Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hemedi PHD ajivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa Tanzania 32 tena bila....

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 62
    1. #1
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,802
      Rep Power : 954
      Likes Received
      813
      Likes Given
      521

      Default Hemedi PHD ajivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa Tanzania 32 tena bila....

      msanii wa tanzania Hemedi PHD amejivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa tanzania 32 tena bila kinga,ayo maneno ameyasema mwenyewe hemedi kwenye maojiano na mwandishi wa blog moja maarufu apa tz.
      anasema yeye anajiita PHD sababu ya kulala na hao mabinti mastaa 32 wa tanzania.

      maoni yangu: kumbe wakati watu wengine tukijisifu mafanikio ya kuishi maisha bora,kumbe kuna watu wanajisifu kwa kulala na mabinti wengi,mi kwa upande wangu naona huo siyo ujanja,mwanaume asifiwi idadi ya wanawake aliolala nao,bali anasifiwa kwa kazi na mafanikio aliyopata
      chiborie and chafu like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,629
      Rep Power : 2006
      Likes Received
      1650
      Likes Given
      1621

      Default re: Hemedi PHD ajivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa Tanzania 32 tena bila....

      Da! hivi vijana wa dizain hiyo bado wapo katika ulimwengu huu?
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    4. #3
      Perry's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 1,335
      Rep Power : 724
      Likes Received
      177
      Likes Given
      14

      Default re: Hemedi PHD ajivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa Tanzania 32 tena bila....

      Duh!bongo kazi 2nayo,so hayo ndo mafanikio yake hayo?

    5. #4
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,802
      Rep Power : 954
      Likes Received
      813
      Likes Given
      521

      Default re: Hemedi PHD ajivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa Tanzania 32 tena bila....

      Quote By Perry
      Duh!bongo kazi 2nayo,so hayo ndo mafanikio yake hayo?
      Icho ndicho wanachojivunia wana bongo flava,kubadilisha mamiss kwao ni dili

    6. #5
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,802
      Rep Power : 954
      Likes Received
      813
      Likes Given
      521

      Default re: Hemedi PHD ajivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa Tanzania 32 tena bila....

      Quote By Perry
      Duh!bongo kazi 2nayo,so hayo ndo mafanikio yake hayo?
      Icho ndicho wanachojivunia wana bongo flava,kubadilisha mamiss kwao ni dili

    7. Miaka 50

    8. #6
      MTAZAMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 4,235
      Rep Power : 2204
      Likes Received
      1818
      Likes Given
      2476

      Default re: Hemedi PHD ajivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa Tanzania 32 tena bila....

      Muuza Sura hajaona hii thread?

    9. UKI
      #7
      UKI's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Location : Mali
      Posts : 682
      Rep Power : 486
      Likes Received
      149
      Likes Given
      176

      Default re: Hemedi PHD ajivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa Tanzania 32 tena bila....

      asitudanganye kabisa habari zake tunazijua. panda farasi taratiibu mpka morogoro. chezea unavyopanda farasi unajisikiaje??

    10. #8
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,035
      Rep Power : 1723
      Likes Received
      971
      Likes Given
      0

      Default re: Hemedi PHD ajivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa Tanzania 32 tena bila....

      natakojua wewe...

      Unataka Kunkojolea?

      Natakojua wewe

      Unataka kunkojolea we vipi?

      I want to know you...

      Aaahaaaa unataka kunijuwa eeh...
      Mimi naitwa Mafamba Hassan Baharan

    11. #9
      Muuza Sura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : kinondoni manyanya
      Posts : 1,235
      Rep Power : 642
      Likes Received
      320
      Likes Given
      221

      Default re: Hemedi PHD ajivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa Tanzania 32 tena bila....

      Watu wanapoteza pesa kupata warembo!mnyama anamega bure na wengine kumuhonga!haya ni mafanikio kwani fungu la kuhonga linakuwa saved kwa mambo ya maendeleo!big up jonny bravo PHd mnyama!

    12. #10
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1546
      Likes Given
      1793

      Default re: Hemedi PHD ajivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa Tanzania 32 tena bila....

      Mmmmmh.....

    13. #11
      matumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,338
      Rep Power : 1445
      Likes Received
      649
      Likes Given
      500

      Default re: Hemedi PHD ajivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa Tanzania 32 tena bila....

