Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘Rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘Mr Chuzi’…!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 26
    1. #1
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,802
      Rep Power : 954
      Likes Received
      812
      Likes Given
      521

      Default Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘Rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘Mr Chuzi’…!

      AKATI msanii wa bongo movie Rayuu, picha zake zinazoonesha sehemu kubwa ya mwili wake na tattoo kuvunja mtandaoni, ishu hiyo sasa imechukua sura mpya baada ya kudaiwa amefukuzwa kwao na sasa amepata makazi ya muda kwa mkurungezi wake Mr Chuzi ambaye mara nyingi amekuwa akimshauri kuachana na vitendo vinavyoweza kumchafulia jina lake.

      Mtandao wa DarTalk, ulimtafuta Rayuu ili azungumzia ishu ndipo alipodai kuwa wazazi wake walizipata habari zake ndipo waliamua kuchukua hatua hiyo tena bila hata kumpa nafasi kujitetea na kuwaeleza mambo yalivyokuwa.

      Hata hivyo inadaiwa kuwa wazazi wake awali hawakujua habari hiyo lakini kuna baadhi ya watu ambao walikuwa na kinyongo na msanii huyo ndiyo waliopeleka habari hizo pamoja na picha nyumbani kwa madai kuwa wanataka kumkomoa.

      Msanii huyo alidai kuwa hakuwa na njisi kwani waliofanyan hivyo ni watu ambao mara nyingi wamekuwa wakifanya kazi pamoja lakini hajui ni kwanini wamefanya hivyo ingawa hataki kujua sababu kwa sababu anaweza kuchukua hatua nyingine ambayo si nzuri.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,802
      Rep Power : 954
      Likes Received
      812
      Likes Given
      521

      Default re: Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘Rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘Mr Chuzi’…!

      kwa ambao amkuona picha aliyopiga na kuitoa kwenye mtandao watu muweze kuona tatuu aliyochola,chezeya wazazi wamemtimia sasa anaishi kwa chuzi

    4. #3
      andybird314's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 2,674
      Rep Power : 966
      Likes Received
      552
      Likes Given
      283

      Default Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘mr chuzi’…!!

      Hata mimi,naona bora atimuliwe

      Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
      Kweli kuishi Tanzania kuona mengi

    5. #4
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,802
      Rep Power : 954
      Likes Received
      812
      Likes Given
      521

      Default re: Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘Rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘Mr Chuzi’…!

      Quote By andybird314
      Hata mimi,naona bora atimuliwe

      Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
      kilichonishangaza akaenda kuishi kwa playboy!!! sijui hana rafik au ndugu wengine wakumuifaz

    6. #5
      Mr. Bigman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 573
      Rep Power : 624
      Likes Received
      103
      Likes Given
      57

      Default re: Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘Rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘Mr Chuzi’…!

      Timua! tupa kulee hiyo dogo!

    7. Miaka 50

    8. #6
      omben's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 342
      Rep Power : 420
      Likes Received
      92
      Likes Given
      336

      Default re: Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘Rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘Mr Chuzi’…!

      Quote By Money stunna
      kilichonishangaza akaenda kuishi kwa playboy!!! sijui hana rafik au ndugu wengine wakumuifaz
      Anataka amchore tatoo zingine
      Lichungeni kundi la MUNGU lililo kwenu,na kulisimamia, si kwa kulazimishwa, bali kwa hiari kama Mungu atakavyo; si kwa kutaka fedha ya aibu,bali kwa moyo.

    9. #7
      adakiss23's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2011
      Posts : 1,245
      Rep Power : 671
      Likes Received
      281
      Likes Given
      30

      Default Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘mr chuzi’…!!

      Aisee.. Natamani ningekuwa Mpiga picha

      Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
      Brave_Hearts

    10. #8
      dunia tunapita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th August 2012
      Location : wherever
      Posts : 309
      Rep Power : 402
      Likes Received
      50
      Likes Given
      47

      Default re: Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘Rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘Mr Chuzi’…!

      alitaka ajitete kwa wazazi wake nini apo!!! kuwa alikua anaonyesha labda alivyoumbika au,,,,

    11. #9
      Samkyjr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Posts : 319
      Rep Power : 477
      Likes Received
      40
      Likes Given
      20

      Default re: Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘Rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘Mr Chuzi’…!

      Nia yake sijui ilikuwa nini, kweli ukizaa mtoto wa kike kipindi hiki!!!

