Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 43
    1. #1
      Gumzo's Avatar
      Guest Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 211
      Rep Power : 0
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      SIKU chache baada ya baba mzazi wa kachala wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond Platnum’, mzee Abdul Juma kufunguka kuwa mwanaye huyo hamthamini toka amepata mafanikio, watu waliodai wao ni ndugu wa tumbo moja na mkali huyo wa muziki wa kizazi kipya wameibuka na kusema baba mzazi wa Diamond alishafariki dunia mwaka 2004, Ijumaa Wikienda lina ripoti kamili.
      CHANZO CHATIRIRIKA
      Baada ya habari ya kuibuka kwa baba wa Diamond kuchapishwa kwenye gazeti ndugu la hili (Amani) mwishoni mwa wiki iliyopita, chanzo makini kiliwatonya mapaparazi wetu kuwa baba aliyejitokeza (Abdul Juma) siyo wa damu.
      “Jamani nyie Amani mmeandika baba wa Diamond ni mzee Abdul Juma, mbona tunavyojua sisi, baba wa Diamond anaitwa Salum Idd na alishafariki dunia tangu mwaka 2004, kama mnataka ukweli zaidi fuatilieni,” kilisema chanzo hicho huku kikiahidi kutoa ushirikiano.
      MAPAPARAZI WAINGIA KAZINI
      Mapaparazi wetu walianza kazi ya kufuatilia nyeti hiyo ambapo kwa msaada wa chanzo, Julai 12, mwaka huu walifanikiwa kutinga nyumbani kwa msichana aliyedai ni dada kwa baba mmoja na Diamond.
      Msichana huyo anaishi Kariakoo, jijini Dar es Salaam na mdogo mwingine wa Diamond aitwaye Idd Salum ambaye naye anaimba kama kaka yake.
      TUJIUNGE NA IDD ALIYEPO KARIAKOO
      Baada ya salamu za hapa na pale na mapaparazi wetu kujitambulisha kwa familia hiyo, lilifuata swali kama kweli wao ni ndugu wa damu moja na Diamond.
      Idd: “Mbona kila kitu kipo wazi, hata yule mzee Abdul Juma anaelewa kila kitu kwamba sisi na Diamond ni ndugu, Diamond ni kaka yetu na amekuwa akinisaidia mimi katika shida na raha, baba yetu alishafariki dunia tangu mwaka 2004.
      “Yeye (Abdul) ni baba mlezi tu na anafahamu wazi kuwa yeye ni baba mlezi wa Diamond na kwamba baba yetu alishatutoka.”
      IDD AIBUA JIPYA
      Kwa mujibu wa mdogo huyo wa Diamond, Idd, mwaka 1989, mama Diamond (Sanura Khassim ‘Sandra’) alipewa ujauzito na Salum (baba yake) kisha waligombana na kuachana.
      Akasema baada ya kuachana, mama Diamond alikutana na Abdul ambaye alikubali kuwa naye kimapenzi na kuulea ujauzito huo wa mtoto (Diamond).


      KWA HABRI KAMILI BOFYA HAPA GUMZO LA JIJI: MAPYA YAIBUKA KUHUSU BABA WA DIAMOND

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Kyeli Lula's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th March 2011
      Posts : 64
      Rep Power : 428
      Likes Received
      6
      Likes Given
      65

      Default Re: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      Jiji nasikia baba wa Diamond alikuwa Mnyiramba, huyo anayedai ni kabila gani?

    4. #3
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,564
      Rep Power : 5615
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default Re: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      aaahhhh watajujua wenyewe....

    5. #4
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      Matatizo haya ni ile dhanna ya bwana wa mama au mume mpya wa mama kumuita "baba" au jitu lisilo na uhusiano wowote na wewe kuliita "baba", mwishowe kila mtu anakuwa "baba". Wachungaji wa kondoo ma "baba", rais anakuwa "baba", mkuu wa kanisa "baba"! kila rafiki wa mama ni "baba"!

