Ni nani, wa nchi gani, je ameshatoa single yoyote???
I REAL LIKE HER VOICE ..
Ni nani, wa nchi gani, je ameshatoa single yoyote???
I REAL LIKE HER VOICE ..
Ni Enika bilashaka,aliyeimba wimbo wa 'baridi kama hii'
unayemuona kwenye video sie aliyeimba (sauti ni ya ENIKA)
ana sauti nzuri sana,inshort anankosha kupita maelezo
Wasnt the one you saw
Sijui kama Mzee King Kiki mtunzi wa ule wimbo aliambulia chochote au ndo anaona fahari wimbo wake kuimbwa!!
"Makalio ya sufuria hayaogopi moto"
yule ni misoji kama sijakosea alishinda bongo star search ile ya pili... kuhusu sauti sijathibitisha kama ni ya nani
nlckiaga clouds kwenye kpnd cha power breakfast,walixema ni MAUNDA ZORRO,na bit ilgongwa na MAKO CHALI..
Huyo enika katoka wap tena..
Hebu tuwekeeni hapa huo wimbo sijui ndio kideo chake tuone sio wote tuna mavideo Nyumbani!
Ana sauti nzuri.
Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).
Follow Us Here