Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 51
    1. #1
      Maprosoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2010
      Location : Sinza/Dar es salaam
      Posts : 2,380
      Rep Power : 1010
      Likes Received
      263
      Likes Given
      57

      Default Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

      Nawasalimu wanajeiefu wote, straight to ze point ebwana huyu msanii anayeitwa WAKUVANGA wa kundi la ORIJINO KOMEDY huwa sioni anachokifanya zaidi ya kunikera!! kuchekesha kwenyewe hajui,anaforce fani ambayo sio yake. ushauri wangu kwa huyo jamaa angeenda kuimba taarabu na akina mzee yusuf ndio angependezea zaidi ......mwenye namba zake unipe nimpe MAKAVU LIVE.

    2. Miaka 50

    3. #2
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 1847
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

      mwenye namba zake unipe nimpe MAKAVU LIVE.

      • .....Ha ha ha ha ha ha ha ha..mkuu kwenye haya maneno umenifurahisha sana.

      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    4. #3
      Ndoa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 630
      Rep Power : 504
      Likes Received
      120
      Likes Given
      46

      Default Re: Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

      Anaganga njaa

    5. #4
      MATESLAA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Location : KINONDONI STUDIO
      Posts : 1,252
      Rep Power : 644
      Likes Received
      62
      Likes Given
      32

      Default Re: Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

      Aiseee baba yangu jamaa anatafuta rizki watoto wake nao wasome na wapishane chooni,,, kama unatafuta m2 wa kumpa makavu live ni pm nikupe namba ya jei kei

      nawasilisha maoni yangu
      Joloe, nyabhingi, tutaweza and 1 others like this.

    6. #5
      Remote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 4,277
      Rep Power : 1363
      Likes Received
      952
      Likes Given
      182

      Default Re: Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

      Kama unataka kumpa makavu NEPI itakupa namba, huyo maskini mwezangu naomba umuache agange njaa ajipatie riziki yake.
      tutaweza likes this.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,108
      Rep Power : 3263
      Likes Received
      1247
      Likes Given
      1201

      Default Re: Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

      Quote By Maprosoo
      Nawasalimu wanajeiefu wote, straight to ze point ebwana huyu msanii anayeitwa WAKUVANGA wa kundi la ORIJINO KOMEDY huwa sioni anachokifanya zaidi ya kunikera!! kuchekesha kwenyewe hajui,anaforce fani ambayo sio yake. ushauri wangu kwa huyo jamaa angeenda kuimba taarabu na akina mzee yusuf ndio angependezea zaidi ......mwenye namba zake unipe nimpe MAKAVU LIVE.
      Acha chuki zisizo na maana wewe_kwani akikukera wewe ndio wote hatumkubali....sema una kinyongo naye labda.
      tutaweza likes this.
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    9. #7
      St. Paka Mweusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Location : Ukune,
      Posts : 5,329
      Rep Power : 1700
      Likes Received
      1586
      Likes Given
      3342

      Default Re: Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

      Jamaa ni mbishi kweli,siku zote huwa najiuliza sijui mchekeshaji huwa anajisikiaje pale anapochekesha wakati watu anaojitahidi kuwachekesha hawacheki..??
      UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.

    10. #8
      kingsley's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th August 2012
      Posts : 42
      Rep Power : 350
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

      Ni kawaida kwenye makundi kuzidiana uwezo pia ana mchango wake.
      tutaweza likes this.

    11. #9
      Maprosoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2010
      Location : Sinza/Dar es salaam
      Posts : 2,380
      Rep Power : 1010
      Likes Received
      263
      Likes Given
      57

      Default

      Quote By MKUU ROMBO
      Aiseee baba yangu jamaa anatafuta rizki watoto wake nao wasome na wapishane chooni,,, kama unatafuta m2 wa kumpa makavu live ni pm nikupe namba ya jei kei

      nawasilisha maoni yangu
      Mkuu hunitakii mema ww!! unataka nipelekwe MABWEPANDE nikarestishwe in peace .......