      Tuwachaneni na hizi tamaduni za kijinga. Baba ni yule aliyekuzaa tu.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    6. #5
      Vodka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Location : Nothern west Dar Es Salaam
      Posts : 727
      Rep Power : 517
      Likes Received
      54
      Likes Given
      30

      Default Re: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      Aah magazet haya yanafuatilia mambo ya ajabu! Sijui kama Dimond asingekuwa maarufu wangefuatilia.
      Jodoki Kalimilo and gfsonwin like this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mmwaminifu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Posts : 885
      Rep Power : 720
      Likes Received
      134
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By zomba
      Matatizo haya ni ile dhanna ya bwana wa mama au mume mpya wa mama kumuita "baba" au jitu lisilo na uhusiano wowote na wewe kuliita "baba", mwishowe kila mtu anakuwa "baba". Wachungaji wa kondoo ma "baba", rais anakuwa "baba", mkuu wa kanisa "baba"! kila rafiki wa mama ni "baba"!

      Tuwachaneni na hizi tamaduni za kijinga. Baba ni yule aliyekuzaa tu.
      Mkuu sasa swala la makanisa limetokea wapi tena? Hivi huwa haiwezekani kujadili bila kuhusisha udini?

    9. #7
      chi-boy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th March 2011
      Posts : 86
      Rep Power : 430
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default Re: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      kama jamaa alimlea kama mwanae anayo haki yakuitwa baba.. Kazae mwanao umtekeleze afu akifanikiwa ukajidai ndo baba wakat kuna dume jengine limekusaidia kulea.. Diamond ataamua mwenyewe na busara zake, magazet wafanya biashara 2..

    10. #8
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      Quote By Mmwaminifu
      Mkuu sasa swala la makanisa limetokea wapi tena? Hivi huwa haiwezekani kujadili bila kuhusisha udini?
      Kwani kanisa ni dini?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    11. #9
      BAGAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 4,363
      Rep Power : 8786
      Likes Received
      954
      Likes Given
      1418

      Default Re: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      mimi ni mgumu kuelewa...aaaaarrrrgggghhh
      flora msoffe likes this.
      ....ukubwa AKILI...NDEVU uchafu...

    12. #10
      Mmwaminifu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Posts : 885
      Rep Power : 720
      Likes Received
      134
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By zomba
      Kwani kanisa ni dini?
      Ni nembo ya dini. Kwani Mkuu unapokuta bendera ya taifa mahali huwa unaelewa nini?

    13. #11
      Mmwaminifu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Posts : 885
      Rep Power : 720
      Likes Received
      134
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By BAGAH
      mimi ni mgumu kuelewa...aaaaarrrrgggghhh
      Hahahaaaaa! Jf bwana

    14. #12
      Maamuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2008
      Posts : 656
      Rep Power : 662
      Likes Received
      151
      Likes Given
      93

      Default Re: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      Nukta haziungani hapa! Mama kupewa ujauzito na Salum na kuachwa. Kisha anapata mpenzi mwingine, Abdul. Anasiyemulia kisa ni MDOGO wa Nasibu (wa baba mmoja). Ina maana mama alirudi tena kwa Bw. Salum na kupata ujauzito wa huyo mdogo? Au nijihesabu na mimi ni miongoni mwa wale wagumu kuelewa?
      Kwa kawaida sipendi kufuatilia habari za namna hii lakini nimelazimika kutoa maoni yangu ili hili liwekwe sawa na ndipo "majaji" watoe hukumu ya haki.
      Hata hivyo, huyo baba mlezi kama ni kweli alilea ujauzito na baadaye mtoto, ana haki ya kuitwa baba. Jamani, kuzaa sio kazi, kazi kulea mwana!
      Msiwiwe na mtu chochote, isipokuwa kupendana..... Warumi 13:8.

    15. #13
      kinubi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 106
      Rep Power : 452
      Likes Received
      5
      Likes Given
      13

      Default Re: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      Quote By Vodka
      Aah magazet haya yanafuatilia mambo ya ajabu! Sijui kama Dimond asingekuwa maarufu wangefuatilia.
      siunajua mambo ya ajabu ndiyo habari yenyewe??? hata wao huwa hawana habari na mtu asiye maarufu.

