nguo za wanaume zionyeshwe na mamodo wa kime,
nguo za watu wembamba zionyeshwe na wembamba,
nguo za matipwa tipwa zionyeshwe na matipwatipwa.
Fide kaza buti mama, kula sana mafutamafuta ili hilo nyendi ulilonalo liongezeke maradufu.
KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE
Najaribu kuimagine kunako sita kwa sita mmmhhh!
Not bad at all. Kama alivyosema Madamex beauty comes in all sizes, very, very, very true. Wengine wapenda wanene, wengine wapenda wambemba, wengine warefu, wengine wafupi etc, etc.
Kila mtu na chaguo lake
Merry Xmas and Happy New Year!!!!!
Hivi Miss bantu imeishia wapi?
"Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"
Miaka mitano hadi saba hivi iliyopita Fide alikuwa na mwili wa ki-model haswa. halafu nadhani akajiachia na machipsi na makuku....!
preta!!!!! hilo dude la ukweli, mi nalifagi mbayaaa!!! mwanamke shepu babu eeeee!!!
mh..
Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!
Mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!! !!!! Not my type now!!!!!!!!!!!!!! May be before!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Peace is meaningless if nothing is right. Do it and Do It Right or Not at All.
Swallowing His Own Words has never Killed the Politician!
"Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.
kazi kweli kweli kupata ****, utapekenyua weeee, uipati
do i c a hole in her stocking au macho yangu tu?
Follow Us Here