    12. #10
      Maprosoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2010
      Location : Sinza/Dar es salaam
      Posts : 2,380
      Rep Power : 1010
      Likes Received
      263
      Likes Given
      57

      Default

      Quote By IGWE
      Acha chuki zisizo na maana wewe_kwani akikukera wewe ndio wote hatumkubali....sema una kinyongo naye labda.
      Wabongo bhana!! 2kisema ukweli 2nachuki binafsi!!kha! ....... siyo mimi mwenyewe huwa ananikera wa2 kibao huwa nawasikia wakisema!!
      nyumba kubwa likes this.

    13. #11
      Maprosoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2010
      Location : Sinza/Dar es salaam
      Posts : 2,380
      Rep Power : 1010
      Likes Received
      263
      Likes Given
      57

      Default

      Quote By only83

      • .....Ha ha ha ha ha ha ha ha..mkuu kwenye haya maneno umenifurahisha sana.

      Usicheke mkuu watu wengine huwa wanakera atii!!! sasa yeye badala ya kuchekesha ndio anakufanya ukasirike .........

    14. #12
      Chinga boy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 190
      Rep Power : 398
      Likes Received
      33
      Likes Given
      0

      Default Re: Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

      Kaka mwache atafute riziki ama sivyo atakuwa kibaka.wa 2 havai 1

    15. #13
      Meritta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2011
      Posts : 1,265
      Rep Power : 666
      Likes Received
      267
      Likes Given
      475

      Default Re: Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

      Inawezekane akawa anakukera ila anamchango mkubwa sana pale kwene group lao
      tutaweza likes this.
      "Ni UPENDO tu"

    16. #14
      Wi-Fi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : 6°49′24″ S 39°16′10″ E
      Posts : 1,150
      Rep Power : 682
      Likes Received
      324
      Likes Given
      186

      Default Re: Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

      namba zake hizi hapa: 0713800880
      Most discoveries happened by accident!

    17. #15
      matumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,338
      Rep Power : 1445
      Likes Received
      649
      Likes Given
      500

      Default

      Quote By MKUU ROMBO
      Aiseee baba yangu jamaa anatafuta rizki watoto wake nao wasome na wapishane chooni,,, kama unatafuta m2 wa kumpa makavu live ni pm nikupe namba ya jei kei

      nawasilisha maoni yangu
      hahaahahahahaahaha!!

    18. #16
      Maprosoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2010
      Location : Sinza/Dar es salaam
      Posts : 2,380
      Rep Power : 1010
      Likes Received
      263
      Likes Given
      57

      Default

      Quote By Wi-Fi
      namba zake hizi hapa: 0713800880
      Wireless mbona umenipa namba ya huduma kwa wateja!! .......

    19. #17
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,550
      Rep Power : 6992
      Likes Received
      1166
      Likes Given
      580

      Default Re: Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

      dah!ni kweli analazimisha fani lakin na ajira zenyewe hakuna kila mtu anajilazimisha asichoweza ilimradi mkono uende kinywani.
      nyumba kubwa likes this.
      ASIYEUMBA HAUMBUI

    20. #18
      flora msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : under a coconut tree
      Posts : 4,144
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      509
      Likes Given
      373

      Default Re: Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

      nenda tibisi watakupatia namba yake
      Quote By Maprosoo
      Nawasalimu wanajeiefu wote, straight to ze point ebwana huyu msanii anayeitwa WAKUVANGA wa kundi la ORIJINO KOMEDY huwa sioni anachokifanya zaidi ya kunikera!! kuchekesha kwenyewe hajui,anaforce fani ambayo sio yake. ushauri wangu kwa huyo jamaa angeenda kuimba taarabu na akina mzee yusuf ndio angependezea zaidi ......mwenye namba zake unipe nimpe MAKAVU LIVE.

      Never hate people who are jealous of you,
      Instead love them because they're the ones,
      who think you are better than them…

    21. #19
      Muuza Sura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : kinondoni manyanya
      Posts : 1,235
      Rep Power : 642
      Likes Received
      321
      Likes Given
      221

      Default Re: Huyu msanii huwa ananikera!!! ......

      Hanaga mpya ujanja wake kujifanya mwanamama au kukazania mama andunje!mama andunje!!!...
      nyumba kubwa likes this.

    22. #20
      DullyJr's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th April 2011
      Location : Mbeya
      Posts : 200
      Rep Power : 0
      Likes Received
      24
      Likes Given
      3

      Default Re: Huyu msanii huwa ananikera!!! ......


    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...