Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 44
    1. #1
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,186
      Rep Power : 3551
      Likes Received
      3051
      Likes Given
      460

      Default Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini





      BABA mzazi wa nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond’, (pichani) Abdul Juma ameibuka ambapo mbali na tukio hilo pia amenena mambo mazito kuhusu mwanaye huyo huku akimsukumia tuhuma nzito mama mtu, Amani linaanika kila kitu.





      ASAKWA PANDE ZOTE ZA DAR
      Awali lilitangulia zoezi la kumsaka baba Diamond katika pande zote za Jiji la Dar es Salaam ili kumsikia alichonacho moyoni kuhusu mafanikio ya mwanaye huku taarifa za mahali anapoishi zikipotoshwa na watoa habari wetu.
      Wapo waliosema mzee huyo anaishi Kibamba, wengine Mbagala, pia wapo waliodai anakaa Manzese au Magomeni, jijini Dar es Salaam.
      Timu ya mapaparazi wa Amani ilizama kazini kikamilifu ikiapa kumnasa mzazi huyo popote alipo na hatimaye Julai 2, 2012 saa saba mchana ilifanikiwa kupabamba nyumbani kwake, Magomeni Kagera, jijini Dar es Salaam lakini mwenyewe hakuwepo.
      Ziliachwa salamu za utambulisho kwa jirani mmoja ili atakaporudi mzee huyo amtaarifu kuwa mapaparazi watarudi siku nyingine.
      Julai 7, 2012 saa tano asubuhi mapaparazi wetu walitinga nyumbani hapo na kumkuta mzee huyo akisema alipata salamu na alikuwa akisubiri ujio huo, hivyo akawa amejiibua mwenyewe.





      AANZA KWA KUANIKA HISTORIA KWA UFUPI
      Baada ya salamu na utambulisho, mzee huyo alianza kwa kukiri kwamba kweli yeye ni baba mzazi wa Nasibu (Diamond) na kuweka wazi kwamba aliachana na mama mzazi wa msanii huyo miaka 9 iliyopita.
      “Ni kweli mimi ndiye Abdul Juma, ni baba mzazi wa Nasibu au Diamond. Eee, mimi niliachana na mama Nasibu miaka tisa iliyopita, tena siku tunatengana niliondoka nyumbani saa tisa usiku, maana nilikuwa naishi kwao (ukweni).


      AMGEUKIA DIAMOND
      Kinyume na matarajio ya kuzungumzia mafanikio ya mwanaye kwa sasa, baada ya kuwekwa katikati na waandishi wetu, mzee Abdul ‘aliangusha’ kilio cha lawama kwa Diamond kuhusu matendo anayomfanyia kila kukicha.
      Mzee huyo anayeonekana ‘kisharobaro’ alisema mafanikio makubwa aliyonayo mwanaye yasimfanye ashindwe kumthamini yeye kama baba na mapenzi yake kuyaelekeza kwa mama yake tu.
      “Kuhusu Diamond, labda nimwambie huyu mtoto kuwa, amepata mafanikio ndiyo, lakini mafanikio hayo yasimfanye ashindwe kunithamini mimi kama baba yake na kupeleka mapenzi yote kwa mama yake tu,” alisema.


      NI KWANINI?
      “Nasema hivyo kwa sababu, zamani kabla jina lake halijawa kubwa, mawasiliano yetu yalikuwa mazuri sana, lakini nikaja kushangaa baada ya kuwa staa, akakata mawasiliano na mimi baba yake, aliangalie hilo.”
      Akaongeza: “Sisemi kwa sababu nataka awe ananiletea hizo fedha zake, la hasha! Ila mimi kama baba yake ajue kuniheshimu.
      “Diamond nampigia simu hapokei, namtumia meseji hajibu, maana yake nini? Naumizwa sana na kitendo cha kutopokea simu yangu kila ninapompigia kumjulia hali. Na hali hii ameanza mara baada ya kupata mafanikio.


      JARIBIO LAIVU Katika kuthibitisha hilo, paparazi wetu alimtaka mzee huyo kumwendea hewani mwanaye ili kujiridhisha kama kweli ‘hapokeagi’ simu yake, simu ikapigwa, ikaita wee mpaka ikakatika.
      Baba Diamond: “Si umeona, si nilikwambia ukawa huamini.”


