Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: tupeni hizo habari mbaya kuhusu msanii dimond

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 33 of 33
    1. #1
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,574
      Rep Power : 12091
      Likes Received
      2813
      Likes Given
      1608

      Default tupeni hizo habari mbaya kuhusu msanii dimond

      mitaani wanasema maneno tofauti. Mara ya mwisho nasikia msanii dimond anaumwa ila sijasikia kazidiwa au anapumua vibaya. tupeni maendeleo yake coz watu washaanza kulia. Mia


    2. #21
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,574
      Rep Power : 12091
      Likes Received
      2813
      Likes Given
      1608

      Default

      Quote By Gang Chomba
      Ukishakuwa maarufu lazima ukubali skendo...
      sio kila siku watasifu lazima watapiga dongo...
      Kuna Wengine hawapitishi hata wiki wamefanya jambo...
      Na wengine wakiona hawaskiki watajifanya wana skendo...
      Chomba ni yuleyule umaarufu haujanibadilisha...
      Kipara hakuna nywele style ya kiduku itapita...

      Am so Famous...
      fid q,figganigga, nyoshi sio maarufu? mia

    3. #22
      phina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : the gate of no gate
      Posts : 399
      Rep Power : 480
      Likes Received
      117
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By Chilli
      Mkuu mi nataka nireport abuse. Hilo neno la Kiitaliano umelitumia kwa bahati mbaya ama ulidhamiria?!
      Please report kwa kweli..that wasnt necessary and it was uncalled for!!au ndo kuonesha uwezo??

    4. #23
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,346
      Rep Power : 5151
      Likes Received
      3328
      Likes Given
      2721

      Default

      Quote By phina
      Please report kwa kweli..that wasnt necessary and it was uncalled for!!au ndo kuonesha uwezo??
      Mbona hilo neno wanaliweka hewani kwenye wimbo wa GWM-Kamua yule D-chief kachana Fanculo Dialo madona aungurumapo simba mcheza nani? Mmetaka noma tunaleta noma kinomanoma! Neno la kawaida tu hilo.

    5. #24
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,142
      Rep Power : 25444
      Likes Received
      14847
      Likes Given
      15795

      Default

      hebu mwambie mtaliano

      'porokodio fankulo' uone?

      Quote By King Kong III
      Mbona hilo neno wanaliweka hewani kwenye wimbo wa GWM-Kamua yule D-chief kachana Fanculo Dialo madona aungurumapo simba mcheza nani? Mmetaka noma tunaleta noma kinomanoma! Neno la kawaida tu hilo.

    6. #25
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,247
      Rep Power : 1769
      Likes Received
      1038
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By figganigga
      fid q,figganigga, nyoshi sio maarufu? mia

      Hapo maarufu ni Figganigga tu...laki


    7. #26
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,574
      Rep Power : 12091
      Likes Received
      2813
      Likes Given
      1608

      Default

      Quote By Gang Chomba
      Hapo maarufu ni Figganigga tu...laki
      pamoja saaana. mia

    8. #27
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,247
      Rep Power : 1769
      Likes Received
      1038
      Likes Given
      0

      Default Re: tupeni hizo habari mbaya kuhusu msanii dimond

      TAARIFA RASMI...
      Taarifa zilizojiri hivi punde zimetanabaisha kuwa jeshi la Polisi nchini kanda maalum ya Dar Es Salam imepiga marufuku mkusanyiko au majadiliano yoyote juu ya kauli aliyoitumia Gang Chomba mapema leo ambayo imezua utata mkubwa kiasi kwamba baadhi ya watu wametishia kumripoti.

      taarifa ya jeshi la Polisi imesema kuwa ni marufuku kuijadili kauli hiyo kwa sababu swala hilo liko Mahakamani.

      Jokes...

    9. #28
      Chilli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th July 2011
      Location : Nowhere
      Posts : 1,358
      Rep Power : 7604
      Likes Received
      587
      Likes Given
      175

      Default Re: tupeni hizo habari mbaya kuhusu msanii dimond

      Quote By King Kong III
      Mbona hilo neno wanaliweka hewani kwenye wimbo wa GWM-Kamua yule D-chief kachana Fanculo Dialo madona aungurumapo simba mcheza nani? Mmetaka noma tunaleta noma kinomanoma! Neno la kawaida tu hilo.
      Kwa hiyo na yale matusi unayoyasikia kwenye nyimbo za Kimarekani ni halali kuyatamka kw sababu tu yameimbwa kwenye nyimbo?
      Hawa wazee wameishi maisha yao, wanaishi maisha yetu, tusiwaruhusu waishi maisha ya watoto wetu - ZZK, 22 November 2012

    10. #29
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,856
      Rep Power : 19823
      Likes Received
      5643
      Likes Given
      3875

      Default Re: tupeni hizo habari mbaya kuhusu msanii dimond

      Quote By Gang Chomba
      Hivyo vitu vyooote nilivyokutajia vimo humuhumu.
      Tuliza kiuno chini utaona tu habari zao.
      Hapa umenena vyema, kwa ukweli wa mwenyezi Mungu hata huyu kijana anaitwa Sajuki mimi jina lake ndio nimelifahamu hapa JF baada ya thread za kumuombea michango akatibiwe India, kwahiyo watu wasidhani kusema habari za watu fulani ni kwamba na wewe upo kwenye ujinga huo.