    16. #14
      kinubi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 106
      Rep Power : 452
      Likes Received
      5
      Likes Given
      13

      Default Re: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      Quote By Mmwaminifu
      Ni nembo ya dini. Kwani Mkuu unapokuta bendera ya taifa mahali huwa unaelewa nini?
      naogopa tra wakijua faida ninayopata watakuja kunidai kodi

    17. #15
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,680
      Rep Power : 27091
      Likes Received
      10054
      Likes Given
      13953

      Default Re: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      Quote By jiji
      SIKU chache baada ya baba mzazi wa kachala wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond Platnum’, mzee Abdul Juma kufunguka kuwa mwanaye huyo hamthamini toka amepata mafanikio, watu waliodai wao ni ndugu wa tumbo moja na mkali huyo wa muziki wa kizazi kipya wameibuka na kusema baba mzazi wa Diamond alishafariki dunia mwaka 2004, Ijumaa Wikienda lina ripoti kamili.
      CHANZO CHATIRIRIKA
      Baada ya habari ya kuibuka kwa baba wa Diamond kuchapishwa kwenye gazeti ndugu la hili (Amani) mwishoni mwa wiki iliyopita, chanzo makini kiliwatonya mapaparazi wetu kuwa baba aliyejitokeza (Abdul Juma) siyo wa damu.
      “Jamani nyie Amani mmeandika baba wa Diamond ni mzee Abdul Juma, mbona tunavyojua sisi, baba wa Diamond anaitwa Salum Idd na alishafariki dunia tangu mwaka 2004, kama mnataka ukweli zaidi fuatilieni,” kilisema chanzo hicho huku kikiahidi kutoa ushirikiano.
      MAPAPARAZI WAINGIA KAZINI
      Mapaparazi wetu walianza kazi ya kufuatilia nyeti hiyo ambapo kwa msaada wa chanzo, Julai 12, mwaka huu walifanikiwa kutinga nyumbani kwa msichana aliyedai ni dada kwa baba mmoja na Diamond.
      Msichana huyo anaishi Kariakoo, jijini Dar es Salaam na mdogo mwingine wa Diamond aitwaye Idd Salum ambaye naye anaimba kama kaka yake.
      TUJIUNGE NA IDD ALIYEPO KARIAKOO
      Baada ya salamu za hapa na pale na mapaparazi wetu kujitambulisha kwa familia hiyo, lilifuata swali kama kweli wao ni ndugu wa damu moja na Diamond.
      Idd: “Mbona kila kitu kipo wazi, hata yule mzee Abdul Juma anaelewa kila kitu kwamba sisi na Diamond ni ndugu, Diamond ni kaka yetu na amekuwa akinisaidia mimi katika shida na raha, baba yetu alishafariki dunia tangu mwaka 2004.
      “Yeye (Abdul) ni baba mlezi tu na anafahamu wazi kuwa yeye ni baba mlezi wa Diamond na kwamba baba yetu alishatutoka.”
      IDD AIBUA JIPYA
      Kwa mujibu wa mdogo huyo wa Diamond, Idd, mwaka 1989, mama Diamond (Sanura Khassim ‘Sandra’) alipewa ujauzito na Salum (baba yake) kisha waligombana na kuachana.
      Akasema baada ya kuachana, mama Diamond alikutana na Abdul ambaye alikubali kuwa naye kimapenzi na kuulea ujauzito huo wa mtoto (Diamond).


      KWA HABRI KAMILI BOFYA HAPA GUMZO LA JIJI: MAPYA YAIBUKA KUHUSU BABA WA DIAMOND
      diamond anaitwa Naseeb Abdul Juma, baba abnayesema ni baba mzazi anaitwa Abdul Juma. mdogo wake anaitwa Iddi salum na baba yake anaitwa Salum Iddi??????

      hainiingii akilini kuona kama watu wanaweza kufuatilia hili wakati siri ya nani baba wa mtoto anayo mama. pia hapa kama huyu baba yake dimond alimtelekeza huyu mama mjamzit kisha akaja kukutana na huyu abdul salum diamond anachokataa kuwa siyo baba yake ni nani? na nani aliye mwabia kuwa wewe ulikuja mimba tu kwa huyu baba? na pia hao wadogo iweje wakazaliwe kwa yule baba ambaye walikuwa wameshatengana?

      wenywe akili hapa tunagundua kuwa ni njia ya kudhalilisha wanawake na kuonyesha uchafu wa huyu mama diamond. Pia vidudu mtu ni wabaya sana mpaka mkajua alikuwa mimba wala hakutokea kwa huyo baba inawahusu mlimshkia miguu nyie achen upaparaz wa kipumbavu.

