mitaani wanasema maneno tofauti. Mara ya mwisho nasikia msanii dimond anaumwa ila sijasikia kazidiwa au anapumua vibaya. tupeni maendeleo yake coz watu washaanza kulia. Mia
mitaani wanasema maneno tofauti. Mara ya mwisho nasikia msanii dimond anaumwa ila sijasikia kazidiwa au anapumua vibaya. tupeni maendeleo yake coz watu washaanza kulia. Mia
TAARIFA RASMI...
Taarifa zilizojiri hivi punde zimetanabaisha kuwa jeshi la Polisi nchini kanda maalum ya Dar Es Salam imepiga marufuku mkusanyiko au majadiliano yoyote juu ya kauli aliyoitumia Gang Chomba mapema leo ambayo imezua utata mkubwa kiasi kwamba baadhi ya watu wametishia kumripoti.
taarifa ya jeshi la Polisi imesema kuwa ni marufuku kuijadili kauli hiyo kwa sababu swala hilo liko Mahakamani.
Jokes...
Hawa wazee wameishi maisha yao, wanaishi maisha yetu, tusiwaruhusu waishi maisha ya watoto wetu - ZZK, 22 November 2012
Hapa umenena vyema, kwa ukweli wa mwenyezi Mungu hata huyu kijana anaitwa Sajuki mimi jina lake ndio nimelifahamu hapa JF baada ya thread za kumuombea michango akatibiwe India, kwahiyo watu wasidhani kusema habari za watu fulani ni kwamba na wewe upo kwenye ujinga huo.
Mimi binafsi Movie za Wanigeria kwangu ni ushuzi mtupu, siangalii movie yoyote zaidi ya movie za Hollywood sasa usitegemee mimi kuwajuwa hao Bongo Movie zaidi ya habari zao kuzipata hapa JF. Hongera sana Muuza Sura maana wewe ndio unatupa habari za hao watu na sisi angalau tunapata moja mbili tatu zao.
Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.
Mkuu Chomba, Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni! Diamond mkali, dogo anaweza...hilo halina ubishi. Dogo habebwi kwa skendo, dogo anabebwa na kazi zake. Na ukiangalia jinsi game lilivyo tight, sio siri dogo amekaza. Kuna kibao walitinga kwenye game na wakapotezwa, lakini dogo bado mbishi. Mpe credit zake bhana...hayo mengine ni utoto tu; kisu alichokuwa nacho Diamond; kibongo bongo ni kisu ambacho alitakiwa kuwa nacho mtu mzima, tena aliyepatia maisha lakini kinavyokuja kudondoka kwa m2 kama Diamond, lazima kimuweushe. Usicheze na hela jomba!
I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!
figganigga , hizo mia lini zitakua elfu?
Blessed are hearts that bend but shall never broken
Ni TV Talk show mkuu....
Ndiyo mambo ya siku hizi hayo..walianza kina Oprah, wakatengeneza mahela basi kila mtu anajaribu kupita njia hiyo.
Tofauti na talk show nyingine ni yale mazingira...wengine mf Sporah au Mboni Masimba watakaa kwenye makochi fulani hivi kwenye kaukumbi ka kizushi hivi wakati mkasi ni katika maskani(soma vijiwe) za vijana wa kileo yaani saluni...ingekuwa zamani basi ingekuwa chini ya mwembe halafu kuna draft na wasela wengine wamejichora tatoo za nanga(mabaharia watarajiwa) wameegemea vigogo wakipanga mipango ya safari kuanzia kigamboni, ndani ya meli, ubatani(uturuki) mpaka kwenyewe kwa akina pula malaka, msosi please(yaani ugiriki).
By the way...dunia sasa imejaa upuuzi(in your words) na cha kushangaza, wapuuzi(siyo wasomi) ndiyo wenye maisha bora na wanatoa ajira kwa wasio wapuuzi(yaani wasomi)....Kizungumkuti!!!
...........Uwanja wa siasa katika nchi karibu zote za Kiafrika, ni uwanja uliotekwa na majambazi ambao wanafanya wanachotaka, vile wanavyotaka..........Jenerali Ulimwengu, Raia Mwema Namba 278.
Follow Us Here