Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Agness masogange anywa sumu

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 38 of 38
    1. #1
      Gumzo's Avatar
      Guest Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 211
      Rep Power : 0
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Agness masogange anywa sumu

      MUUZA sura anayetamba kwenye video za Kibongo, Agness Jerald ‘Masogange’ juzikati alinusurika kuaga dunia baada ya kuchanganya pombe na dawa aina ya Cephalaxin kutokana kuudhiwa na mpenzi, Risasi Jumamosi lina habari kamili.

      Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Masogange aitwaye Janneth asubuhi ya siku ya tukio, Agness alimpigia simu na kumtaka afike nyumbani kwake kwa kuwa tumbo lilikuwa likimsumbua.

      Hata hivyo, Janneth alidhani rafiki yake huyo alikuwa akimtania, kwa kufikiria kuwa alikuwa akimtaka tu afike nyumbani kwake na hakuwa na tatizo lolote.

      Jananeth alizidi kueleza kuwa baada ya muda alipigiwa tena simu na Agness huku akilia ndipo alipohisi kuwa kulikuwa na kitu, akaamua kukodi teski kwa ajili ya kumuwahi.

      “Nilipofika nyumbani kwake nilikuta amejifungia kwa ndani, hivyo ikabidi kuvunja mlango, nilipofanikiwa kuingia nilimkuta akiwa hoi,” alisema Janneth.

      Janneth alisema kuwa baada ya kuvunja mlango alimkuta Agness akiwa amelala karibu na chooni na pembeni yake kukiwa na chupa ya pombe na pakti ya dawa.

      “Nilikwenda dukani na kumnunulia maziwa na kumnywesha kwa kuwa nilihisi atakuwa amechanganya dawa na pombe, kisha nikamkimbiza katika Hospitali ya Mama Ngoma kwa ajili ya matibabu.”

    2. Miaka 50

    3. #21
      steveachi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th November 2011
      Posts : 800
      Rep Power : 541
      Likes Received
      140
      Likes Given
      56

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      za kazi za kazi za kaziiii,demu wa wasanii huyo,ukute hadi aslay kamla 0713 nae,na huyo janet c angemwacha tu akasee

    4. #22
      Fabolous's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Posts : 451
      Rep Power : 530
      Likes Received
      65
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By maliyamungu
      mtoto nshapiga ukimla 0713 anakupenda akuachi na anjua kupenda na anapenda sana 0713 yawezekana kweli.
      Duh! Kumbe anatoa 0713 wala sishangai sana. We ni noma nimecheka sana.

    5. #23
      manuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2009
      Posts : 711
      Rep Power : 656
      Likes Received
      263
      Likes Given
      185

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Dunia ishachafuka sana wajameni mnaweza sema ni akili yake kumbe karushiwa pepo na mgombea mwenza so WATCH YOUR TALK.
      Tushiriki katika kuombea taifa letu kwani matukio kama haya siyo ya kawaida kabisa.
      TO BE HURT ITS YOUR OWN WILLING

    6. #24
      Collins's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th July 2012
      Posts : 145
      Rep Power : 374
      Likes Received
      45
      Likes Given
      37

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      98 problems
      I'm sorry for you son!

    7. #25
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1546
      Likes Given
      1793

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      polisi hawajamkamata?

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      Chipolopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2012
      Posts : 869
      Rep Power : 540
      Likes Received
      148
      Likes Given
      313

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Quote By Remmy
      polisi hawajamkamata?
      Usiwaulize polisi.Swala hili liko mahakamani...?

    10. #27
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,575
      Rep Power : 5618
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2285

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      kwa sababu ya videa yake ya utupu?(actually sio utupu amevyaa pichu) ingawa udaku kutoka dartalk unadai kuna video akiduu?
      Kaizer likes this.
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    11. #28
      Kingmairo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 785
      Rep Power : 516
      Likes Received
      235
      Likes Given
      81

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Ndio nani huyu? Tuwekeeni picha basi na sie tusiozifahamu video zake tumjue

    12. #29
      gbrother's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 318
      Rep Power : 477
      Likes Received
      35
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Simba Mkali
      Sitaki kuamini kuwa alitaka kujiua kwa sababu ya mwanaume kwa kuwa ameshakuwa sugu wa mapenzi huyo, ila sasa nadhani kuna ile ishu inayosambaa mitaani ndiyo inayomtia hofu....
      suala la mapenzi ni changa la macho, huyu amepigwa picha za utupu ziko onair kwenye blog kibao, na hilo ndio chanzo,
      cheki www.dartalk.com

    13. #30
      john tongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Location : I.T room
      Posts : 334
      Rep Power : 426
      Likes Received
      46
      Likes Given
      16

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Alipewa ngoma na jamaa fulani sasa ni marehemu.

    14. #31
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1411
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Yani wengne tunawaza namna ya kulikomboa taifa letu kutoka kwa huyu mkoloni mweusi,majitu mengine kama hili yanawaza kunywa sumu bila sababu!huyo aliyelinunulia maziwa nae ni walewale,si angeliacha life tu,kwani lina faida gani kwa taifa zaidi ya kusambaza virusi vya ukimwi tu?

