Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: ibrahim masoud(maestro) wa clouds fm atoa shutuma nzito kwa.....

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 38 of 38
    1. #1
      bampami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2011
      Posts : 1,068
      Rep Power : 594
      Likes Received
      257
      Likes Given
      108

      Default ibrahim masoud(maestro) wa clouds fm atoa shutuma nzito kwa.....

      Nafkiri sasa umefika mbali
      sana ww Mahmoud, kama
      hujui kitu ni bora uulize,
      nani kakwambia kwamba
      Maestro ndie final kwa
      mambo yote ya ufundi ya klabu ya Simba? usijifanye
      unajua kuchanganua
      mambo, una muda mrefu
      unafanya vijembe kwenye
      mitandao, mara alikuwa
      mpishi jeshini, mara mfagiaji benki, ilimradi tu, sasa
      nakwambia naweza kuwa
      nicwe na elimu nyingne, but
      elimu ya soka niliyonayo
      inaweza kuiongoza klabu
      yoyote Tanzania hii, na wala kwa hili siogopi, nani
      kakwambia kuwa
      Technical commtt ya klabu
      ndio ya mwisho kwenye
      maamuzi, nafkiri ulikuwa
      hunijui vzr, na sasa u want to c other side of me,
      wengine hatukuumbwa na
      kusema sema maneno
      yasiyo na burasa wa la
      msingi, ingekuwa hivyo, leo
      hii ww usingekaa, mm natoka kwenye media
      kama ww, mbona
      hukuandikwa kwenye
      vyombo vya habari pale
      ulipoingiliwa kinyume na
      maumbile Kampala kwenye Kagame mwaka 2002
      baada ya kulewa chakari
      pombe za bure, na ukaanza
      kupaka zazuu kichwani au
      unataka tukuweke
      kwenye mitandao? sasa subiri ramadhani iishe
      mpumbavu ww usiekuwa
      na dini, unaeendekeza njaa
      na kuwafuata fuata watu,
      huwa wengine hatuna tabia
      za kusema hovyo kama hatuna akili, wala sisi si
      watu wa matukio fahamu
      kwamba kimya ni silaha
      kwa sisi waislamu, usifikiri
      kila mtu ana tabia kama
      zako, elewa kimya kikubwa kina mshindo!
      katu hata taaluma yako
      inakwambia si lazima
      kumchafua mtu ambae
      utaweza kuishi nae
      kwa zaidi ya miaka mitano, ni mara ya kwanza nafanya
      kitu hiki ili ujue hata sisi
      watu wa kukaa kimya
      tunaweza kuongea wakati
      mwingine, labda
      hililitakufanya utafakari, na watu wakushauri kwa
      tabia zako, unajisahau
      kulea watt wako kazi
      kuendekeza njaa kwa
      kuchafua majina ya watu,
      paka ww! nakusisitiza sitaki unifuate
      fuate mm cna tabia hizo za
      kike kike kama zako, na
      wala sina makwapa ya
      kujionyesha tafuta wa
      kukufunza adabu kama hujalelewa!
      Søurce : facebook kwenye wall yake.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      bampami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2011
      Posts : 1,068
      Rep Power : 594
      Likes Received
      257
      Likes Given
      108

      Default

      Quote By ZionTZ
      ndivo mlivo...unafiki ndio tabia yenu, mmerithi kutoka kwa yuleyule....na ndomana hamnaga maendeleo...hapo next step ni kwenda kwa mganga hahahahahah
      Masoud vs mahmoud nani mnafki

    4. #22
      St. Paka Mweusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Location : Ukune,
      Posts : 5,289
      Rep Power : 1691
      Likes Received
      1564
      Likes Given
      3289

      Default Re: ibrahim masoud(maestro) wa clouds fm atoa shutuma nzito kwa.....

      Mimi hapo nimeona moja tu,Ngoja ramadhani iishe,masikini ndugu zetu, halafu wanasema waislamu wanaonewa eti jela zimejaa waisilamu...
      UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.

    5. #23
      chiborie's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th September 2011
      Posts : 173
      Rep Power : 421
      Likes Received
      26
      Likes Given
      51

      Default Re: ibrahim masoud(maestro) wa clouds fm atoa shutuma nzito kwa.....

      Quote By MTAZAMO
      Maestro namheshimu sana,maneno kama hayo yameharibu taswira nzuri aliyokuwa nayo.angejibu hoja tu na si lugha za kimtaani kihivyo! Hawa ndio watu wa mpira!
      Well said. Nami nilikua namwamini sana Maestro wakiwa na Shaffi Dauda, ni shabiki wa kipindi chao, lakini maneno aliyoandika, hata kama ni reaction yana nipa mashaka na elimu yake. Ongeza shule Maestro mana unaoekana ni bomu kabisa. Hivi Clouds wanatumia vigezo gani kuajiri? Halafu anajiita "kijana wa kiislamu". Hamaa kweli ndio mana wanagomea sensa!