      MARA YA MWISHO KUMUONA DIAMOND
      Mzee huyo aliendelea kutiririka kuwa, mara ya mwisho Diamond kufika nyumbani kwake ilikuwa mwezi wa tatu (Machi) mwaka huu baada ya hapo mawasiliano yakakatika.
      “Diamond alikuja nyumbani kwangu mwezi wa tatu ikiwa ni mfungo wa tatu katika dini yetu ya Kiislam, akanipa fedha. Baada ya hapo hatujaonana tena wala hanijulii hali,” alilalama mzee wa watu.


      SMS YA MWISHO KUIJIBU
      Alisema Aprili, mwaka huu, Diamond alipotwaa tuzo tatu za Kili Music Awards 2012, yeye alimtumia ujumbe mfupi wa maneno akimpa hongera naye akajibu asante baba. Lakini baada ya hapo ikawa imetoka.
      “Baada ya kufanikiwa kutwaa tuzo za Kili, mwaka huu nilimpigia simu mwanangu ili nimpongeze, hakupokea, nikamtumia SMS ndipo akajibu, ‘asante baba’, mchezo ukaishia hapo.
      “Namshukuru sana dada yake, Mwajuma Abdul (Queen Darleen) yeye ndiyo yupo karibu sana na mimi kwani mara kwa mara anakuja kunitembelea na wakati mwingine hunikumbuka kwa fedha, hata pale aliposhinda tuzo ya Wimbo Bora wa Dancehall alifika nyumbani kunionesha tuzo yake, binafsi nilijisikia furaha,” alisema mzee Abdul ambaye kwa sasa hana mke.


      HAJUI ANAPOISHI MWANAYE
      Mbali na msanii huyo kutopokea simu ya baba yake kila anapompigia, vile vile mzee huyo alidai hajamuonesha wapi anapoishi.
      “Huyu mtoto hajawahi kunionesha anapoishi, sijui anafikiri nikiwa karibu naye nitakuwa namuomba fedha. Mimi sina njaa ‘kihivyo’ na wala sitaki fedha zake, ila ninachotaka salamu tu, nasikiasikia anaishi Mwenge (usahihi ni Sinza Mori) lakini hataki kunionesha.
      “Ninachojua yote haya yana mwisho kwani nyota aliyonayo sasa kuna siku itazima. Simuombei mabaya lakini inaniuma sana kunifanyia hivyo.”


      DIAMOND APIGIWA SIMU MARA KUMI NA MBILI
      Baada ya kupata matamshi hayo ya baba mzazi wa Diamond, mwandishi wetu siku ya Jumanne alifanya jitihada za kumpata msanii huyo ili ajibu ‘mashitaka’ hayo lakini licha ya kupigiwa simu mara kumi na mbili hakupokea.
      Mbali na kupigiwa simu, paparazi wetu alimtumia ujumbe mfupi wa maneno kupitia simu yake ya mkononi, lakini pia hakujibu kitu. Juhudi za kumsaka zinaendelea.


      Source: GPL

    2. Miaka 50

    3. #21
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,973
      Rep Power : 1217
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      Kumbe Diamond na queen Darleen ni ndugu ndo najua leo wakuu.Diamond jifunze kwa kanumba shauri lako

    4. #22
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25469
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      909

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      ukweli wa hili jambo ni mama yake Diamond ndio analijua hawa madingi wanakuaga na longo longo sana kama aliachana na mama Diamond anataka nini tena
      Dena Amsi likes this.

    5. #23
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      Sharobaro ka mwanae.

    6. #24
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,555
      Rep Power : 5614
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      sitashangaa kukuta huyo 'baba' hakumlea diamond.....

      Baada ya mtoto kukua na kupata chenji ndo kamuona 'mtoto'... Then ategemee mapenzi ya mwana.....

      Aendelee kumpigia simu hata mara hamsini....

    7. #25
      Dena Amsi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th August 2010
      Location : Saayo
      Posts : 11,858
      Rep Power : 8729
      Likes Received
      3150
      Likes Given
      1572

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      Huyu mzee anapaka mkorogo aisee cheki mikono una sugu zile nyeusi na uso unang'aa kapaka nini sijui yarabi toba
      A Little Impatience can spoil great plan!!!!!!!!!!!!!!! "Dont Loose your temper nobody need it"

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Mahesabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2008
      Location : manzese
      Posts : 3,034
      Rep Power : 1318
      Likes Received
      218
      Likes Given
      677

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      diamond ana baba umri unalingana naye.....baba mzee wa nini...!!! mama zetu huwa wanatuweza hapo tu..... kama hadije kopa alivyo na mume kama mwanaye
      ......

