Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: William Malecela na Ajali za Kisiasa

    Report Post
    Page 3 of 10 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 186
    1. #1
      Muke Ya Muzungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2009
      Posts : 1,904
      Rep Power : 3856
      Likes Received
      177
      Likes Given
      31

      Default William Malecela na Ajali za Kisiasa

      Ndugu yangu Le Baharia Lemutuz, the Big show, Sauti za Umeme @NY amepata ajali nyingine ya kisiasa pale kigamboni baada ya kuangukia pua katika uchaguzi wa viongozi. Waliopita kidedea ni Ndg. Adriano Richard Haonga na Zulfikar ali Mzige.

      Tafadhali ndugu yangu William Usikate tamaa. Kama vipi JK akupe hata ukuu wa wilaya ukisubiria Mtera 2015. umekuwa mtetezi mkubwa sana wa Chama, hata NEPI akupe kazi ya ushauri wake kwenye maswala ya mtandaoni na siasa kwa ujumla. Kumbuka hata shyrose Bhanji naye alipitia haya haya. USHAURI. Punguza kuhudhuria kumbi za starehe na kuzunguka na wadada zetu, pengine watakuona wa maana
      Last edited by Muke Ya Muzungu; 13th July 2012 at 16:50.
      Amanda, Mboko and DEUS NSHANGE like this.

    2. Miaka 50

    3. #41
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default re: William Malecela na Ajali za Kisiasa

      Quote By Daudi mchambuzi
      hebu punguza jazba kwanza nikuulize swali, are you she or he???
      - How about you are you she or he??

      Biig Shoow!!

    4. #42
      king kan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 422
      Rep Power : 492
      Likes Received
      117
      Likes Given
      2

      Default re: William Malecela na Ajali za Kisiasa

      Quote By W. J. Malecela



      - Mkuu mleta mada heshima yako sana, kwenye uchaguzi wa juzi niligombea Ujumbe wa CCM Wilaya na kushinda kura 21 against 16, sasa nashangaa haya majungu umeyatoa wapi? Ha! ha! ha! ha! ha! well, nilikuwa Shoppers kwenye Show la Super Designer Khadija Mwanamboka, it was great yaani mitindo ya mavazi ya kiazawa ilikuwa supa sana, sasa hivi naenda Kawe nimealikwa kwenye White Party, nikitoka huko nitakuwa Mafian Lounge Club!! HA! HA! HA! HA! I MEAN THIS IS GREAT YOU KNOW!!

      REPECT MUCH!

      William John Samwel Malecela: MJUMBE WA WAZAZI MKOA & MJUMBE WA CCM WILAYA ILALA @ KATA KIVUKONI;DSM CITY!!
      Wewe acha upumbavu hatuwezi kuwa na viongozi vilaza kama wewe kila siku unauza sura na hao maka***** sasa wewe na Diamond mna tofauti gani? Mi nadhani mwalimu aliwaona mlivyo wapuuzi akatibua mpango wa mzee wako wa kutaka uraisi. Watu wanakushauri unaleta uhuni tena wa kizamani unazidiwa na mwenzio Ridhiwani.
      W. J. Malecela likes this.
      There are those who believe that a new modernity demands a new morality. What you fail to consider is the harsh reality that there is no such a thing as a new morality. All else is immorality.

    5. #43
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default re: William Malecela na Ajali za Kisiasa

      Quote By king kan
      Wewe acha upumbavu hatuwezi kuwa na viongozi vilaza kama wewe kila siku unauza sura na hao maka***** sasa wewe na Diamond mna tofauti gani? Mi nadhani mwalimu aliwaona mlivyo wapuuzi akatibua mpango wa mzee wako wa kutaka uraisi. Watu wanakushauri unaleta uhuni tena wa kizamani unazidiwa na mwenzio Ridhiwani.
      - Mkuu wangu utumie huo ushauri na wewe kupata uongozi, kama huwezi achia tunaoweza kilaza ni kulia lia na mtu ambaye hawezi kukusaidia anything ndio ukilaza, thread ya majungu wewe unasema ina ushauri mzuri ndio UKILAZA WAKO UNAPOANZIA NA KUISHIA!1 HA! HA! HA! HA!

      - YAANI ONE CELEB KUPIGA PICHA NA CELEBS WENGINE UNASEMA NI UHUNI NA UPUMBAVU? HA! HA! HA! WEWE UNAFIKIRI UNAWEZA KUWASOGOELEA HAWA BILA KWUA CELEB? PLEASE SEMA NITAYARISHE FUNDRAISING WOTE HWA MA-CELEB WAJE KUSAIDIA WANANCHI NA JF KAMA KESHO KULE KENYATTA ROAD HAWA WOTE WATAKUWEPO!! TUINASAIDIA WATOTO WA YATIMA DODOMA!!

