Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Le Mutuz auza sura kwenye Udaku

    Report Post
    Page 5 of 6 FirstFirst ... 3456 LastLast
    Results 81 to 100 of 101
    1. #1
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,397
      Rep Power : 649
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Le Mutuz auza sura kwenye Udaku




      Na Sifael Paul

      WILLIAM Malecela a.ka Le Mutuz ambaye anatajwa kuwa ni mtoto wa mwanasiasa mkongwe Bongo, John Malecela ambaye anadaiwa kuwa ni funga kazi kwa kupenda kupiga picha na wanawake wazuri kila anapokuwa, Amani limemfuatilia hatua kwa hatua na sasa linafunguka.

      Kwa mujibu wa ‘mapicha’ yake mazuri yaliyopo mitandaoni, asilimia 90 zinamuonesha Le Mutuz akiwa na wanawake wazuri wa kada mbalimbali.

      WAMO MASTAA
      Mbali na wanasiasa wenzake, Le Mutuz aliyegombea ubunge wa Afrika Mashariki kwa leseni ya CCM hivi karibuni lakini kura hazikutosha, anaonekana kwenye picha nyingi zisizo na idadi akiwa na mastaa mbalimbali wakiwemo waigizaji na wanamuziki wenye majina makubwa Bongo.

      NI KILA MAHALI?
      Katika picha hizo, Le Mutuz anaonekana akiwa sehemu mbalimbali hasa kwenye kumbi za starehe, baa, migahawani, viwanjani, nyumbani na ufukweni, vyote jijini Dar es Salaam.

      ETI NI MAMBO YA ‘KUTOKLEZEA’
      Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa Le Mutuz, jamaa huyo mwenye ‘sivii’ ya kuishi nchini Marekani kwa muda mrefu amekuwa akiwakaribisha warembo hao kwenye mtandao wake (jina tunalo) kwa kutundika picha hizo na kuwataka waingie humo kujiona ‘walivyotoklezea’.

      BAADHI YA MASTAA NI HAWA
      Baadhi ya mastaa wanaoonekana na ‘mutu mukubwa’ huyo na kusababisha minong’ono kwa kuwa zina mapozi tata ni pamoja na Wema Isaac Sepetu, Jacqueline Wolper Masawe, Jokate Mwegelo, Miss Tanzania 2011, Salha Israel, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’ na warembo wengine ‘kibwena’ wasiokuwa na majina.

      WAMO MARAFIKI WA FACEBOOK
      Katika hali isiyokuwa ya kawaida, inaelezwa kuwa, Le Mutuz huwa anawasiliana na warembo ambao ni marafiki zake katika mtandao wa kijamii wa Facebook ambapo hukutana nao na kupiga picha ili kuziweka mtandaoni kwake.

      MSHANGAO!
      Kwa mujibu wa maoni ya watu wanaotembelea mtandao wake wanashangazwa na ishu hiyo huku wakihoji mbona anafanya na mademu tu, tena wazuri?

      LENGO NI NINI?
      Ili kupata undani wa kwa nini Le Mutuz anafanya hivyo, Amani lilifanya jitihada za kupata kupitia kilongalonga chake cha kiganjani lakini hakupatika, hata hivyo jitihada za kumpata zinaendelea.
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi


    2. #81
      Mr. President's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Location : Black House
      Posts : 1,699
      Rep Power : 775
      Likes Received
      331
      Likes Given
      11

      Default Re: Le Mutuz auza sura kwenye Udaku

      Kweli Ukubwa wa mwili ni bure kabisa.... Wenye miili like Late Umaga akili hamnazo kabisa.... Ujinga wa mtu is self explanatory through his ACTS, WORDS etc....

    3. #82
      Chikwakara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 100
      Rep Power : 383
      Likes Received
      19
      Likes Given
      0

      Default Re: Du! Le Mutuz, umeanza kutokea kwenye haya magazeti, aaagggggghhhhhh! Kweli unapotea sasa

      Quote By wikolo View Post
      Duh, huwezi jua ndugu yangu, usikute labda hiyo ndo staili yake pendwa ya upigaji picha manake naona kama staili zote zinafanana! Nadhani ataingia tu hapa kutoa ufafanuzi kwa ile staili yake ya kuchanganya lugha tofauti tofauti kwenye andishi moja.
      Le Mutuz ni waste material ktk uongozi wowote. jamaa ni mweupe kichwani asikwambie mtu kamanda ila tu anajaribu kusafiria nyota ya mshua na kujipendekeza kwa Dhaifu ambaye alikwisha itosa familia yao kitambo. Kumbuka mama yake mdogo alijaribu kupambana na Dhaifu kwa kelele nyingi baadaye akazima mwenyewe na siku hizi kaufyata yuko kimyaaaaaaaaaa

    4. #83
      Al Zagawi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Location : Tabora
      Posts : 836
      Rep Power : 690
      Likes Received
      161
      Likes Given
      54

      Default Re: Du! Le Mutuz, umeanza kutokea kwenye haya magazeti, aaghh! Kweli unapotea sasa

      mwacheni baharia ale raha....

      si mnajua tena baharini hakunaga hivyo vitu..sasa kaja nchi kavu kila kipitacho kwake kina mvuto.
      Kigogo likes this.
      ...........Uwanja wa siasa katika nchi karibu zote za Kiafrika, ni uwanja uliotekwa na majambazi ambao wanafanya wanachotaka, vile wanavyotaka..........Jenerali Ulimwengu, Raia Mwema Namba 278.