    10. #27
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,449
      Rep Power : 19777
      Likes Received
      4287
      Likes Given
      1187

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      Huu ni unafiki, alikuwa wapi siku zote kutwambia diomond hapokei simu?

      Hivi kwa nini wazazi wetu wengine siyo wawazi?

    11. #28
      Tripo9's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2009
      Posts : 1,616
      Rep Power : 816
      Likes Received
      254
      Likes Given
      458

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      ivi Amani ni gazeti la udaku eeeh!
      "Smile though your heart is aching"...Me says

    12. #29
      St. Paka Mweusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Location : Ukune,
      Posts : 5,289
      Rep Power : 1691
      Likes Received
      1564
      Likes Given
      3289

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      Shabash,hapo ndipo ninapomkubali Eric Shigongo,mtafaruku huu mpaka uishe atakuwa kashajitengenezea milioni kadhaa kwa mauzo ya magazeti yake kisha mtamsikia akifanya jitihada za kuwapatanisha baba na mtoto,haya,yangu macho na picha ndio kwanza linaanza........
      UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.

    13. #30
      waleoleo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 36
      Rep Power : 356
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default

      [QUOTE=nngu007;4224503]



      BABA mzazi wa nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond’, (pichani) Abdul Juma ameibuka ambapo mbali na tukio hilo pia amenena mambo mazito kuhusu mwanaye huyo huku akimsukumia tuhuma nzito mama mtu, Amani linaanika kila kitu.





      ASAKWA PANDE ZOTE ZA DAR
      Awali lilitangulia zoezi la kumsaka baba Diamond katika pande zote za Jiji la Dar es Salaam ili kumsikia alichonacho moyoni kuhusu mafanikio ya mwanaye huku taarifa za mahali anapoishi zikipotoshwa na watoa habari wetu.
      Wapo waliosema mzee huyo anaishi Kibamba, wengine Mbagala, pia wapo waliodai anakaa Manzese au Magomeni, jijini Dar es Salaam.
      Timu ya mapaparazi wa Amani ilizama kazini kikamilifu ikiapa kumnasa mzazi huyo popote alipo na hatimaye Julai 2, 2012 saa saba mchana ilifanikiwa kupabamba nyumbani kwake, Magomeni Kagera, jijini Dar es Salaam lakini mwenyewe hakuwepo.
      Ziliachwa salamu za utambulisho kwa jirani mmoja ili atakaporudi mzee huyo amtaarifu kuwa mapaparazi watarudi siku nyingine.
      Julai 7, 2012 saa tano asubuhi mapaparazi wetu walitinga nyumbani hapo na kumkuta mzee huyo akisema alipata salamu na alikuwa akisubiri ujio huo, hivyo akawa amejiibua mwenyewe.





      AANZA KWA KUANIKA HISTORIA KWA UFUPI
      Baada ya salamu na utambulisho, mzee huyo alianza kwa kukiri kwamba kweli yeye ni baba mzazi wa Nasibu (Diamond) na kuweka wazi kwamba aliachana na mama mzazi wa msanii huyo miaka 9 iliyopita.
      “Ni kweli mimi ndiye Abdul Juma, ni baba mzazi wa Nasibu au Diamond. Eee, mimi niliachana na mama Nasibu miaka tisa iliyopita, tena siku tunatengana niliondoka nyumbani saa tisa usiku, maana nilikuwa naishi kwao (ukweni).


      AMGEUKIA DIAMOND
      Kinyume na matarajio ya kuzungumzia mafanikio ya mwanaye kwa sasa, baada ya kuwekwa katikati na waandishi wetu, mzee Abdul ‘aliangusha’ kilio cha lawama kwa Diamond kuhusu matendo anayomfanyia kila kukicha.
      Mzee huyo anayeonekana ‘kisharobaro’ alisema mafanikio makubwa aliyonayo mwanaye yasimfanye ashindwe kumthamini yeye kama baba na mapenzi yake kuyaelekeza kwa mama yake tu.
      “Kuhusu Diamond, labda nimwambie huyu mtoto kuwa, amepata mafanikio ndiyo, lakini mafanikio hayo yasimfanye ashindwe kunithamini mimi kama baba yake na kupeleka mapenzi yote kwa mama yake tu,” alisema.