    6. #24
      bampami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2011
      Posts : 1,068
      Rep Power : 594
      Likes Received
      257
      Likes Given
      108

      Default

      Quote By mpenda pombe
      Heshima ya Maestro imeshuka.. Kumbe hana busara hata chembe.. Inasikitisha sana..
      Nahc ni hasira tu!

    7. GP
      #25
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 918
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: ibrahim masoud(maestro) wa clouds fm atoa shutuma nzito kwa.....

      Quote By only83
      Ati ngoja ramadhani iishe....unajua kuna kauli uwa zinatolewa barabarani kuwa wakati wa ramadhani miji uwa inatulia hasa sehemu za starehe, waislamu kwa kauli kama za huyu jamaa mtadharaulika na maneno kama haya yataonekana kuwa ni ukweli. Ugomvi wake na mtu unasubiri mpaka ramadhani iishe? Huu ni upuuzi.
      mkuu usisahau na kitimoto hua inadoda sana kipindi hiki!,
      hata madam spika wakati akiahirisha bunge juzkati kasema mwezi huu mtukufu umesaidia kidogo kuleta utulivu mjengoni!, hahahaaaa.
      only83 likes this.

    8. Study Abroad

    9. #26
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,551
      Rep Power : 16758
      Likes Received
      2474
      Likes Given
      1841

      Default Re: ibrahim masoud(maestro) wa clouds fm atoa shutuma nzito kwa.....

      Kisa cha Maestro kupandwa na jazba namna hiyo ni nini?

    10. #27
      Kiraka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Location : ILOGANZALA
      Posts : 1,352
      Rep Power : 742
      Likes Received
      258
      Likes Given
      438

      Default

      Quote By St. Paka Mweusi
      Mimi hapo nimeona moja tu,Ngoja ramadhani iishe,masikini ndugu zetu, halafu wanasema waislamu wanaonewa eti jela zimejaa waisilamu...
      Wewe na wenzako wote mnaoushambulia uislam na waislam wote kwa kauli ya huyo bwana mna tofauti gani nae?? Yaani unaweza kukashifu waislam wote kwa jili ya kauli ya Maestro sijui? Hili tatizo la udini especialy kuchukia Waislam na Uislam linawatesa sana!

    11. #28
      Kabembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2009
      Location : ITETE-Kandwesi
      Posts : 872
      Rep Power : 701
      Likes Received
      170
      Likes Given
      169

      Default

      Quote By Kiraka
      Wewe na wenzako wote mnaoushambulia uislam na waislam wote kwa kauli ya huyo bwana mna tofauti gani nae?? Yaani unaweza kukashifu waislam wote kwa jili ya kauli ya Maestro sijui? Hili tatizo la udini especialy kuchukia Waislam na Uislam linawatesa sana!
      Ngoja ramadan iishe kudadeki,liwalo na liwe!

    12. #29
      Tusker Bariiiidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Location : Sinza Dar es Salaam.
      Posts : 3,229
      Rep Power : 1252
      Likes Received
      375
      Likes Given
      51

      Default Re: ibrahim masoud(maestro) wa clouds fm atoa shutuma nzito kwa.....

      Leo mchana Maestro lazima amtolee UVIVU!

    13. #30
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 443
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Default Re: ibrahim masoud(maestro) wa clouds fm atoa shutuma nzito kwa.....

      Quote By Remote
      Mahmoud zubery mwandishi(mhariri) wa gazeti la dimba
      Ameacha Dimba sasa hivi anaendesha blog yake ya Bin Zubery. huyu jamaa kwa kweli amezoea sana kuwatukana waandishi wenzake kwenye magazeti kila kitu yeye anajifanya anajua, aliingia mjini kama mpiga picha wa kujitegemea na kisha akataka kuingia kwenye ubondia bahati nzuri kupiga picha kukamuokoa na kumuingiza kwenye gazeti la Mfanyakazi kama kibarua, hana elimu ni zumbukuku, miye naona ni sawasawa kwa Maestro kumfanyia hivyo labda atabadirika.
      Remote likes this.

    14. #31
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 443
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Default Re: ibrahim masoud(maestro) wa clouds fm atoa shutuma nzito kwa.....

      Huyu ndiye Zubery mwenyewe.

    15. #32
      FULLUMBU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 149
      Rep Power : 391
      Likes Received
      28
      Likes Given
      1

      Default Re: ibrahim masoud(maestro) wa clouds fm atoa shutuma nzito kwa.....

      hao ndio ma mc!wanaojifoji waandishi wa habari

    16. #33
      vanmedy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2011
      Location : dar es salaam
      Posts : 1,199
      Rep Power : 623
      Likes Received
      213
      Likes Given
      47

      Default

      Quote By Simba Mkali
      Huyu ndiye Zubery mwenyewe.
      kwa hiyo hii njemba imetaunwa KIBOGA!!!!

    17. #34
      Limbani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Kisiwani
      Posts : 1,225
      Rep Power : 819
      Likes Received
      254
      Likes Given
      63

      Default

      Quote By Simba Mkali
      Huyu ndiye Zubery mwenyewe.
      Aisee watu hawana huruma, njemba yote hii inaliwa kiboga!!??