    5. #84
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,406
      Rep Power : 966
      Likes Received
      584
      Likes Given
      143

      Default Re: Du! Le Mutuz, umeanza kutokea kwenye haya magazeti, aaghh! Kweli unapotea sasa

      mi nimependa hilo shati lake. kila sehemu analo. safi sana.

    6. #85
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,931
      Rep Power : 16839
      Likes Received
      2648
      Likes Given
      2033

      Default Re: Du! Le Mutuz, umeanza kutokea kwenye haya magazeti, aaghh! Kweli unapotea sasa

      Muacheni jamani ale bata, labda huko alikokuwa hakukuwa na vitu kama hivi.


    7. #86
      GreenCity's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Location : pa tunduma
      Posts : 597
      Rep Power : 547
      Likes Received
      174
      Likes Given
      89

      Default Re: Du! Le Mutuz, umeanza kutokea kwenye haya magazeti, aaghh! Kweli unapotea sasa

      Quote By Maliasili View Post
      Kweli wakuja ni wakuja tu!
      DAH HILI ZEE hivi lilikuwa wapi enzi za ujana wake mbona linatia aibu sana CCM na SERILKALI yake. yaan linabebwa lakini halibebeki! tunajua CCM ni mbovu lakini huu ubovu mwingine unachangiwa na wasaidizi wake kama hawa. yani nasikia kichefuchefu kutokana na tabia za huyu mkora.

    8. #87
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default Re: Du! Le Mutuz, umeanza kutokea kwenye haya magazeti, aaghh! Kweli unapotea sasa

      Quote By Maliasili View Post
      Kweli wakuja ni wakuja tu!

      kwenye kujichanganya na wananchi huwa sichagui wala sibagui wananchi kwa sababu ya uwezo wao au gender zao, wenye hayo matatizo kwenye hii jamii ya kuwadharau wanawake poleni sana nilipokuwa nje nimefundishwa kwamba binadam wote ni sawa tu na wote ni muhimu sana kwa taifa, kuwaongoza ni lazima uwe samba mba nao, naona wengi wenu mnaamini wanaume tu ndio watu wanawake sio watu, so tuna kazi kubwa sana kurekebisha hili taifa watu wawe na the right mind za kisasa zinazokubalika na Dunia nzima.

      Willie!!


    9. #88
      Ally Kombo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 5,838
      Rep Power : 1404
      Likes Received
      842
      Likes Given
      184

      Default

      Quote By W. J. Malecela View Post

      kwenye kujichanganya na wananchi huwa sichagui wala sibagui wananchi kwa sababu ya uwezo wao au gender zao, wenye hayo matatizo kwenye hii jamii ya kuwadharau wanawake poleni sana nilipokuwa nje nimefundishwa kwamba binadam wote ni sawa tu na wote ni muhimu sana kwa taifa, kuwaongoza ni lazima uwe samba mba nao, naona wengi wenu mnaamini wanaume tu ndio watu wanawake sio watu, so tuna kazi kubwa sana kurekebisha hili taifa watu wawe na the right mind za kisasa zinazokubalika na Dunia nzima.

      Willie!!

      Ndo upige pige picha hovyo na dada za watu ? anyway, labda nyie mila zenu zinaruhusu, sie katu katu !

    10. #89
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default Re: Du! Le Mutuz, umeanza kutokea kwenye haya magazeti, aaghh! Kweli unapotea sasa

      Quote By ally kombo View Post
      Ndo upige pige picha hovyo na dada za watu ? anyway, labda nyie mila zenu zinaruhusu, sie katu katu !

    11. #90
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,511
      Rep Power : 41651
      Likes Received
      6281
      Likes Given
      1089

      Default Re: Du! Le Mutuz, umeanza kutokea kwenye haya magazeti, aaghh! Kweli unapotea sasa

      I predicted this shyt, in Tupacalypse!
      Jasusi likes this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    12. #91
      PrN-kazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 2,246
      Rep Power : 5370
      Likes Received
      307
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By W. J. Malecela View Post

      kwenye kujichanganya na wananchi huwa sichagui wala sibagui wananchi kwa sababu ya uwezo wao au gender zao, wenye hayo matatizo kwenye hii jamii ya kuwadharau wanawake poleni sana nilipokuwa nje nimefundishwa kwamba binadam wote ni sawa tu na wote ni muhimu sana kwa taifa, kuwaongoza ni lazima uwe samba mba nao, naona wengi wenu mnaamini wanaume tu ndio watu wanawake sio watu, so tuna kazi kubwa sana kurekebisha hili taifa watu wawe na the right mind za kisasa zinazokubalika na Dunia nzima.

