Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dj Muli b na shindano la ma Dj South Africa

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      ASIKARI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th October 2012
      Posts : 49
      Rep Power : 344
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Dj Muli b na shindano la ma Dj South Africa

      South Africa zimetangazwa awards za ma dj bora katika vipengele tofauti, kitu cha ajabu ni kuwa hakuna dj wa bongo hata mmoja.
      Dj anae shikiria taji kwa Tanzania ni dj MULI B wa clouds fm.

      Swali langu ni kuwa hakuna ma dj wa kwenda kuiwakilisha Tanzania????

      Hata kwa upande wa dj wa kike tunae dj FETTY pia wa clouds fm..nachojiuliza kama wanashikiria mataji na hawajiotokezi katika uwakilishi wa nchi je walipata hizo title kwa kustahili?


    2. #2
      Ikena's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2007
      Posts : 276
      Rep Power : 650
      Likes Received
      23
      Likes Given
      56

      Default re: Dj Muli b na shindano la ma Dj South Africa

      Hata kwenye darasa la matahira, kuna wakwnza na wamwisho.
      Matola likes this.

    3. #3
      Twilumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th December 2010
      Location : Kiseliani
      Posts : 2,176
      Rep Power : 883
      Likes Received
      476
      Likes Given
      75

      Default

      Quote By ASIKARI
      south africa zimetangazwa awards za ma dj bora katika vipengele tofauti. kitu cha ajabu ni kuwa hakuna dj wa bongo hata mmoja.
      na dj anae shikiria taji kwa Tanzania ni dj MULI B wa clouds fm. swali langu ni kuwa hakuna ma dj wa kwenda kuiwakilisha Tanzania????
      hata kwa upande wa dj wa kike tunae dj FETTY pia wa clouds fm..nachojiuliza kama wanashikiria mataji na hawajiotokezi katika uwakilishi wa nchi je walipata hizo title kwa kustahili????
      Si kweli kwamba hakuna DJ anayeweza kuwakilisha TZ, tatizo ni nani ana-coordinate wa upande wa TZ, ikiwa ni clouds lazima wabane hiyo nafasi lkn mwisho wa siku utasikia sijui DJ zero wa clouds ndiye anawakilisha Tz which is not fair yaani wamekaa kajopo hapo media house yao na kumteuaa mtu wao ndo awe kama anawakilisha nchi.
      Acha iwe tu maana nchi haipo organized, wenye wizara yao wenyewe wapo busy kuandaa kumpinga kwa maandamano Sarah kwa kusema ukweli "eti amekashfu viongozi wa serikali!"

    4. #4
      MTAZAMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 4,435
      Rep Power : 2247
      Likes Received
      1899
      Likes Given
      2817

      Default re: Dj Muli b na shindano la ma Dj South Africa

      Steve B alienda BBA akabidi zipotee dakika kibao kuelekezwa jinsi machine zinavyofanya kazi na aibu zaidi akashindwa kutumia laptop ikabidi atumie CD tena mixing zikiwa dhaifu!

      Ashindwe Dj Steve B aliye nafuu kwasasa Kibongobongo aweze Mully B!

      Acheni kututia aibu si bora tuwapeleke wakongwe wapige ma old skool tu!!

      btw Bongo hakuna na hatujawahi kuwa na mashindano ya kutafuta DJ bora.

      Yale aliyoshinda Mully ilishirikisha radio djs tu tena ilikuwa promo ya kinywaji kilichokwisha jifia na wadhamini wakuu wa hiyo promo Clouds unategemea nini sasa!
      Matola likes this.

    5. #5
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,856
      Rep Power : 19823
      Likes Received
      5639
      Likes Given
      3875

      Default re: Dj Muli b na shindano la ma Dj South Africa

      Quote By Ikena
      Hata kwenye darasa la matahira, kuna wakwnza na wamwisho.
      Heri mimi sijsema.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.


    6. #6
      joe5's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 451
      Rep Power : 423
      Likes Received
      72
      Likes Given
      5

      Default re: Dj Muli b na shindano la ma Dj South Africa

      Hate hate hate, madj wapo wengi na wanafanya vizuri....na kwangu mm dj PQ ndo anakimbiza zaid mjini...

    7. #7
      Nospah's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd May 2012
      Posts : 104
      Rep Power : 376
      Likes Received
      8
      Likes Given
      5

      Default re: Dj Muli b na shindano la ma Dj South Africa

      Wangempeleka dj AD mafuvu wa ea radio &tv.....

    8. #8
      gwandumi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th October 2008
      Location : jijini ndani ndani
      Posts : 98
      Rep Power : 563
      Likes Received
      24
      Likes Given
      24

      Default Re: Dj Muli b na shindano la ma Dj South Africa

      Quote By MTAZAMO
      Steve B alienda BBA akabidi zipotee dakika kibao kuelekezwa jinsi machine zinavyofanya kazi na aibu zaidi akashindwa kutumia laptop ikabidi atumie CD tena mixing zikiwa dhaifu!

      Ashindwe Dj Steve B aliye nafuu kwasasa Kibongobongo aweze Mully B!

      Acheni kututia aibu si bora tuwapeleke wakongwe wapige ma old skool tu!!

      btw Bongo hakuna na hatujawahi kuwa na mashindano ya kutafuta DJ bora.

      Yale aliyoshinda Mully ilishirikisha radio djs tu tena ilikuwa promo ya kinywaji kilichokwisha jifia na wadhamini wakuu wa hiyo promo Clouds unategemea nini sasa!
      pale clouds fm hamna dj hata mmoja wale ni wapiga nyimbo tu nasema hivi kwa sababu zile techniques za udjay hawana kujua wapi uscratch wimbo udondoke vipi baada ya scratch,kwenda na tempo nk...ananisikitisha sana steve B kwa muda aliopo kwenye game hadi leo hajaimprove chochote...
      Huyo muli B ndo sacka tu kwa sababu kuweka santuri ama cd juu ya mashine haitoshi kuitwa djay ile ni sanaa kama soka ama kuimba lazima ujue jinsi ya kucheza ...kwa hiyo inahitaji ujuzi,passion,ustadi na ufundi..kuna madjay ambao naweza ni kakwambia wana uwezo mkubwa hapa bongo kama Dj JayDee (John dilinga) yani kama unajua stori za real john dillinger mwenyewe ambavyo alikua na ujuzi mkubwa wa kufanya matukio na kucheza na ndusu basi ndo kama dj jd kwenye mashine...wengine ni DJ TAS na dj majizo ....kwa hawa wa juzi kati Mafuvu anawakimbiza
      MaendeLeO MendE Leo

    9. #9
      King kimwe''s Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th January 2013
      Posts : 59
      Rep Power : 332
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ikena
      Hata kwenye darasa la matahira, kuna wakwnza na wamwisho.
      hahahahahaha nimekuelewa sana mkuu!!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...