Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Pascal Mayalla: Mkono vipi?

    Report Post
    Results 1 to 12 of 12
    1. GP is offline
      GP
      #1
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 922
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Pascal Mayalla: Mkono vipi?

      nimekua nikimuona mwandishi wa habari na mtangazaji maarufu Pascal Mayalla akiendesha vipindi vyake, right now yupo hewani anaendesha kipindi cha Nane Nane.
      lakini mara zote nikimuonaga kwenye luninga namuona mkono wa kushoto always upo mkononi,
      naomba kujua ana matatizo gani legendary huyu??
      Pascal Mayalla likes this.
      M4C


    2. #2
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 4,326
      Rep Power : 1289
      Likes Received
      872
      Likes Given
      938

      Default Re: Pascal Mayalla: Mkono vipi?

      Nikupe namba za siku za Dr. wake?
      Pascal Mayalla likes this.

    3. #3
      tedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,756
      Rep Power : 4694
      Likes Received
      1302
      Likes Given
      913

      Default Re: Pascal Mayalla: Mkono vipi?

      Mfuate huko nane nane umuulize.
      Pascal Mayalla likes this.

    4. #4
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,907
      Rep Power : 22569
      Likes Received
      6522
      Likes Given
      2930

      Default Re: Pascal Mayalla: Mkono vipi?

      Tusidiscuss mtu yukoje, hili si lengo la awali la JF, tujadili hoja anazoleta mtu.
      Hata kama ni jukwaa la celebrities, tunachoongelea ni athari za tabia zake na anavyoitumia 'fame' yake ndani ya jamii.
      Tusijadili hii maneno, naamini sisi ni GTs!
      Pascal Mayalla and Lukansola like this.

    5. #5
      hamsinij's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Posts : 143
      Rep Power : 389
      Likes Received
      10
      Likes Given
      3

      Default Re: Pascal Mayalla: Mkono vipi?

      Lakini kuna tuhuma za ushoga
      Pascal Mayalla likes this.


    6. GP is offline
      GP
      #6
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 922
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Pascal Mayalla: Mkono vipi?

      watu wengine ni VILAZA sana, mi nimekwambia namwona kwenye tv hapa wewe unasema nimfuate aliko ili iweje?
      kama hujui kitu funga bakuli lako.
      huyu ni mtu maarufu, kuna ubaya kujua ana tatizo gani?.
      kama huna cha kujadili kaa kimya
      Pascal Mayalla likes this.

    7. #7
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,337
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      756
      Likes Given
      1005

      Default

      alipata ajali ya pikipiki nasikia.
      GP and Pascal Mayalla like this.

    8. #8
      matumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,431
      Rep Power : 1468
      Likes Received
      716
      Likes Given
      679

      Default

      Quote By Lukansola View Post
      alipata ajali ya pikipiki nasikia.
      kazi yote iyo anayomfanyia Lowassa umu bado anapanda bodaboda,EL ajamtafutia ata Vitz.!!?kweli jamaa wa bei rahisi.

    9. #9
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,384
      Rep Power : 5158
      Likes Received
      3342
      Likes Given
      2738

      Default

      Quote By GP View Post
      nimekua nikimuona mwandishi wa habari na mtangazaji maarufu Pascal Mayalla akiendesha vipindi vyake, right now yupo hewani anaendesha kipindi cha Nane Nane.
      lakini mara zote nikimuonaga kwenye luninga namuona mkono wa kushoto always upo mkononi,
      naomba kujua ana matatizo gani legendary huyu??
      Samahani lakini hapo sijaelewa,samahani lakini.
      Pascal Mayalla likes this.

    10. #10
      Tusker Bariiiidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Location : Sinza Dar es Salaam.
      Posts : 3,292
      Rep Power : 1270
      Likes Received
      388
      Likes Given
      54

      Default Re: Pascal Mayalla: Mkono vipi?

      Pasco alipata ajali ya Pikipiki na inawezekana ndio iliosababisha tatizo hilo. HUJAFA UJAUMBIKA!
      Pascal Mayalla likes this.

    11. #11
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,850
      Rep Power : 29102
      Likes Received
      12266
      Likes Given
      4931

      Default Re: Pascal Mayalla: Mkono vipi?

      Crappy stuff! Kuna mtangazaji wa kike wa TBC1 ana miguu minene, sijui ana matende? Afu kuna mwingine mweupeee, sijui ana asili ya uzeruzeru?

      Kuna kilaza zaidi yako mkuu, great thinker?
      Pascal Mayalla likes this.

    12. #12
      mama D's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Posts : 1,524
      Rep Power : 743
      Likes Received
      400
      Likes Given
      1326

      Default Re: Pascal Mayalla: Mkono vipi?

      ina faida gani kijamii
      Pascal Mayalla likes this.
      Daily News halisomwi tandale kwa mtogole - MPOKI

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...