    12. #10
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 3,997
      Rep Power : 1220
      Likes Received
      775
      Likes Given
      680

      Default re: Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘Rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘Mr Chuzi’…!

      Quote By Money stunna
      kwa ambao amkuona picha aliyopiga na kuitoa kwenye mtandao watu muweze kuona tatuu aliyochola,chezeya wazazi wamemtimia sasa anaishi kwa chuzi
      Nilidhani hadi kuingia kwenye fani Tasnia hiyo Bongo Movie atakuwa ameshakata kamba na anajitegemea???
      kumbe bado alikwua kula kulala?
      Ulimbukeni bwana, sasa alikuwa anamwonyesha nani hizo tatooosss??

    13. #11
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 1950
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘mr chuzi’…!!

      Ulimbukeni tu

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    14. #12
      Malova's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2011
      Posts : 534
      Rep Power : 515
      Likes Received
      82
      Likes Given
      9

      Default

      hiv kuriport mambo mabaya anayofanya m2 ni uchonganishi? kama ndivyo picha hizo mchonganishi alizipata wapi?

  • #14
    mama D's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 22nd November 2010
    Posts : 1,501
    Rep Power : 735
    Likes Received
    395
    Likes Given
    1310

    Default re: Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘Rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘Mr Chuzi’…!

    Mwache akafunzwe na ulimwengu-chuz
    hajui hilo ni gumegume lililowashinda kina jack na kabulaaeee???
    The Boss likes this.

  • #15
    MAKAVU LAIVU's Avatar
    Member Array
    Join Date : 13th October 2012
    Posts : 12
    Rep Power : 334
    Likes Received
    0
    Likes Given
    0

    Default re: Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘Rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘Mr Chuzi’…!

    Ney wa mitego akiimba makahaba wako bongo move wa2 wanabisha na bado sasa juz kuna wengine wameomba radh sasa huyu dada n wakat wake akitoka huyu cjui anafuata nan?

  • #16
    Muuza Sura's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 1st August 2011
    Location : kinondoni manyanya
    Posts : 1,235
    Rep Power : 642
    Likes Received
    320
    Likes Given
    221

    Default re: Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘Rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘Mr Chuzi’…!

    Huyu babu chuzi anaharibu sana wajukuu zake!

  • #17
    Money stunna's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 9th August 2011
    Location : BeechGrove City,Indianapolis
    Posts : 2,802
    Rep Power : 954
    Likes Received
    812
    Likes Given
    521

    Default Re: Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘mr chuzi’…!!

    Quote By adakiss23
    Aisee.. Natamani ningekuwa Mpiga picha

    Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
    wewe inaonekana ungekuwa mpiga picha ungemla 0713

  • #18
    Viper's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 21st December 2007
    Location : Zaragoza (Spain)
    Posts : 3,338
    Rep Power : 3365
    Likes Received
    1087
    Likes Given
    769

    Default Re: Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘Rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘Mr Chuzi’…!

    Quote By Money stunna
    kwa ambao amkuona picha aliyopiga na kuitoa kwenye mtandao watu muweze kuona tatuu aliyochola,chezeya wazazi wamemtimia sasa anaishi kwa chuzi
    Mgongo unalipa lakini .....
    “Not only am I better looking….I’m just plain better.”
    Arsenal My heart Juventus My soul

  • #19
    serio's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 15th April 2011
    Location : dar es salaam
    Posts : 838
    Rep Power : 577
    Likes Received
    78
    Likes Given
    520

    Default Re: Picha za utupu zamfukuzisha msanii ‘Rayuu’ kwao, hivi sasa anaishi kwa ‘Mr Chuzi’…!

    Quote By Samkyjr
    Nia yake sijui ilikuwa nini, kweli ukizaa mtoto wa kike kipindi hiki!!!
    umenikumbusha movie ya THE DICTATOR, Aladeen anamuuliza mke wake mwenye mimba ''is it a boy or an abortion?????"
    you lose some, you win some

  • #20
    matumbo's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 9th July 2011
    Posts : 2,337
    Rep Power : 1445
    Likes Received
    648
    Likes Given
    498

    Default

    Quote By Samkyjr
    Nia yake sijui ilikuwa nini, kweli ukizaa mtoto wa kike kipindi hiki!!!
    hasara..

  • Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...