Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wema Sepetu aonesha alama ya Freemason liveeee!

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 81
    1. #1
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 16,576
      Rep Power : 31592
      Likes Received
      8386
      Likes Given
      8730

      Default Wema Sepetu aonesha alama ya Freemason liveeee!







      Angalia kwa makini vidole vya mkono wa kulia wa Wema Sepetu,
      Anaonesha ishara ya Wajenzi Huru (Freemason) lakini anafanya hivyo kijanja sana maana kageuza kiganja.
      Alama aliyoionesha haina utofauti na hii ya George Bush Jr.



      Sitaki kabisa kuamini kama ilikua ni bahati mbaya, maana Wema anaonekana kwa kudhamiria, amepozi kwa picha.
      Na wala siamini kuwa alikua hajui anachofanya, maana habari hizi watanzania wengi twazijua sasa


      "Mwenye macho haambiwi tazama"
      Last edited by watu8; 9th July 2012 at 09:53.
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"




    2. #41
      chilubi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 1,044
      Rep Power : 8094
      Likes Received
      205
      Likes Given
      3

      Default Re: Wema Sepetu aonesha alama ya Freemason liveeee!

      Namie naweka yangu \m/

    3. #42
      uttoh2002's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 580
      Rep Power : 488
      Likes Received
      195
      Likes Given
      8

      Default

      Wema so lolote si chochote, kwa mitabia yake hata free Masson hawawezi mkubali.



      Quote By Ritz View Post
      Fotoshop angalia kichwa hicho kimepachikwa stuka.

    4. #43
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 16,576
      Rep Power : 31592
      Likes Received
      8386
      Likes Given
      8730

      Default Re: Wema Sepetu aonesha alama ya Freemason liveeee!

      Quote By Kiraka View Post
      Tatizo lenu mmeshadanganywa sana na wachungaji uchwara mpaka sasa mnaboa.Hivi wewe leo hii watu8 unarudi nyumbani unakuta binti yako mdogo amechora kwenye karatasi au kupiga picha na kuweka hiyo sign, utakuja kutuambia hapa kuwa sasa mwanangu kapotea, kajiunga freemason? Kweli??!!! Mnaudhi sana tangu mjue juujuu kuhusu freemason.
      hahahaa...kila kitu ni mipango mkuu, ishu za imani huwa haziji kwa bahati mbaya au coincidence. There is a pattern, sequence.
      hivyo mkuu hakuna kitu kinatokea accidentally, believe me or not haijalishi WEMA anajua anachokifanya au hajui in a spiritual world it means a lot and someone somewhere is being praised for what WEMA was tryin to show off
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"



    5. #44
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 16,576
      Rep Power : 31592
      Likes Received
      8386
      Likes Given
      8730

      Default Re: Wema Sepetu aonesha alama ya Freemason liveeee!

      Quote By Barnabas Shadrack View Post
      Hapo red mkuu au ulimaanisha Herself?
      i mean LUCIFER kaka
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"



    6. #45
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,426
      Rep Power : 16506
      Likes Received
      4327
      Likes Given
      5510

      Default Re: Wema Sepetu aonesha alama ya Freemason liveeee!

      Quote By CUTE View Post
      hahahhaha naona umezichunguza sana hizi picha mana umeonekana kugundua mengi tuko pamoja mkuu mana na mm nimegundua magoti ya wema yalivo meusiiiii
      Kwani na wewe hii ni picha yako?
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato


    7. #46
      KWAPA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 371
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Wema Sepetu aonesha alama ya Freemason liveeee!

      Mara nyingi najiuliza sipati Jibu walah, hivi wabongo akili zetu zimejambiwa ushuzi, au zina nini jamaniiiii?maana tunapenda sana kushadadia vitu hatuvijui tunaongeaongea ovyooo Na kila mtu kujifanya anajua Zaidi ya mwenzio! Yaani sasa hivi mtu huhemi kila kitu freemaass freemaass tumechokaaaaaaaaa!!! Leteni ishu zingine jama! Asanteni kwa kunisoma

    8. #47
      Swts's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Location : Atlanta Georgia
      Posts : 1,765
      Rep Power : 725
      Likes Received
      575
      Likes Given
      293

      Default

      Quote By CUTE View Post
      KITU CHA OBAGI iko mpz Swts
      ndo obagi ya kichina,maidia,inang'arisha hadi lami,ndo yule mdada wa yutan blog amewainduce,wanaonekana ka vibibi,seriously watajutia when its too late..

    9. #48
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,388
      Rep Power : 7781
      Likes Received
      1560
      Likes Given
      1826

      Default Re: Wema Sepetu aonesha alama ya Freemason liveeee!

      Ukisoma habari za free masons, mwanamke si mwanachama. Wao wanadeal Na me tu.

    10. #49
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Wema Sepetu aonesha alama ya Freemason liveeee!

      Quote By Ritz View Post
      Fotoshop angalia kichwa hicho kimepachikwa stuka.
      Aisee kumbe sasa nimeamini kuwa ccm mko humu jf kubisha kila jambo......kwa taarifa yako hizo ni picha halisi na huyo ni wema na jack kweli......hata jana kwenye kipindi cha zamaradi clouds tv walirudia kuonyesha hilo pambano la wema na jack....eti fotoshop khaaa.....kama hujui ni busara pia kukaa kimya!
      Life without problems never make a strong and good person!

    11. #50
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,177
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1569

      Default Kumbe huu mchezo ni common sana eeh?....... sikia ya Aunt Ezekiel naye!

