwe mbwe ??? tutofautishe viongozi wa nchi wenye mamlaka za kidola na viongozi wa dini....pia ifahamike kuwa kama kiongozi wa dini anataka kupokewa kwa vingora asiingilie mamlaka ya mkuu wa nchi kwa kujichukulia sheria mikononi....ajuwe kuwa hawa watu wa kidunia hawanaitaji kibali cha polisi kufanya mbwe mbwe....zaidi ya taarifa tu .....ikibidi...
Lakini mtu yeyote mwenye kuhitaji mapokezi ya viongora kwake au mgeni wake stahili anahitaji kutoa taarifa wizara ya mambo ya nchi za nje ,kitengo cha itifaki.....ili aweze kupewa mapokezi stahili kadiri ya cheo au mamlaka yake au kadiri ya security reconnaisance iliyofanyika hapa na taarifa ya anakotoka....ina maana leo hii kama Prince charles ni rafiki yangu na atanitembelea kirafiki ...mimi au ubalozi wake unawajibika kufanya hivyo........hata wale viongozi wa mabudha...au mabanian anapokuja ..hapokewi kwa vingora kwa kupendelewa bali .......ubalozi wa nchi yake na wanaomualika wanakuwa wametoa taarifa....
sasa haipendezi sana kiongozi wa dini kufanya mambo kienyeji ....zaidi ya kuonekana tu kama ze komedi.....ambao kwa mantiki hiyo ..hata wakienda mwanza ,musoma au arusha watapokewa kwa maandamano....!!!
YESU tunayekuhubiri alituasa tutiii mamlaka...zetu...na tuwe wanyenyekevu na tusio kuwa na majivuno......sasa ufahari huu wa kidunia ,tena kwa kiongozi wa dini ni wanini?????
Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani
By ngoshwe
Apart from details on Ministries, picha za waumini na Ziara ya Japan ya Pastor Josephat Gwajima (Founder, Bishop and Senior pastor), these are what most in there...
Testimonies: We are sorry, this page is still under construction, please visit next time. God bless you
Media and Publication Products:We are sorry, this page is still under construction, please visit next time. God bless you
Live Sunday Services on-line: Coming soon!!We are sorry, this page is still under construction, please visit next time. God bless you
GCTC school of Ministries:Coming soon!!We are sorry, this page is still under construction, please visit next time. God bless you.
Our branch churches (local & international):We are sorry, this page is still under construction, please visit next time. God bless you.
Saa ya Ufufuo na Uzima :We are sorry, this page is still under construction, please visit next time. God bless you.
Prayer praises:We are sorry, this page is still under construction, please visit next time. God bless you.
Donates to support this Ministry:We are sorry, this page is still under construction, please visit next time. God bless you.
KWA NINI HIZO FEDHA ZA KUCHANGIA GARI LA KIFAHARI LA MCHUNGAJI (HAMMER), MAFUTA NA GHARAMA NYINGINE ZA KUFANYA MBWEMBWE BARABARANNI ZISINGETUMIKA KUJENGA KANISA KUBWA ZAIDI ILI KUWAWEZESHA HUU MKUSANYIKO KUKAA SEHEMU NZURI KAMA HAO WENZAO WA JAPAN??.
HIVI HAMUWEZI KUONA WENGI YA WATU KATIKA HUU MKUSANYIKO WANA SURA ZILIZOKATA TAMAA NA WANGEHITAJI PIA SEHEMU ZA HIZO STAREHE ZA MCHUNGAJI KUJIMUDU NA FAMILIA ZAO ??. KAMA WAUMINI WAKO WAPO HIVI, KUNA HAJA GANI YA WEWE KUTEMBEA NA GARI LA KIFAHARI UKIPIGA VING'ORA BARABARANI KAMA NCHI NI YA KWAKO PEKE YAKO?.
NI YALE YALE TUNAYOYAPIGIA KELELE KWENYE SIASA NA HUKO MAKANISANI WATU HAWAYAONI. bADO TUTANDELEA KUWA MASIKINI KWA STAILI TOFAUTI ZA KUNYONYANA!.
