Jamani nimeona niwashirikishe wenzangu kuona picha za selebriti wetu Aunt Ezekiel.
Jamani nimeona niwashirikishe wenzangu kuona picha za selebriti wetu Aunt Ezekiel.
Do Something......
Kama ni kuweka mapozi ya kutega tu, namkubali![]()
Do Something......
Mola akupe nini tena mama,,
Do Something......
Mhhhh.......
Mimi msichana tanzania hii akiwa yupo kwenye muziki au
filam za kibongo au hata urembo huwa nakuwa sina hamu nae kabisa
mimi huwa na kinyaa sana.....
Wasichana kama hawa na hao wengine
wanaosifiwa na magazeti ya udaku
sjui irene uwoya au wema sepetu au johari au ray c...
Hata nipewe bure siwataki............
Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!
Nimekuelewa BOSS, ila tukiweka pembeni tabia na mengineyo tukaangalia tu uumbaji wa Mola, una lipi la kusema?
Do Something......
Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!
Wanatumika mno na kila mwenye vijisenti hapa mjini, kama yule mainda sijui alikuwa mweusi wa kawaida lkn ukimuona leo hii sijui kanywa kidonge, kawa mweupe pe kushinda hata maimartha, mh kweli inasikitisha
Hebu nielewesheni huyu ni mwanamke au transvestite? Naona jina lake ni Ezekiel lakini munavomjadili kama mwanamke!
Sio wote wenye tabia mbaya kuna wengi tu nawafahamu wanatabia nzuri na wako kwenye fani za music, film, miss etc. I repeat SIO WOTE.
MY LOVE IS YOUR LOVE.
mbona anaonekana kama jambazi la siku nyingi.
wanatafuta umaarufu kwa nguvu
nasikia huyu ni shemale....plz msaada wenu...
Mkuu the Boss nadhani ni kuunge mkono katika hili !!!! Hawa si watu wa kutazama hata kidogo na mwingine ni Lady Jey Dee..!! Hata kutazama filamu zao sipendi wala kwenda kwenye miziki yao , Nikiwa ndani ya Bus wakiweka filamu au nyimbo zao huwa napata kichefu chefu kibaya utadhani nilikuwa kwenye bembea kama lile la Jamaica !!! Huwa naombaga wazime au wanipatie pillow nijifunike nisione wala kusikia..Sipendi Vicheche hao..!!!!
Hide not thy poison with such sugar`d words.!!
Follow Us Here