      NI KWANINI?
      “Nasema hivyo kwa sababu, zamani kabla jina lake halijawa kubwa, mawasiliano yetu yalikuwa mazuri sana, lakini nikaja kushangaa baada ya kuwa staa, akakata mawasiliano na mimi baba yake, aliangalie hilo.”
      Akaongeza: “Sisemi kwa sababu nataka awe ananiletea hizo fedha zake, la hasha! Ila mimi kama baba yake ajue kuniheshimu.
      “Diamond nampigia simu hapokei, namtumia meseji hajibu, maana yake nini? Naumizwa sana na kitendo cha kutopokea simu yangu kila ninapompigia kumjulia hali. Na hali hii ameanza mara baada ya kupata mafanikio.


      JARIBIO LAIVU Katika kuthibitisha hilo, paparazi wetu alimtaka mzee huyo kumwendea hewani mwanaye ili kujiridhisha kama kweli ‘hapokeagi’ simu yake, simu ikapigwa, ikaita wee mpaka ikakatika.
      Baba Diamond: “Si umeona, si nilikwambia ukawa huamini.”


      MARA YA MWISHO KUMUONA DIAMOND
      Mzee huyo aliendelea kutiririka kuwa, mara ya mwisho Diamond kufika nyumbani kwake ilikuwa mwezi wa tatu (Machi) mwaka huu baada ya hapo mawasiliano yakakatika.
      “Diamond alikuja nyumbani kwangu mwezi wa tatu ikiwa ni mfungo wa tatu katika dini yetu ya Kiislam, akanipa fedha. Baada ya hapo hatujaonana tena wala hanijulii hali,” alilalama mzee wa watu.


      SMS YA MWISHO KUIJIBU
      Alisema Aprili, mwaka huu, Diamond alipotwaa tuzo tatu za Kili Music Awards 2012, yeye alimtumia ujumbe mfupi wa maneno akimpa hongera naye akajibu asante baba. Lakini baada ya hapo ikawa imetoka.
      “Baada ya kufanikiwa kutwaa tuzo za Kili, mwaka huu nilimpigia simu mwanangu ili nimpongeze, hakupokea, nikamtumia SMS ndipo akajibu, ‘asante baba’, mchezo ukaishia hapo.
      “Namshukuru sana dada yake, Mwajuma Abdul (Queen Darleen) yeye ndiyo yupo karibu sana na mimi kwani mara kwa mara anakuja kunitembelea na wakati mwingine hunikumbuka kwa fedha, hata pale aliposhinda tuzo ya Wimbo Bora wa Dancehall alifika nyumbani kunionesha tuzo yake, binafsi nilijisikia furaha,” alisema mzee Abdul ambaye kwa sasa hana mke.


      HAJUI ANAPOISHI MWANAYE
      Mbali na msanii huyo kutopokea simu ya baba yake kila anapompigia, vile vile mzee huyo alidai hajamuonesha wapi anapoishi.
      “Huyu mtoto hajawahi kunionesha anapoishi, sijui anafikiri nikiwa karibu naye nitakuwa namuomba fedha. Mimi sina njaa ‘kihivyo’ na wala sitaki fedha zake, ila ninachotaka salamu tu, nasikiasikia anaishi Mwenge (usahihi ni Sinza Mori) lakini hataki kunionesha.
      “Ninachojua yote haya yana mwisho kwani nyota aliyonayo sasa kuna siku itazima. Simuombei mabaya lakini inaniuma sana kunifanyia hivyo.”


      DIAMOND APIGIWA SIMU MARA KUMI NA MBILI
      Baada ya kupata matamshi hayo ya baba mzazi wa Diamond, mwandishi wetu siku ya Jumanne alifanya jitihada za kumpata msanii huyo ili ajibu ‘mashitaka’ hayo lakini licha ya kupigiwa simu mara kumi na mbili hakupokea.
      Mbali na kupigiwa simu, paparazi wetu alimtumia ujumbe mfupi wa maneno kupitia simu yake ya mkononi, lakini pia hakujibu kitu. Juhudi za kumsaka zinaendelea.


      Source: GPL[/
      Tabu kweli kweli!!!! Dimond mwenyewe ndo anajua ukweli hapa!! wakinababa huwa wananeglet watoto sana
      nngu007 likes this.