Mimi nilifikiri baada ya kuhama pale ubungo ambapo TANESCO walikuwa wanalalamika watu wanasalichini ya umeme wa gridi ya TAIFA na yule mama mwenye eneo akilalamika ....mlianza kwa kuazima kiwanja mkusanyike..wakaongezeka hadi wakaanza kujenga...nilifikiri sasa wameamia kwenye jengo lao kubwa lenye huduma zote.....kumbe wameenda tena kwenye public ground ...uwanja wa Tanganyika Pakers....kwanini hawapendi kujenga vitu vya kudumu.....????
au kwa nini hawatii mamlaka...? juzi kuna mmoja wa winners kakamatwa na Tanesco kule ukonga .....walimkatia umeme anadaiwa 19m....juzi wanakagua wakamkuta amejiunganishia umeme na vishoka...na inawezekana kishoka katoka kanisani kwake akafikiri anamsaidia mtumishi.....nadhani ni vema pamoja na madhaifu ya kibinadamu waliyonayo viongozi wa dini...wajitahidi kuwa mfano bora kwa jamii!!
Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani
Si Gwajima anapita kwa ving'ora tu, hata yule wa Ngurumo ya Upako kule Kisongo Arusha anapita navyo. Sidhani kama wanapita navyo bila kupata kibali cha traffic! Mwenye kufahamu zaidi atujuze ili tusije kuwatupia marungu wakati vibali wanavyo. Sasa hapa sijui kwa nini na Kakobe hakutumia kingo'ra wakati alipenda kuhubiri nje ana kurudi msafara wake ukaleta ajali na vifo (wakati wa kwenda na kurudi). Au yeye Kakobe alishikilia ule mstari wa biblia unaosema Ole wake amtegemeaye mwanadamu!!! Alitegemea nguvu za Mungu na shetani akavuruga! Lo! Hizi imani Bwana ni vitendawili hasa kwa makanisa ya kileo yanayoitwa ya Kiroho. Kuna nguvu gani huko jamani? Tufungue macho zaidi na kama wewe ni mkristo basi muombe sana Mungu akuongoze mahali pa kuhudhuria ibada vinginevyo utachanganikiwa na haya makundi na siasa zao!!!
"Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"
Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na vingakora barabarani
By Mpeni sifa Yesu
yaani mtaongea, mtaongea, usiku utaingia, mtalala mtaongea mchana utakuja mnazidi kuongea tu...lakini kama hamtaacha chuki dhidi ya walokole, mtaumia mioyo boreee. wivu tu umewajaa na ile hummer yake...angekuwa 50cent amekuja hapo, au limwanamziki fulani lenye mlegezo mnaruhuru ving'ora, lakini akija mtu wa Mungu anaewasaidia hata dhidi ya shehe yahya, mnafoka..ni matatizo tu ya uelewa..Mungu awasaidie muone kuwa wanamuziki, wanamichezo na vitu vingine kama hivyo si vya muhimu sana kuliko mambo ya Mungu.
...Hukujibu hata moja kati ya uliyoulizwa. kama binadamu, wote tuna haki ya kupenda, It is so SAD that some of Us seems to Love Soo BLINDLY...! Ubarikiwe sana.
Re: Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani
Ikiwa maandiko yanasema kila mwanadamu atakufa, ikiwa dhamira ya makanisa mengine ni kukufua wafu, maana yake ni nini??
Je, hao wanaodaiwa kufufuliwa tena hata wale walioamua kujinyonga kwa kuona kuwa dunia hii haifai kuishi au wale walioomba kila siku wafe ili wakapumzike mahala pema, inakuwa wakifufuliwa au nini madhumuni ya hii dhana ya kufufua wafu?
Je, wale waliofufuka wataishi milele yote?
Is GOD's wishes to raise Christians over other religions? ???
Follow Us Here