Hilo jibu mkali!bongo tu imekuwa haina mwenyewe siku hizi hadi hata ukiwa na kipande famba bado unakimbiza!!!!naona mpoki anawatia sana moyo wenye sura za babu zao eti mwanaume hasifiwi sura!!!watu vipande vinauza na ukuta tunaongea nao katika masuala ya muamala kama kawa!....tukishikia bango gym si ndio itakuwa balaa dunia nzima!
Mpoki kawapa matumaini kidogo msijichukie na sura zenu ila kasahau kama kuna watu sura mauzo na matatizo hatuna!!!ukiwa na sura mbaya unahitaji kuwa na milioni moja ili ilingane na laki moja anayomiliki mtu mwenye sura nzuri ili utoke nae suluhu kuishi kwa furaha!
Mpoki sura mbaya,dental formula mbaya,mwili mbaya kama kiroba,weusi mbaya wa matatizo ndo maana kajitolea kuwa msemaji wa kutia moyo wenzake na slogan ya mwanaume hasifiwi sura!!!
Wivu wa kike
that body! uwiiiiiiii yummy! mmhhh acha aitwe sukari ya warembo, lol!
"the problem is not me! the problem is you understading me!"
uzuri wake anapenda kujifunza.
SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA
Unajua mtu alie zaliwa dar anaweza kua na vitu vingi vya kufanya
during his spare time. Na sio watu wengi wanapenda kuogelea hapo.
Kigoma activities nyingi ni around ziwa. Soko, maboti, na mengine
People spend so much time by the lake, na watu wengi wanaogelea
Sio lazima kila mtu Kigoma ajue, ila wengi wanajifunza tanganyika
Creativity is the sudden cessation of stupidity.
Edwin H. Land
Kuzaliwa dar sio tatizo, tatizo ni kwamba umezaliwa dar pande zipi na kampani zako wakati upo dogo zilikuwa dizaini gani! Suala la kuwa bize si sana kwa maana wakti mzuri wa kujifunza kuogelea ni wakati m2 upo mdogo....most cases wakati upo pprimary school! Kipindi hicho, akili za kitoto zinakusaidia usifahamu hatari ya bahari...lakini ukishakua m2 mzima; bahari inatisha; asikuambie m2! Nakumbuka enzi ze2; fimbo ambazo tulikuwa hatupitwi nazo kila siku ni za kwenda kucheza baharini...usipoonekana tu home; fahamu bi mkubwa anakusubiri kwa hamu, ile kufika 2 anaanza kukulamba ngozi!!
I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!
Uwiiii!!. Halafu kwenya lunch box yake naona amepark hotdog kubwa
kijana ndani ya wet n wild,mtu kama yeye anaenda kujiachia siku za kawaida ambapo akuna vurugu za watu wengi,kama siku za w-end.
Teh teh, mwkilsh we2 huyo 2016 olmpic itakayo fanyka brazil. 2mpen saport jaman. hahahahahahaha. .
Sema Kwa Sauti, Mimi Ni Mweusi Na Najivunia Kuwa Hivyo!
Follow Us Here