    14. #31
      Mwakalinga Y. R's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd October 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 2,169
      Rep Power : 972
      Likes Received
      924
      Likes Given
      2278

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      Kweli Jf ni zaidi ya social netiweki....
      " You're still my enemy tonight. But even enemies can show respect. " -Priam




    15. #32
      sister's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2011
      Location : MBEZI YA KIMARA, DSM
      Posts : 1,443
      Rep Power : 958
      Likes Received
      450
      Likes Given
      470

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      Quote By Jaguar
      Hebu mwambie huyo,mzazi ni mzazi tu,no matter what!
      siyo kila mzazi ni mzazi bwana...............yeye aniache akimbie kwingine niangaike na mtoto hafu baadaye mtoto apate mafanikio ndo asogeze pua yake kwa mtoto kisa mzazi.................no way.

    16. #33
      ding dong dantes's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 428
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      [QUOTE=waleoleo;4228433]
      Quote By nngu007




      BABA mzazi wa nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond’, (pichani) Abdul Juma ameibuka ambapo mbali na tukio hilo pia amenena mambo mazito kuhusu mwanaye huyo huku akimsukumia tuhuma nzito mama mtu, Amani linaanika kila kitu.





      ASAKWA PANDE ZOTE ZA DAR
      Awali lilitangulia zoezi la kumsaka baba Diamond katika pande zote za Jiji la Dar es Salaam ili kumsikia alichonacho moyoni kuhusu mafanikio ya mwanaye huku taarifa za mahali anapoishi zikipotoshwa na watoa habari wetu.
      Wapo waliosema mzee huyo anaishi Kibamba, wengine Mbagala, pia wapo waliodai anakaa Manzese au Magomeni, jijini Dar es Salaam.
      Timu ya mapaparazi wa Amani ilizama kazini kikamilifu ikiapa kumnasa mzazi huyo popote alipo na hatimaye Julai 2, 2012 saa saba mchana ilifanikiwa kupabamba nyumbani kwake, Magomeni Kagera, jijini Dar es Salaam lakini mwenyewe hakuwepo.
      Ziliachwa salamu za utambulisho kwa jirani mmoja ili atakaporudi mzee huyo amtaarifu kuwa mapaparazi watarudi siku nyingine.
      Julai 7, 2012 saa tano asubuhi mapaparazi wetu walitinga nyumbani hapo na kumkuta mzee huyo akisema alipata salamu na alikuwa akisubiri ujio huo, hivyo akawa amejiibua mwenyewe.





      AANZA KWA KUANIKA HISTORIA KWA UFUPI
      Baada ya salamu na utambulisho, mzee huyo alianza kwa kukiri kwamba kweli yeye ni baba mzazi wa Nasibu (Diamond) na kuweka wazi kwamba aliachana na mama mzazi wa msanii huyo miaka 9 iliyopita.
      “Ni kweli mimi ndiye Abdul Juma, ni baba mzazi wa Nasibu au Diamond. Eee, mimi niliachana na mama Nasibu miaka tisa iliyopita, tena siku tunatengana niliondoka nyumbani saa tisa usiku, maana nilikuwa naishi kwao (ukweni).


      AMGEUKIA DIAMOND
      Kinyume na matarajio ya kuzungumzia mafanikio ya mwanaye kwa sasa, baada ya kuwekwa katikati na waandishi wetu, mzee Abdul ‘aliangusha’ kilio cha lawama kwa Diamond kuhusu matendo anayomfanyia kila kukicha.
      Mzee huyo anayeonekana ‘kisharobaro’ alisema mafanikio makubwa aliyonayo mwanaye yasimfanye ashindwe kumthamini yeye kama baba na mapenzi yake kuyaelekeza kwa mama yake tu.
      “Kuhusu Diamond, labda nimwambie huyu mtoto kuwa, amepata mafanikio ndiyo, lakini mafanikio hayo yasimfanye ashindwe kunithamini mimi kama baba yake na kupeleka mapenzi yote kwa mama yake tu,” alisema.