      Willie!!

      nje ulienda ukiwa na miaka mingapi mzee!!,....swala la kujua kuwa binadamu wote ni sawa nalo liliitaji kwenda kujifunzia nje ya nje ya nchi?

    13. #92
      PrN-kazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 2,246
      Rep Power : 5370
      Likes Received
      307
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By W. J. Malecela View Post
      ...umeamua kutoa picha yako uliyokuwa umeifadhi ili uje uitoe kama kashifa juu ya Zitto pale atakapo chukua nafasi muhimu ktk nchi hii hapo 2015.

      atahivyo huyo demu ni kama alimvamia Zitto ili naye anaonekane akicheza mziki na mtu mzito na inawezekana we ndo ulisakizia demu afanye hivyo ili nia yako itimie..

    14. #93
      Son of Alaska's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2008
      Location : london
      Posts : 2,559
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      654
      Likes Given
      260

      Default Re: Du! Le Mutuz, umeanza kutokea kwenye haya magazeti, aaghh! Kweli unapotea sasa

      FLASHBACK
      Le Mutuz,young and hungry for success-

    15. #94
      nguvumali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2009
      Location : nimerudi Mwanza
      Posts : 3,733
      Rep Power : 1244
      Likes Received
      543
      Likes Given
      151

      Default Re: Du! Le Mutuz, umeanza kutokea kwenye haya magazeti, aaghh! Kweli unapotea sasa

      Tangu lini Mutu akawa Timamu kukichwa "? Takataka tupa kule
      Tiba likes this.

    16. #95
      hovyohovyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 487
      Rep Power : 447
      Likes Received
      123
      Likes Given
      39

      Default Re: Du! Le Mutuz, umeanza kutokea kwenye haya magazeti, aaghh! Kweli unapotea sasa

      Hakuna issue ktk gazeti, naona ni sensationalism tu.

    17. #96
      nguvumali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2009
      Location : nimerudi Mwanza
      Posts : 3,733
      Rep Power : 1244
      Likes Received
      543
      Likes Given
      151

      Default Re: Du! Le Mutuz, umeanza kutokea kwenye haya magazeti, aaghh! Kweli unapotea sasa

      Kwani Ufikiri wa Mutuz na Hayo yanayoandikwa kwenye Magazeti yanatofauti ? yeye mwenyewe kakaka kiudakuudaku , Hahaaaah ! Babake kala Hasara , Analia Akimkumbuka Marehemu Ipi, RIP.

    18. CPA is offline
      CPA
      #97
      CPA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 496
      Rep Power : 520
      Likes Received
      107
      Likes Given
      25

      Default

      Quote By W. J. Malecela View Post
      mhh! Hapo mh.zitto sijui anamwambia nin? Body language inaonge... Yangu macho

    19. #98
      Kigogo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,484
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1302
      Likes Given
      318

      Default Re: Du! Le Mutuz, umeanza kutokea kwenye haya magazeti, aaghh! Kweli unapotea sasa

      Quote By W. J. Malecela View Post

      kwenye kujichanganya na wananchi huwa sichagui wala sibagui wananchi kwa sababu ya uwezo wao au gender zao, wenye hayo matatizo kwenye hii jamii ya kuwadharau wanawake poleni sana nilipokuwa nje nimefundishwa kwamba binadam wote ni sawa tu na wote ni muhimu sana kwa taifa, kuwaongoza ni lazima uwe samba mba nao, naona wengi wenu mnaamini wanaume tu ndio watu wanawake sio watu, so tuna kazi kubwa sana kurekebisha hili taifa watu wawe na the right mind za kisasa zinazokubalika na Dunia nzima.

      Willie!!

      yaani wewe kijana una matatizo kweli kweli ..hivi hujioni au hakuna watu wa kukushauri? au ndo tabia za wagogo..hivi unalala saa ngapi kutwa unalegeza mimacho tu na mabinti kama toto la sekondari...aaaagh

    20. #99
      mushwabure's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 376
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Le Mutuz, upo? Ebu jibu hizi tuhuma

      Do you still rate yourself as a good politician?MTOTO WA MALECELA FUNGA KAZI - Global Publishers

    21. #100
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 13,462
      Rep Power : 35821
      Likes Received
      6874
      Likes Given
      21098

      Default Re: Le Mutuz auza sura kwenye Udaku

      na hapa je




      Quote By PrN-kazi View Post
      ...umeamua kutoa picha yako uliyokuwa umeifadhi ili uje uitoe kama kashifa juu ya Zitto pale atakapo chukua nafasi muhimu ktk nchi hii hapo 2015.

      atahivyo huyo demu ni kama alimvamia Zitto ili naye anaonekane akicheza mziki na mtu mzito na inawezekana we ndo ulisakizia demu afanye hivyo ili nia yako itimie..
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

    Page 5 of 6 FirstFirst ... 3456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...