    15. #32
      KOBOKO- MWADADA's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 23rd July 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Ana mshengendo balaa

    16. #33
      dope bwoi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th February 2009
      Posts : 26
      Rep Power : 527
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      kwa anayaitaka anitafute kwa namba 0716386217 au kama unä2mia Whatsapp niku2mie kwa urahisi

    17. #34
      Kaizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2008
      Posts : 14,061
      Rep Power : 21908
      Likes Received
      7050
      Likes Given
      7867

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Quote By BADILI TABIA
      kwa sababu ya videa yake ya utupu?(actually sio utupu amevyaa pichu) ingawa udaku kutoka dartalk unadai kuna video akiduu?
      Hebu nipe link ya dartalk kwa PM BADILI TABIA
      BADILI TABIA likes this.
      "Bunduki bila risasi yaua namna gani"
      Email: [email protected]

    18. #35
      Edward Teller's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Area 51
      Posts : 3,431
      Rep Power : 1120
      Likes Received
      570
      Likes Given
      612

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Quote By Gumzo
      MUUZA sura anayetamba kwenye video za Kibongo, Agness Jerald ‘Masogange’ juzikati alinusurika kuaga dunia baada ya kuchanganya pombe na dawa aina ya Cephalaxin kutokana kuudhiwa na mpenzi, Risasi Jumamosi lina habari kamili.

      Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Masogange aitwaye Janneth asubuhi ya siku ya tukio, Agness alimpigia simu na kumtaka afike nyumbani kwake kwa kuwa tumbo lilikuwa likimsumbua.

      Hata hivyo, Janneth alidhani rafiki yake huyo alikuwa akimtania, kwa kufikiria kuwa alikuwa akimtaka tu afike nyumbani kwake na hakuwa na tatizo lolote.

      Jananeth alizidi kueleza kuwa baada ya muda alipigiwa tena simu na Agness huku akilia ndipo alipohisi kuwa kulikuwa na kitu, akaamua kukodi teski kwa ajili ya kumuwahi.

      “Nilipofika nyumbani kwake nilikuta amejifungia kwa ndani, hivyo ikabidi kuvunja mlango, nilipofanikiwa kuingia nilimkuta akiwa hoi,” alisema Janneth.

      Janneth alisema kuwa baada ya kuvunja mlango alimkuta Agness akiwa amelala karibu na chooni na pembeni yake kukiwa na chupa ya pombe na pakti ya dawa.

      “Nilikwenda dukani na kumnunulia maziwa na kumnywesha kwa kuwa nilihisi atakuwa amechanganya dawa na pombe, kisha nikamkimbiza katika Hospitali ya Mama Ngoma kwa ajili ya matibabu.”
      alikuwa anataka kuweka headlines tu kwenye tabloids/udaku-kama angekuwa anamaanisha anachofanya asingepiga simu-pumba$%%v5U zake
      “Talk slowly but think quickly”

    19. #36
      gwijimimi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th September 2011
      Posts : 37
      Rep Power : 394
      Likes Received
      4
      Likes Given
      135

      Default

      Hata hivyo, Janneth alidhani rafiki yake huyo alikuwa akimtania, kwa kufikiria kuwa alikuwa akimtaka tu afike nyumbani kwake na hakuwa na tatizo lolote.

      Jananeth alizidi kueleza kuwa baada ya muda alipigiwa tena simu na Agness huku akilia ndipo alipohisi kuwa kulikuwa na kitu, akaamua kukodi teski kwa ajili ya kumuwahi.

      “Nilipofika nyumbani kwake nilikuta amejifungia kwa ndani, hivyo ikabidi kuvunja mlango, nilipofanikiwa kuingia nilimkuta akiwa hoi,” alisema Janneth.

      Janneth alisema kuwa baada ya kuvunja mlango alimkuta Agness akiwa amelala karibu na chooni na pembeni yake kukiwa na chupa ya pombe na pakti ya dawa.

      “Nilikwenda dukani na kumnunulia maziwa na kumnywesha kwa kuwa nilihisi atakuwa amechanganya dawa na pombe, kisha nikamkimbiza katika Hospitali ya Mama Ngoma kwa ajili ya matibabu.”[/QUOTE]


      sio kweli jamani
      tatizo sio mpenzi tatizo ni video za uchi zimevuja hata mimi ninazo
      so usiseme mpenz wake kamboa ni video za ngono alizorekodiwa kuvuja

    20. #37
      maria pia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Posts : 304
      Rep Power : 404
      Likes Received
      31
      Likes Given
      65

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      km alikuwa na nia kweli ua kujiua asingepiga cm kwa shost wake

    21. #38
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1895
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: Agness masogange anywa sumu

      Quote By Kingmairo
      Ndio nani huyu? Tuwekeeni picha basi na sie tusiozifahamu video zake tumjue
      Kwakweli waweke picha,maana masupa staa wamejaa bongo!ndo kwanza leo nalisikia hili jina duuuh
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...