      NI KWANINI?
      “Nasema hivyo kwa sababu, zamani kabla jina lake halijawa kubwa, mawasiliano yetu yalikuwa mazuri sana, lakini nikaja kushangaa baada ya kuwa staa, akakata mawasiliano na mimi baba yake, aliangalie hilo.”
      Akaongeza: “Sisemi kwa sababu nataka awe ananiletea hizo fedha zake, la hasha! Ila mimi kama baba yake ajue kuniheshimu.
      “Diamond nampigia simu hapokei, namtumia meseji hajibu, maana yake nini? Naumizwa sana na kitendo cha kutopokea simu yangu kila ninapompigia kumjulia hali. Na hali hii ameanza mara baada ya kupata mafanikio.


      JARIBIO LAIVU Katika kuthibitisha hilo, paparazi wetu alimtaka mzee huyo kumwendea hewani mwanaye ili kujiridhisha kama kweli ‘hapokeagi’ simu yake, simu ikapigwa, ikaita wee mpaka ikakatika.
      Baba Diamond: “Si umeona, si nilikwambia ukawa huamini.”


      MARA YA MWISHO KUMUONA DIAMOND
      Mzee huyo aliendelea kutiririka kuwa, mara ya mwisho Diamond kufika nyumbani kwake ilikuwa mwezi wa tatu (Machi) mwaka huu baada ya hapo mawasiliano yakakatika.
      “Diamond alikuja nyumbani kwangu mwezi wa tatu ikiwa ni mfungo wa tatu katika dini yetu ya Kiislam, akanipa fedha. Baada ya hapo hatujaonana tena wala hanijulii hali,” alilalama mzee wa watu.


      SMS YA MWISHO KUIJIBU
      Alisema Aprili, mwaka huu, Diamond alipotwaa tuzo tatu za Kili Music Awards 2012, yeye alimtumia ujumbe mfupi wa maneno akimpa hongera naye akajibu asante baba. Lakini baada ya hapo ikawa imetoka.
      “Baada ya kufanikiwa kutwaa tuzo za Kili, mwaka huu nilimpigia simu mwanangu ili nimpongeze, hakupokea, nikamtumia SMS ndipo akajibu, ‘asante baba’, mchezo ukaishia hapo.
      “Namshukuru sana dada yake, Mwajuma Abdul (Queen Darleen) yeye ndiyo yupo karibu sana na mimi kwani mara kwa mara anakuja kunitembelea na wakati mwingine hunikumbuka kwa fedha, hata pale aliposhinda tuzo ya Wimbo Bora wa Dancehall alifika nyumbani kunionesha tuzo yake, binafsi nilijisikia furaha,” alisema mzee Abdul ambaye kwa sasa hana mke.


      HAJUI ANAPOISHI MWANAYE
      Mbali na msanii huyo kutopokea simu ya baba yake kila anapompigia, vile vile mzee huyo alidai hajamuonesha wapi anapoishi.
      “Huyu mtoto hajawahi kunionesha anapoishi, sijui anafikiri nikiwa karibu naye nitakuwa namuomba fedha. Mimi sina njaa ‘kihivyo’ na wala sitaki fedha zake, ila ninachotaka salamu tu, nasikiasikia anaishi Mwenge (usahihi ni Sinza Mori) lakini hataki kunionesha.
      “Ninachojua yote haya yana mwisho kwani nyota aliyonayo sasa kuna siku itazima. Simuombei mabaya lakini inaniuma sana kunifanyia hivyo.”


      DIAMOND APIGIWA SIMU MARA KUMI NA MBILI
      Baada ya kupata matamshi hayo ya baba mzazi wa Diamond, mwandishi wetu siku ya Jumanne alifanya jitihada za kumpata msanii huyo ili ajibu ‘mashitaka’ hayo lakini licha ya kupigiwa simu mara kumi na mbili hakupokea.
      Mbali na kupigiwa simu, paparazi wetu alimtumia ujumbe mfupi wa maneno kupitia simu yake ya mkononi, lakini pia hakujibu kitu. Juhudi za kumsaka zinaendelea.


      Source: GPL[/
      Tabu kweli kweli!!!! Dimond mwenyewe ndo anajua ukweli hapa!! wakinababa huwa wananeglet watoto sana
      Daah jamani wengine hatuna baba tangu tuna mwaka 1 na tunatamani kweli na sie tungekuwa na baba ngoj huyu dingi asep diamond ajuta kuzaliwa aache ujinga arudi kwa baba

    17. #34
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,200
      Rep Power : 12565
      Likes Received
      5766
      Likes Given
      754

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      Mambo ya kifamilia haya sina cha kuchangia.