    18. #35
      Mwakalinga Y. R's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd October 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 2,169
      Rep Power : 972
      Likes Received
      924
      Likes Given
      2278

      Default Re: ibrahim masoud(maestro) wa clouds fm atoa shutuma nzito kwa.....

      Quote By bampami
      Nafkiri sasa umefika mbali
      sana ww Mahmoud, kama
      hujui kitu ni bora uulize,
      nani kakwambia kwamba
      Maestro ndie final kwa
      mambo yote ya ufundi ya klabu ya Simba? usijifanye
      unajua kuchanganua
      mambo, una muda mrefu
      unafanya vijembe kwenye
      mitandao, mara alikuwa
      mpishi jeshini, mara mfagiaji benki, ilimradi tu, sasa
      nakwambia naweza kuwa
      nicwe na elimu nyingne, but
      elimu ya soka niliyonayo
      inaweza kuiongoza klabu
      yoyote Tanzania hii, na wala kwa hili siogopi, nani
      kakwambia kuwa
      Technical commtt ya klabu
      ndio ya mwisho kwenye
      maamuzi, nafkiri ulikuwa
      hunijui vzr, na sasa u want to c other side of me,
      wengine hatukuumbwa na
      kusema sema maneno
      yasiyo na burasa wa la
      msingi, ingekuwa hivyo, leo
      hii ww usingekaa, mm natoka kwenye media
      kama ww, mbona
      hukuandikwa kwenye
      vyombo vya habari pale
      ulipoingiliwa kinyume na
      maumbile Kampala kwenye Kagame mwaka 2002
      baada ya kulewa chakari
      pombe za bure, na ukaanza
      kupaka zazuu kichwani au
      unataka tukuweke
      kwenye mitandao? sasa subiri ramadhani iishe
      mpumbavu ww usiekuwa
      na dini, unaeendekeza njaa
      na kuwafuata fuata watu,
      huwa wengine hatuna tabia
      za kusema hovyo kama hatuna akili, wala sisi si
      watu wa matukio fahamu
      kwamba kimya ni silaha
      kwa sisi waislamu, usifikiri
      kila mtu ana tabia kama
      zako, elewa kimya kikubwa kina mshindo!
      katu hata taaluma yako
      inakwambia si lazima
      kumchafua mtu ambae
      utaweza kuishi nae
      kwa zaidi ya miaka mitano, ni mara ya kwanza nafanya
      kitu hiki ili ujue hata sisi
      watu wa kukaa kimya
      tunaweza kuongea wakati
      mwingine, labda
      hililitakufanya utafakari, na watu wakushauri kwa
      tabia zako, unajisahau
      kulea watt wako kazi
      kuendekeza njaa kwa
      kuchafua majina ya watu,
      paka ww! nakusisitiza sitaki unifuate
      fuate mm cna tabia hizo za
      kike kike kama zako, na
      wala sina makwapa ya
      kujionyesha tafuta wa
      kukufunza adabu kama hujalelewa!
      Søurce : facebook kwenye wall yake.
      Mbona kama mipasho vile...!!
      " You're still my enemy tonight. But even enemies can show respect. " -Priam




    19. #36
      Mzawa Halisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2009
      Posts : 469
      Rep Power : 614
      Likes Received
      137
      Likes Given
      333

      Default Re: ibrahim masoud(maestro) wa clouds fm atoa shutuma nzito kwa.....

      Huyo Bw. Maestro anajitapaje kuwa anaweza kuendesha klabu yeyote ilhali mtu mmoja tu amemfanya aache jazba itawale akili yake?

    20. #37
      Mdakuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 267
      Rep Power : 412
      Likes Received
      48
      Likes Given
      11

      Default Re: ibrahim masoud(maestro) wa clouds fm atoa shutuma nzito kwa.....

      Nilijua tu kama iko siku Mahmoud atagusa mahala pabaya.
      Ona sasa ile siri uliyotuomba sana tusiivujishe imeshawekwa hadharani na Maestro!
      Ukiwa kwenye jumba la vioo usipende kurushia watu mawe, au ulisahau kama Maestro alikuwepo Kampala wakati ule ulipogongwa na wale wanachuo baada ya kulewa?
      Simba Mkali likes this.

    21. #38
      myao wa tunduru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2010
      Location : ligoma na mpumbe
      Posts : 507
      Rep Power : 568
      Likes Received
      81
      Likes Given
      40

      Default Re: ibrahim masoud(maestro) wa clouds fm atoa shutuma nzito kwa.....

      Hili beef nalifananisha na la dudu baya na mr nice!maestro na zubery watakuwa wanagombea basha haiwezekani watoto wa kiume ugomvi wao wakaweka katika media!!!kama wangekuwa wa kiume kweli wangetafutana wapeana nakoz waheshimiane siyo mipasho na kutoleana siri zao za kugongwa ngozi!

    22. Miaka 50
    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...