Inaonekana mlimbwende muigizaji anajifua kutinga Big Brother Africa na anaomba ushauri. Sijui sana vigezo wanavyotumia wapigakura BBA wakilinganisha ushiriki wa mtu na tabia yake. Mnaomjua Wema mngemshauri nini?
![]()
Inaonekana mlimbwende muigizaji anajifua kutinga Big Brother Africa na anaomba ushauri. Sijui sana vigezo wanavyotumia wapigakura BBA wakilinganisha ushiriki wa mtu na tabia yake. Mnaomjua Wema mngemshauri nini?
![]()
Big yes to her! Kama Karen alishinda why not Wema?
asijeleta mambo ya bhoke tu! chonde chonde!
"the problem is not me! the problem is you understading me!"
wema kwa kweli anafaa kushiriki kwa kuwa atakuwa fo really.. hataweka usanii kama wengine...go go go wema
Mi nadhani kinacho-matter BBA not so much kuhusu mambo binafsi kama ya Bhoke unayosema cacico. What matters ni openness ya mtu na jinsi anavyohusiana na kujichanganya na wenzake mjengoni. Bhoke wasn't someone who could put up easily with others; I mean she was a little bit reserved to herself. Karen alionekana kama anapenda sana kale kamchezo, wenzake wanamsema alikuwa mchafu/ananuka, alikuwa anapenda kutembea uchi kila wakati... lakini kilichomfanya watu wampende pamoja na vijimambo hivyo jinsi alivyokuwa si mnafiki, yuko open, hana hila na mambo kama hayo.
Swali linabaki; Je, Wema anauwezo wa kusocialize kiasi gani, uwezo wa kuwa open kiasi gani, uwezo wa kutokuwa artificial, na mambo kama hayo?
Anafaa sana kwenda kua chakula kule!
huyo huko aende tu ndio mahala pake. Atakua amempunguzia shigongo kazi ya kusaka habari zake, maana atapiga kambi kwe luninga ya bba
ninachoona hapa ni ataenda kutudhalilisha maana hawezi kujihandle hata jikoni mnaweza kumalizana nae na ukatoka mwanauume umeridhika
Anaweza kutoka bora kuliko mnavyo fikiria....
Kila la kheri bi dada.
SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA
Mmmmmmh! Wema huyuhuyu?
aaagggggggghhhhhhhhhhhhhhhhhhh hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh hhh......
....ukubwa AKILI...NDEVU uchafu...
and we will definitely support you WEMA, TRY YOUR LUCKY!
Anafaa...
yah kama kawa anacfa zote so anafaa
Aende tu
No one is in charge of your happiness except you...
God time is the best..
Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma
Nenda dda wema tufafurahi sana tunakupenda sana hasa sauti yako tu!! Duuuh!!
kuanzia sasa asipake mkorogo, na awe natural .... yaani asipende kuishi maisha ya TV, aishi maisha ya matanzania
Follow Us Here