      Diamond carry on na maisha yako, huyo baba kama yupo give him respect na mama yako mpe repect halaf mwambie mama asiseme lolote na hawa wakuda wanania ya kumdhalilisha tu. nimechukia sana.
      Renegade and 19don like this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    18. #16
      Zion Daughter's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Location : Mlimani
      Posts : 7,603
      Rep Power : 13886
      Likes Received
      3255
      Likes Given
      1768

      Default Re: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      Quote By zomba
      Matatizo haya ni ile dhanna ya bwana wa mama au mume mpya wa mama kumuita "baba" au jitu lisilo na uhusiano wowote na wewe kuliita "baba", mwishowe kila mtu anakuwa "baba". Wachungaji wa kondoo ma "baba", rais anakuwa "baba", mkuu wa kanisa "baba"! kila rafiki wa mama ni "baba"!

      Tuwachaneni na hizi tamaduni za kijinga. Baba ni yule aliyekuzaa tu.
      Baba sio lazima akuzae.Na kwa kesi hii kama huyo diamond alilelewa toka akiwa mimba ni haki huyo kuwa baba yake..
      Renegade likes this.

      The POWER of LOVE !!!!

      Its true that we don't know what we have got until we lose it and we don't know what we have been missing until it arrive.

    19. #17
      Ndukidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 372
      Rep Power : 575
      Likes Received
      141
      Likes Given
      327

      Default Re: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      Quote By zomba
      Matatizo haya ni ile dhanna ya bwana wa mama au mume mpya wa mama kumuita "baba" au jitu lisilo na uhusiano wowote na wewe kuliita "baba", mwishowe kila mtu anakuwa "baba". Wachungaji wa kondoo ma "baba", rais anakuwa "baba", mkuu wa kanisa "baba"! kila rafiki wa mama ni "baba"!

      Tuwachaneni na hizi tamaduni za kijinga. Baba ni yule aliyekuzaa tu.
      Sasa kama mtu kalea mama na mimba yake, na anaishi na mamako, wewe ukazaliwa utamuita nani Zomba? anko? wakati ni mume wa mama yako? na anakulea wewe? Acha utani.. huyo ni baba yake .. tena kama anataka laana amdharau tu atakiona cha mtema kuni..
      NnyaMbwate and gfsonwin like this.

    20. #18
      Mmwaminifu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Posts : 885
      Rep Power : 720
      Likes Received
      134
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By kinubi
      naogopa tra wakijua faida ninayopata watakuja kunidai kodi
      Sijakuelewa unachomaanisha mkuu. Yaani swala la tra na swali langu kwa Mkuu Zomba nashindwa kuconnect dots.

    21. #19
      Mama Joe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2009
      Posts : 601
      Rep Power : 1042
      Likes Received
      166
      Likes Given
      214

      Default Re: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      Kweli huyo ndio babaake maana alilea mimba iliyokataliwa, akamlea akiwa mdogo, suala kwamba kaachana na mama yake sasaivi sio sababu ya kutokuwa na shukrani na kumkana. anavyofanya ameibua hii aibu ya familia yao ilivyo na pia anajitafutia laana. Hata kama hana kitu muheshimu maana yeye alikupokea ukiwa umekataliwa ulipaswa kumjali zaidi. mama pia ni mbaya na limbukeni anamletea laana mtoto bure.
      Renegade likes this.

    22. #20
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,933
      Rep Power : 2600
      Likes Received
      690
      Likes Given
      1615

      Default Re: Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond

      Diamond ndo kishakuwa kila kila siku yeye tu.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...