Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      only83's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

      Kuna Habari zinasema kuwa ni ofisi za benchmark production waandaaji wa Bongo Star Search aka BSS zimeungua kwa moto, lakini pia Excutive Director wa Benchmark Production Madam Rita kaibiwa pochi yake ambayo ndani yake kulikuwa na millioni 5 pamoja na funguo za gari lake aina ya benzi.

      Source: mwandishi wa habari

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Kunta Kinte's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th May 2009
      Posts : 2,559
      Rep Power : 2532
      Likes Received
      595
      Likes Given
      759

      Default Re: Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

      Pole madame kama habari hizi ni kweli, wewe ni mpambanaji ninakuombea mungu akuongezee saba mara sabini hapo palipopungua!!
      Have patience with all things, but chiefly have patience with yourself.- Saint Francis de Sales

    4. #3
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 11,886
      Rep Power : 31774
      Likes Received
      5869
      Likes Given
      19165

      Default Re: Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

      Papaa mangi atafidia tu pole mdada.

    5. #4
      dunia tunapita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th August 2012
      Location : wherever
      Posts : 308
      Rep Power : 401
      Likes Received
      49
      Likes Given
      47

      Default Re: Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

      duh!!! mil 5 kwenye pochi!!!! pole sana ila inaweza kuwa sawa na thamani ya 10,000 yangu ikiwa kwenye pochi ninavyoipangia mahesabu!!!!

    6. #5
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,100
      Rep Power : 2411
      Likes Received
      934
      Likes Given
      377

      Default Re: Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

      Pamoja na utandawazi woote anatembea na hela nyingi hivyo ktk pochi? Ni uzembe wa hali ya juu usiovumilika kwa educated people like yeye

    7. Study Abroad

    8. #6
      ZionTZ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2009
      Posts : 897
      Rep Power : 668
      Likes Received
      128
      Likes Given
      131

      Default Re: Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

      hapo lazima mzee atafutwe hata kama alimcheat

    9. #7
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,871
      Rep Power : 5052
      Likes Received
      3192
      Likes Given
      2619

      Default Re: Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

      Benzi yake nzuri hivi ndogo ya silver!! Pole mamaa check na mzee akutupie vogue!

    10. #8
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,628
      Rep Power : 11267
      Likes Received
      1457
      Likes Given
      570

      Default Re: Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

      5Milion kwenye pochi???

    11. #9
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,120
      Rep Power : 11996
      Likes Received
      2616
      Likes Given
      1583

      Default Re: Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

      hivi ofisi bado zipo mikocheni nyuma ya aar hospital au walihama? pale ni karibu na wale jamaa wa fire wa knight support victoria. kwanini mtu asikimbie kwa miguu kuwaita?. any way hizi habari za masta wa bongo saa nyingine zimekaa kiuzushi. wanataka magazeti pendwa yauzike. mtu ataibaje funguo badala ya gari? wanawake hua pochi inakaa kwapani mda wote so si rahisi kusahau. tuseme walio iba funguo ndo wamechoma moto? basi wataonekana kwenye zile camera zao pale studio. mia

    12. #10
      nduu/mamaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Location : AROUND THE WORLD
      Posts : 2,221
      Rep Power : 1000
      Likes Received
      544
      Likes Given
      174

      Default

      Quote By Shine
      Pamoja na utandawazi woote anatembea na hela nyingi hivyo ktk pochi? Ni uzembe wa hali ya juu usiovumilika kwa educated people like yeye
      acha kukurupuka!umeambiwa hajui umuhimu wa bank? Unajuaje kama alitoka kudrow ili akamlippe mtu au kununulia kitu?

    13. #11
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

      Pole Sana Madame.

    14. GP
      #12
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 918
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

      jamani kwani kutembea na 5M ni kosa??, huwezi jua labda kuna sehemu anaenda kufanya manunuzi/malipo!.
      huyu ni mjasiriamali na mfanyabiashara kuwa na pesa nyingi wakati wowote na mahli popote inawezekana.
      pole sana madame ritha

    15. #13
      adakiss23's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2011
      Posts : 1,233
      Rep Power : 667
      Likes Received
      279
      Likes Given
      27

      Default Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

      Oooh baby pole.. Pole sana babe.. Natamani nipate hata sekunde 30 nimbembeleze kisha nizitumie ipasavyo

      Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
      Brave_Hearts

    16. #14
      Magu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Posts : 131
      Rep Power : 427
      Likes Received
      42
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By figganigga
      hivi ofisi bado zipo mikocheni nyuma ya aar hospital au walihama? pale ni karibu na wale jamaa wa fire wa knight support victoria. kwanini mtu asikimbie kwa miguu kuwaita?. any way hizi habari za masta wa bongo saa nyingine zimekaa kiuzushi. wanataka magazeti pendwa yauzike. mtu ataibaje funguo badala ya gari? wanawake hua pochi inakaa kwapani mda wote so si rahisi kusahau. tuseme walio iba funguo ndo wamechoma moto? basi wataonekana kwenye zile camera zao pale studio. mia
      Pole sana Madam, najua utakuwa na bima katika kukinga mali zako dhidi ya moto na majanga mengine, ukizingatia uwekezani katika mitambo na vifaa vingine vya ofisi. Kama hukuwa umefanya hivyo kwa kweli nakupa pole. Next time nitafute nikutengenezee risk analysis kwa ajili ya bima, kutambua risk katika biashara zako na jinsi ya kijikinga.

      Mimi naona kibao chao pale Mbezi Kawe jirani na Waziri wa afya Dr H. Mwinyi.

    17. #15
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,558
      Rep Power : 943
      Likes Received
      677
      Likes Given
      131

      Default

      Quote By Shine
      Pamoja na utandawazi woote anatembea na hela nyingi hivyo ktk pochi? Ni uzembe wa hali ya juu usiovumilika kwa educated people like yeye
      Milioni tano nyingi kwako. Ushasahau mmoja arusha alikamatwa na m20 kwenye gari akasema ni za matumizi madogo madogo?

    18. #16
      uttoh2002's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 579
      Rep Power : 483
      Likes Received
      195
      Likes Given
      8

      Default

      Stupidy comment, sometimes you need even 10m with you for business or other transactions, mataikuni huwa hawataki Mpesa etc, sometimes they simply need cash, and we give them cash without considering the amount.


      Quote By Shine
      Pamoja na utandawazi woote anatembea na hela nyingi hivyo ktk pochi? Ni uzembe wa hali ya juu usiovumilika kwa educated people like yeye

    19. kui
      #17
      kui's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2009
      Posts : 968
      Rep Power : 713
      Likes Received
      34
      Likes Given
      302

      Default Re: Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

      Quote By Shine
      Pamoja na utandawazi woote anatembea na hela nyingi hivyo ktk pochi? Ni uzembe wa hali ya juu usiovumilika kwa educated people like yeye
      Educated?...well, sometimes, you dont need to use your education all the time, but common sense's better most of the times.

    20. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...