Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Diamond Akifundishwa Kuogelea

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 70
    1. #1
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,263
      Rep Power : 3567
      Likes Received
      3073
      Likes Given
      463

      Default Diamond Akifundishwa Kuogelea









      Hapo Alikunywa maji Kidogo baada ya kuachiwa...

    2. RukaaJuu Final

    3. #41
      Muuza Sura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : kinondoni manyanya
      Posts : 1,235
      Rep Power : 642
      Likes Received
      321
      Likes Given
      221

      Default

      Quote By King Kong III
      Kwahyo Jamaa Kipande kime-shake? Hahaaaaa!
      Hilo jibu mkali!bongo tu imekuwa haina mwenyewe siku hizi hadi hata ukiwa na kipande famba bado unakimbiza!!!!naona mpoki anawatia sana moyo wenye sura za babu zao eti mwanaume hasifiwi sura!!!watu vipande vinauza na ukuta tunaongea nao katika masuala ya muamala kama kawa!....tukishikia bango gym si ndio itakuwa balaa dunia nzima!

    4. #42
      Muuza Sura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : kinondoni manyanya
      Posts : 1,235
      Rep Power : 642
      Likes Received
      321
      Likes Given
      221

      Default

      Quote By Rejao
      Wivu huo!!!

      Mwanaume asifiwi sura!!!
      Mpoki kawapa matumaini kidogo msijichukie na sura zenu ila kasahau kama kuna watu sura mauzo na matatizo hatuna!!!ukiwa na sura mbaya unahitaji kuwa na milioni moja ili ilingane na laki moja anayomiliki mtu mwenye sura nzuri ili utoke nae suluhu kuishi kwa furaha!
      Mpoki sura mbaya,dental formula mbaya,mwili mbaya kama kiroba,weusi mbaya wa matatizo ndo maana kajitolea kuwa msemaji wa kutia moyo wenzake na slogan ya mwanaume hasifiwi sura!!!
      jmushi1, Rejao and Bondpost like this.

    5. #43
      Rejao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Location : Long Street
      Posts : 8,758
      Rep Power : 25651
      Likes Received
      3345
      Likes Given
      2878

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      Quote By Muuza Sura
      Mpoki kawapa matumaini kidogo msijichukie na sura zenu ila kasahau kama kuna watu sura mauzo na matatizo hatuna!!!ukiwa na sura mbaya unahitaji kuwa na milioni moja ili ilingane na laki moja anayomiliki mtu mwenye sura nzuri ili utoke nae suluhu kuishi kwa furaha!
      Mpoki sura mbaya,dental formula mbaya,mwili mbaya kama kiroba,weusi mbaya wa matatizo ndo maana kajitolea kuwa msemaji wa kutia moyo wenzake na slogan ya mwanaume hasifiwi sura!!!
      kwi kwi kwi...... leo sikuwa na mood ya kucheka but imebidi nicheke!!
      If you can't convince them, confuse them.
      M-4-C - Movement for Chagaz

    6. #44
      The Eagle2012's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 119
      Rep Power : 383
      Likes Received
      24
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Muuza Sura
      Mpoki kawapa matumaini kidogo msijichukie na sura zenu ila kasahau kama kuna watu sura mauzo na matatizo hatuna!!!ukiwa na sura mbaya unahitaji kuwa na milioni moja ili ilingane na laki moja anayomiliki mtu mwenye sura nzuri ili utoke nae suluhu kuishi kwa furaha!
      Mpoki sura mbaya,dental formula mbaya,mwili mbaya kama kiroba,weusi mbaya wa matatizo ndo maana kajitolea kuwa msemaji wa kutia moyo wenzake na slogan ya mwanaume hasifiwi sura!!!


      Mkuu Haiwezekani Kila Mtu awe na Sura Nzuri Mkuu,Sisi ambao tuna Sura ambazo si mbaya wala Si Nzuri unatuweka kwenye Kundi gani?

      Kwa Maoni yangu Mm Uzuri wa Mwanaume Unapaswa Kupimwa kwa Kiwango Chake cha Hekima,Akili,Uchapaji Kazi na Upendo hasa kwa Familia yake!!

    7. #45
      mopaozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 2,446
      Rep Power : 758
      Likes Received
      258
      Likes Given
      49

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      Wivu wa kike

    8. Miaka 50

    9. #46
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,056
      Rep Power : 14521
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5006

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      that body! uwiiiiiiii yummy! mmhhh acha aitwe sukari ya warembo, lol!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    10. #47
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 12,136
      Rep Power : 31825
      Likes Received
      6021
      Likes Given
      19619

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      uzuri wake anapenda kujifunza.
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

    11. #48
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      Quote By Rejao
      kwi kwi kwi...... leo sikuwa na mood ya kucheka but imebidi nicheke!!
      Hili ndio Jukwaa lake mkali wa Don town, kama kuna misemo imetoka mipya huifahamu wewe usikae mbali na Muuza Sura.
      jmushi1 and Rejao like this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    12. #49
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,893
      Rep Power : 26887
      Likes Received
      4389
      Likes Given
      4662

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      Quote By Nyani Ngabu
      Mie niliezaliwa Ocean road mbona sijui kuogelea....
      Unajua mtu alie zaliwa dar anaweza kua na vitu vingi vya kufanya
      during his spare time. Na sio watu wengi wanapenda kuogelea hapo.
      Kigoma activities nyingi ni around ziwa. Soko, maboti, na mengine
      People spend so much time by the lake, na watu wengi wanaogelea
      Sio lazima kila mtu Kigoma ajue, ila wengi wanajifunza tanganyika
      Creativity is the sudden cessation of stupidity.
      Edwin H. Land

    13. #50
      maria pia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Posts : 304
      Rep Power : 404
      Likes Received
      31
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By Rejao
      Wivu huo!!!

