Jamani kipindi hiki cha Dina Marious mbona hakisikiki au amefukuzwa kazi Clouds.
Mwenye taarifa zaidi anipe taarifa.
Jamani kipindi hiki cha Dina Marious mbona hakisikiki au amefukuzwa kazi Clouds.
Mwenye taarifa zaidi anipe taarifa.
Sijasikia bado sijui kachukua likizo ndefu? Lakini alisema J3 anaanza kazi lakini nasikia sauti ingine kabisa.
Profile: DINA MARIOS..mie ni mtangazaji na mtayarishaji wa kipindi cha LEOTENA kupitia radio ya watu clouds fm 88.4 kuanzia saa 9:00(tatu) asubuhi mpaka saa 01:00(saba)mchana..
Huyu diva anayekuja juu
No Wicked Heart Shall Prosper
mhh...
Hebu basi muwe mnaenda kwenye archives.... huu udaku ulishajadiliwa kule!!!
naona zeutamu at work... do not disturb!
.....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!
Amekujaje juu!!!
No doubt you are naturally beautiful
Uhaya umeingiaje hapo, je, isingetosha kusema "Mtangazaji anayekuja juu" ?
Annuntio vobis gaudium magnum; habemus Papam: Eminentissimum ac Reverendissimum Dominum, Dominum Georgium Marium Sanctae Romanae Ecclesiae Cardinalem Bergoglio qui sibi nomen imposuit Franciscum
Follow Us Here