    18. #35
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,186
      Rep Power : 3551
      Likes Received
      3051
      Likes Given
      460

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      [QUOTE=ding dong dantes;4233313]
      Quote By waleoleo
      Daah jamani wengine hatuna baba tangu tuna mwaka 1 na tunatamani kweli na sie tungekuwa na baba ngoj huyu dingi asep diamond ajuta kuzaliwa aache ujinga arudi kwa baba
      Yeah, Saa Nyingine ni Bora kwako wewe ambaye alikutoka Ukiwa mdogo, Mimi alimkimbia Mama yangu nikiwa na Miaka 4; Mama yangu alikuwa Masomoni Nje ya Nchi, akawa na mwanamke Mwingine... Sisi ikabidi tuhamie kwa ndugu wa Mama

      Sikumuona tena baba yangu, hakututafuta, nilifaulu Darasa la saba yeye akafanya Party hakunialika akaalika Marafiki zake na Mama yangu Mkubwa

      Baba yangu kafariki Simjui; Napewa Urithi wake Namshukuru Mungu lakini hatukujuana, Hakutaka kunijua...

      Sasa hauwezi kujua ya DIAMOND yakoje, haujui DIAMOND mama yake yapi yalimkuta na Mwanaye yalimuuma sana

    19. #36
      matumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,328
      Rep Power : 1443
      Likes Received
      647
      Likes Given
      491

      Default

      [QUOTE=nngu007;4234511]
      Quote By ding dong dantes

      Yeah, Saa Nyingine ni Bora kwako wewe ambaye alikutoka Ukiwa mdogo, Mimi alimkimbia Mama yangu nikiwa na Miaka 4; Mama yangu alikuwa Masomoni Nje ya Nchi, akawa na mwanamke Mwingine... Sisi ikabidi tuhamie kwa ndugu wa Mama

      Sikumuona tena baba yangu, hakututafuta, nilifaulu Darasa la saba yeye akafanya Party hakunialika akaalika Marafiki zake na Mama yangu Mkubwa

      Baba yangu kafariki Simjui; Napewa Urithi wake Namshukuru Mungu lakini hatukujuana, Hakutaka kunijua...

      Sasa hauwezi kujua ya DIAMOND yakoje, haujui DIAMOND mama yake yapi yalimkuta na Mwanaye yalimuuma sana
      umeongea kwa hisia kali sana Mkali..its so sad!

    20. #37
      TIMELESS's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 17th June 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 350
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      Diamond awe makini kuhsu baba ake mwenzie Kanumba ilikuwa hvyo hvyo hadi nakufa rudi

    21. #38
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 11,949
      Rep Power : 31787
      Likes Received
      5900
      Likes Given
      19267

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      na nyie wababa inakuwaje mnawatafuta wakishapata maendeleo,
      kwanini usile jiwe kama ulivyofanya kwa muda wa miaka tisa?
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

    22. #39
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,555
      Rep Power : 5614
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default

      Quote By Mamndenyi
      na nyie wababa inakuwaje mnawatafuta wakishapata maendeleo,
      kwanini usile jiwe kama ulivyofanya kwa muda wa miaka tisa?
      wanaume wengine ni mababa suruali....
      Wanadhani kutoa sperm ndo kuwa baba...
      Ili uitwe baba lazima uwe umelea,
      ujue mwanao ameiula nini...
      Amevaa nini.....
      Anasoma? Ada umelipa? Tuition?
      Akiumwa?
      Mwanao anapohitaji mtu wa kuongea nae unakuwepo?
      Kumkoso?
      Kumfundisha?
      Kumsupport?
      Kumuongoza?
      Kumshauri?
      Bonding gani iliyopo kati yenu?
      Unashare huzuni na furaha za mwanao?
      Je wewe ni rafikiwa mwanao?
      Anapohitaji mtu wa kumpa siri upo?
      Anapohitaji kushikwa mkoni na kuambiwa 'you can do it?' upo?

      Sio unatelekeza mtoto....akifanikiwa unapeleka pua yako..... Ebooooh
      Bamukunda likes this.

    23. #40
      Desteo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2011
      Posts : 352
      Rep Power : 465
      Likes Received
      49
      Likes Given
      46

      Default Re: Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma Mambo Mazito Aliyosema Hapo Chini

      kumbe diamond na queen darleen ndugu? Halafu nampenda sana darleen

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...