      Mimi binafsi Movie za Wanigeria kwangu ni ushuzi mtupu, siangalii movie yoyote zaidi ya movie za Hollywood sasa usitegemee mimi kuwajuwa hao Bongo Movie zaidi ya habari zao kuzipata hapa JF. Hongera sana Muuza Sura maana wewe ndio unatupa habari za hao watu na sisi angalau tunapata moja mbili tatu zao.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    11. #30
      NasDaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Ushenzini
      Posts : 3,343
      Rep Power : 5405
      Likes Received
      1574
      Likes Given
      1869

      Default Re: tupeni hizo habari mbaya kuhusu msanii dimond

      Quote By Gang Chomba
      Muuza Sura hapa ingekuwa ni habari ya Jay Moe ningechangia usiku na mchana.
      Huyu Dogo nakuhakikishia ni Big G, hawa ndio wale wasanii ambao ili wabaki juu ni lazima wazushe skendo.
      Huyu Dogo anajizushia skendo ili Miuza Sura na wenzio mpate cha kumfuatilia.
      Tazama alivyowaburuza kama watoto wadogo kuanzia kwa skendo ya kumvalisha pete huyo ushuzi mwenzie, kisha akawaokota kuwa wameachana, mara wakarudiana, mara sijui wameonekana Hotel gani, mara sijui wameachana, mara Jockate akaingilia, mara Diamond akakataa kupokea Hela ya wema aliyotunzwa, mara sijui Diamond katua na Helcopter, mara Mama Wema kawachamba maadui wa Mwanawe kwenye TV, mara Wema anadai yeye ndie alikuwa wa Kanumba, mara sijui Wema anapambana na Wolper, Wema mara kanunua Nyumba ya Gharama, mara Diamond agombana na Baba yake, Mara Diamond anaumwa sijui kichocho, mara Wema atangaza kwenda BBA nxt Year...

      na wanateka magazeti ya Marangi rangi ili mradi tu habari zao ziwe zinatolewa kwenye magazeti yenu hayo yaliyojaa matangazo ya waganga.

      Fanculo

      Mpaka mtakaponitumbukiza kwenye Nyumba ya Milele sintawakubali wasanii Wema Sepetu na Diamond.
      Mkuu Chomba, Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni! Diamond mkali, dogo anaweza...hilo halina ubishi. Dogo habebwi kwa skendo, dogo anabebwa na kazi zake. Na ukiangalia jinsi game lilivyo tight, sio siri dogo amekaza. Kuna kibao walitinga kwenye game na wakapotezwa, lakini dogo bado mbishi. Mpe credit zake bhana...hayo mengine ni utoto tu; kisu alichokuwa nacho Diamond; kibongo bongo ni kisu ambacho alitakiwa kuwa nacho mtu mzima, tena aliyepatia maisha lakini kinavyokuja kudondoka kwa m2 kama Diamond, lazima kimuweushe. Usicheze na hela jomba!
      I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!


    12. #31
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,322
      Rep Power : 6592
      Likes Received
      2770
      Likes Given
      1320

      Default Re: tupeni hizo habari mbaya kuhusu msanii dimond

      figganigga , hizo mia lini zitakua elfu?
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    13. #32
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,574
      Rep Power : 12091
      Likes Received
      2813
      Likes Given
      1608

      Default

      Quote By MadameX
      figganigga , hizo mia lini zitakua elfu?
      Huu bado kidogo. kama mkichangia itafika tu Buku. Mia

    14. #33
      Al Zagawi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Location : Tabora
      Posts : 836
      Rep Power : 689
      Likes Received
      161
      Likes Given
      54

      Default Re: tupeni hizo habari mbaya kuhusu msanii dimond

      Quote By Matola
      Hili Taifa sijui sasa linaekea wapi? maana hawa Bongo movie + Ubongo wa Fleva sasa naonekana wanataka kulisilimisha Taifa ili kila mtu awe mpenziwa vitu vya kipuuzi puuzi, kuna thread humu nimeuliza Mkasi hasa ndio kipindi gani zaidi ya kuona mtu akinawishwa miguu na kungwaliwa kucha?
      Ni TV Talk show mkuu....

      Ndiyo mambo ya siku hizi hayo..walianza kina Oprah, wakatengeneza mahela basi kila mtu anajaribu kupita njia hiyo.

      Tofauti na talk show nyingine ni yale mazingira...wengine mf Sporah au Mboni Masimba watakaa kwenye makochi fulani hivi kwenye kaukumbi ka kizushi hivi wakati mkasi ni katika maskani(soma vijiwe) za vijana wa kileo yaani saluni...ingekuwa zamani basi ingekuwa chini ya mwembe halafu kuna draft na wasela wengine wamejichora tatoo za nanga(mabaharia watarajiwa) wameegemea vigogo wakipanga mipango ya safari kuanzia kigamboni, ndani ya meli, ubatani(uturuki) mpaka kwenyewe kwa akina pula malaka, msosi please(yaani ugiriki).

      By the way...dunia sasa imejaa upuuzi(in your words) na cha kushangaza, wapuuzi(siyo wasomi) ndiyo wenye maisha bora na wanatoa ajira kwa wasio wapuuzi(yaani wasomi)....Kizungumkuti!!!
      ...........Uwanja wa siasa katika nchi karibu zote za Kiafrika, ni uwanja uliotekwa na majambazi ambao wanafanya wanachotaka, vile wanavyotaka..........Jenerali Ulimwengu, Raia Mwema Namba 278.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...