Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jastine kalikawe alikua anakuja juu sana ktk anga ya muziki wa reggae hapa nchini,

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 24 of 24
    1. #1
      Slave's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Location : jamiiforums area
      Posts : 2,891
      Rep Power : 4894
      Likes Received
      876
      Likes Given
      697

      Default Jastine kalikawe alikua anakuja juu sana ktk anga ya muziki wa reggae hapa nchini,

      Huyu jamaa ki-ukweli alianza kujitanua sana katika muziki,nakumbuka baadhi ya nyimbo zake kama ule anaosema "ewe baba mwenye nyumba sio uwe mkaa wa moto" jamaa kuna nyimbo kibao sana ambazo kiukweli zilikuwa zinanishika sana, MV BUKOBA ,KATONDA na nyingine kibao,mpaka leo sifahamu history ya kifo chake,kama kuna mtu anajua habari za Kalikawe basi anidadavulie ili nipate kumjua zaidi ya nilivyo mjua.
      IGWE likes this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,914
      Rep Power : 5060
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2653

      Default

      Quote By mpenda pombe
      Justin Kalikawe, alikufa kwa kuamini sana imani za kirasta, aliugua akakataa kwenda hospital, akawa anatumia dawa za asili tu, alizidiwa mpaka umauti unamkuta, kwa kutetea msimamo wake wa kutokwenda hospital..
      R.I.P KALIKAWE!
      Aliugua Ugonjwa gani?

    4. #22
      NusuMutu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Mpulungu
      Posts : 421
      Rep Power : 471
      Likes Received
      74
      Likes Given
      20

      Default

      '..Inawaka moto,inawaka moto dunia, ulimwengu waungua bila kujijua..,habari zisikikazo mwanzo wa siku hadi mwisho,niza kusikitisha.., hata pale wenye madaraka walipokutana kutafuta ufumbuzi,mwisho wakakorofishana..,wanyongé wanaliaa..' Duh, kijana alikuwa ni mtunzi na manamziki mahili..hiyo tepu niliinunua dodoma mwaka 1995 wimbo unaitwa inawaka moto dunia.Sijui kama kuna cd za Justine R.I.P ?

    5. #23
      Ndebile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2011
      Posts : 1,225
      Rep Power : 669
      Likes Received
      251
      Likes Given
      45

      Default

      Quote By mpenda pombe
      Justin Kalikawe, alikufa kwa kuamini sana imani za kirasta, aliugua akakataa kwenda hospital, akawa anatumia dawa za asili tu, alizidiwa mpaka umauti unamkuta, kwa kutetea msimamo wake wa kutokwenda hospital..
      R.I.P KALIKAWE!
      Naamini maneno yako, kuna hoteli moja hapo Bukoba mjini nilikuwa nafanya kazi enzi hizo, Kalikawe alipenda sana kula hapo hotelini na mara zote nilizomuona alikuwa anakula wali/ndizi na mchicha au maharage tu. Hakuwahi kula nyama wala samaki!

    6. #24
      Slave's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Location : jamiiforums area
      Posts : 2,891
      Rep Power : 4894
      Likes Received
      876
      Likes Given
      697

      Default Re: Jastine kalikawe alikua anakuja juu sana ktk anga ya muziki wa reggae hapa nchini,

      Inamaana jastine kifo chake alijitakia?

    7. FemaTV & Radio
    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...