      Hivi "Mama Kimbo" ndio imeshabuma??

      I wish ingekuwa ya Mabeste yote coz kaitendea haki midundo ya Mafia.

    14. #12
      nduu/mamaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Location : AROUND THE WORLD
      Posts : 2,226
      Rep Power : 1002
      Likes Received
      547
      Likes Given
      174

      Default re: Hemedi PHD ajivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa Tanzania 32 tena bila....

      Muuuuuuuza sura,uko wapi leo?
      BAGAH likes this.

    15. #13
      wahida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Posts : 384
      Rep Power : 478
      Likes Received
      122
      Likes Given
      158

      Default re: Hemedi PHD ajivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa Tanzania 32 tena bila....

      Na hao dadas wanao tembea na mshamba kama yule ,,wanafata nn? Yule mshamba,mjinga,limbukeni,hajaw ash ,hajatembea,,

    16. #14
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,636
      Rep Power : 16776
      Likes Received
      2511
      Likes Given
      1934

      Default

      Quote By nduu/mamaya
      Muuuuuuuza sura,uko wapi leo?
      Hujamuona hapo juu?

    17. #15
      Muuza Sura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : kinondoni manyanya
      Posts : 1,235
      Rep Power : 642
      Likes Received
      320
      Likes Given
      221

      Default

      Quote By matumbo
      Hivi "Mama Kimbo" ndio imeshabuma??

      I wish ingekuwa ya Mabeste yote coz kaitendea haki midundo ya Mafia.
      Timing ya kuachia haikuwa sawa!ila kichupa bila shaka atakitendea haki!

    18. #16
      Muuza Sura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : kinondoni manyanya
      Posts : 1,235
      Rep Power : 642
      Likes Received
      320
      Likes Given
      221

      Default

      Quote By wahida
      Na hao dadas wanao tembea na mshamba kama yule ,,wanafata nn? Yule mshamba,mjinga,limbukeni,hajaw ash ,hajatembea,,
      Miongoni mwa sababu wanazofanya wenzio watembee na PHD!...kibongobongo dogo star,anatupia,anajua kujifanya kakolea kwa demu,sauti silaha,mcheshi,ana mguu wa mtoto,n.k

    19. #17
      Mkare_wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 834
      Rep Power : 581
      Likes Received
      113
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By Muuza Sura
      Miongoni mwa sababu wanazofanya wenzio watembee na PHD!...kibongobongo dogo star,anatupia,anajua kujifanya kakolea kwa demu,sauti silaha,mcheshi,ana mguu wa mtoto,n.k
      acha ungese wewe,eti 'ana mguu wa mtoto',umejuaje?

    20. #18
      Muuza Sura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : kinondoni manyanya
      Posts : 1,235
      Rep Power : 642
      Likes Received
      320
      Likes Given
      221

      Default

      Quote By Mkare_wenu
      acha ungese wewe,eti 'ana mguu wa mtoto',umejuaje?
      Demu wangu aliniambia!...kinje kuwa na kibamia watu walijuaje?mzee bongo ukigonga magubegube jua unawekwa hadharani sasa kama unajifanya unapenda halafu kibamia lazima uchoreshwe!

    21. #19
      wahida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Posts : 384
      Rep Power : 478
      Likes Received
      122
      Likes Given
      158

      Default

      Hahaha

    22. #20
      Slaker's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th May 2012
      Posts : 104
      Rep Power : 374
      Likes Received
      7
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By Money stunna
      msanii wa tanzania Hemedi PHD amejivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa tanzania 32 tena bila kinga,ayo maneno ameyasema mwenyewe hemedi kwenye maojiano na mwandishi wa blog moja maarufu apa tz.
      anasema yeye anajiita PHD sababu ya kulala na hao mabinti mastaa 32 wa tanzania.

      maoni yangu: kumbe wakati watu wengine tukijisifu mafanikio ya kuishi maisha bora,kumbe kuna watu wanajisifu kwa kulala na mabinti wengi,mi kwa upande wangu naona huo siyo ujanja,mwanaume asifiwi idadi ya wanawake aliolala nao,bali anasifiwa kwa kazi na mafanikio aliyopata
      xo jamaa akizimika gafla...kuna tupu za kike kama zaidi ya 32 hvi ztamtapakaa kwa body.....kama tatoo za michael scofied ........teh teh teh teh

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...