| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 7290
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Ili iweje sasa? Acha kufuatilia maisha ya watu. Wewe inakuhusu nini, huyo aliomuoa? Jaribu kujadili mambo na siyo kujadili watu, itasaidia zaidi wana JF kuwekeza muda wao vizuri, kwa maana ya kujielimisha zaidi maana nina hakika hili ndio lengo kuu la wana JF wengi na sio kujadili maisha ya watu. Grow up and get a life for yourself.
|
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
bilivu me zeutamu inahitajika......kipindi kile ilipokuwa hewani thread za saluni hazikuwepo
__________________
|
|
#4
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
kwani kuolewa ni tatizo ?wewe unataka kumjua bwana wake ili iweje?unataka kumuibia?teh teh teh,naona mnskosa hoja hadi mnaanza kufutilia nani kaolewa nani kaachika duh hi ikali ya kuanzia week..kwa habari nilizo zipata hivi punde ni kwamba ameolewa na YoYo
__________________
Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki,na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu. |
|
#5
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
kwiiii kwi kwi,inabidi irudi tena upesi maana naona watu wote wakule wamehamia huku, na wanataka kuendeleza mambo yakule hapa.Maana siku hizi utasikia "Ray c kanenepa" mara "ooh ritha anaumwa nini "sijui nini yaani wanaleta mambo ya kwa mzee nanhii hapa.
__________________
Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki,na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu. |
|
#6
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
kama mwenyewe kafanya siri ww unataka nini?
|
|
#7
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
__________________
|
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Yaani ni balaa tupu,mtu anatoka zake kwenye vilabu sijui vya Pingu anakuja hapa anaweka litundiko lake la hovyo hovyo alafu anategemea watu wachangie ujinga wake...Dawa ya watu wanao anzisha thread zisizo kuwa na miguu wala kichwa ni kuzichunia tu next time hatorudia tena.
__________________
Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki,na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu. |
|
#9
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Kaolewa na mimi. Now what next???
__________________
"Ask not what your country can do for you, ask what you can do for your country"-JFK. |
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Mkuu, nadhani kuna ukweli kwenye hili, kwenye matangazo ya BBC leo jioni, nimemsikia Sarleem Kikeke akimtania kuwa 'kwenye kidole cha chanda kuna kitu upo tayari kunambia?' Akasema 'hapana, nimefumba mdomo'
So kuna ukweli fulani, japo details ndo bado scant Hongera Flora kwa kumpata mwenza
__________________
"" Nalisema nitayakiri maasi yangu kwa Bwana, naye atanisamehe upotovu wa dhambi zangu" Kaizer@jamiiforums.com
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 01:35 AM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||