      LE BIIG SHOOW!!

    6. #44
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,175
      Rep Power : 21618
      Likes Received
      13495
      Likes Given
      17794

      Default re: William Malecela na Ajali za Kisiasa

      Its time watu sasa wamuache William awe William...
      at least he does not fake to be what he is not...
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    7. #45
      Mwanaharakatihuru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Posts : 474
      Rep Power : 0
      Likes Received
      114
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By Daudi mchambuzi
      hebu punguza jazba kwanza nikuulize swali, are you she or he???
      Hahaha usinitafutie ban wewe

    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,850
      Rep Power : 1157
      Likes Received
      509
      Likes Given
      0

      Default re: William Malecela na Ajali za Kisiasa

      One strong point about willy is uwazi, hana unafiki , mambo hadharani. To the best of my knowledge he has not used dads influence to seek political office or secure lucrative business deals, a real departure from tabia ya watoto wa wakubwa. Uwakilishi, whatever kata ya ilala truly speaking is humble job for a son of former diplomat/prime minister (by TZ standard). Le Mutuz for president.
      Mauza uza likes this.

    10. #47
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,850
      Rep Power : 1157
      Likes Received
      509
      Likes Given
      0

      Default re: William Malecela na Ajali za Kisiasa

      One strong point about willy is uwazi, hana unafiki , mambo hadharani. To the best of my knowledge he has not used dads influence to seek political office , a real departure from tabia ya watoto wa wakubwa. Uwakilishi, whatever kata ya ilala truly speaking is humble job for a son of former diplomat/prime minister (by TZ standard). Le Mutuz for president.

    11. #48
      movichboy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th November 2011
      Posts : 52
      Rep Power : 388
      Likes Received
      30
      Likes Given
      0

      Default re: William Malecela na Ajali za Kisiasa

      Yaani wewe si mshamba tu bali ni limbukeni uliyekubuhu, nilitegemea utakaa kimya ningekuona wa maana sana, mbaya zaidi kudhihirisha ujinga ulionao eti unaweka na picha za malaya hao hapo, sijui iwe nini, kuna wenzio wamepita hapo tena kimya kimya pasipo kufanya upuuzi kama wa kwako na inaonesha watu kama ninyi huwa mnakuwa hata kupewa hamjapewa sana sana ni sho za kipumbavu. Na sidhani kama huyo mzee ajasingiziwa mimba yako kwani siamini kama anaweza kuwa na uzao wa kipuuzi namna hiyo.
      Quote By W. J. Malecela




      - Mkuu mleta mada heshima yako sana, kwenye uchaguzi wa juzi niligombea Ujumbe wa CCM Wilaya na kushinda kura 21 against 16, sasa nashangaa haya majungu umeyatoa wapi? Ha! ha! ha! ha! ha! well, nilikuwa Shoppers kwenye Show la Super Designer Khadija Mwanamboka, it was great yaani mitindo ya mavazi ya kiazawa ilikuwa supa sana, sasa hivi naenda Kawe nimealikwa kwenye White Party, nikitoka huko nitakuwa Mafian Lounge Club!! HA! HA! HA! HA! I MEAN THIS IS GREAT YOU KNOW!!

      REPECT MUCH!

      William John Samwel Malecela: MJUMBE WA WAZAZI MKOA & MJUMBE WA CCM WILAYA ILALA @ KATA KIVUKONI;DSM CITY!!

    12. #49
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default re: William Malecela na Ajali za Kisiasa

      Quote By Ruppy karenston
      hahahahahaha hili nalo neno.
      - Karen pole sana unataka niseme hapa mambo yako? Duh!! yaani mbona itakuwa aibu sana JF bana siku hizi kweli imeingiliwa, yaani hata wewe? mbona navunjika mbavu maana aibu tupu!! ha! ha! ha! ha! ngoja nimpigie jama nimwambie upo huku!! ha! ha! ha! ha! yaani kweli Karen unaamini wewe ni mzima kuliko mimi? ha1 ha!

      Biig Shoow!!
      Excellent likes this.

    13. #50
      Kaa la Moto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Bristol
      Posts : 6,874
      Rep Power : 1954
      Likes Received
      436
      Likes Given
      4308

      Default re: William Malecela na Ajali za Kisiasa

      kunguru hafugiki
      wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.