      Mwanaume asifiwi sura!!!
      Aah wapi,sura muhimu bwana,nani anataka kuharibu watoto
      Bondpost likes this.

    14. #51
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 4,012
      Rep Power : 1223
      Likes Received
      781
      Likes Given
      681

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      Quote By Gaijin
      Hicho alichokivaa ndio nini?


      Walikuwa wamfunze pia kuwa nguo za ndani zinaendelea kubaki ndani na hazipaswi kuonekana nje, hata kama ni ndani ya hodhi la kuogelea..........
      Kweli kabisa....

    15. #52
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 4,012
      Rep Power : 1223
      Likes Received
      781
      Likes Given
      681

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      Quote By cacico
      that body! uwiiiiiiii yummy! mmhhh acha aitwe sukari ya warembo, lol!
      Kwa hiyo mambo yako yameshakuharibikia>>>>>>

    16. #53
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 4,012
      Rep Power : 1223
      Likes Received
      781
      Likes Given
      681

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      Quote By Gold Addict
      Damn!!!!!what a body!!!!I'm so in luv with those six pacs!!! So kama kina Muuza Sura kushindia viepe
      Hongera dada panga foleni....
      Wema na Jokate wameshaachia...
      "A man's or woman's best or worst choice in life is his or her spouse"

    17. #54
      NasDaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Ushenzini
      Posts : 3,097
      Rep Power : 5353
      Likes Received
      1467
      Likes Given
      1684

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      Quote By Mwali
      Unajua mtu alie zaliwa dar anaweza kua na vitu vingi vya kufanya
      during his spare time. Na sio watu wengi wanapenda kuogelea hapo.
      Kigoma activities nyingi ni around ziwa. Soko, maboti, na mengine
      People spend so much time by the lake, na watu wengi wanaogelea
      Sio lazima kila mtu Kigoma ajue, ila wengi wanajifunza tanganyika
      Kuzaliwa dar sio tatizo, tatizo ni kwamba umezaliwa dar pande zipi na kampani zako wakati upo dogo zilikuwa dizaini gani! Suala la kuwa bize si sana kwa maana wakti mzuri wa kujifunza kuogelea ni wakati m2 upo mdogo....most cases wakati upo pprimary school! Kipindi hicho, akili za kitoto zinakusaidia usifahamu hatari ya bahari...lakini ukishakua m2 mzima; bahari inatisha; asikuambie m2! Nakumbuka enzi ze2; fimbo ambazo tulikuwa hatupitwi nazo kila siku ni za kwenda kucheza baharini...usipoonekana tu home; fahamu bi mkubwa anakusubiri kwa hamu, ile kufika 2 anaanza kukulamba ngozi!!
      jmushi1 likes this.
      I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!


    18. #55
      chief72's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2011
      Posts : 337
      Rep Power : 453
      Likes Received
      78
      Likes Given
      1

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      Quote By Eraldius
      mbona Shetta huyo!
      mtakiane dhana njema.....asema MUHAMMAD(S.A.W)

    19. #56
      lwangam's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th October 2011
      Posts : 24
      Rep Power : 387
      Likes Received
      11
      Likes Given
      29

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      Uwiiii!!. Halafu kwenya lunch box yake naona amepark hotdog kubwa

    20. #57
      igwe sr.'s Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 68
      Rep Power : 413
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      kijana ndani ya wet n wild,mtu kama yeye anaenda kujiachia siku za kawaida ambapo akuna vurugu za watu wengi,kama siku za w-end.

    21. #58
      de concious one's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th July 2012
      Posts : 23
      Rep Power : 348
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      Teh teh, mwkilsh we2 huyo 2016 olmpic itakayo fanyka brazil. 2mpen saport jaman. hahahahahahaha. .

    22. #59
      BabaDesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2007
      Posts : 2,382
      Rep Power : 1084
      Likes Received
      251
      Likes Given
      1400

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      Quote By Gaijin
      Ushamba ndo kama huo, kutoweza kutofautisha mavazi gani uyavae wapi
      t to

      ...according to who my dia. surely, if you have money you should not people dress you but rather you shud be the one who chooses what to wear and anybody who doeznt lyke it shud go and hang himself, huh???
      Sema Kwa Sauti, Mimi Ni Mweusi Na Najivunia Kuwa Hivyo!

    23. #60
      Philipo Kidwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2012
      Location : kusadikika
      Posts : 2,063
      Rep Power : 980
      Likes Received
      573
      Likes Given
      147

      Default Re: Diamond Akifundishwa Kuogelea

      Quote By Freema Agyeman
      Kwa nini unadhani kila aliyezaliwa Kigoma anatakiwa kuogelea?
      ingekuwa hivyo inamaana kwamba kila atakayekaa kanisani sana angegeuka yesu.
      LIMPETA

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...