Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Koffi Olomide ashitakiwa kwa kupigana

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      Pasco_jr_ngumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 1,548
      Rep Power : 701
      Likes Received
      185
      Likes Given
      42

      Default Koffi Olomide ashitakiwa kwa kupigana

      Koffi Olomide, ambaye ni mwanamuziki mashuhuri
      barani Afrika ameshitakiwa kwa kumpiga
      Mtayarishaji wake wa muziki. Mwanamuziki huyo alikamatwa na kufungiwa katika
      kituo cha polisi na kufikishwa mahakamani
      jumatano. Koffi alikamatwa kufuatia vurugu katika hoteli moja
      mjini Kinshasa. Waandishi wa habari wanasema mahakama hiyo ya
      Kinishasa ilifurika kutokana na watu wengi kuja
      kumuona kiongozi huyo wa bendi ya Quartier Latin
      akiwa kizimbani. Kesi hiyo iliharishwa hadi Alhamisi asubuhi wakati
      atakaposhitakiwa rasmi. Wakati wa kesi hiyo hapo jana Koffi Olomide
      aliwakilishwa na mawakili 10. Ugomvi kati ya mwanamuziki huyo na mtayarishi
      wake Bwana , Diego Lubaki, ni kuhusu pesa dola
      $3,680. Hakimu alimfahamisha mwanamuziki huyo ikiwa
      atapatikana na hatia huenda akafungwa jela miezi
      sita. Olomide ni gwiji wa muziki aina ya "soukous",
      mtindo ulitokana na jina la kifaransa "secouer", lenye
      maana ya kujitikisa au kujinengua ,na wachezaji
      wake vile vile wanatambulika kwa kunengua
      maungo.

      Source. bbc swahili

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      AK-47's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2009
      Location : Abbottabad
      Posts : 1,364
      Rep Power : 757
      Likes Received
      149
      Likes Given
      80

      Default Re: Koffi Olomide ashitakiwa kwa kupigana

      Tayari katiwa hatia na kapatiwa kifungo cha miezi mitatu iwapo atafanyakosa jingine tena wakati huu.
      An Eye for an Eye Makes the whole World Blind

    4. #3
      Pasco_jr_ngumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 1,548
      Rep Power : 701
      Likes Received
      185
      Likes Given
      42

      Default Re: Koffi Olomide ashitakiwa kwa kupigana

      Loo, simpendi huyu....,
      Mambo yote ni Werasson

    5. #4
      Chipolopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2012
      Posts : 869
      Rep Power : 540
      Likes Received
      148
      Likes Given
      313

      Default Re: Koffi Olomide ashitakiwa kwa kupigana

      Hii si habari njema hata kidogo.Kiio cha jamii kinapochafuka...watazamaji wataonaje sura zao katika kioo hicho??Ninasikitika.

    6. #5
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,945
      Rep Power : 2603
      Likes Received
      690
      Likes Given
      1615

      Default Re: Koffi Olomide ashitakiwa kwa kupigana

      Ndo maana aliwahi kucharazwa bakora hadharani miaka ya 90.
      flora msoffe likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      nduu/mamaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Location : AROUND THE WORLD
      Posts : 2,226
      Rep Power : 1002
      Likes Received
      547
      Likes Given
      174

      Default

      Quote By Pasco_jr_ngumi
      Loo, simpendi huyu....,
      Mambo yote ni Werasson
      mambo yote jb mpiana,dance kinkole!
      jogi likes this.

    9. #7
      Meritta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2011
      Posts : 1,265
      Rep Power : 666
      Likes Received
      267
      Likes Given
      475

      Default Re: Koffi Olomide ashitakiwa kwa kupigana

      achana kabisa na koffi ni noumer, hao wote wanafuata nyuma, mengine hayo ni upepo tu unapita
      "Ni UPENDO tu"

    10. #8
      chiborie's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th September 2011
      Posts : 173
      Rep Power : 421
      Likes Received
      26
      Likes Given
      51

      Default Re: Koffi Olomide ashitakiwa kwa kupigana

      Quote By nduu/mamaya
      mambo yote jb mpiana,dance kinkole!
      We JB hamna kitu hapo! Wera bana! uliicheki techno malewa?