      ....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"

    14. #51
      Mwanaharakatihuru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Posts : 474
      Rep Power : 0
      Likes Received
      114
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By simplemind
      One strong point about willy is uwazi, hana unafiki , mambo hadharani. To the best of my knowledge he has not used dads influence to seek political office , a real departure from tabia ya watoto wa wakubwa. Uwakilishi, whatever kata ya ilala truly speaking is humble job for a son of former diplomat/prime minister (by TZ standard). Le Mutuz for president.
      LE mutuz at the end you are man of people for god sake no matter what the dodoma orphan thing on saturday you rock my world. Sons and daughter of Tanzania let's help the orphan and vulnerable children of dodoma with Le Mutuz this saturday. Wewe unayetokwa na povu umesaidiaje watoto wa yule babaako mdogo aliyefariki?

    15. #52
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default re: William Malecela na Ajali za Kisiasa

      Quote By movichboy
      yaani wewe si mshamba tu bali ni limbukeni uliyekubuhu, nilitegemea utakaa kimya ningekuona wa maana sana, mbaya zaidi kudhihirisha ujinga ulionao eti unaweka na picha za malaya hao hapo, sijui iwe nini, kuna wenzio wamepita hapo tena kimya kimya pasipo kufanya upuuzi kama wa kwako na inaonesha watu kama ninyi huwa mnakuwa hata kupewa hamjapewa sana sana ni sho za kipumbavu. Na sidhani kama huyo mzee ajasingiziwa mimba yako kwani siamini kama anaweza kuwa na uzao wa kipuuzi namna hiyo.
      - hasira za mkizi na kukosa bwahahahahaha!! , by the way kesho tumetayarisha fundraising ya kusaidia watoto wa yatima, mkuu sana matusi yako ndio baraka kwangu, ndio maana ninafanikiwa ni kwa sababu ya matusi kama yako, simjui bab yako wala sihitaji kumjua mama yako, ila ungekuwa na akili kama unazodai unazo basi ungejua kwamba hii thread ni based on majungu, so huwezi weka maadili humu au ushauri wa anything!!

      - kuhusu hizi picha nilitaka wewe na wenzio wote mnionyeshe sheria ya jamhuri niliyovunja kwa kpiga na kuwepo kila mahali, ninatka kuamini kwamba una akili sana na ni mstaarabu sana na sio mshamba! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Sasa kama kweli sio mshamba na sio mpumbavu kwa nini kupoteza muda na mwenye matatizo hayo kama mimi? Si unaona uikweli ni kwamba na wewe ni mpumbavu na mshamba na infact mjinga wa akili coz hufukuzi kichaa uchi kama unavyofanya hapa mimi sina nguo na wewe unavua nguo kunifukuza unakuwa ni mjinga kuliko mimi!! Ha! Ha!

      Respect bro!!

      Biig shoow!!

    16. #53
      Ruppy karenston's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2011
      Posts : 396
      Rep Power : 482
      Likes Received
      69
      Likes Given
      26

      Default

      Quote By The Boss
      Its time watu sasa wamuache William awe William...
      at least he does not fake to be what he is not...
      This makes sense, well said the big boss.
      Mauza uza, The Boss and Excellent like this.

    17. #54
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,593
      Rep Power : 1636
      Likes Received
      383
      Likes Given
      553

      Default

      Quote By The Boss
      Its time watu sasa wamuache William awe William...
      at least he does not fake to be what he is not...
      That's exactly what I hav proposed, I know him through my brother who was his late brother's friend, Willy ni mtu real yupo kama alivyo yeye. Sasa watu wanataka kumforce awe fake eti kisa apate uongozi. Simply foolish.

    18. #55
      Maendeleo tu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th October 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 77
      Rep Power : 452
      Likes Received
      8
      Likes Given
      11

      Default re: William Malecela na Ajali za Kisiasa

      ooh kuna watu na viatu dunianiii...
      dah, hapa sitii neno

    19. #56
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default re: William Malecela na Ajali za Kisiasa

      Quote By mwanaharakatihuru
      le mutuz at the end you are man of people for god sake no matter what the dodoma orphan thing on saturday you rock my world. Sons and daughter of tanzania let's help the orphan and vulnerable children of dodoma with le mutuz this saturday. Wewe unayetokwa na povu umesaidiaje watoto wa yule babaako mdogo aliyefariki?
      - mkuu will have a special complimentary card for you kesho if you are coming, let me know; salute!!

      Le mutuz!!