      Jamani hii kitu nimeisoma mahali, nikaona si vibaya nikiwarushia wanaJF hasa ambao hawajaiona. Soma mwenyewe basi...SIKU chache baada ya staa wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel kuripotiwa kufunga ndoa mjini Dubai, mchumba wa staa huyo aliyetambulika kwa jina moja tu la Jeff amesema kuwa, anashangazwa na Aunt kuolewa huku akiwa na ujauzito wake, Amani linashuka na mistari ya habari hii.
      Akizungumza na Amani jijini Dar hivi karibuni, Jeff amesema kuwa taarifa za kuolewa kwa Aunt alizipata akiwa nchini China na kushtuka sana.
      “Kinachonishangza ni huyo jamaa anafungaje ndoa na mwanamke ambaye ana ujauzito wangu wa miezi sita ambao aliondoka nao kwenda Dubai?” alihoji Jeff.
      Jeff aliendelea kutiririka kama mtu alikuwa akiimba mashairi ya Muziki wa Injili kuwa, kingine kinachomuumiza ni tabia ya Aunt kumuomba fedha za matumizi akiwa Dubai huku akijua kwamba amefunga ndoa na mtu mwingine.
      “Wanawake ni mama zetu lakini ni wauaji wakubwa, inakuwaje anagawa mimba ya mtu kwa mwanaume mwingine halafu mbaya zaidi nilipokuwa China kila wiki alikuwa akiniomba fedha za matumizi nami nikawa namuagiza aende sehemu kuchukua kumbe ni mke wa mtu!” alishangaa Jeff.
      Juhudi za kumpata Aunt ili kuthibitisha madai hayo ya ujauzito hazikuweza kufua dafu baada ya simu yake anayoitumia huko Umangani kutokuwa hewani.
      Jambo lingine lililomshtua Jeff ni kusikia kuwa aliyemuoa Aunt huko Dubai anaitwa Sunday Dimonte kwani msanii huyo ‘alisevu’ namba yake kwa kutumia jina hilo.
      Nilipomuuliza kwa nini ananisevu kwa jina la Dimonte, Aunt aliniambia kuwa jina hilo lilimaanisha mpenzi kwa Lugha ya Kifaransa,” alisema kwa masikitiko Jeff.
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    12. #51
      CORAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 644
      Rep Power : 594
      Likes Received
      138
      Likes Given
      7

      Default Re: Kumbe huu mchezo ni common sana eeh?....... sikia ya Aunt Ezekiel naye!

      Hiyo ndio love game.

    13. #52
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,318
      Rep Power : 618
      Likes Received
      345
      Likes Given
      59

      Default Re: Kumbe huu mchezo ni common sana eeh?....... sikia ya Aunt Ezekiel naye!

      imekaa kiudaku zaidi....

    14. #53
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,515
      Rep Power : 24927
      Likes Received
      2230
      Likes Given
      1827

      Default Re: Kumbe huu mchezo ni common sana eeh?....... sikia ya Aunt Ezekiel naye!

      Quote By Scofied View Post
      imekaa kiudaku zaidi....
      Hiyo imetokea kwenye gazeti la leo globapbublishres.


    15. #54
      Mahmetkid's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Location : Kagera-Bukoba
      Posts : 414
      Rep Power : 443
      Likes Received
      104
      Likes Given
      8

      Default Re: Kumbe huu mchezo ni common sana eeh?....... sikia ya Aunt Ezekiel naye!

      Daahhh!!!!!! Jamaa amepigwa changa la macho mpaka anatia huruma.

    16. #55
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 16,576
      Rep Power : 31592
      Likes Received
      8386
      Likes Given
      8730

      Default Re: Kumbe huu mchezo ni common sana eeh?....... sikia ya Aunt Ezekiel naye!

      mbona nimesikia toka Clouds FM toka kwa Zamaradi Mketema kwamba huyo bi shosti ataolewa October mwaka huu
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"



    17. #56
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,318
      Rep Power : 618
      Likes Received
      345
      Likes Given
      59

      Default Re: Kumbe huu mchezo ni common sana eeh?....... sikia ya Aunt Ezekiel naye!

      Quote By Mzee wa Rula View Post
      Hiyo imetokea kwenye gazeti la leo globapbublishres.
      shigongo product...

    18. #57
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,779
      Rep Power : 19847
      Likes Received
      4407
      Likes Given
      1715

      Default Re: Kumbe huu mchezo ni common sana eeh?....... sikia ya Aunt Ezekiel naye!

      Kumbe bongo movie

    19. #58
      KWAPA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 371
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Kumbe huu mchezo ni common sana eeh?....... sikia ya Aunt Ezekiel naye!

      Kuna wanaume wengine Wanapenda Sana kuchafuliana majina,Ukute uongo mtupuuu ametaka tu kumdhalilisha mwenzie! Kwani alilazimishwa atume hizo pesa? Na ana uhakika gani km mimba ni yake au ya aliyemuoa? Always mtendwa akitendwa uhusi kaonewaa,wanaume mnataka ufirauni muufanye nyinyi mkifanyiwa mtabweka kila kona!! Big up anti Ezekiel,akukomeee miaka Mia Saba!!

    20. #59
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6319
      Likes Given
      2418

      Default Re: Kumbe huu mchezo ni common sana eeh?....... sikia ya Aunt Ezekiel naye!

      huyo jeff ana uhakika gani kama hiyo mimba yake? Wahenga waliposema amjuae baba wa mtoto ni mama anajua walimaanisha nini?????

    21. #60
      Swts's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Location : Atlanta Georgia
      Posts : 1,765
      Rep Power : 725
      Likes Received
      575
      Likes Given
      293

      Default Re: Kumbe huu mchezo ni common sana eeh?....... sikia ya Aunt Ezekiel naye!

      Mabwaku ya bongo moviesss vs shigongo..

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...