    11. #9
      steveachi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th November 2011
      Posts : 800
      Rep Power : 541
      Likes Received
      140
      Likes Given
      56

      Default Re: Koffi Olomide ashitakiwa kwa kupigana

      ngoja akapakatwe kidogo na masela wa kinshasha jela ili akitoka ajirekebishe na aheshimu utu wa wengine

    12. #10
      Wamunzengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 500
      Rep Power : 443
      Likes Received
      126
      Likes Given
      4

      Default Re: Koffi Olomide ashitakiwa kwa kupigana

      Quote By Meritta
      achana kabisa na koffi ni noumer, hao wote wanafuata nyuma, mengine hayo ni upepo tu unapita
      binafsi nam-feel ile kinoma huyu jamaa. kwanza bonge la TOOZI, show yake pale Mwanza Yatch Club 2006 nili-enjoy vya kutosha. POLE SANA PAPA MOPAO MOKONZI. MAKILA MABE, BOLINGO NANGAI, ha ha haaa!!!!
      Meritta likes this.

    13. #11
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 12,121
      Rep Power : 31822
      Likes Received
      6009
      Likes Given
      19570

      Default Re: Koffi Olomide ashitakiwa kwa kupigana

      Nampenda sana huyu msomi msanii. yatapita tu papaa pole sana.

    14. #12
      varavara's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th May 2012
      Posts : 25
      Rep Power : 357
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Pasco_jr_ngumi
      Loo, simpendi huyu....,
      Mambo yote ni Werasson
      wewewe!koffi ni noma wanakuja wanapita lakini huyu jamaa kasimama huyu jamaa ni mkare!

    15. #13
      mfianchi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Location : Likulufusi
      Posts : 3,569
      Rep Power : 1221
      Likes Received
      580
      Likes Given
      1195

      Default Re: Koffi Olomide ashitakiwa kwa kupigana

      Waswahili bana,badala ya kujadili kesi wameanzisha malumbano ya nani zaidi,mnapotosha mada kama wabunge wa CCM
      MFUNGWA HACHAGUI GEREZA

    16. #14
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,636
      Rep Power : 16776
      Likes Received
      2513
      Likes Given
      1934

      Default Re: Koffi Olomide ashitakiwa kwa kupigana

      Kwa hiyo jamaa hivi sasa yupo jela?

    17. #15
      Master jay's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 146
      Rep Power : 381
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Pasco_jr_ngumi
      Loo, simpendi huyu....,
      Mambo yote ni Werasson
      bila simba hakuna yanga. Uwepo wa timu hizo huongeza ushindan ambao huwafanya waongeze bidii. Uwepo wa olomide na werra huwafanya kila mmoja ajitahid kufanya vizur il ampite mwenzie, matokeo yake wewe shabiki wake unata kitu supa.

    18. GP
      #16
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 919
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Koffi Olomide ashitakiwa kwa kupigana

      Mopao Mokonzi ni MKOROFI SANA, hili sio tukio la kwanza kupiga wadau wa muziki wa kundi lake. walishwai kuzichapa na Felix Wazekwa akimtuhumu kumuiga staili ya uimbaji

    19. GP
      #17
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 919
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Koffi Olomide ashitakiwa kwa kupigana

      Quote By nduu/mamaya
      mambo yote jb mpiana,dance kinkole!
      feux de l'amour, hii ngoma ilikua MEGA HIT, haijawai kupata kutokea rhumba kali congo DRC kama hii iliyoporomoshwa na JB Mpiana. inshort Mopao hatii mguu kwa Jean Bedel Mpiana haswa kwa muziki wa rhumba.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...