    20. #57
      Muke Ya Muzungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2009
      Posts : 1,904
      Rep Power : 3856
      Likes Received
      177
      Likes Given
      31

      Default re: William Malecela na Ajali za Kisiasa

      Mr. William Malechela,
      Kwanza kabisa ninapend akukuomba msamaha ikiwa kwa njia moja au nyingine nimekukwaza. Sikua na kusudi la kukuchefua. Ila kama binadamu mwingine unaweza kumshauri ndugu yako, rafiki au mtu tu unayemfahamu pale unapoona mambo siyo mazuri.

      Watu wengi sana wamekuwa wakikuandama kutokana na tabia fulani fulani. siyo kwamba wanakuchukia, bali wanakerwa na hizo tabia. Swala ambalo ungejiuliza kwa nini ni wewe tu kila siku? Basi mimi nilidhania ungeisikia sauti yangu kwa unyenyekevu kisha ukaifanyia kazi. Kwa bahati mbaya nimeone kama vile umeudhika. La Asha, hilo halikuwa lengo langu. Samahani sana. Nakutakia kil ala kheri katika safari yako ya kisiasa
      Excellent and Primitive like this.

    21. #58
      Pokola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 486
      Rep Power : 547
      Likes Received
      51
      Likes Given
      76

      Default re: William Malecela na Ajali za Kisiasa

      Hili dubwana jitu kubwa lakini jinga kweli kweli. Lina mambo ya kitoto, na umri wote huo wa kuitwa babu!! Ulikulia wapi wewe william? Kijijini? Limbukeni weye!!




      Quote By w. J. Malecela



      - mkuu mleta mada heshima yako sana, kwenye uchaguzi wa juzi niligombea ujumbe wa ccm wilaya na kushinda kura 21 against 16, sasa nashangaa haya majungu umeyatoa wapi? Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Well, nilikuwa shoppers kwenye show la super designer khadija mwanamboka, it was great yaani mitindo ya mavazi ya kiazawa ilikuwa supa sana, sasa hivi naenda kawe nimealikwa kwenye white party, nikitoka huko nitakuwa mafian lounge club!! Ha! Ha! Ha! Ha! I mean this is great you know!!

      Repect much!

      William john samwel malecela: Mjumbe wa wazazi mkoa & mjumbe wa ccm wilaya ilala @ kata kivukoni;dsm city!!
      Watanzania ikimbieni Rushwa!!

    22. #59
      Mwanaharakatihuru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Posts : 474
      Rep Power : 0
      Likes Received
      114
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By king kan
      Wewe acha upumbavu hatuwezi kuwa na viongozi vilaza kama wewe kila siku unauza sura na hao maka***** sasa wewe na Diamond mna tofauti gani? Mi nadhani mwalimu aliwaona mlivyo wapuuzi akatibua mpango wa mzee wako wa kutaka uraisi. Watu wanakushauri unaleta uhuni tena wa kizamani unazidiwa na mwenzio Ridhiwani.
      Wewe acha mawazo ya kimaskini kulala kwako njaa leo usimuhusishe mzee malecela wa watu. Le mutuz he is making his own history ma fu** get it
      W. J. Malecela likes this.

    23. #60
      Indume Yene's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Chumbani
      Posts : 2,151
      Rep Power : 4954
      Likes Received
      334
      Likes Given
      312

      Default re: William Malecela na Ajali za Kisiasa

      Quote By W. J. Malecela



      - Mkuu mleta mada heshima yako sana, kwenye uchaguzi wa juzi niligombea Ujumbe wa CCM Wilaya na kushinda kura 21 against 16, sasa nashangaa haya majungu umeyatoa wapi? Ha! ha! ha! ha! ha! well, nilikuwa Shoppers kwenye Show la Super Designer Khadija Mwanamboka, it was great yaani mitindo ya mavazi ya kiazawa ilikuwa supa sana, sasa hivi naenda Kawe nimealikwa kwenye White Party, nikitoka huko nitakuwa Mafian Lounge Club!! HA! HA! HA! HA! I MEAN THIS IS GREAT YOU KNOW!!

      REPECT MUCH!

      William John Samwel Malecela: MJUMBE WA WAZAZI MKOA & MJUMBE WA CCM WILAYA ILALA @ KATA KIVUKONI;DSM CITY!!
      Teh..teh..teh.. Karibu Tanzania. U can't have both ways especially kwa Tanzania ya leo. But huenda hata huo mkao ukawa ni moja ya responsibilities za Mjumbe wa Wazazi (CCM) Mkoa......to reach out kwa vichomi wa Bongo na kuwarudisha kwenye ethical society. Jitahidi mkuu maana huenda Sophia Simba akakukumbuka siku moja.

    Page 3 of 10 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...