Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Agness masogange anywa sumu

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 38
    1. #1
      Gumzo's Avatar
      Guest Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 211
      Rep Power : 0
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Agness masogange anywa sumu

      MUUZA sura anayetamba kwenye video za Kibongo, Agness Jerald ‘Masogange’ juzikati alinusurika kuaga dunia baada ya kuchanganya pombe na dawa aina ya Cephalaxin kutokana kuudhiwa na mpenzi, Risasi Jumamosi lina habari kamili.

      Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Masogange aitwaye Janneth asubuhi ya siku ya tukio, Agness alimpigia simu na kumtaka afike nyumbani kwake kwa kuwa tumbo lilikuwa likimsumbua.

      Hata hivyo, Janneth alidhani rafiki yake huyo alikuwa akimtania, kwa kufikiria kuwa alikuwa akimtaka tu afike nyumbani kwake na hakuwa na tatizo lolote.

      Jananeth alizidi kueleza kuwa baada ya muda alipigiwa tena simu na Agness huku akilia ndipo alipohisi kuwa kulikuwa na kitu, akaamua kukodi teski kwa ajili ya kumuwahi.

      “Nilipofika nyumbani kwake nilikuta amejifungia kwa ndani, hivyo ikabidi kuvunja mlango, nilipofanikiwa kuingia nilimkuta akiwa hoi,” alisema Janneth.

      Janneth alisema kuwa baada ya kuvunja mlango alimkuta Agness akiwa amelala karibu na chooni na pembeni yake kukiwa na chupa ya pombe na pakti ya dawa.

      “Nilikwenda dukani na kumnunulia maziwa na kumnywesha kwa kuwa nilihisi atakuwa amechanganya dawa na pombe, kisha nikamkimbiza katika Hospitali ya Mama Ngoma kwa ajili ya matibabu.”

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      maliyamungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Posts : 385
      Rep Power : 470
      Likes Received
      47
      Likes Given
      4

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      mtoto nshapiga ukimla 0713 anakupenda akuachi na anjua kupenda na anapenda sana 0713 yawezekana kweli.

    4. #3
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1825
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      angekunywa redcat

    5. #4
      ALEYN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,001
      Rep Power : 580
      Likes Received
      121
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By maliyamungu
      mtoto nshapiga ukimla 0713 anakupenda akuachi na anjua kupenda na anapenda sana 0713 yawezekana kweli.
      duh 0713 nimeipenda

    6. #5
      maliyamungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Posts : 385
      Rep Power : 470
      Likes Received
      47
      Likes Given
      4

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Quote By ALEYN
      duh 0713 nimeipenda
      wazee wa kazi mshajua ha ha ha..

    7. Miaka 50

    8. tz1
      #6
      tz1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2011
      Posts : 2,048
      Rep Power : 827
      Likes Received
      406
      Likes Given
      318

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Quote By Angel Msoffe
      angekunywa redcat
      alikuwa anatisha toto.
      [email protected]

    9. #7
      BIG X's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2011
      Location : WHITE HOUSE
      Posts : 767
      Rep Power : 414
      Likes Received
      197
      Likes Given
      168

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Alikosea kunywa sumu ya namna hiyo. Si angekunywa ile ya dakika mbili tu!!.
      GOOD JUDGEMENT COMES FROM EXPERIENCE, BUT EXPERIENCE COMES FROM BAD JUDGEMENT.

    10. #8
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,645
      Rep Power : 11271
      Likes Received
      1465
      Likes Given
      570

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Angekunywa Paison!



      Shwain kabisa!

    11. tz1
      #9
      tz1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2011
      Posts : 2,048
      Rep Power : 827
      Likes Received
      406
      Likes Given
      318

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Quote By Angel Msoffe
      angekunywa redcat
      alikuwa anatisha toto.
      kujiua ni mbombo ngafu.
      [email protected]

    12. #10
      Swts's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 1,710
      Rep Power : 710
      Likes Received
      554
      Likes Given
      265

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Hakuwa na nia uyo,.

    13. #11
      Ipycalypse's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Location : Mjini hapa
      Posts : 1,172
      Rep Power : 638
      Likes Received
      248
      Likes Given
      148

      Default

      Quote By maliyamungu
      mtoto nshapiga ukimla 0713 anakupenda akuachi na anjua kupenda na anapenda sana 0713 yawezekana kweli.
      Ha ha ha ha ha ahsante kwa msamiati mpyaa mkuu

    14. #12
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,791
      Rep Power : 2148
      Likes Received
      1221
      Likes Given
      543

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      kosa la jinai kutaka kujitoa ROHO hahahah

    15. #13
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 1,958
      Rep Power : 927
      Likes Received
      461
      Likes Given
      571

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      alikuwa ana-bip huyo, chezea kufa sio masikhara,

      angekuwa siriaz kweli asingempigia simu rafikiye!

    16. #14
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,283
      Rep Power : 3442
      Likes Received
      1322
      Likes Given
      855

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      bwana awasamehe na kuwasahau

    17. #15
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,568
      Rep Power : 857
      Likes Received
      452
      Likes Given
      2906

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Quote By tz1
      alikuwa anatisha toto.
      kujiua ni mbombo ngafu.
      Alitaka kumake headline.nawaambieni global saa ingine wanaumba habari tu,eti kapigiwa simu kakubali alikunywa sumu,,wap! na hilo ni kosa la jinai,polisi wenyewe wanavotafutiza makosa ya hela wangekuwa washamrukia zamani gani
      Who Jah bless, No one Curse!

    18. #16
      mbezibeach 2's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th June 2011
      Posts : 97
      Rep Power : 418
      Likes Received
      32
      Likes Given
      4

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Nchi yangu bwana...waganga njaa,,wauza K,,,wauza sura wote ni celebrities.

    19. #17
      Leornado's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Location : Papua New Guinea
      Posts : 1,381
      Rep Power : 716
      Likes Received
      106
      Likes Given
      131

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Sasa kwa nini aliomba msaada kama alikuwa na nia ya kujiua au alitaka atoke magazetini?

      Chezea kifo...

    20. #18
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 443
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Sitaki kuamini kuwa alitaka kujiua kwa sababu ya mwanaume kwa kuwa ameshakuwa sugu wa mapenzi huyo, ila sasa nadhani kuna ile ishu inayosambaa mitaani ndiyo inayomtia hofu....

    21. #19
      Golden Anjel's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 20th July 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Kutafuta umaarufu kazi! Pumbav zake

    22. #20
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,448
      Rep Power : 19777
      Likes Received
      4284
      Likes Given
      1187

      Default

      Quote By maliyamungu
      mtoto nshapiga ukimla 0713 anakupenda akuachi na anjua kupenda na anapenda sana 0713 yawezekana kweli.
      umenichekesha sana!

    23. Study Abroad
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...